Mambo mawili yaliyonishangaza Tanga

Mambo mawili yaliyonishangaza Tanga

Kwamgwe mna computer/simu janja na internet?
Baadhi Wana simu janja,Wakazi wa pale ni wakulima wa machungwa na Mahindi,tatizo la pale ni ndumba

Nyumba za makuti kwa Tanga ni kitu Cha kawaida nenda Mkinga,Pangani,Muheza na maeneo mengine utakuta vijimba vidogovi do ogo vipo vingi sana.
 
Mkuu nimetoa reference!! Ni kipindi cha week cha Ripoti Maalumu cha ITV, ingia YOUTUBE uone maajabu!! Watoto wanaokota mifupa ilitupwa chini na kuanza kula palepale nyingine wanaweka kwenye mifuko wanapeleka nyumbani kupika. Mwandishi kaenda nao mpaka home wakamwonyesha wanavyopika. Kuna mwanasaikolojia mmoja aliojiwa akasema huu ni zaidi ya unyama kwani hata mbwa ambaye ni well trained hawezi kula mabaki ya mifupa

itv njoo mtusaidie link
Hapo singida mjini tu kuna watoto wanatega kwenye vile vibanda vya chips, mteja akimaliza kula chap wanarukia kwenye ile sahani yake wanakula yale makombo yaliyobakizwa na kumung'unya ile mifupa iliyoachwa mezani na iliyodondokea chini
 
Hapo singida mjini tu kuna watoto wanatega kwenye vile vibanda vya chips, mteja akimaliza kula chap wanarukia kwenye ile sahani yake wanakula yale makombo yaliyobakizwa na kumung'unya ile mifupa iliyoachwa mezani na iliyodondokea chini
Mbona laana hizi. Utafikiri ile hadithi ya maskini Lazaro wa kwenye Bible
 
Habari zenu wana JF,

Wiki moja iliyopita nilifanikiwa kusafiri kutoka mkoani Arusha hadi mkoani Tanga hasa katika wilaya ya Handeni vijijini. Kwakweli tembea uone. Nilipofika Handeni vijijini kuna kijiji kinaitwa (Kwamgwe) nilishangazwa na mambo makubwa mawili. Mambo gani hayo?

Jambo la kwanza ni umasikini wa kutupwa, yaani watu waishio Handeni vijijini hasa katika kijiji hicho ni fukara sana. Mfano nyumba nyingi ni za miti iliyokandikwa na udongo na juu zimeezekwa kwa nyasi. Asilimia 97 ya watu waishio katika kijiji hicho nilichokitaja wanaishi hivyo. Kiufupi Maisha yao ni mabaya sana.

Nimefanikiwa kutembea maeneo mengi nchini na kuoña umasikini ambao tumeuzoea, kama vile nyumba duni zilizojengwa na matofali ya udongo pamoja na kuezekwa na bati za kawaida lakini kule Handeni vijijini nyumba za miti ndio nyingi na nyingi zimeezekwa kwa nyasi.

Baadae nilijiuliza maswali mwenyewe kwamba kwamba familia za kule hazina kipato cha kuwasaidi kufyatua matofali ya tope au ndio wameamua tu kuishi hivyo?

Jambo la pili lililonishangaza Uziguani nadhani litakuwa ni sehemu ya mila za watu wa huko (Wazigua).J ambo Hilo ni kutembea peku peku tena umbali mrefu. Wazigua wa Handeni vijijini wanapenda sana kutembea peku peku kwa watu wa rika lote iwe vijana, watu wazima, au wazee.

Mfano wakati nafika huko lilikuwa ni kipindi cha mvua sasa nikawa naona tu watu wakikanyaga tu matope peku peku wakiwa wanaenda katika shughuli zao mbalimbali. Karibu na wewe kama una chochote cha kuchangia.
Ukijenga nyumba tu nzuri au yenye nafuu unarogwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wana JF,

Wiki moja iliyopita nilifanikiwa kusafiri kutoka mkoani Arusha hadi mkoani Tanga hasa katika wilaya ya Handeni vijijini. Kwakweli tembea uone. Nilipofika Handeni vijijini kuna kijiji kinaitwa (Kwamgwe) nilishangazwa na mambo makubwa mawili. Mambo gani hayo?

