Mambo mawili yanafanya nisiusamehe utawala wa Awamu ya Tano

Mambo mawili yanafanya nisiusamehe utawala wa Awamu ya Tano

Utangulizi
Msipinge tukiijadili awamu ya tano. Hii ni historia mbichi, na historia ni funzo. Itabaki kwenye kumbukumbu milele kwamba tumewahi kuwa na utawala wa hovyo.

Mambo Mawili
1. Kushamiri kwa mauaji na utekaji
2. Tamko la Magufuli kwamba hakupeleka maendeleo baadhi ya majimbo kwa sababu yalichagua upinzani

Mambo yote hayo ni kinyume na haki za binaadamu. Haya sio makosa ya kibinadamu,yamefanywa na mfumo. Mfumo umeelekeza jinsi ya kupeleka maendeleo. Unapofanya tofauti maana yake unafanya makusudi
Hiyo namba moja naona ni uongo tu, hata Tundu Lissu dalili zinaonyesha ni wao wenyewe kwa maslahi yao wenyewe
 
Utangulizi
Msipinge tukiijadili awamu ya tano. Hii ni historia mbichi, na historia ni funzo. Itabaki kwenye kumbukumbu milele kwamba tumewahi kuwa na utawala wa hovyo.

Mambo Mawili
1. Kushamiri kwa mauaji na utekaji
2. Tamko la Magufuli kwamba hakupeleka maendeleo baadhi ya majimbo kwa sababu yalichagua upinzani

Mambo yote hayo ni kinyume na haki za binaadamu. Haya sio makosa ya kibinadamu,yamefanywa na mfumo. Mfumo umeelekeza jinsi ya kupeleka maendeleo. Unapofanya tofauti maana yake unafanya makusudi
Napata shida sana kukubaliana na wewe,kama mauaji ya waziwazi yalifanyika kipindi cha mkapa Zanzibar waliuwawa waziwazi watu zaidi ya 25 kipindi cha uchaguzi,kipindi cha Mwinyi waliuawa waislam wengi tu mwembechai,Ya Kikwete na akina ulimboka na Mwangosi aliyeuwawa mbeya na dunia nzima ikaona bila chenga.Ukiniambia Magufuli aliwapiga watu flani mliotoka zone moja mliozoea ubinafsi na wenye roho za visasi ntakubaliana na wewe.Lakini tofauti na kauli zenye ukakasi sijaona ukatili wa mauaji wenye ushahidi wa wazi wazi aliofanya Magufuli ukilinganisha na watangulizi wake.Na mwishoe tukubaliane tu kuwa hawa viongozi huwa wanabeba lawama za watendaji wao wa chini but so far sijaona dictator hii nchi.
 
Ungefafanua kwa mfano hilo la mauaji ni kama yapi? Wakati JK anaondoka aliacha mauaji kule kibiti na mkuranga yakiendelea. Tena kwa polisi na raia. Wasingekufa hao unaosema mauaji yalishamiri jua tu ungeshuhudia aina nyingine ya mauaji ikiwemo ile ya kukatwa visogo raia.

Kuhusu matamshi ya upinzani na maendeleo inaeleweka wazi hakuna mahali Jiwe hakugusa kimaendeleo labda kama hukuwa mfuatiliaji. Lakini ujue politics is a game of chance. Kusema sio kutenda ndio maana alipeleka maendeleo. Hao kina mbowe walituaminisha kwa takribani miaka nane kuwa lowasa fisadi na ilipofika 2015 wakatuambia mwenye ushahidi aende mahakamani.
Kupeleka maendeleo Chato,Dodoma na Dar es Salaam ni kupeleka maendeleo nchi nzima??
 
