Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Sikiliza, Mkapa alifanya kila awezalo kumzuia JK 2005 lakini nguvu ya wanamtandao ilimfanya asalimu amri mbele yao dakika ya mwisho.
Fuatilia uteuzi wa Kikwete ulivyokuwa utapata habari kamili, wakati ambapo majina ya mwisho yalikuwa Kikwete, Salim Ahmed Salim na Prof. Mwandosya. Kikwete alikuwa na taarifa chafu ambayo Mkapa aliamua "kuipuuza", lakini kuipuuza huku kulikuwa na walakini.