Mambo mengine si muhimu lakini yakikosekana yanaboa

Mambo mengine si muhimu lakini yakikosekana yanaboa

Tatizo nimekata tiketi siku moja kabla,lau manifest ingekuwa inaonyesha majina ningechagu ya mchuchu,ishu inaonyesha namba za siti tu
Anyway, tunatofautiana. Mimi napenda nikisafiri niwe na chupa ya maji ya Kilimanjaro ile kubwa , iwe imejaa konyagi na simu iwe na bando na bus liwe na charging port basi.
 

Nipo safarini,tena safar ndefu imeanza saa kumi nafika kesho asubuhi inshallah,sasa kwa safari kama hii unatarajia seat mate wako atakuwa mwanamke,nimechill dirishani kabisa natarajia jirani atakuja dem eeh anakuja mwamba mpaka nimechoka

Sijui tutaongea nini na huyu mwamba,hapa sana sana story za chadema na mengine ambayo ambayo yatafanya safar izidi kuwa ndefu,lkn ukiwa na mchuchu pembeni walau safar inakuwa na mvuto,sio lazima muwe kimapenzi zaidi laa,ila kuna raha fulani ukiwa safar ndefu na dem pembeni yako mnaweza fanya hata meditation ya hisia

Si unajua usiku mara umelaliwa kwenye bega mara unasikiliza mastory basi safar inakuwa fupi kiasi fulani

Yani mwaka naona umeanza kimachale sana kwa upande wangu,halafu kibaya zaidi ukicheki siti nyingine napo wamekaa warembo watupu,natamani tubadishane mimi niende kule na mmoja aje kwa huyu mwamba

Anyway nikifanikiwa kubadilisha siti nitawaambia,mkiona kimya ujue mambo ya network si unajua road network inahama hama

Ni hayo tu!
Miaka 25 ilyopita wakati nasafiri sana kibiashara na mshkaji wangu, wale wakata ticket tushafahamiaa nao,kwaiyo tulikuwa tunawapanga abiria wakukaa nae kwenye siti anayokaa mmoja wetu ajitaidi atuweke mwanamke msichana,

Ujana ilikuwa kama ukichaa,ila tuliwalawala kwa mtindo huo,kipindi iko Dar mbeya nauli elfu saba mpk elfu tano,dar moro buku jero,,,nshukuru Mungu mpk leo sina ngoma walah!

Kuna mwaka nimeenda chooni kujisaidia,kutoka Bus lishaondoka maamae,na ndani ya Bus kulikuwa na mizigo yangu, ilikuwa shabiby nadhani mwaka 2002.
 
Leo ushauri wa janabi umeni cost,nilikunywa chai asubuhi now ndio tunachimba dawa na kula

Asante doktori
20250102_222647.jpg
 

Nipo safarini,tena safar ndefu imeanza saa kumi nafika kesho asubuhi inshallah,sasa kwa safari kama hii unatarajia seat mate wako atakuwa mwanamke,nimechill dirishani kabisa natarajia jirani atakuja dem eeh anakuja mwamba mpaka nimechoka

Sijui tutaongea nini na huyu mwamba,hapa sana sana story za chadema na mengine ambayo ambayo yatafanya safar izidi kuwa ndefu,lkn ukiwa na mchuchu pembeni walau safar inakuwa na mvuto,sio lazima muwe kimapenzi zaidi laa,ila kuna raha fulani ukiwa safar ndefu na dem pembeni yako mnaweza fanya hata meditation ya hisia

Si unajua usiku mara umelaliwa kwenye bega mara unasikiliza mastory basi safar inakuwa fupi kiasi fulani

Yani mwaka naona umeanza kimachale sana kwa upande wangu,halafu kibaya zaidi ukicheki siti nyingine napo wamekaa warembo watupu,natamani tubadishane mimi niende kule na mmoja aje kwa huyu mwamba

Anyway nikifanikiwa kubadilisha siti nitawaambia,mkiona kimya ujue mambo ya network si unajua road network inahama hama

Ni hayo tu!
Watu kama nyie ndiyo mnasababisha AJALI. Ila si ungesafiri na mkeo demu wako kuliko kwenda kuokoteza kwenye mabasi.
 
Kaazi kweli kweli......

Nimesafiri na treni na nazipenda zaidi kuliko basi.....

