Bull Striker
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 456
- 1,003
Mbona humu JF mnateseka sanaaa na marehem...Eeeh yaan nguvu Nyingi hutumika kumpinga na kumtukana tena marehem ambae asaivi huenda ana jibu kwa Muumba.
Hapa mnafanya watu wamiini humu wengi ni wadhalim mnataka asahaulike kirahisi japo wananchi wake bado angali Moyon mwao
Hapa mnafanya watu wamiini humu wengi ni wadhalim mnataka asahaulike kirahisi japo wananchi wake bado angali Moyon mwao