Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baadhi Wana simu janja,Wakazi wa pale ni wakulima wa machungwa na Mahindi,tatizo la pale ni ndumbaKwamgwe mna computer/simu janja na internet?
Hapo singida mjini tu kuna watoto wanatega kwenye vile vibanda vya chips, mteja akimaliza kula chap wanarukia kwenye ile sahani yake wanakula yale makombo yaliyobakizwa na kumung'unya ile mifupa iliyoachwa mezani na iliyodondokea chiniMkuu nimetoa reference!! Ni kipindi cha week cha Ripoti Maalumu cha ITV, ingia YOUTUBE uone maajabu!! Watoto wanaokota mifupa ilitupwa chini na kuanza kula palepale nyingine wanaweka kwenye mifuko wanapeleka nyumbani kupika. Mwandishi kaenda nao mpaka home wakamwonyesha wanavyopika. Kuna mwanasaikolojia mmoja aliojiwa akasema huu ni zaidi ya unyama kwani hata mbwa ambaye ni well trained hawezi kula mabaki ya mifupa
itv njoo mtusaidie link
Sikufanikiwa kupiga picha mkuuMkuu ungeweka japo kapicha ingependeza Zaid ☺️🤠
Mbona laana hizi. Utafikiri ile hadithi ya maskini Lazaro wa kwenye BibleHapo singida mjini tu kuna watoto wanatega kwenye vile vibanda vya chips, mteja akimaliza kula chap wanarukia kwenye ile sahani yake wanakula yale makombo yaliyobakizwa na kumung'unya ile mifupa iliyoachwa mezani na iliyodondokea chini
Aweso ni PanganiJimbo linaloongozwa na CCM na Juma Aweso Waziri wa Maji.
Handeni wananchi wote ni CCM ili ujue na ujifunze madhara ya CCM kujikita mahali
Ukijenga nyumba tu nzuri au yenye nafuu unarogwaHabari zenu wana JF,
Wiki moja iliyopita nilifanikiwa kusafiri kutoka mkoani Arusha hadi mkoani Tanga hasa katika wilaya ya Handeni vijijini. Kwakweli tembea uone. Nilipofika Handeni vijijini kuna kijiji kinaitwa (Kwamgwe) nilishangazwa na mambo makubwa mawili. Mambo gani hayo?
Jambo la kwanza ni umasikini wa kutupwa, yaani watu waishio Handeni vijijini hasa katika kijiji hicho ni fukara sana. Mfano nyumba nyingi ni za miti iliyokandikwa na udongo na juu zimeezekwa kwa nyasi. Asilimia 97 ya watu waishio katika kijiji hicho nilichokitaja wanaishi hivyo. Kiufupi Maisha yao ni mabaya sana.
Nimefanikiwa kutembea maeneo mengi nchini na kuoña umasikini ambao tumeuzoea, kama vile nyumba duni zilizojengwa na matofali ya udongo pamoja na kuezekwa na bati za kawaida lakini kule Handeni vijijini nyumba za miti ndio nyingi na nyingi zimeezekwa kwa nyasi.
Baadae nilijiuliza maswali mwenyewe kwamba kwamba familia za kule hazina kipato cha kuwasaidi kufyatua matofali ya tope au ndio wameamua tu kuishi hivyo?
Jambo la pili lililonishangaza Uziguani nadhani litakuwa ni sehemu ya mila za watu wa huko (Wazigua).J ambo Hilo ni kutembea peku peku tena umbali mrefu. Wazigua wa Handeni vijijini wanapenda sana kutembea peku peku kwa watu wa rika lote iwe vijana, watu wazima, au wazee.
Mfano wakati nafika huko lilikuwa ni kipindi cha mvua sasa nikawa naona tu watu wakikanyaga tu matope peku peku wakiwa wanaenda katika shughuli zao mbalimbali. Karibu na wewe kama una chochote cha kuchangia.
Hao ndio mtaji wa CCM, kwa kifupi hao inabidi kwa gharama zozote zile waendelee kuwa masikini ili CCM iendelee kutawalaHabari zenu wana JF,
Wiki moja iliyopita nilifanikiwa kusafiri kutoka mkoani Arusha hadi mkoani Tanga hasa katika wilaya ya Handeni vijijini. Kwakweli tembea uone. Nilipofika Handeni vijijini kuna kijiji kinaitwa (Kwamgwe) nilishangazwa na mambo makubwa mawili. Mambo gani hayo?
