Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Muulize Ndugai alivyopishana na bibi ushungiUtawala dhalimu upo Chadema pale! Pishana na chairman uone kitakachokukuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muulize Ndugai alivyopishana na bibi ushungiUtawala dhalimu upo Chadema pale! Pishana na chairman uone kitakachokukuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuanzia maza akoIla ulisaidia kujua unafiki wa viongozi wa chadema, maana wabunge na madiwani walijiuza Hadi Wananchi waliowachagua wakachukia.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
PoaHahahahah. Hongera kwa uchaguzi wako
Tumefundishwa kusamehe haijalishi. Kwani Magufuli alikua shetani?Ni maandiko kutoka Kitabu gani yameandika Tumsamehe Shetani
Basi usiusamehe tujue mojaUtangulizi
Msipinge tukiijadili awamu ya tano. Hii ni historia mbichi, na historia ni funzo. Itabaki kwenye kumbukumbu milele kwamba tumewahi kuwa na utawala wa hovyo.
Mambo Mawili
1. Kushamiri kwa mauaji na utekaji
2. Tamko la Magufuli kwamba hakupeleka maendeleo baadhi ya majimbo kwa sababu yalichagua upinzani
Mambo yote hayo ni kinyume na haki za binaadamu. Haya sio makosa ya kibinadamu,yamefanywa na mfumo. Mfumo umeelekeza jinsi ya kupeleka maendeleo. Unapofanya tofauti maana yake unafanya makusudi
Alikuwa nani sasa?Unahoja nyng, lkn tambua jombi hakua mtu
Baba akoAlikuwa nani sasa?
Ata kwa dawa.utawala wa kijinga sana Karne ya 21.mabavu yashapitwa na wakatiHivi kuna mtu yeyote ambaye ni Binadamu anaweza kusamehe ile awamu ?
Jiwe alivunja rekodi ya uhalifu na ufirisi kwakweliSo we unaandika kutokea kuzimu [emoji23][emoji23][emoji16][emoji22][emoji22] husamehi Vipi ! Ila alokuumba ana samehe we umekua Nani !! Au we unajikuta msafi sana [emoji3][emoji23][emoji23] pole sana
Ben alijaribu kufatilia elimu ya huyo mungu wenu akaishia kuuawaVyeti feki mnasumbua kwani si mngesoma
Mbona jiwe aliuona ukichaa wake mpaka akawa anasema adharani kuwa yeye ni kichaa?Tangu lini Kichaa alijijua yeye mwenyewe hana akili timamu [emoji848], basi itoshe tu kusema huwezi kuuona upunguwani wako kamwe!
Ilikuwa ukikataa jamaa anakutoa rohoIla ulisaidia kujua unafiki wa viongozi wa chadema, maana wabunge na madiwani walijiuza Hadi Wananchi waliowachagua wakachukia.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Jiwe kweli alikuwa shetani na nusuTumefundishwa kusamehe haijalishi. Kwani Magufuli alikua shetani?
Cheti feki unasumbua sanaBen alijaribu kufatilia elimu ya huyo mungu wenu akaishia kuuawa
Mimi hata ajira sijawahi itafuta. Napiga mishe zangu tu, sasa unaposema cheti feki huoni kama unajifanya mpumbavu kama JiweCheti feki unasumbua sana
Upate wapi iyo ajira elimu ya kuiba mitihani pambana na hali yakoMimi hata ajira sijawahi itafuta. Napiga mishe zangu tu, sasa unaposema cheti feki huoni kama unajifanya mpumbavu kama Jiwe
Kumbe we ni ndumilakuwili unaangalia baadhi ya maneno na kumkubali Mwamba wa duniani JPM [emoji848]Mbona jiwe aliuona ukichaa wake mpaka akawa anasema adharani kuwa yeye ni kichaa?
Una ushahidi kuwa alipeleka fedha za maendeleo Moshi? He was a cursed man. Ndiyo maana akafia ikulu kinyume na propaganda walizokuwa wanatuletea CCM kuwa Lowassa ndiye angefia ikulu.Ungefafanua kwa mfano hilo la mauaji ni kama yapi? Wakati JK anaondoka aliacha mauaji kule kibiti na mkuranga yakiendelea. Tena kwa polisi na raia. Wasingekufa hao unaosema mauaji yalishamiri jua tu ungeshuhudia aina nyingine ya mauaji ikiwemo ile ya kukatwa visogo raia.
Kuhusu matamshi ya upinzani na maendeleo inaeleweka wazi hakuna mahali Jiwe hakugusa kimaendeleo labda kama hukuwa mfuatiliaji. Lakini ujue politics is a game of chance. Kusema sio kutenda ndio maana alipeleka maendeleo. Hao kina mbowe walituaminisha kwa takribani miaka nane kuwa lowasa fisadi na ilipofika 2015 wakatuambia mwenye ushahidi aende mahakamani.