Jambo la kwanza ni umasikini wa kutupwa, yaani watu waishio Handeni vijijini hasa katika kijiji hicho ni fukara sana. Mfano nyumba nyingi ni za miti iliyokandikwa na udongo na juu zimeezekwa kwa nyasi. Asilimia 97 ya watu waishio katika kijiji hicho nilichokitaja wanaishi hivyo. Kiufupi Maisha yao ni mabaya sana.

Nimefanikiwa kutembea maeneo mengi nchini na kuoña umasikini ambao tumeuzoea, kama vile nyumba duni zilizojengwa na matofali ya udongo pamoja na kuezekwa na bati za kawaida lakini kule Handeni vijijini nyumba za miti ndio nyingi na nyingi zimeezekwa kwa nyasi.

Baadae nilijiuliza maswali mwenyewe kwamba kwamba familia za kule hazina kipato cha kuwasaidi kufyatua matofali ya tope au ndio wameamua tu kuishi hivyo?

Jambo la pili lililonishangaza Uziguani nadhani litakuwa ni sehemu ya mila za watu wa huko (Wazigua).J ambo Hilo ni kutembea peku peku tena umbali mrefu. Wazigua wa Handeni vijijini wanapenda sana kutembea peku peku kwa watu wa rika lote iwe vijana, watu wazima, au wazee.

Mfano wakati nafika huko lilikuwa ni kipindi cha mvua sasa nikawa naona tu watu wakikanyaga tu matope peku peku wakiwa wanaenda katika shughuli zao mbalimbali. Karibu na wewe kama una chochote cha kuchangia.
Hao ndio mtaji wa CCM, kwa kifupi hao inabidi kwa gharama zozote zile waendelee kuwa masikini ili CCM iendelee kutawala
 
Habari zenu wana JF,

Wiki moja iliyopita nilifanikiwa kusafiri kutoka mkoani Arusha hadi mkoani Tanga hasa katika wilaya ya Handeni vijijini. Kwakweli tembea uone. Nilipofika Handeni vijijini kuna kijiji kinaitwa (Kwamgwe) nilishangazwa na mambo makubwa mawili. Mambo gani hayo?

Jambo la kwanza ni umasikini wa kutupwa, yaani watu waishio Handeni vijijini hasa katika kijiji hicho ni fukara sana. Mfano nyumba nyingi ni za miti iliyokandikwa na udongo na juu zimeezekwa kwa nyasi. Asilimia 97 ya watu waishio katika kijiji hicho nilichokitaja wanaishi hivyo. Kiufupi Maisha yao ni mabaya sana.

Nimefanikiwa kutembea maeneo mengi nchini na kuoña umasikini ambao tumeuzoea, kama vile nyumba duni zilizojengwa na matofali ya udongo pamoja na kuezekwa na bati za kawaida lakini kule Handeni vijijini nyumba za miti ndio nyingi na nyingi zimeezekwa kwa nyasi.

Baadae nilijiuliza maswali mwenyewe kwamba kwamba familia za kule hazina kipato cha kuwasaidi kufyatua matofali ya tope au ndio wameamua tu kuishi hivyo?

Jambo la pili lililonishangaza Uziguani nadhani litakuwa ni sehemu ya mila za watu wa huko (Wazigua).J ambo Hilo ni kutembea peku peku tena umbali mrefu. Wazigua wa Handeni vijijini wanapenda sana kutembea peku peku kwa watu wa rika lote iwe vijana, watu wazima, au wazee.

Mfano wakati nafika huko lilikuwa ni kipindi cha mvua sasa nikawa naona tu watu wakikanyaga tu matope peku peku wakiwa wanaenda katika shughuli zao mbalimbali. Karibu na wewe kama una chochote cha kuchangia.
Nikuulize umewahi kufika Zanzibar hasa Makunduchi, Wamakunduchi wengi hadi kesho wanatembea pekupeku hata pale mitaa ya Mjini Magharibi ambayo ndio Dar ya Zenj watu wanatembea bila kuvaa viatu wengi tu.
 
Back
Top Bottom