Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuhusu uchaguzi wa 2005 mnaweza kupata dondoo katika Kitabu cha Makwaia wa Kuhenga cha mwaka 2007. Kina ukarasa wenye mambo mengi kuhusu uchaguzi huoHawezi kuandika kila kitu Mkuu - ndio maana nikasema mambo muhimu!
NE OKITOKEA 2020 KWA JIWE? ikawa kinyume ,KITENGO kikamkubali na Mabakamabaka wakamkataa??😁😁😂😂Mkapa Ndiye aliyesababisba ushenzi wote unaoendelea mpaka leo!
Ilo la idala ya usalama wa taifa kukataa ni kweli ila kikwete alikuwa akiungwa mkono na JWTZ na Salim alikataliwa na jeshi na ndiye alikuwa apewe nchi so ndio ugumu ulipoanzia apo kwa Mkapa.
Nitajalibu kujibu maswali yako yote ingawa kwa awamu
swali la pili:::kipindi cha 2005 Kund la EL na JK Rostam kinara alikuwa ni edo,hapa nadhanj ndio maana umeuliza kwann mkwere not edo..Sababu kwann sio El 2005 na n jk ilikuwa ni la kidin au mgombea atoke zenji...kwa kigezo hiki ndipo wana wanamtandao wakapiga kampen atoke uku lakin muislam ndipo jk akapenya na walijua itakuwa rahisi kumdhibiti ila kama angepita masai pangekuwa na hekaheka sana...
utembee na kilo 5 shingoni hahahahha hii porojo ya moto sana imenishinda kumeza.yes ilikuwa kubwa sana kiongozi, Mzee alikuwa anaivaa kama kikoi yaani inapita shingoni begani hadi kifuani chini ya mkono.... kuna kuda akiwa na press ilikuwa inaonekana kwa nadra nadra ....pembeni pembeni kwa suti.
Ongeza na zakwako mkuu. Kila kitu utafuniweCheni ya kilo Tano alikuwa anaovaa Shingoni? Au Mimi sijaelewa Mkuu
hakuna kitabu kitaandikwa... kumbuka hata hichi unachokiona kimepitiwa sana ndipo kibali cha kuwa published kikatoka, mambo hayapo kilahisi hivyo so hata kama Nkapa angetaka kuweka wazi mambo yote system isingeruhusu kwa usalama wa nchi!,Benjamin Mkapa amejichokoza kwa kuandika kitabu. Ipo siku wanaomfahamu watamchokoza kwa kuandika kitabu chake akiwa hai. Hapo ndipo tutakapoona Serikali ikipiga marufuku maandishi na kufanya usomaji wa maandishi kuwa jinai.
why kikwete!!!Fuatilia uteuzi wa Kikwete ulivyokuwa utapata habari kamili, wakati ambapo majina ya mwisho yalikuwa Kikwete, Salim Ahmed Salim na Prof. Mwandosya. Kikwete alikuwa na taarifa chafu ambayo Mkapa aliamua "kuipuuza", lakini kuipuuza huku kulikuwa na walakini.
Cheni ya kilo Tano alikuwa anaovaa Shingoni? Au Mimi sijaelewa Mkuu
Kwa ulinzi wote huo wa rais, hiyo fursa ya kumkata mitama aliipata wapi? unaweza kujikuta ahera ndani ya sekunde..Kwa wale waliokisoma hicho kitabu, ile hadithi ya kukatwa mitama ya hatari na mtoto wa kufikia mpaka center bolt ikapinda, IMO au imesshaulika kwa makusudi?