Mambo mawili yanafanya nisiusamehe utawala wa Awamu ya Tano

Vipi kuhusu wizi wa kura?
 
Weka takwimu ili tujue nani kafanya nini
Tanzania ilianza kujengwa tangu enzi za Mjerumani,Mwingereza,Mwl Julius Kambarage Nyerere,Ali Hassan Mwinyi,Benjamin Wiliam Mkapa,Dkt Jakaya Mrisho Kikwete,John Pombe Magufuri,na sasa ni Samia Hasan Suluhu na bado itaendelea kujengwa hadi mwisho wa dunia,kwa hiyo ombi lako la takwimu limekataliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…