Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mamluki kaziniHayo ni maswala yako binafsi na kama unafikiri kuwa dunia itasimama kwakua wewe unawaza hivyo unajidanganya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mamluki kaziniHayo ni maswala yako binafsi na kama unafikiri kuwa dunia itasimama kwakua wewe unawaza hivyo unajidanganya.
Ni maandiko kutoka Kitabu gani yameandika Tumsamehe ShetaniTusamehe
Mimi sitakaa nisamehe yule punguani.Utangulizi
Msipinge tukiijadili awamu ya tano. Hii ni historia mbichi, na historia ni funzo. Itabaki kwenye kumbukumbu milele kwamba tumewahi kuwa na utawala wa hovyo.
Mambo Mawili
1. Kushamili kwa mauaji na utekaji
2. Tamko la Magufuli kwamba hakupeleka maendeleo baadhi ya majimbo kwa sababu yalichagua upinzani
Mambo yote hayo ni kinyume na haki za binaadamu. Haya sio makosa ya kibinadamu,yamefanywa na mfumo. Mfumo umeelekeza jinsi ya kupeleka maendeleo. Unapofanya tofauti maana yake unafanya makusudi
Bongo lalaHayo ni maswala yako binafsi na kama unafikiri kuwa dunia itasimama kwakua wewe unawaza hivyo unajidanganya.
Yeye alikua anasamehe?Kutokusamehe ni kujibebesha mzigo mzito na anayeumia ni yule aliyegoma kusamehe.
Mzigo wa kutosamehe alikuwa nao moyoni mwakeYeye alikua anasamehe?
Hahahahah. Hongera kwa uchaguzi wakoBora kuwa na mzigo lakini siyo kumsamehe yule shetani kabisa
Tundu Lissu kapona,yeye katangulia.Mpumbavu lilitaka kumuua Tundu Lissu.
Kauli za Mjomba Magu kuna wakati zilimshushia hadhi yake kama Raisi.Na kusema kwamba hakupeleka Tetemeko Bukoba
Hivi kuna mtu yeyote ambaye ni Binadamu anaweza kusamehe ile awamu ?
Ila ulisaidia kujua unafiki wa viongozi wa chadema, maana wabunge na madiwani walijiuza Hadi Wananchi waliowachagua wakachukia.Ule ulikuwa utawala dhalimu na wa hovyo kabisa
Aliyekuja kusamehe dhambi hapa duniani ni Yesu tuu, wewe umetumwa na Nani kusamehe dhambi?Utangulizi
Msipinge tukiijadili awamu ya tano. Hii ni historia mbichi, na historia ni funzo. Itabaki kwenye kumbukumbu milele kwamba tumewahi kuwa na utawala wa hovyo.
Mambo Mawili
1. Kushamiri kwa mauaji na utekaji
2. Tamko la Magufuli kwamba hakupeleka maendeleo baadhi ya majimbo kwa sababu yalichagua upinzani
Mambo yote hayo ni kinyume na haki za binaadamu. Haya sio makosa ya kibinadamu,yamefanywa na mfumo. Mfumo umeelekeza jinsi ya kupeleka maendeleo. Unapofanya tofauti maana yake unafanya makusudi
Tunashukuru dikteta hatunae leoKutokusamehe ni kujibebesha mzigo mzito na anayeumia ni yule aliyegoma kusamehe.
Utawala dhalimu upo Chadema pale! Pishana na chairman uone kitakachokukutaUle ulikuwa utawala dhalimu na wa hovyo kabisa
Mengine yanakuwa maneno tu! Kwani Mnyika alimwambia JPM kuwa vyuma vimekaza wakiwa wapi? Walikuwa wanakunhwa kahawa? Si walikuwa katika uwekaji jiwe la msingi ujenzi wa barabara njia 8? Au maeneo ya mradi yalikuwa chini ya CCM?Utangulizi
Msipinge tukiijadili awamu ya tano. Hii ni historia mbichi, na historia ni funzo. Itabaki kwenye kumbukumbu milele kwamba tumewahi kuwa na utawala wa hovyo.
Mambo Mawili
1. Kushamiri kwa mauaji na utekaji
2. Tamko la Magufuli kwamba hakupeleka maendeleo baadhi ya majimbo kwa sababu yalichagua upinzani
Mambo yote hayo ni kinyume na haki za binaadamu. Haya sio makosa ya kibinadamu,yamefanywa na mfumo. Mfumo umeelekeza jinsi ya kupeleka maendeleo. Unapofanya tofauti maana yake unafanya makusudi
Msukuma katika ubora wakoVyeti feki mnasumbua kwani si mngesoma
Tangu lini Kichaa alijijua yeye mwenyewe hana akili timamu [emoji848], basi itoshe tu kusema huwezi kuuona upunguwani wako kamwe!