Mambo muhimu niliyojifunza katika maisha yangu ya kuajiriwa

Mambo muhimu niliyojifunza katika maisha yangu ya kuajiriwa

Uko sawa kabisa .

Kuna dogo alifanya kazi taasisi moja private miaka 3 boss anawaghost kila siku tu na story za hapa na pale kila akidai nyongeza ya mshahara kwenye kuhuisha mkataba.

Boss visingizio , ilhali dogo alikuwa anapiga kazi sana saa 11 alfajiri yupo job hata gari ya ofisi muda mwingine hapandi aliibeba ile taasisi kama ya kwake licha ya kuwa yule boss alijaza ndugu kibao waliokuwa incompetent na wavivu walichokuwa wanaweza ni kupeleka umbea na majungu.

Miezi michache iliyopita dogo aliamua kuacha pale kazi, akapata sehemu nyingie kama part time akiwa kapewa ahadi ya kupewa full time maana taasisi mpya inaajiri kwa awamu kila November basi wale wa zamani kujua alipo na msaidizi wa kule awali wakapika maneno kwamba kule aliharibu na uongo mwingine kibao basi huku boss mpya akadraft tangazo kama kawaida la maombi ya kazi mwezi November dogo akapigiwa kuwa afanye application akaapply vizuri hawakumshortlist ndio kuchunguza sana akajua kilichokuwa nyuma ya pazia.

Mind you kule walipotoka ilikuwa wanapitisha miezi saa nyingine 2 bila mshahara wala posho , ameondoka anawadai madeni kule almost 3 M bado akichunguza katika account yake NSSF michango imeinginzwa ya mwaka 1 na nusu tu ilhali alikuwa akikatwa mshahara wake kwa mujibu wa sheria kila jitihada alizokuwa akifanya kama kutuma email au kumpigia boss hakuwa anarespond siku kanipa story yake na kumuuliza huyo boss anaitwa nani nilishangaa sana yule mzee kwanza Professor maarufu tu kwenye taasisi moja , pia dhifa kubwa za kitaifa kwenye kada yao huwa yumo sura yake, kuongea na nilichoambiwa nilibaki ninashangaa maana nimekutana nae kwenye mikutano mingi tu yeye akiwa kiongozi wa mikutano hiyo mingine akiwa chief speaker.

Kama ambavyo Mungu habagui dogo alijikuta amepata kazi almost 3 baada ya kutoka pale na zenye pesa nzuri nyingine ikiwa ni nje ya nchi kabisa kwahiyo kazini kuna mengi sana.
Hawa watu maarufu na matajiri ndio mabingwa wa kulipa watu vibaya,,anakuona kama huna option hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
EPISODE 16: Mthamini sana mtu anayeona una kitu ambacho wewe mwenyewe hukioni

Katika maisha yetu ya kawaida iwe kwenye ajira, mtaani au shuleni kuna wale watu ambao wanaweza wakakushauri au kukulazimisha ufanye mambo ambayo wewe jukuwa na wazo nalo au hukujua kama unauwezo wa kulifanya jambo husika. I want to talk about the importance of appreciating and valuing individuals who recognize qualities, potential, or aspects of yourself that you might be unaware of or underestimate, in supporting one's life.

Baada ya kumaliza kile kikao Dodoma tulirudi ofisini kuendelea na majukumu kama kama kawaida. Namshukuru Mungu nilimaliza probation period salama na officially nikawa full employed pale. Kwa ambao mnategemewa kuwa waajiriwa wapya msishangae nakazia kazia sana swala la kumaliza probation period salama, labda niwaambie tuu hiki ni kipindi muhimu sana kwa mfanyakazi mpya kwenye kazi yako au ajira yako mpya. Ni kipindi ambacho mwajiri wako anakupima kama kweli unaweza kuleta tija kwenye kampuni au ni mzigo. Hii inaenda sambamba na kukupima kwenye uwezo wa kutekeleza majukumu yako, uwezo wa kujifunza au kumasta mazingira ya kazi kwa haraka, namna unavyoshirikiana na wenzako pale kazini, maadili ya kazi na swala la nidhamu kwa ujumla, just to mention the few. Makampuni au mashirika mengi mara ntyngi wanatoa kati ya miezi mitatu mpaka sita kulingana na utaratibu wa ofisi husika. Na katika kipindi hiki mara nyingi unakuwa hupewi kwanza stahiki zako zote muhimu mfano bonus kazini na wengine wanakupa kwanza nusu mshahara. Ukifanikiwa kumshawishi mwajiri basi unakuwa unapewa barua yako kwamba you have been successfully completed your probation period and you are endorsed as full employee. So kwa mfanyakazi mpya hicho ni kipindi cha kuwa makini sana ili usiwape sababu ya kukupiga chini au kukuongezea muda wa probation (Probation extension period).

Basi bhana nikawa napiga mzigo pale kutekeleza majukumu yangu kama kawaida. Sasa kwenye ile program mimi nilikuwa na-lead social deparment. Lakini kulikuwa na department nyingine kama medical na M&E. Sasa kwenye kufanya fanya kazi pale karibia tunamaliza mwaka mmoja tangu ile program ianze, ikatokea msala wa mambo ya safeguarding issues pale ofisini. Kwa wasiofahamu, safeguarding issues are the actions or behaviors by employees that may harm or compromise the well-being, safety, dignity, or rights of the individuals the project aims to assist. Inaweza kuwa maswala ya upendeleao, kuomba ngono kwa wanufaika wa progamu, any form of harassment, fraud nk. Ili kupambana na maswala ya safeguarding issues mara nyingi mashirika au makampuni yanakuwa na sera au miongozo ya kuwalinda wafanyakazi na wanufaika wa miradi by providing regular training to employees, establish reporting mechanisms, and conduct thorough investigations when concerns are raised.

Baada ya investigation ule msala uliondoka na watu wengi tu pale ofisini akiwemo jamaa aliyekuwa ana-lead department ya medical. Ile ishu ilichafua hali ya hew asana pale ofsini na kulitokea kuwa na magepu mengi ya kazi. Wazungu wapo seriazi sana na mswala ya safeguarding yaani wanayachukulia kwa uzito mno. Sikuwahi kuexperience hasira za wazungu kwenye kazi lakini kwenye ile ishu walikasirika mno, ilitumwa timu ya investigators kutoka makao makuu Europe pamoja na Nairobi kuja kufanya uchunguzi pale. Nakumbuka shughuli za ofisi zilisimama kama mwezi kupisha uchunguzi na kila mmoja aliwekwa kitimoto hadi CD mwenyewe.

Watu matumbo yaliwaka moto, yaani moja haikai mbili haisimami. Unajua kwenye haya mambo yanayohusisha uchunguzi usiwe unajiamini moja kwa moja hata kama hujafanya maana anaweza akaibuka mtu mwenye visa na wewe akakupigilia kitu kizito ukajikuta na wewe upo kwenye victims. To survive in such issues ni Mungu aingilie kati. Hata baadhi ya watu waliopigwa benchi akiwemo yule leaders wa medical department binafsi ilinguwa ngumu sana kuamini ila ndio hivyo majibu ya uchunguzi yaliomdaka na yeye. Wakati wote wa uchunguzi watu tulikuwa tunaogopana kama ukoma pale ofsini kifupi ilikuwa uwe umehusika au hujahusika kujiamini kulipungua kama sio kutoweka kabisa. Ni kama unapokuwa unasubiria majibu ya ukimwi hata kama ni bikra wa kiume au kike kale kamoment ka kusubiria kanakuletea kahofu flani ka kutokujiamini amini hahaaa.

Basi siku ya siku majibu yakakamilika, kikaitishwa kikao cha staff wote pale ofsini, tukaunganishwa na management ya Nairobi na makuu then report ikasomwa. Kisha maamuzi yakatolewa kwa waliokutwa na ule msala wanaachishwa kazi mara moja kwa mujibu wa sera ya safeguarding. Victims wakaaambiwa kama hawajaridhika na maamuzi wanaweza kwenda kwenye vyombo vya sheria ndani ya mwezi mmoja na kwa muda huo walitakiwa wakabidhi kila kitu cha ofisi. Kwa sisi survivors tulipigwa mkwara mzito kwamba ofisi haitakuwa na mswalie mtume kwa yoyote itakapothibitika kwamba mfanyakazi amejihusisha na violation of safeguarding policy.

Kwa kuwa maamuzi yalikuwa yameshatolewa mara paap wakaingia polisi pale, nafikiri waliandaliwa mapema ili kusimamia zoezi la kukabidhiana ofisi. Nadhani walijihami maana huwezi jua mtu atalipokeaje swala la kufukuzwa kazi tena gafla unaweza ukadundwa au kuuliwa hivi hivi. Basi zoezi la kukabidhi ofisi lilifanikiwa na kwa wale waliokuwa na madeni wanaodaiwa na ofisi wazungu waliamua kuwasemehe, yaani kama walikuwa wanaona kero hata kuendelea kuwadai. Nakumbuka kuna mshikaji mmoja ndio alikuwa ametoka kuchukua advance salalry ya miezi minne na alikuwa hajaanza hata kulipa/kukatwa akawa ametimuliwa na ofisi haikujali.

Nakumbuka baada ya wenzetu kuondoka na wale investigators kurudi kwao maisha yalikuwa magumu sana pale ofisi watu ni kama morale ilishuka sana. Hata shughuli nying zilikuwa haziendi kwa sababu nafasi nyingi zilikuwa wazi. Ikabidi makao makuu wafikiria kurestructure ofisi ya Tanzania ili kuangalia ni namna gani ya kurudisha ufanisi wa ofisi na kujaribu kudhibiti swala kama lile lisijirudie tena. Ikabidi CD na Head of Programs wasafiri kwenda makao makuu kwa ajili ya kulishughulikia hilo. Maana hao ndio walikuwa ndio mabosi wenyewe wa pale ofsini. Iko hivi pale ofisini kulikuwa na nanagement team na baadhi ya wafanyakazi tunaweza kusema ni kudumu kwamaana ya kwamba hawakuwa wanaajiriwa na miradi. Yaani ni hivi hapa tuwekane sawa kidogo, mfano mimi na wenzangu wengine tuliajiriwa na mradi ambao tulikuwa tunautekeleza kwa miaka minne. Kulikuwa pia na miradi mingine tofauti tofauti ambayo nayo pia ilikuwa inaajiri project team yake. Sasa project staff mnaajiriwa na mradi na mnaondoka mradi ukiisha, labda kama kuna mradi mwingine unaweza ukaomba endapo mradi wenu utakuwa umeisha. Lakini kulikuwa na wale ambao tunaweza sema ni wakudumu yaani wao wanaajiriwa pale bila kutegemea miradi ndio akiwemo huyo CD na huyo Head of Programs. Ndio ilivokuwa sijui kama nimeeleweka.