Eh bhna kule kuzoeana me na me au ke na me chapu tu

Ila kwenye mabus jau kinoma ukauzu mwingi

Ufike salama
 

Nipo safarini,tena safar ndefu imeanza saa kumi nafika kesho asubuhi inshallah,sasa kwa safari kama hii unatarajia seat mate wako atakuwa mwanamke,nimechill dirishani kabisa natarajia jirani atakuja dem eeh anakuja mwamba mpaka nimechoka

Sijui tutaongea nini na huyu mwamba,hapa sana sana story za chadema na mengine ambayo ambayo yatafanya safar izidi kuwa ndefu,lkn ukiwa na mchuchu pembeni walau safar inakuwa na mvuto,sio lazima muwe kimapenzi zaidi laa,ila kuna raha fulani ukiwa safar ndefu na dem pembeni yako mnaweza fanya hata meditation ya hisia

Si unajua usiku mara umelaliwa kwenye bega mara unasikiliza mastory basi safar inakuwa fupi kiasi fulani

Yani mwaka naona umeanza kimachale sana kwa upande wangu,halafu kibaya zaidi ukicheki siti nyingine napo wamekaa warembo watupu,natamani tubadishane mimi niende kule na mmoja aje kwa huyu mwamba

Anyway nikifanikiwa kubadilisha siti nitawaambia,mkiona kimya ujue mambo ya network si unajua road network inahama hama

Ni hayo tu!
Hizo zama za kuomba nisafiri siti moja na demu kwangu zimeshapita zamani sana. Sasa hivi nikienda ku book ticket namwambia kabisa konda siti yangu niweke na me mwenzangu na awe na mwonekano wa mtu mwenye kujitambua kishaa namuachia 5000 ya maji.

wanawake wanakula ovyo safari nzima simu hazikatiki alale akuegemee na manywele yake.Ukimtongoza tyr umechukua jukumu la kumlisha halafu anaposhuka tu anapokelewa na mwanaume mwingine wewe unabaki na no za simu tu zisizo kusaidia kitu.

TUPO TOFAUTI SANA HELI NIKAE NA MAMA MTU MZIMA WA MAKAMO NA MSOMI AU MFANYA BIASHARA
 
Hizo zama za kuomba nisafiri siti moja na demu kwangu zimeshapita zamani sana. Sasa hivi nikienda ku book ticket namwambia kabisa konda siti yangu niweke na me mwenzangu na awe na mwonekano wa mtu mwenye kujitambua kishaa namuachia 5000 ya maji.

wanawake wanakula ovyo safari nzima simu hazikatiki alale akuegemee na manywele yake.Ukimtongoza tyr umechukua jukumu la kumlisha halafu anaposhuka tu anapokelewa na mwanaume mwingine wewe unabaki na no za simu tu zisizo kusaidia kitu.

TUPO TOFAUTI SANA HELI NIKAE NA MAMA MTU MZIMA WA MAKAMO NA MSOMI AU MFANYA BIASHARA
Una akili sana mkuu, kwa upande mwingine hawa viumbe ukiwaendekeza ni kujitesa sna
 
Unaweza kuta mwamba anadeal ya kukupa So utachagua uegemewe bega Au upate deal Au wewe ummpe deal jamaa.
 
Una akili sana mkuu, kwa upande mwingine hawa viumbe ukiwaendekeza ni kujitesa sna
Mimi kwa sasa nikikaa na mwanamke mfano nimepanda nae mwanza badi nikifika igunga tabora lazima nimuombe konda anibadirishie siti hata kwa kumpa hela. Kwa sasa sipendi kabisa kukaa siti moja na mwanamke mwezi wa 11 nilikaa na mwanamke asee safari ilikuwa ngumu sana kila dk hapa ni wapi mara tumekaribia simu kila mara nilimufuta konda akaniambia siginda watu wanashuka wengi uta change hapo. Nafika siginda konda yule si kashuka na siti walizo shuka watu wakapanda abiria wengine nilifika kahama sina hamu kabisa. safari yote hakuna cha maana tulichoongea.

Lakini wakati naenda nilikaa na mwanaume tulibadirishana mawazo lukuki hadi nafika morogoro hata majina hatujafahamiana tumekuja fahaamiana baada siku4 kwenye simu.
 
Wanaoandika R badala ya L wanakera.
Mfano(Chakura badala ya chakula, Nibadirishie badala ya nibadilishie)

Nakereka sana aisee.
 
Back
Top Bottom