Mambo muhimu niliyojifunza katika maisha yangu ya kuajiriwa

Pamoja mkuu. Peace be upon you too
 
Mbona kama imekua fupi sana... Anyway Asante sana mkuu kwa kutenga muda wako na kushare na sisi madini haya. Wish you all the best on your endeavors.
Hhaa hahaa ndio imeshia hapo, ofcourse kunamengi ningeweza kushea lakini mostly ingekuwa ni kama marudio.
 
Kama kuna mtu ana nafasi amor huyu jamaa.....
Ni mtu smart sana ukweli ni kuwa jamaa anaomba kazi ,lakin anatumia mbinu za cuba, ilà atakaye mpa hatojuta
Umepigilia msumari mle mle mkuu.
 
Refarii kwenye CV weka majina matatu ya Uongo na Email tengeneza tu zako,Mfano Mbuzi Mawe ndio mmoja wa refarii wako,hivyo kwenye email tengeneza mbuzimawe@yahoo.com,wanaotaka kukuajiri wakituma Reference kwenye Email kuuliza taarifa zako unazipokea wewe mwenyewe na kuzijaza kisha unawarudishia simple tu,maana unaweza ukaweka Boss wako wa zamani kisha akakusagia kunguni badala ya kukusaidia
 
Imefika sehemu ya ngapi vile? Mm ndio naanza leo
 
Du! Huku ndio kunaitwa kupata job kimasikhara!
 
Halafu kuna watoto wa Jezebel wakishatoboa wanawasahau wazazi..
 
Uzi mzuri sana nijifunza mengi. Cha ziada tu mwandishi kingereza chake kirefu na rasmi sana kama lugha ya wanasheria. Anahitaji kutumia kingereza cha kawaida kama kilivyo kiswahili chake
 
Siku mkijua tunasoma wengi alafu mnaleta lugha za malkia acheni zarau
 
N
Nail on the coffin.
 
Dah kaka...ubarikiwe tu kwakweli umenitia moyo sana sana.
 
Napenda kutoa shukrani zangu za shati kwako kaka yangu. Binafsi nimefarijika na nimejifunza mengi kutoka kwako katika yote uliyoeleza tangu mwanzo katika Uzi huu. I am glad I could definitely resonate with some of your past experiences during your early years of work.

Ningekuwa mtu mzito mwenye hela zake, ningekuajiri uwe hata personal advisor wangu katika miradi yangu. Ila kwa kweli ningependa kufanya kazi na mtu kama wewe.

Godspeed in your job search, career growth and personal development!

.........................................................................................
NB: Kwa nia nzuri na mimi naomba niwashirikishe kidogo wadau wenzangu wa JF kuhusu uhitaji wangu wa ajira. Thank you in advance.

Wasifu: Mimi ni kijana mkarimu na mchapakazi, mwenye umri wa miaka 27 ninayepatikana Ukonga Mombasa (karibu na Gongo la Mboto).

Elimu: Nina shahada ya Menejimenti ya Uhandisi wa Viwanda kutoka Chuo Kikuu Mzumbe; nime'base zaidi katika masuala ya utafiti, miradi, uvumbuzi na teknolojia, pamoja na menejimenti.

Uzoefu: Nina uzoefu wa miaka 3 katika kazi za mtandaoni, utafiti, usimamizi miradi na operesheni. Nimefanya kazi mtandaoni kama Data Entry and Research Volunteer katika kampuni mbili za kiteknolojia za Ulaya (Compaira, Deal Lite); Personal and Delivery Assistant wa CEO katika Hamashiach Bookshop; Organizing Team Leader wa Employability Africa program kutoka SC Konsult; Operations and Digital Platforms Manager katika kampuni ya usafirishaji (Afritrust Holdings Limited). Pia, nimefanya kazi kama Field Officer na Enumerator katika Ofisi ya Taifa ya Takwimu. Nje na kazi, mimi ni mjasiriamali niliyepata mafunzo kutoka UDIEC GEP 2021 na Digify Tech 2021; Mwanaharakati wa masuala ya vijana niliyepata mafunzo maalum kuhusu elimu, kazi na afya ya akili kutoka katika mkutano wa kimataifa wa YOUNGA 2022; Msaidizi wa mtandaoni (Virtual Assistant) niliyeidhinishwa na ALX Africa baada ya kuhitimu vizuri mafunzo 2022.

Mapendeleo: Napendelea kufanya kazi kama Research Assistant, Project Assistant, Personal or Executive Assistant (wa mtu binafsi, shirika au kampuni), Tutorial Assistant, Training Assistant, Customer Service Officer, Digital Platforms Manager, Data Entry Specialist au Data Manager, katika maeneo yoyote (ikiwemo Posta, Mnazi mmoja, Makumbusho, Masaki, Tegeta, Bunju, Mbagala) ndani ya mkoa wa Dar es Salaam. Mimi ni mtu niliye'flexible hivyo naweza kufanya kazi katika mazingira ya aina yoyote (office, hybrid, work-from-home, fast-paced, collaborative, travel). Napendelea kufanya kazi ya part-time au kwa mkataba (lakini ikibidi, nipo tayari kufanya kazi full-time au hata kwa kujitolea).

NB: Kwa kuwa pia mimi ni Msaidizi wa Mtandaoni, naweza kufanya mbalimbali za uandishi (content writing, proofreading/grammar checking, English-Swahili translation) na za mtandaoni (account management, email management, documentation, online navigation, phone/computer backup, digital skills training, Windows and Office local activation). Huwa nafanya kazi kwa umakini, usiri na ubora.

Mawasiliano:
Simu - 0743744471
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…