Kule ulaya kwenye kikao chao walikuja na strategies mbalimbali na mabadiliko kidogo ili kuendana na kasi ya utekelezaji wa mradi wetu. Baada ya two weeks walikuwa wamesharudi ofisini na wakaitisha kikao cha staff wote. One hour before the meeting CD akaniita niende ofsini kwake. Nilisthuka kidogo maana haikuwa kawaida CD kukuita ofsini. Mara nyingi kama kulikuwa na jambo anataka mjadiliane alikuwa anakuja mwenyewe kwenye ofisi yako. Ishu ya kuitwa ofsini wafanyakazi wa pale tuliichukulia kwa uzito kidogo. Kihoro kikanishika sana nikajisemea isije ikawa wale investigaors walilisahau jina langu na sasa ndio naenda kuhukumiwa. Usicheke ile situation ilikuwa ni ngumu mno kwa siku ile. Nikasema huyu labda anataka kuniandaa kisaikolojia ili kwenye kikao nikipigwa na kitu kizito isiwe cha kunishtukiza.

Basi nikaingia akanikaribisha pale na straight forward akanimbia “Taidume, the management has entrusted you with leading the medical department, and now you will serve as our medical-social coordinator”. Nikashtuka sana nikamtumbulia macho pale huku nikiwa nina maswali mengi sijui hata nianze kuuliza lipi lifate lipi. Maana nikawa nakiuliza mimi mtu wa massosholoji huko wapi na wapi leo kulead mambo ya madakatari? Alipoona nashangaa akagongomelea kwa kuniambia najua unashangaa hususani kwa kuwa wewe sio daktari na tunakutaka uchukue nafasi ya dakta ………… (akamtaja yule daktari aliyetimuliwa), lakini nikuhakikishie tuu sisi kama menejimenttumekujiridhisha kwamba utaweza.

Binafsi sikukubaliana naye kabisa nakumbuka kile kikao cha mimi na yeye kilichukua kama nusu saa nzima. Mimi nilikuwa nampa hoja zangu za kukataa ile nafasi lakini yeye anazipangua kwa kuniaminisha kwamba naiweza ile nafasi. Sasa, mimi sio kwamba nilikuwa tu siitaki ile nafasi lakini nilikuwa naona napwaya na italeta shida kwenye ufanisi wangu. Maana kwanza nilikuwa nawaza kwa harakaharaka pale namna yule dakatari alikuwa anafanya kazi zake. Yeye shughuli zake kubwa alikuwa anafanya na madakatari wenzake mikoani na wizarani, maswala ya kusimamia upimaji, utoaji dawa na ufuatiliajo wa maendeleo ya walengwa wetu. Kwanza nilikuwa namsikia tu hayo mabombastic ya kidaktari anaovoongea na madaktari wenzie basi mimi nikawa navurugwa tuu nikaona huyu CD vipi huyu naona ananitafutia tuu sababu ya kunitimua kazi maana performance ikiwa ndogo nayo ni ishu sana kufanya kazi na wazungu.

Nakumbuka tulivutana sana kwenye hilo. Mwisho wa siku CD akanipa job description ya ile position akasema tuzijadili moja moja. Yeye akawa anasoma kipengere kimoja kisha ananiuliza nimekiewlewaje? Nikawa naelezea kile kipengele nilivokielewa. Kwa ufuoi inaonekana aliridhika na jinsi nilivovielewa vile vipengere vya job description. Mwisho wa siku akaniuliza hapo sasa ni ni kigumu kwako? Kiukweli nilivyovipitia ile vipengere vya majukumu, asilimia zaidi ya 70 ilikuwa ni kuoragnize na kucoordinate the project implementation partners watekeleze majukumu yao within time and budget, baasi. Sikuhitajika kuwapima walengwa, wala kutoa dawa, wala kutoa ushauri wa kidaktari, hizi zote walikuwa wanatakiwa kufanya madakari wa mikoa husika huko tunakofanya kazi. Kwahiyo sikuhitajika kuvaa koti jeupe na Stethoscope kama madaktari wanavofanya. Yale mambombastic ya kidaktari zilikuwa ni mbwembwe za kututisha wengine hahaaa. Maana nakukumbuka kwenye zile reflection meetings au weekly feedback meeting na kupeana updates za mradi yule bwana daktari alikuwa anashusha vigongo sana mpaka wengine tukawa tunajisemea kumbe udaktari ni mgumu hivi na inaonekana wanaakili sana madaktari (jokes).

Basi nakumbuka CD akanikumbusha ile ishu niliyoorganize meeting na watu watu wa wizara ya afya wakati tunaenda kuutambulisha mradi, ile ambayo nilipata msala wa kusekwa sello. Akaniambia, that was an excellent entry point that the management team built trust in my coordination abilities. Nikajisemea laiti mngejua nililazwa selo sijui ingekuwaje hahaha. CD akaniambia “Taidume wewe una kitu kikubwa sana sema tuu hujijui. Naweza nikakuambia ilikuwa rahisi sana mimi kushawishi menejimenti kukubaliana tukuongezee hiyo idara kwa sababu naamini una skills na uwezo wa kudili na complex issues katika kudeliver project results”. Mimi nikamwambia kama vipi anipe muda nikafikirie, akanikatalia na kuniambia that was like an order to me and he is going to officially announce that to all staff in the meeting. Akaniambia tukimaliza mkutano atanipa my new contract.

Kwa upande mmoja nilikuwa na hofu lakini kwa upande mwingine nilikuwa nilikuwa na furaha. Hofu ilikuwa vipi je nitaweza kuhandle yale majukumu maana ilikuwa ni kama nafasi mbili kwa moja. Lakini pia niliassess the situation nikasema hapa lazima vijimaneno vitazuka maana wakati wa investigation kama ilivokawaida kunakuchomana sana, sasa nikawa nahofu kwamba lazima kuna watakaofikiria kwamba niliwachoma watu na asante yake ndio hiyo nafasi. Maswala ya uchawa hayo. Kwaupande mwingine nilifurahi kwa sababu hakuna kitu kizuri kama kuaminiwa tena wakati wewe mwenyewe ukiwa haujui kama una huo uwezo. Inakupa faraja sana, nilishawahi kuaminiwa katika maswala mbali mbali lakini haikuwa kwenye levp ya surprise kama ile. Nikajisemea mwenyewe let me take it, mambo mengine yatajiset juu kwa juu.

Basi tulikubalina hivyo. Muda wa kikao ulipofika staff wote tulikuwepo. Basi CD pamoja na mabo mengine akatoa mrejesho wa safari yao ya makao makuu. Akatoa feedback ya mikakati mbali mbali waliyokubalina na management team namna bora ya kuendesha ofisi ili swala lile lisijirudie tena. Watu wakauliza maswali na yakajibiwa na kusisitizana kuhusu hiyo mikakati mipya, mwisho wa siku CD akatangizia kwamba kuna baadhi ya nafasi zitatafutiwa watu wengine lakini kawaambia kuhusu ishu ya mimi kuwa appointed to lead also the medical unit of our project. Watu wengi hawakutegemea na walipigwa na mshangao, lakini ilibidi wakubaliane na ukweli huo maana ilikuwa tayari imeshaamuliwa na management tena kwa kupewa Baraka zote kutoka makao makuu. Basi walinipongeza pongeza pale na ndio ikawa stori kubwa ya siku.

Tulipomaliza mkutano, nikaenda ofisini kwa CD nikamkuta wakiwa na HR. basi nikakabidhiwa contarct yangu nikatakiwa niisaini by kesho yake maana ile position ilitakiwa ianze immediately. Nikaingia ofsini kwangu nikawa naipitia mdogo mdogo. Najua wengi mtataka kujua kama kulikuwa na nyongeza ya mshahara. Ofcourse kambuzi kaliongezeka kidogo japo kalikuwa bado hakajanona kiviile. Mimi nikausaini hapo hapo na kurudisha nakala moja kwa HR, officially nikaanza majukumu mapya. CD aliandika barua kuwasiliana na partners wetu hususani wale wapya kwangu (madaktari) kuhusiana na mabadiliko ya ile nafasi, huku akiwaomba ushirikiano.

Nikapanga mkakati wa kwenda kutembelea maeneo yote ya mradi ili kufahamiana na partners ili kwa pamoja tuweze kuweka mikakati mipya. Kwakweli nashukuru walinipa ushirikiano wa kutosha sana na tulifanya kazi kwa ushirikiano mkubwa sana. Changamoto ndogondogo ni kitu cha kawaida na tulifanikiwa kuzimaliza na kusonga mbele.
Kiufupi na kwa ile ofisi ya wazungu nilifanikiwa kujiimarisha au kuongeza ujuzi katika maeneo yafuatayo​
  • Experience in designing and implementing projects.​
  • Skills in project planning, budgeting, and resource management.​
  • Understanding of project lifecycle from inception to evaluation.​
  • Knowledge of fundraising strategies and techniques.​
  • Leadership skills in supervising personnel and resources.​
  • Ability to coordinate with implementing partners including government officials​
  • Skills in monitoring program effectiveness and impact.​
  • Relationship-building with community leaders, government, and local organizations.​
  • Identifying and addressing training needs for staff, partners, volunteers, and local organizations.​
  • Presentation skills for sharing program reports and findings with management, donors, and stakeholders.​
Nilifanya ile kwa muda wa miaka minne na tukafanikiwa kuhitimisha na kuumaliza ule mradi salama salmini. Mradi uliisha tangu Disemba 2023 lakini mimi niliombwa kubakia pale ofsini kwa miezi mingine mitatu kusaidia kukamilisha baadhi ya mambo hususani mfadhili wa mradi alikuwa anayahitaji. So officialy nilirudi uraiani mwezi wa tatu na kuanza harakati mpya za kusaka ajira nyingine.

MWISHO:
Wadau wangu yapo mengi sana ambayo ningeweza kushea nanyi naomba mniwie radhi kama haya machache hayakuwatosha. However, as I reflect on the chapters of my professional journey, each episode has been a lesson with the vibrant sort of experience. Your time invested in reading my story is sincerely appreciated. In sharing these moments of growth, challenge, and achievement, my hope is that you have found inspiration and some thing to takehome as an assignment.

