Mambo muhimu ambayo Mzee Mkapa hajaweka wazi katika kitabu chake ''My Life, My Purpose''

Mambo muhimu ambayo Mzee Mkapa hajaweka wazi katika kitabu chake ''My Life, My Purpose''

Fuatilia uteuzi wa Kikwete ulivyokuwa utapata habari kamili, wakati ambapo majina ya mwisho yalikuwa Kikwete, Salim Ahmed Salim na Prof. Mwandosya. Kikwete alikuwa na taarifa chafu ambayo Mkapa aliamua "kuipuuza", lakini kuipuuza huku kulikuwa na walakini.
Report ilipelekwa na Daudi Mwakawago kuhusu uchafu wake woteeee
 
Karibu yote amegusa, yale ya ukweli. Tetesi na yasiyomuhusu hakuyaongelea kwani hayajui. Uliyoyataja sehemu ya kwanza yote kayaongelea. Uliyotaja sehemu ya pili hajayaongelea hayajui
 
Mkapa baada ya NCCR Mageuzi kumweka Mgombea dhaifu aliweza kushinda kwa kishindo, makeke yake yaliisha na Mke wake baada ya kifo cha nyerere, akaanzisha hizi NGO za kipigaji, alivyozijua fedha mchaga yule akafumba macho akaanza kuchapa pesa kwa kwenda mbele. udhaifu huu uliendelea mpaka akaanza kujimilikisha vituvya taifa bila aibu.
 
___________________________________________


"Ukitaka Kumficha Mwafrica Weka Ujumbe Kwenye Kitabu"


RIP______ Langa Kileo______ "Langa"


___________________________________________
 
Vitabu vya kuandikwa na mtu mwenyewe vingi vinaficha mambo.

Ndiyo maana wengine wanatakiwa kuandika vitabu vya maisha ya Mkapa.

Kuna biography na hagiography.
 
Ni taarifa gani hiyo ya kikwete ambayo mkapa alipewa na TISS. ?
Ni vizuri mleta mada ukiisema
taarifa za tiss, sawia na mashirika mengine ya ujasusi huwa ni siri, mpaka upite muda ikaonekana haitaleta madhara. Sidhani muda huo umefika. Na hata kama zlivuja, akiandika watazikanusha.
 
Nadhani pia ataongelea kuhusu heshima kubwa aliyopewa na marehemu mzee jayantlal (Sir Andy chande) ya kuwa msaidizi wake kama kiongozi wa juu wa taasisi ya Freemason africa akisaidiana na waziri kiongozi wa kenya wa wakati huo moodi awori! Maana sir chande mwenyewe amewahi kuyazungumzia hayo.
 
Mambo ya kuwa na mke au watoto sio wake yana faida gani tukijadili sasa hivi?
 
Afu kuna tuhuma kwamba alipewa cheni ya dhahabu ya kilo 5 huko buli sasa badala ya kuikabidhi IKULU yeye akawa anaivaa shindoni akaifanya yake kumbe ni ya Taifa.
Hii nimecheka sana yaani huyu baba atakuwa hajipendi kuvaa hii kitu. Tenganisha kati ya cheni aliyokuwa anavaa na kupewa kitofali cha dhahabu.
 
Afu kuna tuhuma kwamba alipewa cheni ya dhahabu ya kilo 5 huko buli sasa badala ya kuikabidhi IKULU yeye akawa anaivaa shindoni akaifanya yake kumbe ni ya Taifa.
HeeeHee, mbona sipati hii picha ya "cheni lenye kilo tano"..., zigo lote hilo shingoni!
Huenda ndilo lililomsababishia ubovu wa miguu? HeeeHeee!
 
Watu wamekazana kuhoji kilo tano za cheni ya dhahabu wameacha masuala ya msingi.
 
Wakuu nimejaribu kupitia simulizi za kitabu cha Rais wetu mpendwa Mstaafu Mh. Benjamini W. Mkapa sijapata mtu aliyesimulia kuhusu maisha yake ya ndoa.

Kwa wale mliobahatika kukisoma kitabu chote, vipi kuna mahala amegusia mahusiano yake hasa ya ndoa?

Wengine hatuna uwezo wa kununua hicho kitabu tushee umasikini kwa kupeana story vipande vipande.
 
Amesimulia ametaja mke wake Anna Mkapa na watoto wake wawili
 
Hawezi kuandika kila kitu Mkuu - ndio maana nikasema mambo muhimu!
Tatizo linaanzia hapo..."mambo mhimu".

Mambo mhimu kwake ni hayo aliyoyaweka kwenye kitabu; kwako na wengine, "mambo mhimu" ni yale aliyoyaacha, kama hayo uliyoyataja kwenye mada.
 
Hivi hakutaja pale alipompiga mtama mpaka akawa anatembelea magongo?
 
Hicho kipengele hakipo... Tuwe na subra kuna watakaokuja kuandika lakini sio sasa
Wakuu nimejaribu kupitia simulizi za kitabu cha Rais wetu mpendwa Mstaafu Mh. Benjamini W. Mkapa sijapata mtu aliyesimulia kuhusu maisha yake ya ndoa.

Kwa wale mliobahatika kukisoma kitabu chote, vipi kuna mahala amegusia mahusiano yake hasa ya ndoa?

Wengine hatuna uwezo wa kununua hicho kitabu tushee umasikini kwa kupeana story vipande vipande.
 
Mkapa kaficha mambo yake , mama anaa na Pesambili, okay kitabu kingekuwa kikubwa sana
 
Back
Top Bottom