Dr Omar Ali Juma alifariki akiwa amelala nyumbani kwake familia yake (Mkewe na Mwanae) ndio walimpigia daktari wake aje kumpimaKifo cha Marehem Dr Omar Ali Juma kilitatatiza sana nacho si familia wala yoyote alieweza kuuona mwili wa marehem Dr Omar Ali Juma. Alifariki baada ya mauaji ya Pemba kutokea.
Cheni ya kilo Tano alikuwa anaovaa Shingoni? Au Mimi sijaelewa Mkuu
Alifanyiwa post-moterm examination na majibu yalikuaje? Alizikwa pemba fasta na familia hawakuruhusiwa kumuona.Dr Omar Ali Juma alifariki akiwa amelala nyumbani kwake familia yake (Mkewe na Mwanae) ndio walimpigia daktari wake aje kumpima
inaonekana ulikuwepo kwenye ha yo makubaliano ya Mkapa na Kikwete. Anyway tunaojua kutazama nyuma ya Pazia tumeshakusoma kuwa hayo ni mambo yako ya kutunga tu na ukachanganya na story za kijiweni. LENGO LAKO LIKIWA NI UZANDIKI. Tatizo umesahau kuwa Humu ndani wengi ni GREAT THINKERS.JWTZ hawakuwa na tatizo na Salim. Salim alikataliwa na Zanzibar, ambao siku zote walimwona yuko upande wa Waarabu waliopinduliwa mwaka 1964 kwenye Mapinduzi ya Zanzibar. Tatizo ni pale ambapo Kikwete alitoa shinikizo kwamba asipopitishwa na CCM ataenda Chadema na akamwambia Mkapa nikienda Chadema nitashinda na historia itaandikwa CCM ilifia mikononi mwa Mkapa. Nasikia Mkapa akakubali, lakini kwa kuwa hakumwamini Prof. Mwandosya kuwa asingechukua hatua dhidi ya mambo ya "kifisadi" aliyofanya akiwa Raisi, wakakubaliana na Kikwete kwamba atashinikiza jina lake lipitishwe kwa masharti kwamba akistaafu mambo yake aliyofanya akiwa raisi yasiguswe, kutia ndani Kiwira, nyumba za serikali nk. Wakati huo Mkapa alikuwa na tuhuma nyingi sana za ufisadi, kutia ndani tetesi kwamba ABSA walimpa hoteli huko Afrika Kusini kama zawadi ya ubinafsishaji wa NBC. Na Mkapa zawadi kutoka makampuni binafsi alikuwa hazionei aibu kuzipokea!
Bado mzee tunakingoja soon wahuni watakipandishaVipi Kishafika pdfdrive.net
Mbona Lowassa alichukua same move iliyomfanya akatulia puaSikiliza, Mkapa alifanya kila awezalo kumzuia JK 2005 lakini nguvu ya wanamtandao ilimfanya asalimu amri mbele yao dakika ya mwisho.
Mambo muhimu unayapima kwa mzani upi? Muhimu kwako ? Kwake? Ama kwa taifa? Ulitaka hadi aandike alivokua anatumwa nyanya sokoni? Demu wake wa kwanza and so forth!????? Ninini wewe unatakaNimekuelewa sana nahodha, bado inabaki ni utashi wake kwa kuzingatia dhumuni la kitabu chake.
Na mie bado naungana nawewe kwenye kilio cha hii tabia ya kusema unaandika maisha yako huku ukiacha mambo muhimu.
Iringa Native,
Swali la Msingi1: Unafikiri kwanini EL alimuunga mkono JK, kwani yeye alikuwa hautaki Urais?
Swali la Msingi2: Unafikiri kwanini wanamtandao walimsimamisha JK na sio EL mwenye nguvu?
Swali la Msingi3: Unajua muasisi wa kundi la Wanamtandao?
Swali la Msingi4: Unajua nafasi ya JK kwenye kundi la wanamtandao ilikuwa nini?
Swali la Msingi5: Unajua kwanini Kundi la wanamtandao limekufa?
Swali la Msingi6: Unafahamu JK aligombea Urais 1995 na ukawepo mchuano na BWM (Chaguo la JKN).
Swali la Msingi7: Unafahamu sintofahamu iliyotokea chimwaga mbele ya JKN 1995 na BWM akawa mgombea wa CCM.
Mambo muhimu unayapima kwa mzani upi? Muhimu kwako ? Kwake? Ama kwa taifa? Ulitaka hadi aandike alivokua anatumwa nyanya sokoni? Demu wake wa kwanza and so forth!????? Ninini wewe unataka
As i told you Dr Omary alifia nyumbani kwake akiwa amelala,mtu wa kwanza kumuona anakata roho alikuwa mkewe waliokuwa wamelala nae then alimuita mwanae wa pili ndio wakampigia mlinzi wake akamuita daktari wake ndio aka-comfirm kuwa amefariki.Dr Omar kwao ni Pemba ulitaka azikwe Kinondoni ?Alifanyiwa post-moterm examination na majibu yalikuaje? Alizikwa pemba fasta na familia hawakuruhusiwa kumuona.
Ndio ni lazima si kaamua kutubu kiaina aseme yote na ile hotel south aiwekeNdio ninataka niijue,
Mkuu,kwani ni lazima niyajue yote
wewe unalijua vizuri hili swala. Nakumbuka Jwtz walimchukulia kikwete kama mtu wao ndio maana hata kipind cha kikwete kijana nyota mbili alikuwa na Prado na mjengo mbweni wakati wengine mbweni kipind cha kikwete ilikuwa haikamatikiMkapa Ndiye aliyesababisba ushenzi wote unaoendelea mpaka leo!
Ilo la idala ya usalama wa taifa kukataa ni kweli ila kikwete alikuwa akiungwa mkono na JWTZ na Salim alikataliwa na jeshi na ndiye alikuwa apewe nchi so ndio ugumu ulipoanzia apo kwa Mkapa.
huyo nae kakosea yote alioandikaCheni ya kilo Tano alikuwa anaovaa Shingoni? Au Mimi sijaelewa Mkuu
Kwa chai hujambo kijana wanguyes ilikuwa kubwa sana kiongozi, Mzee alikuwa anaivaa kama kikoi yaani inapita shingoni begani hadi kifuani chini ya mkono.... kuna kuda akiwa na press ilikuwa inaonekana kwa nadra nadra ....pembeni pembeni kwa suti.
Mkuu tumekukosea nini?yes ilikuwa kubwa sana kiongozi, Mzee alikuwa anaivaa kama kikoi yaani inapita shingoni begani hadi kifuani chini ya mkono.... kuna kuda akiwa na press ilikuwa inaonekana kwa nadra nadra ....pembeni pembeni kwa suti.
yes ilikuwa kubwa sana kiongozi, Mzee alikuwa anaivaa kama kikoi yaani inapita shingoni begani hadi kifuani chini ya mkono.... kuna kuda akiwa na press ilikuwa inaonekana kwa nadra nadra ....pembeni pembeni kwa suti.
Lazima akili zitukae sawa tu sio kwa chai hii [emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu tumekukosea nini?