Nimesoma na nitaendelea kuzisoma koments zenu kwa umakini mkubwa na binafsi nimefarijika kwa maoni, maonyo, mafunzo na mijadala ambayo imekuwa ikiibuka katikati ya stori, hahaa hii ni kawaida. Kwa pale nilipoweza nilitoa na nitaendelea kutoa ufafanuzi na kwa wale wanaonifata PM for more detals, I respect and salute you guys.

Kwa kipindi hiki ambacho nahangaika huku na huko kusaka sehemu nyingine nafanya kazi za kujitolea kwenye maeneo mbalimbali hususani vile viNGO vidogo ambavyo ndio vinaanza. Pia kuna watu hata humu JF wapo tunasaidiana kudizaini concept notes na kuandika full project proposals. Huwa najitolea kwa wale ambao nimehakikisha hawana uwezo, maana hata mimi nikiangalia nilikopita pita mpaka hapa nilipo sijawahi kutoa hata sh10 ili kusaidiwa.

Nipo hapa pia kuendelea kutoa uzoefu wangu kwa yeyote ambaye anaona nitafaa kushea naye ninachokifahamu muda na wakati wowote. Na pia ninawaahidi kama nitafanikiwa kupata sehemu nyingine ya kupiga mzigo basi niatwashirikisha hapa hapa. Kwa sasa bado natafuta kazi.

Thank you guys niwatakie maandalizi mema ya sikuku za mwisho wa mwaka na heri sana ya mwaka mpya 2024 kwenu woote. Na kama kuna mtu kwa namna moja ama nyingine nimemkwaza naomba anisamehe, Mungu awabariki sana.

MIALIKO YA SIKUU INAKARIBISHWA PIA
TaiDume 0748 586 059
Hongera kwa stori nzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
EPISODE 16: Mthamini sana mtu anayeona una kitu ambacho wewe mwenyewe hukioni



Katika maisha yetu ya kawaida iwe kwenye ajira, mtaani au shuleni kuna wale watu ambao wanaweza wakakushauri au kukulazimisha ufanye mambo ambayo wewe jukuwa na wazo nalo au hukujua kama unauwezo wa kulifanya jambo husika. I want to talk about the importance of appreciating and valuing individuals who recognize qualities, potential, or aspects of yourself that you might be unaware of or underestimate, in supporting one's life.



Baada ya kumaliza kile kikao Dodoma tulirudi ofisini kuendelea na majukumu kama kama kawaida. Namshukuru Mungu nilimaliza probation period salama na officially nikawa full employed pale. Kwa ambao mnategemewa kuwa waajiriwa wapya msishangae nakazia kazia sana swala la kumaliza probation period salama, labda niwaambie tuu hiki ni kipindi muhimu sana kwa mfanyakazi mpya kwenye kazi yako au ajira yako mpya. Ni kipindi ambacho mwajiri wako anakupima kama kweli unaweza kuleta tija kwenye kampuni au ni mzigo. Hii inaenda sambamba na kukupima kwenye uwezo wa kutekeleza majukumu yako, uwezo wa kujifunza au kumasta mazingira ya kazi kwa haraka, namna unavyoshirikiana na wenzako pale kazini, maadili ya kazi na swala la nidhamu kwa ujumla, just to mention the few. Makampuni au mashirika mengi mara ntyngi wanatoa kati ya miezi mitatu mpaka sita kulingana na utaratibu wa ofisi husika. Na katika kipindi hiki mara nyingi unakuwa hupewi kwanza stahiki zako zote muhimu mfano bonus kazini na wengine wanakupa kwanza nusu mshahara. Ukifanikiwa kumshawishi mwajiri basi unakuwa unapewa barua yako kwamba you have been successfully completed your probation period and you are endorsed as full employee. So kwa mfanyakazi mpya hicho ni kipindi cha kuwa makini sana ili usiwape sababu ya kukupiga chini au kukuongezea muda wa probation (Probation extension period).



Basi bhana nikawa napiga mzigo pale kutekeleza majukumu yangu kama kawaida. Sasa kwenye ile program mimi nilikuwa na-lead social deparment. Lakini kulikuwa na department nyingine kama medical na M&E. Sasa kwenye kufanya fanya kazi pale karibia tunamaliza mwaka mmoja tangu ile program ianze, ikatokea msala wa mambo ya safeguarding issues pale ofisini. Kwa wasiofahamu, safeguarding issues are the actions or behaviors by employees that may harm or compromise the well-being, safety, dignity, or rights of the individuals the project aims to assist. Inaweza kuwa maswala ya upendeleao, kuomba ngono kwa wanufaika wa progamu, any form of harassment, fraud nk. Ili kupambana na maswala ya safeguarding issues mara nyingi mashirika au makampuni yanakuwa na sera au miongozo ya kuwalinda wafanyakazi na wanufaika wa miradi by providing regular training to employees, establish reporting mechanisms, and conduct thorough investigations when concerns are raised.



Baada ya investigation ule msala uliondoka na watu wengi tu pale ofisini akiwemo jamaa aliyekuwa ana-lead department ya medical. Ile ishu ilichafua hali ya hew asana pale ofsini na kulitokea kuwa na magepu mengi ya kazi. Wazungu wapo seriazi sana na mswala ya safeguarding yaani wanayachukulia kwa uzito mno. Sikuwahi kuexperience hasira za wazungu kwenye kazi lakini kwenye ile ishu walikasirika mno, ilitumwa timu ya investigators kutoka makao makuu Europe pamoja na Nairobi kuja kufanya uchunguzi pale. Nakumbuka shughuli za ofisi zilisimama kama mwezi kupisha uchunguzi na kila mmoja aliwekwa kitimoto hadi CD mwenyewe.



Watu matumbo yaliwaka moto, yaani moja haikai mbili haisimami. Unajua kwenye haya mambo yanayohusisha uchunguzi usiwe unajiamini moja kwa moja hata kama hujafanya maana anaweza akaibuka mtu mwenye visa na wewe akakupigilia kitu kizito ukajikuta na wewe upo kwenye victims. To survive in such issues ni Mungu aingilie kati. Hata baadhi ya watu waliopigwa benchi akiwemo yule leaders wa medical department binafsi ilinguwa ngumu sana kuamini ila ndio hivyo majibu ya uchunguzi yaliomdaka na yeye. Wakati wote wa uchunguzi watu tulikuwa tunaogopana kama ukoma pale ofsini kifupi ilikuwa uwe umehusika au hujahusika kujiamini kulipungua kama sio kutoweka kabisa. Ni kama unapokuwa unasubiria majibu ya ukimwi hata kama ni bikra wa kiume au kike kale kamoment ka kusubiria kanakuletea kahofu flani ka kutokujiamini amini hahaaa.



Basi siku ya siku majibu yakakamilika, kikaitishwa kikao cha staff wote pale ofsini, tukaunganishwa na management ya Nairobi na makuu then report ikasomwa. Kisha maamuzi yakatolewa kwa waliokutwa na ule msala wanaachishwa kazi mara moja kwa mujibu wa sera ya safeguarding. Victims wakaaambiwa kama hawajaridhika na maamuzi wanaweza kwenda kwenye vyombo vya sheria ndani ya mwezi mmoja na kwa muda huo walitakiwa wakabidhi kila kitu cha ofisi. Kwa sisi survivors tulipigwa mkwara mzito kwamba ofisi haitakuwa na mswalie mtume kwa yoyote itakapothibitika kwamba mfanyakazi amejihusisha na violation of safeguarding policy.



Kwa kuwa maamuzi yalikuwa yameshatolewa mara paap wakaingia polisi pale, nafikiri waliandaliwa mapema ili kusimamia zoezi la kukabidhiana ofisi. Nadhani walijihami maana huwezi jua mtu atalipokeaje swala la kufukuzwa kazi tena gafla unaweza ukadundwa au kuuliwa hivi hivi. Basi zoezi la kukabidhi ofisi lilifanikiwa na kwa wale waliokuwa na madeni wanaodaiwa na ofisi wazungu waliamua kuwasemehe, yaani kama walikuwa wanaona kero hata kuendelea kuwadai. Nakumbuka kuna mshikaji mmoja ndio alikuwa ametoka kuchukua advance salalry ya miezi minne na alikuwa hajaanza hata kulipa/kukatwa akawa ametimuliwa na ofisi haikujali.



Nakumbuka baada ya wenzetu kuondoka na wale investigators kurudi kwao maisha yalikuwa magumu sana pale ofisi watu ni kama morale ilishuka sana. Hata shughuli nying zilikuwa haziendi kwa sababu nafasi nyingi zilikuwa wazi. Ikabidi makao makuu wafikiria kurestructure ofisi ya Tanzania ili kuangalia ni namna gani ya kurudisha ufanisi wa ofisi na kujaribu kudhibiti swala kama lile lisijirudie tena. Ikabidi CD na Head of Programs wasafiri kwenda makao makuu kwa ajili ya kulishughulikia hilo. Maana hao ndio walikuwa ndio mabosi wenyewe wa pale ofsini. Iko hivi pale ofisini kulikuwa na nanagement team na baadhi ya wafanyakazi tunaweza kusema ni kudumu kwamaana ya kwamba hawakuwa wanaajiriwa na miradi. Yaani ni hivi hapa tuwekane sawa kidogo, mfano mimi na wenzangu wengine tuliajiriwa na mradi ambao tulikuwa tunautekeleza kwa miaka minne. Kulikuwa pia na miradi mingine tofauti tofauti ambayo nayo pia ilikuwa inaajiri project team yake. Sasa project staff mnaajiriwa na mradi na mnaondoka mradi ukiisha, labda kama kuna mradi mwingine unaweza ukaomba endapo mradi wenu utakuwa umeisha. Lakini kulikuwa na wale ambao tunaweza sema ni wakudumu yaani wao wanaajiriwa pale bila kutegemea miradi ndio akiwemo huyo CD na huyo Head of Programs. Ndio ilivokuwa sijui kama nimeeleweka.