Napata shida sana kukubaliana na wewe,kama mauaji ya waziwazi yalifanyika kipindi cha mkapa Zanzibar waliuwawa waziwazi watu zaidi ya 25 kipindi cha uchaguzi,kipindi cha Mwinyi waliuawa waislam wengi tu mwembechai,Ya Kikwete na akina ulimboka na Mwangosi aliyeuwawa mbeya na dunia nzima ikaona bila chenga.Ukiniambia Magufuli aliwapiga watu flani mliotoka zone moja mliozoea ubinafsi na wenye roho za visasi ntakubaliana na wewe.Lakini tofauti na kauli zenye ukakasi sijaona ukatili wa mauaji wenye ushahidi wa wazi wazi aliofanya Magufuli ukilinganisha na watangulizi wake.Na mwishoe tukubaliane tu kuwa hawa viongozi huwa wanabeba lawama za watendaji wao wa chini but so far sijaona dictator hii nchi.
Wewe ni mmojawapo wa wasiojulikana.
 
Utangulizi
Msipinge tukiijadili awamu ya tano. Hii ni historia mbichi, na historia ni funzo. Itabaki kwenye kumbukumbu milele kwamba tumewahi kuwa na utawala wa hovyo.

Mambo Mawili
1. Kushamiri kwa mauaji na utekaji
2. Tamko la Magufuli kwamba hakupeleka maendeleo baadhi ya majimbo kwa sababu yalichagua upinzani

Mambo yote hayo ni kinyume na haki za binaadamu. Haya sio makosa ya kibinadamu,yamefanywa na mfumo. Mfumo umeelekeza jinsi ya kupeleka maendeleo. Unapofanya tofauti maana yake unafanya makusudi
Na kuwavunjia nyumba ambao hawakumpigia kura, ila wasukuma wakaachwa kwakuwa walimchagua
 
Utangulizi
Msipinge tukiijadili awamu ya tano. Hii ni historia mbichi, na historia ni funzo. Itabaki kwenye kumbukumbu milele kwamba tumewahi kuwa na utawala wa hovyo.

Mambo Mawili
1. Kushamiri kwa mauaji na utekaji
2. Tamko la Magufuli kwamba hakupeleka maendeleo baadhi ya majimbo kwa sababu yalichagua upinzani

Mambo yote hayo ni kinyume na haki za binaadamu. Haya sio makosa ya kibinadamu,yamefanywa na mfumo. Mfumo umeelekeza jinsi ya kupeleka maendeleo. Unapofanya tofauti maana yake unafanya makusudi
Mngekuwa na raisi kama Putin si mngekufa kwa vihoro kabisa!
 
Daaa,ila lissu ana moyo wa paka aisee,risasi moja mtu anakuwa tayari yupo akhera kuimba pambio but yenye risasi lukuki still anasurvive...kweli kama Mungu hajaamua hajaamua tu
Ilikuwa kumdhihirisha shetani jiwe kuwa mwenye mamlaka na uhai wa mtu ni Mungu tu na siyo Rais.
 
Utangulizi
Msipinge tukiijadili awamu ya tano. Hii ni historia mbichi, na historia ni funzo. Itabaki kwenye kumbukumbu milele kwamba tumewahi kuwa na utawala wa hovyo.

Mambo Mawili
1. Kushamiri kwa mauaji na utekaji
2. Tamko la Magufuli kwamba hakupeleka maendeleo baadhi ya majimbo kwa sababu yalichagua upinzani

Mambo yote hayo ni kinyume na haki za binaadamu. Haya sio makosa ya kibinadamu,yamefanywa na mfumo. Mfumo umeelekeza jinsi ya kupeleka maendeleo. Unapofanya tofauti maana yake unafanya makusudi
Thread ya kijinga kabisa
 
Hiyo namba moja naona ni uongo tu, hata Tundu Lissu dalili zinaonyesha ni wao wenyewe kwa maslahi yao wenyewe
Ulimkamata nani kuhusiana na hilo shambulio la Tundu Lissu na hizo CCCTV Camera alizitoa nani kwenye ulinzi wa kila namna masaa 24 x7 x 30x 365 au 366?
 
Back
Top Bottom