Mambo mawili yanafanya nisiusamehe utawala wa Awamu ya Tano

Mambo mawili yanafanya nisiusamehe utawala wa Awamu ya Tano

Mbona humu JF mnateseka sanaaa na marehem...Eeeh yaan nguvu Nyingi hutumika kumpinga na kumtukana tena marehem ambae asaivi huenda ana jibu kwa Muumba.

Hapa mnafanya watu wamiini humu wengi ni wadhalim mnataka asahaulike kirahisi japo wananchi wake bado angali Moyon mwao
 
Napata shida sana kukubaliana na wewe,kama mauaji ya waziwazi yalifanyika kipindi cha mkapa Zanzibar waliuwawa waziwazi watu zaidi ya 25 kipindi cha uchaguzi,kipindi cha Mwinyi waliuawa waislam wengi tu mwembechai,Ya Kikwete na akina ulimboka na Mwangosi aliyeuwawa mbeya na dunia nzima ikaona bila chenga.Ukiniambia Magufuli aliwapiga watu flani mliotoka zone moja mliozoea ubinafsi na wenye roho za visasi ntakubaliana na wewe.Lakini tofauti na kauli zenye ukakasi sijaona ukatili wa mauaji wenye ushahidi wa wazi wazi aliofanya Magufuli ukilinganisha na watangulizi wake.Na mwishoe tukubaliane tu kuwa hawa viongozi huwa wanabeba lawama za watendaji wao wa chini but so far sijaona dictator hii nchi.
Ujinga ni ugonjwa mbaya sana ukiamini katika ujinga utabakia kuwa mpumbavu na mwehu,usipende kutetea uovu katika Taifa huru kwa maslahi yako.
 
Mbona humu JF mnateseka sanaaa na marehem...Eeeh yaan nguvu Nyingi hutumika kumpinga na kumtukana tena marehem ambae asaivi huenda ana jibu kwa Muumba.

Hapa mnafanya watu wamiini humu wengi ni wadhalim mnataka asahaulike kirahisi japo wananchi wake bado angali Moyon mwao
Usitulazimishe kama vile na sisi hatukumlazimisha yeye kuwa dhalimu
 
Unahoja nyng, lkn tambua jombi hakua mtu
Kila utawala una mazuri na mapungufu yake! Tumsamehe Mwendazake kwa yale yote tunayohisi alikosea na tuyachukue yale mazuri yake! Hakuna binadamu aliye mkamilifu.
 
Sijui ni upole au ujinga wa kukubali udhalimu na udhalilishaji mpaka mtu anamuita mwenzie mungu
 
Kila utawala una mazuri na mapungufu yake! Tumsamehe Mwendazake kwa yale yote tunayohisi alikosea na tuyachukue yale mazuri yake! Hakuna binadamu aliye mkamilifu.
Mimi ntasamehe kwa yote na yeyeto lakini kwa dhalimu Jiwe, HAPANA
 
Mbona humu JF mnateseka sanaaa na marehem...Eeeh yaan nguvu Nyingi hutumika kumpinga na kumtukana tena marehem ambae asaivi huenda ana jibu kwa Muumba.

Hapa mnafanya watu wamiini humu wengi ni wadhalim mnataka asahaulike kirahisi japo wananchi wake bado angali Moyon mwao
Ukitenda uovu/wema katika level ya uongozi wa juu wa nchi, ni ngumu sana watu wako kukusahau hata ipite karne. Ndiyo maana mpaka leo Nyerere bado anakumbukwa kwa sababu alitenda mema. Jiwe pia atakumbukwa kwa miaka mingi kwa sababu alikuwa dhalimu na muovu.
 
Ujinga ni ugonjwa mbaya sana ukiamini katika ujinga utabakia kuwa mpumbavu na mwehu,usipende kutetea uovu katika Taifa huru kwa maslahi yako.
Mjinga na mpumbavu ni wewe na familia yenu au yako unaelazimisha kutuaminisha vitu visivyo na ushahidi kwa ajili ya chuki zako binafsi.Nyinyi kwenu mwerevu ni yule anayekubaliana na pumba zenu mkitofautiana hoja zinaanza mvua za matusi.alafu mnataka mpewe nchi.
 
Mjinga na mpumbavu ni wewe na familia yenu au yako unaelazimisha kutuaminisha vitu visivyo na ushahidi kwa ajili ya chuki zako binafsi.Nyinyi kwenu mwerevu ni yule anayekubaliana na pumba zenu mkitofautiana hoja zinaanza mvua za matusi.alafu mnataka mpewe nchi.
Ukweli utabaki pale pale Magufuri hakuwa rais mstaarabu bali dhalimu
 
Ungefafanua kwa mfano hilo la mauaji ni kama yapi? Wakati JK anaondoka aliacha mauaji kule kibiti na mkuranga yakiendelea. Tena kwa polisi na raia. Wasingekufa hao unaosema mauaji yalishamiri jua tu ungeshuhudia aina nyingine ya mauaji ikiwemo ile ya kukatwa visogo raia.

Kuhusu matamshi ya upinzani na maendeleo inaeleweka wazi hakuna mahali Jiwe hakugusa kimaendeleo labda kama hukuwa mfuatiliaji. Lakini ujue politics is a game of chance. Kusema sio kutenda ndio maana alipeleka maendeleo. Hao kina mbowe walituaminisha kwa takribani miaka nane kuwa lowasa fisadi na ilipofika 2015 wakatuambia mwenye ushahidi aende mahakamani.
Takataka wewe
 
Back
Top Bottom