Kule ulaya kwenye kikao chao walikuja na strategies mbalimbali na mabadiliko kidogo ili kuendana na kasi ya utekelezaji wa mradi wetu. Baada ya two weeks walikuwa wamesharudi ofisini na wakaitisha kikao cha staff wote. One hour before the meeting CD akaniita niende ofsini kwake. Nilisthuka kidogo maana haikuwa kawaida CD kukuita ofsini. Mara nyingi kama kulikuwa na jambo anataka mjadiliane alikuwa anakuja mwenyewe kwenye ofisi yako. Ishu ya kuitwa ofsini wafanyakazi wa pale tuliichukulia kwa uzito kidogo. Kihoro kikanishika sana nikajisemea isije ikawa wale investigaors walilisahau jina langu na sasa ndio naenda kuhukumiwa. Usicheke ile situation ilikuwa ni ngumu mno kwa siku ile. Nikasema huyu labda anataka kuniandaa kisaikolojia ili kwenye kikao nikipigwa na kitu kizito isiwe cha kunishtukiza.



Basi nikaingia akanikaribisha pale na straight forward akanimbia “Taidume, the management has entrusted you with leading the medical department, and now you will serve as our medical-social coordinator”. Nikashtuka sana nikamtumbulia macho pale huku nikiwa nina maswali mengi sijui hata nianze kuuliza lipi lifate lipi. Maana nikawa nakiuliza mimi mtu wa massosholoji huko wapi na wapi leo kulead mambo ya madakatari? Alipoona nashangaa akagongomelea kwa kuniambia najua unashangaa hususani kwa kuwa wewe sio daktari na tunakutaka uchukue nafasi ya dakta ………… (akamtaja yule daktari aliyetimuliwa), lakini nikuhakikishie tuu sisi kama menejimenttumekujiridhisha kwamba utaweza.



Binafsi sikukubaliana naye kabisa nakumbuka kile kikao cha mimi na yeye kilichukua kama nusu saa nzima. Mimi nilikuwa nampa hoja zangu za kukataa ile nafasi lakini yeye anazipangua kwa kuniaminisha kwamba naiweza ile nafasi. Sasa, mimi sio kwamba nilikuwa tu siitaki ile nafasi lakini nilikuwa naona napwaya na italeta shida kwenye ufanisi wangu. Maana kwanza nilikuwa nawaza kwa harakaharaka pale namna yule dakatari alikuwa anafanya kazi zake. Yeye shughuli zake kubwa alikuwa anafanya na madakatari wenzake mikoani na wizarani, maswala ya kusimamia upimaji, utoaji dawa na ufuatiliajo wa maendeleo ya walengwa wetu. Kwanza nilikuwa namsikia tu hayo mabombastic ya kidaktari anaovoongea na madaktari wenzie basi mimi nikawa navurugwa tuu nikaona huyu CD vipi huyu naona ananitafutia tuu sababu ya kunitimua kazi maana performance ikiwa ndogo nayo ni ishu sana kufanya kazi na wazungu.



Nakumbuka tulivutana sana kwenye hilo. Mwisho wa siku CD akanipa job description ya ile position akasema tuzijadili moja moja. Yeye akawa anasoma kipengere kimoja kisha ananiuliza nimekiewlewaje? Nikawa naelezea kile kipengele nilivokielewa. Kwa ufuoi inaonekana aliridhika na jinsi nilivovielewa vile vipengere vya job description. Mwisho wa siku akaniuliza hapo sasa ni ni kigumu kwako? Kiukweli nilivyovipitia ile vipengere vya majukumu, asilimia zaidi ya 70 ilikuwa ni kuoragnize na kucoordinate the project implementation partners watekeleze majukumu yao within time and budget, baasi. Sikuhitajika kuwapima walengwa, wala kutoa dawa, wala kutoa ushauri wa kidaktari, hizi zote walikuwa wanatakiwa kufanya madakari wa mikoa husika huko tunakofanya kazi. Kwahiyo sikuhitajika kuvaa koti jeupe na Stethoscope kama madaktari wanavofanya. Yale mambombastic ya kidaktari zilikuwa ni mbwembwe za kututisha wengine hahaaa. Maana nakukumbuka kwenye zile reflection meetings au weekly feedback meeting na kupeana updates za mradi yule bwana daktari alikuwa anashusha vigongo sana mpaka wengine tukawa tunajisemea kumbe udaktari ni mgumu hivi na inaonekana wanaakili sana madaktari (jokes).



Basi nakumbuka CD akanikumbusha ile ishu niliyoorganize meeting na watu watu wa wizara ya afya wakati tunaenda kuutambulisha mradi, ile ambayo nilipata msala wa kusekwa sello. Akaniambia, that was an excellent entry point that the management team built trust in my coordination abilities. Nikajisemea laiti mngejua nililazwa selo sijui ingekuwaje hahaha. CD akaniambia “Taidume wewe una kitu kikubwa sana sema tuu hujijui. Naweza nikakuambia ilikuwa rahisi sana mimi kushawishi menejimenti kukubaliana tukuongezee hiyo idara kwa sababu naamini una skills na uwezo wa kudili na complex issues katika kudeliver project results”. Mimi nikamwambia kama vipi anipe muda nikafikirie, akanikatalia na kuniambia that was like an order to me and he is going to officially announce that to all staff in the meeting. Akaniambia tukimaliza mkutano atanipa my new contract.



Kwa upande mmoja nilikuwa na hofu lakini kwa upande mwingine nilikuwa nilikuwa na furaha. Hofu ilikuwa vipi je nitaweza kuhandle yale majukumu maana ilikuwa ni kama nafasi mbili kwa moja. Lakini pia niliassess the situation nikasema hapa lazima vijimaneno vitazuka maana wakati wa investigation kama ilivokawaida kunakuchomana sana, sasa nikawa nahofu kwamba lazima kuna watakaofikiria kwamba niliwachoma watu na asante yake ndio hiyo nafasi. Maswala ya uchawa hayo. Kwaupande mwingine nilifurahi kwa sababu hakuna kitu kizuri kama kuaminiwa tena wakati wewe mwenyewe ukiwa haujui kama una huo uwezo. Inakupa faraja sana, nilishawahi kuaminiwa katika maswala mbali mbali lakini haikuwa kwenye levp ya surprise kama ile. Nikajisemea mwenyewe let me take it, mambo mengine yatajiset juu kwa juu.



Basi tulikubalina hivyo. Muda wa kikao ulipofika staff wote tulikuwepo. Basi CD pamoja na mabo mengine akatoa mrejesho wa safari yao ya makao makuu. Akatoa feedback ya mikakati mbali mbali waliyokubalina na management team namna bora ya kuendesha ofisi ili swala lile lisijirudie tena. Watu wakauliza maswali na yakajibiwa na kusisitizana kuhusu hiyo mikakati mipya, mwisho wa siku CD akatangizia kwamba kuna baadhi ya nafasi zitatafutiwa watu wengine lakini kawaambia kuhusu ishu ya mimi kuwa appointed to lead also the medical unit of our project. Watu wengi hawakutegemea na walipigwa na mshangao, lakini ilibidi wakubaliane na ukweli huo maana ilikuwa tayari imeshaamuliwa na management tena kwa kupewa Baraka zote kutoka makao makuu. Basi walinipongeza pongeza pale na ndio ikawa stori kubwa ya siku.



Tulipomaliza mkutano, nikaenda ofisini kwa CD nikamkuta wakiwa na HR. basi nikakabidhiwa contarct yangu nikatakiwa niisaini by kesho yake maana ile position ilitakiwa ianze immediately. Nikaingia ofsini kwangu nikawa naipitia mdogo mdogo. Najua wengi mtataka kujua kama kulikuwa na nyongeza ya mshahara. Ofcourse kambuzi kaliongezeka kidogo japo kalikuwa bado hakajanona kiviile. Mimi nikausaini hapo hapo na kurudisha nakala moja kwa HR, officially nikaanza majukumu mapya. CD aliandika barua kuwasiliana na partners wetu hususani wale wapya kwangu (madaktari) kuhusiana na mabadiliko ya ile nafasi, huku akiwaomba ushirikiano.



Nikapanga mkakati wa kwenda kutembelea maeneo yote ya mradi ili kufahamiana na partners ili kwa pamoja tuweze kuweka mikakati mipya. Kwakweli nashukuru walinipa ushirikiano wa kutosha sana na tulifanya kazi kwa ushirikiano mkubwa sana. Changamoto ndogondogo ni kitu cha kawaida na tulifanikiwa kuzimaliza na kusonga mbele.

Kiufupi na kwa ile ofisi ya wazungu nilifanikiwa kujiimarisha au kuongeza ujuzi katika maeneo yafuatayo

Experience in designing and implementing projects.

Skills in project planning, budgeting, and resource management.

Understanding of project lifecycle from inception to evaluation.

Knowledge of fundraising strategies and techniques.

Leadership skills in supervising personnel and resources.

Ability to coordinate with implementing partners including government officials

Skills in monitoring program effectiveness and impact.

Relationship-building with community leaders, government, and local organizations.

Identifying and addressing training needs for staff, partners, volunteers, and local organizations.

Presentation skills for sharing program reports and findings with management, donors, and stakeholders.

Nilifanya ile kwa muda wa miaka minne na tukafanikiwa kuhitimisha na kuumaliza ule mradi salama salmini. Mradi uliisha tangu Disemba 2022 lakini mimi niliombwa kubakia pale ofsini kwa miezi mingine mitatu kusaidia kukamilisha baadhi ya mambo hususani mfadhili wa mradi alikuwa anayahitaji. So officialy nilirudi uraiani mwezi wa tatu na kuanza harakati mpya za kusaka ajira nyingine.



MWISHO:

Wadau wangu yapo mengi sana ambayo ningeweza kushea nanyi naomba mniwie radhi kama haya machache hayakuwatosha. However, as I reflect on the chapters of my professional journey, each episode has been a lesson with the vibrant sort of experience. Your time invested in reading my story is sincerely appreciated. In sharing these moments of growth, challenge, and achievement, my hope is that you have found inspiration and some thing to takehome as an assignment.



Nimesoma na nitaendelea kuzisoma koments zenu kwa umakini mkubwa na binafsi nimefarijika kwa maoni, maonyo, mafunzo na mijadala ambayo imekuwa ikiibuka katikati ya stori, hahaa hii ni kawaida. Kwa pale nilipoweza nilitoa na nitaendelea kutoa ufafanuzi na kwa wale wanaonifata PM for more detals, I respect and salute you guys.



Kwa kipindi hiki ambacho nahangaika huku na huko kusaka sehemu nyingine nafanya kazi za kujitolea kwenye maeneo mbalimbali hususani vile viNGO vidogo ambavyo ndio vinaanza. Pia kuna watu hata humu JF wapo tunasaidiana kudizaini concept notes na kuandika full project proposals. Huwa najitolea kwa wale ambao nimehakikisha hawana uwezo, maana hata mimi nikiangalia nilikopita pita mpaka hapa nilipo sijawahi kutoa hata sh10 ili kusaidiwa.