Jambo la kwanza ni umasikini wa kutupwa, yaani watu waishio Handeni vijijini hasa katika kijiji hicho ni fukara sana. Mfano nyumba nyingi ni za miti iliyokandikwa na udongo na juu zimeezekwa kwa nyasi. Asilimia 97 ya watu waishio katika kijiji hicho nilichokitaja wanaishi hivyo. Kiufupi Maisha yao ni mabaya sana.
Nimefanikiwa kutembea maeneo mengi nchini na kuoña umasikini ambao tumeuzoea, kama vile nyumba duni zilizojengwa na matofali ya udongo pamoja na kuezekwa na bati za kawaida lakini kule Handeni vijijini nyumba za miti ndio nyingi na nyingi zimeezekwa kwa nyasi.
Baadae nilijiuliza maswali mwenyewe kwamba kwamba familia za kule hazina kipato cha kuwasaidi kufyatua matofali ya tope au ndio wameamua tu kuishi hivyo?
Jambo la pili lililonishangaza Uziguani nadhani litakuwa ni sehemu ya mila za watu wa huko (Wazigua).J ambo Hilo ni kutembea peku peku tena umbali mrefu. Wazigua wa Handeni vijijini wanapenda sana kutembea peku peku kwa watu wa rika lote iwe vijana, watu wazima, au wazee.
Mfano wakati nafika huko lilikuwa ni kipindi cha mvua sasa nikawa naona tu watu wakikanyaga tu matope peku peku wakiwa wanaenda katika shughuli zao mbalimbali. Karibu na wewe kama una chochote cha kuchangia.
Hata huko pangani ukifika Unakuta wananchi wanajisaidia porini na wanaishi kwenye nyumba Za nyasi.
Duu! Kuiuza tena!Ni wakati muafaka wa kuiuza Handeni kwa muwekezaji iliaweze kuiendeleza🐒
Nikuulize umewahi kufika Zanzibar hasa Makunduchi, Wamakunduchi wengi hadi kesho wanatembea pekupeku hata pale mitaa ya Mjini Magharibi ambayo ndio Dar ya Zenj watu wanatembea bila kuvaa viatu wengi tu.Habari zenu wana JF,
Wiki moja iliyopita nilifanikiwa kusafiri kutoka mkoani Arusha hadi mkoani Tanga hasa katika wilaya ya Handeni vijijini. Kwakweli tembea uone. Nilipofika Handeni vijijini kuna kijiji kinaitwa (Kwamgwe) nilishangazwa na mambo makubwa mawili. Mambo gani hayo?
Jambo la kwanza ni umasikini wa kutupwa, yaani watu waishio Handeni vijijini hasa katika kijiji hicho ni fukara sana. Mfano nyumba nyingi ni za miti iliyokandikwa na udongo na juu zimeezekwa kwa nyasi. Asilimia 97 ya watu waishio katika kijiji hicho nilichokitaja wanaishi hivyo. Kiufupi Maisha yao ni mabaya sana.
Nimefanikiwa kutembea maeneo mengi nchini na kuoña umasikini ambao tumeuzoea, kama vile nyumba duni zilizojengwa na matofali ya udongo pamoja na kuezekwa na bati za kawaida lakini kule Handeni vijijini nyumba za miti ndio nyingi na nyingi zimeezekwa kwa nyasi.
Baadae nilijiuliza maswali mwenyewe kwamba kwamba familia za kule hazina kipato cha kuwasaidi kufyatua matofali ya tope au ndio wameamua tu kuishi hivyo?
Jambo la pili lililonishangaza Uziguani nadhani litakuwa ni sehemu ya mila za watu wa huko (Wazigua).J ambo Hilo ni kutembea peku peku tena umbali mrefu. Wazigua wa Handeni vijijini wanapenda sana kutembea peku peku kwa watu wa rika lote iwe vijana, watu wazima, au wazee.
Mfano wakati nafika huko lilikuwa ni kipindi cha mvua sasa nikawa naona tu watu wakikanyaga tu matope peku peku wakiwa wanaenda katika shughuli zao mbalimbali. Karibu na wewe kama una chochote cha kuchangia.