Nipo hapa pia kuendelea kutoa uzoefu wangu kwa yeyote ambaye anaona nitafaa kushea naye ninachokifahamu muda na wakati wowote. Na pia ninawaahidi kama nitafanikiwa kupata sehemu nyingine ya kupiga mzigo basi niatwashirikisha hapa hapa. Kwa sasa bado natafuta kazi.



Thank you guys niwatakie maandalizi mema ya sikuku za mwisho wa mwaka na heri sana ya mwaka mpya 2024 kwenu woote. Na kama kuna mtu kwa namna moja ama nyingine nimemkwaza naomba anisamehe, Mungu awabariki sana.



MIALIKO YA SIKUU INAKARIBISHWA PIA

TaiDume 0748 586 059

Mkuu achana na comment. Mwenyekujifunza atasoma mwanzo mwisho ataelewa. Kikubwa bora tupe story ya mabaya uliyofanya kazini. Maana hapa wewe umeonekana kuwa bora tu.

Utuambie mabaya yote na namna ulivyoweza kujinasua mpaka ukaweza kuendelea na kazi zako na kuendelea kuaminiwa na mashirika yote uliyowahi fanya nayo kazi.

Naamini watu tutajifunza zaidi na kuelewa namna gani watu hufanya wanapokuwa katika wakati mgumu kazini.
 
EPISODE 16: Mthamini sana mtu anayeona una kitu ambacho wewe mwenyewe hukioni



Katika maisha yetu ya kawaida iwe kwenye ajira, mtaani au shuleni kuna wale watu ambao wanaweza wakakushauri au kukulazimisha ufanye mambo ambayo wewe jukuwa na wazo nalo au hukujua kama unauwezo wa kulifanya jambo husika. I want to talk about the importance of appreciating and valuing individuals who recognize qualities, potential, or aspects of yourself that you might be unaware of or underestimate, in supporting one's life.



Baada ya kumaliza kile kikao Dodoma tulirudi ofisini kuendelea na majukumu kama kama kawaida. Namshukuru Mungu nilimaliza probation period salama na officially nikawa full employed pale. Kwa ambao mnategemewa kuwa waajiriwa wapya msishangae nakazia kazia sana swala la kumaliza probation period salama, labda niwaambie tuu hiki ni kipindi muhimu sana kwa mfanyakazi mpya kwenye kazi yako au ajira yako mpya. Ni kipindi ambacho mwajiri wako anakupima kama kweli unaweza kuleta tija kwenye kampuni au ni mzigo. Hii inaenda sambamba na kukupima kwenye uwezo wa kutekeleza majukumu yako, uwezo wa kujifunza au kumasta mazingira ya kazi kwa haraka, namna unavyoshirikiana na wenzako pale kazini, maadili ya kazi na swala la nidhamu kwa ujumla, just to mention the few. Makampuni au mashirika mengi mara ntyngi wanatoa kati ya miezi mitatu mpaka sita kulingana na utaratibu wa ofisi husika. Na katika kipindi hiki mara nyingi unakuwa hupewi kwanza stahiki zako zote muhimu mfano bonus kazini na wengine wanakupa kwanza nusu mshahara. Ukifanikiwa kumshawishi mwajiri basi unakuwa unapewa barua yako kwamba you have been successfully completed your probation period and you are endorsed as full employee. So kwa mfanyakazi mpya hicho ni kipindi cha kuwa makini sana ili usiwape sababu ya kukupiga chini au kukuongezea muda wa probation (Probation extension period).



Basi bhana nikawa napiga mzigo pale kutekeleza majukumu yangu kama kawaida. Sasa kwenye ile program mimi nilikuwa na-lead social deparment. Lakini kulikuwa na department nyingine kama medical na M&E. Sasa kwenye kufanya fanya kazi pale karibia tunamaliza mwaka mmoja tangu ile program ianze, ikatokea msala wa mambo ya safeguarding issues pale ofisini. Kwa wasiofahamu, safeguarding issues are the actions or behaviors by employees that may harm or compromise the well-being, safety, dignity, or rights of the individuals the project aims to assist. Inaweza kuwa maswala ya upendeleao, kuomba ngono kwa wanufaika wa progamu, any form of harassment, fraud nk. Ili kupambana na maswala ya safeguarding issues mara nyingi mashirika au makampuni yanakuwa na sera au miongozo ya kuwalinda wafanyakazi na wanufaika wa miradi by providing regular training to employees, establish reporting mechanisms, and conduct thorough investigations when concerns are raised.



Baada ya investigation ule msala uliondoka na watu wengi tu pale ofisini akiwemo jamaa aliyekuwa ana-lead department ya medical. Ile ishu ilichafua hali ya hew asana pale ofsini na kulitokea kuwa na magepu mengi ya kazi. Wazungu wapo seriazi sana na mswala ya safeguarding yaani wanayachukulia kwa uzito mno. Sikuwahi kuexperience hasira za wazungu kwenye kazi lakini kwenye ile ishu walikasirika mno, ilitumwa timu ya investigators kutoka makao makuu Europe pamoja na Nairobi kuja kufanya uchunguzi pale. Nakumbuka shughuli za ofisi zilisimama kama mwezi kupisha uchunguzi na kila mmoja aliwekwa kitimoto hadi CD mwenyewe.



Watu matumbo yaliwaka moto, yaani moja haikai mbili haisimami. Unajua kwenye haya mambo yanayohusisha uchunguzi usiwe unajiamini moja kwa moja hata kama hujafanya maana anaweza akaibuka mtu mwenye visa na wewe akakupigilia kitu kizito ukajikuta na wewe upo kwenye victims. To survive in such issues ni Mungu aingilie kati. Hata baadhi ya watu waliopigwa benchi akiwemo yule leaders wa medical department binafsi ilinguwa ngumu sana kuamini ila ndio hivyo majibu ya uchunguzi yaliomdaka na yeye. Wakati wote wa uchunguzi watu tulikuwa tunaogopana kama ukoma pale ofsini kifupi ilikuwa uwe umehusika au hujahusika kujiamini kulipungua kama sio kutoweka kabisa. Ni kama unapokuwa unasubiria majibu ya ukimwi hata kama ni bikra wa kiume au kike kale kamoment ka kusubiria kanakuletea kahofu flani ka kutokujiamini amini hahaaa.



Basi siku ya siku majibu yakakamilika, kikaitishwa kikao cha staff wote pale ofsini, tukaunganishwa na management ya Nairobi na makuu then report ikasomwa. Kisha maamuzi yakatolewa kwa waliokutwa na ule msala wanaachishwa kazi mara moja kwa mujibu wa sera ya safeguarding. Victims wakaaambiwa kama hawajaridhika na maamuzi wanaweza kwenda kwenye vyombo vya sheria ndani ya mwezi mmoja na kwa muda huo walitakiwa wakabidhi kila kitu cha ofisi. Kwa sisi survivors tulipigwa mkwara mzito kwamba ofisi haitakuwa na mswalie mtume kwa yoyote itakapothibitika kwamba mfanyakazi amejihusisha na violation of safeguarding policy.



Kwa kuwa maamuzi yalikuwa yameshatolewa mara paap wakaingia polisi pale, nafikiri waliandaliwa mapema ili kusimamia zoezi la kukabidhiana ofisi. Nadhani walijihami maana huwezi jua mtu atalipokeaje swala la kufukuzwa kazi tena gafla unaweza ukadundwa au kuuliwa hivi hivi. Basi zoezi la kukabidhi ofisi lilifanikiwa na kwa wale waliokuwa na madeni wanaodaiwa na ofisi wazungu waliamua kuwasemehe, yaani kama walikuwa wanaona kero hata kuendelea kuwadai. Nakumbuka kuna mshikaji mmoja ndio alikuwa ametoka kuchukua advance salalry ya miezi minne na alikuwa hajaanza hata kulipa/kukatwa akawa ametimuliwa na ofisi haikujali.



Nakumbuka baada ya wenzetu kuondoka na wale investigators kurudi kwao maisha yalikuwa magumu sana pale ofisi watu ni kama morale ilishuka sana. Hata shughuli nying zilikuwa haziendi kwa sababu nafasi nyingi zilikuwa wazi. Ikabidi makao makuu wafikiria kurestructure ofisi ya Tanzania ili kuangalia ni namna gani ya kurudisha ufanisi wa ofisi na kujaribu kudhibiti swala kama lile lisijirudie tena. Ikabidi CD na Head of Programs wasafiri kwenda makao makuu kwa ajili ya kulishughulikia hilo. Maana hao ndio walikuwa ndio mabosi wenyewe wa pale ofsini. Iko hivi pale ofisini kulikuwa na nanagement team na baadhi ya wafanyakazi tunaweza kusema ni kudumu kwamaana ya kwamba hawakuwa wanaajiriwa na miradi. Yaani ni hivi hapa tuwekane sawa kidogo, mfano mimi na wenzangu wengine tuliajiriwa na mradi ambao tulikuwa tunautekeleza kwa miaka minne. Kulikuwa pia na miradi mingine tofauti tofauti ambayo nayo pia ilikuwa inaajiri project team yake. Sasa project staff mnaajiriwa na mradi na mnaondoka mradi ukiisha, labda kama kuna mradi mwingine unaweza ukaomba endapo mradi wenu utakuwa umeisha. Lakini kulikuwa na wale ambao tunaweza sema ni wakudumu yaani wao wanaajiriwa pale bila kutegemea miradi ndio akiwemo huyo CD na huyo Head of Programs. Ndio ilivokuwa sijui kama nimeeleweka.



Kule ulaya kwenye kikao chao walikuja na strategies mbalimbali na mabadiliko kidogo ili kuendana na kasi ya utekelezaji wa mradi wetu. Baada ya two weeks walikuwa wamesharudi ofisini na wakaitisha kikao cha staff wote. One hour before the meeting CD akaniita niende ofsini kwake. Nilisthuka kidogo maana haikuwa kawaida CD kukuita ofsini. Mara nyingi kama kulikuwa na jambo anataka mjadiliane alikuwa anakuja mwenyewe kwenye ofisi yako. Ishu ya kuitwa ofsini wafanyakazi wa pale tuliichukulia kwa uzito kidogo. Kihoro kikanishika sana nikajisemea isije ikawa wale investigaors walilisahau jina langu na sasa ndio naenda kuhukumiwa. Usicheke ile situation ilikuwa ni ngumu mno kwa siku ile. Nikasema huyu labda anataka kuniandaa kisaikolojia ili kwenye kikao nikipigwa na kitu kizito isiwe cha kunishtukiza.



Basi nikaingia akanikaribisha pale na straight forward akanimbia “Taidume, the management has entrusted you with leading the medical department, and now you will serve as our medical-social coordinator”. Nikashtuka sana nikamtumbulia macho pale huku nikiwa nina maswali mengi sijui hata nianze kuuliza lipi lifate lipi. Maana nikawa nakiuliza mimi mtu wa massosholoji huko wapi na wapi leo kulead mambo ya madakatari? Alipoona nashangaa akagongomelea kwa kuniambia najua unashangaa hususani kwa kuwa wewe sio daktari na tunakutaka uchukue nafasi ya dakta ………… (akamtaja yule daktari aliyetimuliwa), lakini nikuhakikishie tuu sisi kama menejimenttumekujiridhisha kwamba utaweza.



Binafsi sikukubaliana naye kabisa nakumbuka kile kikao cha mimi na yeye kilichukua kama nusu saa nzima. Mimi nilikuwa nampa hoja zangu za kukataa ile nafasi lakini yeye anazipangua kwa kuniaminisha kwamba naiweza ile nafasi. Sasa, mimi sio kwamba nilikuwa tu siitaki ile nafasi lakini nilikuwa naona napwaya na italeta shida kwenye ufanisi wangu. Maana kwanza nilikuwa nawaza kwa harakaharaka pale namna yule dakatari alikuwa anafanya kazi zake. Yeye shughuli zake kubwa alikuwa anafanya na madakatari wenzake mikoani na wizarani, maswala ya kusimamia upimaji, utoaji dawa na ufuatiliajo wa maendeleo ya walengwa wetu. Kwanza nilikuwa namsikia tu hayo mabombastic ya kidaktari anaovoongea na madaktari wenzie basi mimi nikawa navurugwa tuu nikaona huyu CD vipi huyu naona ananitafutia tuu sababu ya kunitimua kazi maana performance ikiwa ndogo nayo ni ishu sana kufanya kazi na wazungu.



Nakumbuka tulivutana sana kwenye hilo. Mwisho wa siku CD akanipa job description ya ile position akasema tuzijadili moja moja. Yeye akawa anasoma kipengere kimoja kisha ananiuliza nimekiewlewaje? Nikawa naelezea kile kipengele nilivokielewa. Kwa ufuoi inaonekana aliridhika na jinsi nilivovielewa vile vipengere vya job description. Mwisho wa siku akaniuliza hapo sasa ni ni kigumu kwako? Kiukweli nilivyovipitia ile vipengere vya majukumu, asilimia zaidi ya 70 ilikuwa ni kuoragnize na kucoordinate the project implementation partners watekeleze majukumu yao within time and budget, baasi. Sikuhitajika kuwapima walengwa, wala kutoa dawa, wala kutoa ushauri wa kidaktari, hizi zote walikuwa wanatakiwa kufanya madakari wa mikoa husika huko tunakofanya kazi. Kwahiyo sikuhitajika kuvaa koti jeupe na Stethoscope kama madaktari wanavofanya. Yale mambombastic ya kidaktari zilikuwa ni mbwembwe za kututisha wengine hahaaa. Maana nakukumbuka kwenye zile reflection meetings au weekly feedback meeting na kupeana updates za mradi yule bwana daktari alikuwa anashusha vigongo sana mpaka wengine tukawa tunajisemea kumbe udaktari ni mgumu hivi na inaonekana wanaakili sana madaktari (jokes).



Basi nakumbuka CD akanikumbusha ile ishu niliyoorganize meeting na watu watu wa wizara ya afya wakati tunaenda kuutambulisha mradi, ile ambayo nilipata msala wa kusekwa sello. Akaniambia, that was an excellent entry point that the management team built trust in my coordination abilities. Nikajisemea laiti mngejua nililazwa selo sijui ingekuwaje hahaha. CD akaniambia “Taidume wewe una kitu kikubwa sana sema tuu hujijui. Naweza nikakuambia ilikuwa rahisi sana mimi kushawishi menejimenti kukubaliana tukuongezee hiyo idara kwa sababu naamini una skills na uwezo wa kudili na complex issues katika kudeliver project results”. Mimi nikamwambia kama vipi anipe muda nikafikirie, akanikatalia na kuniambia that was like an order to me and he is going to officially announce that to all staff in the meeting. Akaniambia tukimaliza mkutano atanipa my new contract.



Kwa upande mmoja nilikuwa na hofu lakini kwa upande mwingine nilikuwa nilikuwa na furaha. Hofu ilikuwa vipi je nitaweza kuhandle yale majukumu maana ilikuwa ni kama nafasi mbili kwa moja. Lakini pia niliassess the situation nikasema hapa lazima vijimaneno vitazuka maana wakati wa investigation kama ilivokawaida kunakuchomana sana, sasa nikawa nahofu kwamba lazima kuna watakaofikiria kwamba niliwachoma watu na asante yake ndio hiyo nafasi. Maswala ya uchawa hayo. Kwaupande mwingine nilifurahi kwa sababu hakuna kitu kizuri kama kuaminiwa tena wakati wewe mwenyewe ukiwa haujui kama una huo uwezo. Inakupa faraja sana, nilishawahi kuaminiwa katika maswala mbali mbali lakini haikuwa kwenye levp ya surprise kama ile. Nikajisemea mwenyewe let me take it, mambo mengine yatajiset juu kwa juu.



Basi tulikubalina hivyo. Muda wa kikao ulipofika staff wote tulikuwepo. Basi CD pamoja na mabo mengine akatoa mrejesho wa safari yao ya makao makuu. Akatoa feedback ya mikakati mbali mbali waliyokubalina na management team namna bora ya kuendesha ofisi ili swala lile lisijirudie tena. Watu wakauliza maswali na yakajibiwa na kusisitizana kuhusu hiyo mikakati mipya, mwisho wa siku CD akatangizia kwamba kuna baadhi ya nafasi zitatafutiwa watu wengine lakini kawaambia kuhusu ishu ya mimi kuwa appointed to lead also the medical unit of our project. Watu wengi hawakutegemea na walipigwa na mshangao, lakini ilibidi wakubaliane na ukweli huo maana ilikuwa tayari imeshaamuliwa na management tena kwa kupewa Baraka zote kutoka makao makuu. Basi walinipongeza pongeza pale na ndio ikawa stori kubwa ya siku.



Tulipomaliza mkutano, nikaenda ofisini kwa CD nikamkuta wakiwa na HR. basi nikakabidhiwa contarct yangu nikatakiwa niisaini by kesho yake maana ile position ilitakiwa ianze immediately. Nikaingia ofsini kwangu nikawa naipitia mdogo mdogo. Najua wengi mtataka kujua kama kulikuwa na nyongeza ya mshahara. Ofcourse kambuzi kaliongezeka kidogo japo kalikuwa bado hakajanona kiviile. Mimi nikausaini hapo hapo na kurudisha nakala moja kwa HR, officially nikaanza majukumu mapya. CD aliandika barua kuwasiliana na partners wetu hususani wale wapya kwangu (madaktari) kuhusiana na mabadiliko ya ile nafasi, huku akiwaomba ushirikiano.



Nikapanga mkakati wa kwenda kutembelea maeneo yote ya mradi ili kufahamiana na partners ili kwa pamoja tuweze kuweka mikakati mipya. Kwakweli nashukuru walinipa ushirikiano wa kutosha sana na tulifanya kazi kwa ushirikiano mkubwa sana. Changamoto ndogondogo ni kitu cha kawaida na tulifanikiwa kuzimaliza na kusonga mbele.

Kiufupi na kwa ile ofisi ya wazungu nilifanikiwa kujiimarisha au kuongeza ujuzi katika maeneo yafuatayo

Experience in designing and implementing projects.

Skills in project planning, budgeting, and resource management.

Understanding of project lifecycle from inception to evaluation.

Knowledge of fundraising strategies and techniques.

Leadership skills in supervising personnel and resources.

Ability to coordinate with implementing partners including government officials

Skills in monitoring program effectiveness and impact.

Relationship-building with community leaders, government, and local organizations.

Identifying and addressing training needs for staff, partners, volunteers, and local organizations.

Presentation skills for sharing program reports and findings with management, donors, and stakeholders.

Nilifanya ile kwa muda wa miaka minne na tukafanikiwa kuhitimisha na kuumaliza ule mradi salama salmini. Mradi uliisha tangu Disemba 2022 lakini mimi niliombwa kubakia pale ofsini kwa miezi mingine mitatu kusaidia kukamilisha baadhi ya mambo hususani mfadhili wa mradi alikuwa anayahitaji. So officialy nilirudi uraiani mwezi wa tatu na kuanza harakati mpya za kusaka ajira nyingine.



MWISHO:

Wadau wangu yapo mengi sana ambayo ningeweza kushea nanyi naomba mniwie radhi kama haya machache hayakuwatosha. However, as I reflect on the chapters of my professional journey, each episode has been a lesson with the vibrant sort of experience. Your time invested in reading my story is sincerely appreciated. In sharing these moments of growth, challenge, and achievement, my hope is that you have found inspiration and some thing to takehome as an assignment.



Nimesoma na nitaendelea kuzisoma koments zenu kwa umakini mkubwa na binafsi nimefarijika kwa maoni, maonyo, mafunzo na mijadala ambayo imekuwa ikiibuka katikati ya stori, hahaa hii ni kawaida. Kwa pale nilipoweza nilitoa na nitaendelea kutoa ufafanuzi na kwa wale wanaonifata PM for more detals, I respect and salute you guys.



Kwa kipindi hiki ambacho nahangaika huku na huko kusaka sehemu nyingine nafanya kazi za kujitolea kwenye maeneo mbalimbali hususani vile viNGO vidogo ambavyo ndio vinaanza. Pia kuna watu hata humu JF wapo tunasaidiana kudizaini concept notes na kuandika full project proposals. Huwa najitolea kwa wale ambao nimehakikisha hawana uwezo, maana hata mimi nikiangalia nilikopita pita mpaka hapa nilipo sijawahi kutoa hata sh10 ili kusaidiwa.



Nipo hapa pia kuendelea kutoa uzoefu wangu kwa yeyote ambaye anaona nitafaa kushea naye ninachokifahamu muda na wakati wowote. Na pia ninawaahidi kama nitafanikiwa kupata sehemu nyingine ya kupiga mzigo basi niatwashirikisha hapa hapa. Kwa sasa bado natafuta kazi.



Thank you guys niwatakie maandalizi mema ya sikuku za mwisho wa mwaka na heri sana ya mwaka mpya 2024 kwenu woote. Na kama kuna mtu kwa namna moja ama nyingine nimemkwaza naomba anisamehe, Mungu awabariki sana.



MIALIKO YA SIKUU INAKARIBISHWA PIA

TaiDume 0748 586 059

Asante sana kwa muda wako mkuu
Umetupa exposure kubwa sana.

Pia nakuomba usisite kutupa mrejesho pindi utakapo pata fursa kwingine.
 
EPISODE 16: Mthamini sana mtu anayeona una kitu ambacho wewe mwenyewe hukioni



Katika maisha yetu ya kawaida iwe kwenye ajira, mtaani au shuleni kuna wale watu ambao wanaweza wakakushauri au kukulazimisha ufanye mambo ambayo wewe jukuwa na wazo nalo au hukujua kama unauwezo wa kulifanya jambo husika. I want to talk about the importance of appreciating and valuing individuals who recognize qualities, potential, or aspects of yourself that you might be unaware of or underestimate, in supporting one's life.



Baada ya kumaliza kile kikao Dodoma tulirudi ofisini kuendelea na majukumu kama kama kawaida. Namshukuru Mungu nilimaliza probation period salama na officially nikawa full employed pale. Kwa ambao mnategemewa kuwa waajiriwa wapya msishangae nakazia kazia sana swala la kumaliza probation period salama, labda niwaambie tuu hiki ni kipindi muhimu sana kwa mfanyakazi mpya kwenye kazi yako au ajira yako mpya. Ni kipindi ambacho mwajiri wako anakupima kama kweli unaweza kuleta tija kwenye kampuni au ni mzigo. Hii inaenda sambamba na kukupima kwenye uwezo wa kutekeleza majukumu yako, uwezo wa kujifunza au kumasta mazingira ya kazi kwa haraka, namna unavyoshirikiana na wenzako pale kazini, maadili ya kazi na swala la nidhamu kwa ujumla, just to mention the few. Makampuni au mashirika mengi mara ntyngi wanatoa kati ya miezi mitatu mpaka sita kulingana na utaratibu wa ofisi husika. Na katika kipindi hiki mara nyingi unakuwa hupewi kwanza stahiki zako zote muhimu mfano bonus kazini na wengine wanakupa kwanza nusu mshahara. Ukifanikiwa kumshawishi mwajiri basi unakuwa unapewa barua yako kwamba you have been successfully completed your probation period and you are endorsed as full employee. So kwa mfanyakazi mpya hicho ni kipindi cha kuwa makini sana ili usiwape sababu ya kukupiga chini au kukuongezea muda wa probation (Probation extension period).



Basi bhana nikawa napiga mzigo pale kutekeleza majukumu yangu kama kawaida. Sasa kwenye ile program mimi nilikuwa na-lead social deparment. Lakini kulikuwa na department nyingine kama medical na M&E. Sasa kwenye kufanya fanya kazi pale karibia tunamaliza mwaka mmoja tangu ile program ianze, ikatokea msala wa mambo ya safeguarding issues pale ofisini. Kwa wasiofahamu, safeguarding issues are the actions or behaviors by employees that may harm or compromise the well-being, safety, dignity, or rights of the individuals the project aims to assist. Inaweza kuwa maswala ya upendeleao, kuomba ngono kwa wanufaika wa progamu, any form of harassment, fraud nk. Ili kupambana na maswala ya safeguarding issues mara nyingi mashirika au makampuni yanakuwa na sera au miongozo ya kuwalinda wafanyakazi na wanufaika wa miradi by providing regular training to employees, establish reporting mechanisms, and conduct thorough investigations when concerns are raised.



Baada ya investigation ule msala uliondoka na watu wengi tu pale ofisini akiwemo jamaa aliyekuwa ana-lead department ya medical. Ile ishu ilichafua hali ya hew asana pale ofsini na kulitokea kuwa na magepu mengi ya kazi. Wazungu wapo seriazi sana na mswala ya safeguarding yaani wanayachukulia kwa uzito mno. Sikuwahi kuexperience hasira za wazungu kwenye kazi lakini kwenye ile ishu walikasirika mno, ilitumwa timu ya investigators kutoka makao makuu Europe pamoja na Nairobi kuja kufanya uchunguzi pale. Nakumbuka shughuli za ofisi zilisimama kama mwezi kupisha uchunguzi na kila mmoja aliwekwa kitimoto hadi CD mwenyewe.



Watu matumbo yaliwaka moto, yaani moja haikai mbili haisimami. Unajua kwenye haya mambo yanayohusisha uchunguzi usiwe unajiamini moja kwa moja hata kama hujafanya maana anaweza akaibuka mtu mwenye visa na wewe akakupigilia kitu kizito ukajikuta na wewe upo kwenye victims. To survive in such issues ni Mungu aingilie kati. Hata baadhi ya watu waliopigwa benchi akiwemo yule leaders wa medical department binafsi ilinguwa ngumu sana kuamini ila ndio hivyo majibu ya uchunguzi yaliomdaka na yeye. Wakati wote wa uchunguzi watu tulikuwa tunaogopana kama ukoma pale ofsini kifupi ilikuwa uwe umehusika au hujahusika kujiamini kulipungua kama sio kutoweka kabisa. Ni kama unapokuwa unasubiria majibu ya ukimwi hata kama ni bikra wa kiume au kike kale kamoment ka kusubiria kanakuletea kahofu flani ka kutokujiamini amini hahaaa.



Basi siku ya siku majibu yakakamilika, kikaitishwa kikao cha staff wote pale ofsini, tukaunganishwa na management ya Nairobi na makuu then report ikasomwa. Kisha maamuzi yakatolewa kwa waliokutwa na ule msala wanaachishwa kazi mara moja kwa mujibu wa sera ya safeguarding. Victims wakaaambiwa kama hawajaridhika na maamuzi wanaweza kwenda kwenye vyombo vya sheria ndani ya mwezi mmoja na kwa muda huo walitakiwa wakabidhi kila kitu cha ofisi. Kwa sisi survivors tulipigwa mkwara mzito kwamba ofisi haitakuwa na mswalie mtume kwa yoyote itakapothibitika kwamba mfanyakazi amejihusisha na violation of safeguarding policy.



Kwa kuwa maamuzi yalikuwa yameshatolewa mara paap wakaingia polisi pale, nafikiri waliandaliwa mapema ili kusimamia zoezi la kukabidhiana ofisi. Nadhani walijihami maana huwezi jua mtu atalipokeaje swala la kufukuzwa kazi tena gafla unaweza ukadundwa au kuuliwa hivi hivi. Basi zoezi la kukabidhi ofisi lilifanikiwa na kwa wale waliokuwa na madeni wanaodaiwa na ofisi wazungu waliamua kuwasemehe, yaani kama walikuwa wanaona kero hata kuendelea kuwadai. Nakumbuka kuna mshikaji mmoja ndio alikuwa ametoka kuchukua advance salalry ya miezi minne na alikuwa hajaanza hata kulipa/kukatwa akawa ametimuliwa na ofisi haikujali.



Nakumbuka baada ya wenzetu kuondoka na wale investigators kurudi kwao maisha yalikuwa magumu sana pale ofisi watu ni kama morale ilishuka sana. Hata shughuli nying zilikuwa haziendi kwa sababu nafasi nyingi zilikuwa wazi. Ikabidi makao makuu wafikiria kurestructure ofisi ya Tanzania ili kuangalia ni namna gani ya kurudisha ufanisi wa ofisi na kujaribu kudhibiti swala kama lile lisijirudie tena. Ikabidi CD na Head of Programs wasafiri kwenda makao makuu kwa ajili ya kulishughulikia hilo. Maana hao ndio walikuwa ndio mabosi wenyewe wa pale ofsini. Iko hivi pale ofisini kulikuwa na nanagement team na baadhi ya wafanyakazi tunaweza kusema ni kudumu kwamaana ya kwamba hawakuwa wanaajiriwa na miradi. Yaani ni hivi hapa tuwekane sawa kidogo, mfano mimi na wenzangu wengine tuliajiriwa na mradi ambao tulikuwa tunautekeleza kwa miaka minne. Kulikuwa pia na miradi mingine tofauti tofauti ambayo nayo pia ilikuwa inaajiri project team yake. Sasa project staff mnaajiriwa na mradi na mnaondoka mradi ukiisha, labda kama kuna mradi mwingine unaweza ukaomba endapo mradi wenu utakuwa umeisha. Lakini kulikuwa na wale ambao tunaweza sema ni wakudumu yaani wao wanaajiriwa pale bila kutegemea miradi ndio akiwemo huyo CD na huyo Head of Programs. Ndio ilivokuwa sijui kama nimeeleweka.



Kule ulaya kwenye kikao chao walikuja na strategies mbalimbali na mabadiliko kidogo ili kuendana na kasi ya utekelezaji wa mradi wetu. Baada ya two weeks walikuwa wamesharudi ofisini na wakaitisha kikao cha staff wote. One hour before the meeting CD akaniita niende ofsini kwake. Nilisthuka kidogo maana haikuwa kawaida CD kukuita ofsini. Mara nyingi kama kulikuwa na jambo anataka mjadiliane alikuwa anakuja mwenyewe kwenye ofisi yako. Ishu ya kuitwa ofsini wafanyakazi wa pale tuliichukulia kwa uzito kidogo. Kihoro kikanishika sana nikajisemea isije ikawa wale investigaors walilisahau jina langu na sasa ndio naenda kuhukumiwa. Usicheke ile situation ilikuwa ni ngumu mno kwa siku ile. Nikasema huyu labda anataka kuniandaa kisaikolojia ili kwenye kikao nikipigwa na kitu kizito isiwe cha kunishtukiza.



Basi nikaingia akanikaribisha pale na straight forward akanimbia “Taidume, the management has entrusted you with leading the medical department, and now you will serve as our medical-social coordinator”. Nikashtuka sana nikamtumbulia macho pale huku nikiwa nina maswali mengi sijui hata nianze kuuliza lipi lifate lipi. Maana nikawa nakiuliza mimi mtu wa massosholoji huko wapi na wapi leo kulead mambo ya madakatari? Alipoona nashangaa akagongomelea kwa kuniambia najua unashangaa hususani kwa kuwa wewe sio daktari na tunakutaka uchukue nafasi ya dakta ………… (akamtaja yule daktari aliyetimuliwa), lakini nikuhakikishie tuu sisi kama menejimenttumekujiridhisha kwamba utaweza.



Binafsi sikukubaliana naye kabisa nakumbuka kile kikao cha mimi na yeye kilichukua kama nusu saa nzima. Mimi nilikuwa nampa hoja zangu za kukataa ile nafasi lakini yeye anazipangua kwa kuniaminisha kwamba naiweza ile nafasi. Sasa, mimi sio kwamba nilikuwa tu siitaki ile nafasi lakini nilikuwa naona napwaya na italeta shida kwenye ufanisi wangu. Maana kwanza nilikuwa nawaza kwa harakaharaka pale namna yule dakatari alikuwa anafanya kazi zake. Yeye shughuli zake kubwa alikuwa anafanya na madakatari wenzake mikoani na wizarani, maswala ya kusimamia upimaji, utoaji dawa na ufuatiliajo wa maendeleo ya walengwa wetu. Kwanza nilikuwa namsikia tu hayo mabombastic ya kidaktari anaovoongea na madaktari wenzie basi mimi nikawa navurugwa tuu nikaona huyu CD vipi huyu naona ananitafutia tuu sababu ya kunitimua kazi maana performance ikiwa ndogo nayo ni ishu sana kufanya kazi na wazungu.



Nakumbuka tulivutana sana kwenye hilo. Mwisho wa siku CD akanipa job description ya ile position akasema tuzijadili moja moja. Yeye akawa anasoma kipengere kimoja kisha ananiuliza nimekiewlewaje? Nikawa naelezea kile kipengele nilivokielewa. Kwa ufuoi inaonekana aliridhika na jinsi nilivovielewa vile vipengere vya job description. Mwisho wa siku akaniuliza hapo sasa ni ni kigumu kwako? Kiukweli nilivyovipitia ile vipengere vya majukumu, asilimia zaidi ya 70 ilikuwa ni kuoragnize na kucoordinate the project implementation partners watekeleze majukumu yao within time and budget, baasi. Sikuhitajika kuwapima walengwa, wala kutoa dawa, wala kutoa ushauri wa kidaktari, hizi zote walikuwa wanatakiwa kufanya madakari wa mikoa husika huko tunakofanya kazi. Kwahiyo sikuhitajika kuvaa koti jeupe na Stethoscope kama madaktari wanavofanya. Yale mambombastic ya kidaktari zilikuwa ni mbwembwe za kututisha wengine hahaaa. Maana nakukumbuka kwenye zile reflection meetings au weekly feedback meeting na kupeana updates za mradi yule bwana daktari alikuwa anashusha vigongo sana mpaka wengine tukawa tunajisemea kumbe udaktari ni mgumu hivi na inaonekana wanaakili sana madaktari (jokes).



Basi nakumbuka CD akanikumbusha ile ishu niliyoorganize meeting na watu watu wa wizara ya afya wakati tunaenda kuutambulisha mradi, ile ambayo nilipata msala wa kusekwa sello. Akaniambia, that was an excellent entry point that the management team built trust in my coordination abilities. Nikajisemea laiti mngejua nililazwa selo sijui ingekuwaje hahaha. CD akaniambia “Taidume wewe una kitu kikubwa sana sema tuu hujijui. Naweza nikakuambia ilikuwa rahisi sana mimi kushawishi menejimenti kukubaliana tukuongezee hiyo idara kwa sababu naamini una skills na uwezo wa kudili na complex issues katika kudeliver project results”. Mimi nikamwambia kama vipi anipe muda nikafikirie, akanikatalia na kuniambia that was like an order to me and he is going to officially announce that to all staff in the meeting. Akaniambia tukimaliza mkutano atanipa my new contract.



Kwa upande mmoja nilikuwa na hofu lakini kwa upande mwingine nilikuwa nilikuwa na furaha. Hofu ilikuwa vipi je nitaweza kuhandle yale majukumu maana ilikuwa ni kama nafasi mbili kwa moja. Lakini pia niliassess the situation nikasema hapa lazima vijimaneno vitazuka maana wakati wa investigation kama ilivokawaida kunakuchomana sana, sasa nikawa nahofu kwamba lazima kuna watakaofikiria kwamba niliwachoma watu na asante yake ndio hiyo nafasi. Maswala ya uchawa hayo. Kwaupande mwingine nilifurahi kwa sababu hakuna kitu kizuri kama kuaminiwa tena wakati wewe mwenyewe ukiwa haujui kama una huo uwezo. Inakupa faraja sana, nilishawahi kuaminiwa katika maswala mbali mbali lakini haikuwa kwenye levp ya surprise kama ile. Nikajisemea mwenyewe let me take it, mambo mengine yatajiset juu kwa juu.



Basi tulikubalina hivyo. Muda wa kikao ulipofika staff wote tulikuwepo. Basi CD pamoja na mabo mengine akatoa mrejesho wa safari yao ya makao makuu. Akatoa feedback ya mikakati mbali mbali waliyokubalina na management team namna bora ya kuendesha ofisi ili swala lile lisijirudie tena. Watu wakauliza maswali na yakajibiwa na kusisitizana kuhusu hiyo mikakati mipya, mwisho wa siku CD akatangizia kwamba kuna baadhi ya nafasi zitatafutiwa watu wengine lakini kawaambia kuhusu ishu ya mimi kuwa appointed to lead also the medical unit of our project. Watu wengi hawakutegemea na walipigwa na mshangao, lakini ilibidi wakubaliane na ukweli huo maana ilikuwa tayari imeshaamuliwa na management tena kwa kupewa Baraka zote kutoka makao makuu. Basi walinipongeza pongeza pale na ndio ikawa stori kubwa ya siku.



Tulipomaliza mkutano, nikaenda ofisini kwa CD nikamkuta wakiwa na HR. basi nikakabidhiwa contarct yangu nikatakiwa niisaini by kesho yake maana ile position ilitakiwa ianze immediately. Nikaingia ofsini kwangu nikawa naipitia mdogo mdogo. Najua wengi mtataka kujua kama kulikuwa na nyongeza ya mshahara. Ofcourse kambuzi kaliongezeka kidogo japo kalikuwa bado hakajanona kiviile. Mimi nikausaini hapo hapo na kurudisha nakala moja kwa HR, officially nikaanza majukumu mapya. CD aliandika barua kuwasiliana na partners wetu hususani wale wapya kwangu (madaktari) kuhusiana na mabadiliko ya ile nafasi, huku akiwaomba ushirikiano.



Nikapanga mkakati wa kwenda kutembelea maeneo yote ya mradi ili kufahamiana na partners ili kwa pamoja tuweze kuweka mikakati mipya. Kwakweli nashukuru walinipa ushirikiano wa kutosha sana na tulifanya kazi kwa ushirikiano mkubwa sana. Changamoto ndogondogo ni kitu cha kawaida na tulifanikiwa kuzimaliza na kusonga mbele.

Kiufupi na kwa ile ofisi ya wazungu nilifanikiwa kujiimarisha au kuongeza ujuzi katika maeneo yafuatayo

Experience in designing and implementing projects.

Skills in project planning, budgeting, and resource management.

Understanding of project lifecycle from inception to evaluation.

Knowledge of fundraising strategies and techniques.

Leadership skills in supervising personnel and resources.

Ability to coordinate with implementing partners including government officials

Skills in monitoring program effectiveness and impact.

Relationship-building with community leaders, government, and local organizations.

Identifying and addressing training needs for staff, partners, volunteers, and local organizations.

Presentation skills for sharing program reports and findings with management, donors, and stakeholders.

Nilifanya ile kwa muda wa miaka minne na tukafanikiwa kuhitimisha na kuumaliza ule mradi salama salmini. Mradi uliisha tangu Disemba 2022 lakini mimi niliombwa kubakia pale ofsini kwa miezi mingine mitatu kusaidia kukamilisha baadhi ya mambo hususani mfadhili wa mradi alikuwa anayahitaji. So officialy nilirudi uraiani mwezi wa tatu na kuanza harakati mpya za kusaka ajira nyingine.



MWISHO:

Wadau wangu yapo mengi sana ambayo ningeweza kushea nanyi naomba mniwie radhi kama haya machache hayakuwatosha. However, as I reflect on the chapters of my professional journey, each episode has been a lesson with the vibrant sort of experience. Your time invested in reading my story is sincerely appreciated. In sharing these moments of growth, challenge, and achievement, my hope is that you have found inspiration and some thing to takehome as an assignment.



Nimesoma na nitaendelea kuzisoma koments zenu kwa umakini mkubwa na binafsi nimefarijika kwa maoni, maonyo, mafunzo na mijadala ambayo imekuwa ikiibuka katikati ya stori, hahaa hii ni kawaida. Kwa pale nilipoweza nilitoa na nitaendelea kutoa ufafanuzi na kwa wale wanaonifata PM for more detals, I respect and salute you guys.



Kwa kipindi hiki ambacho nahangaika huku na huko kusaka sehemu nyingine nafanya kazi za kujitolea kwenye maeneo mbalimbali hususani vile viNGO vidogo ambavyo ndio vinaanza. Pia kuna watu hata humu JF wapo tunasaidiana kudizaini concept notes na kuandika full project proposals. Huwa najitolea kwa wale ambao nimehakikisha hawana uwezo, maana hata mimi nikiangalia nilikopita pita mpaka hapa nilipo sijawahi kutoa hata sh10 ili kusaidiwa.



Nipo hapa pia kuendelea kutoa uzoefu wangu kwa yeyote ambaye anaona nitafaa kushea naye ninachokifahamu muda na wakati wowote. Na pia ninawaahidi kama nitafanikiwa kupata sehemu nyingine ya kupiga mzigo basi niatwashirikisha hapa hapa. Kwa sasa bado natafuta kazi.



Thank you guys niwatakie maandalizi mema ya sikuku za mwisho wa mwaka na heri sana ya mwaka mpya 2024 kwenu woote. Na kama kuna mtu kwa namna moja ama nyingine nimemkwaza naomba anisamehe, Mungu awabariki sana.



MIALIKO YA SIKUU INAKARIBISHWA PIA

TaiDume 0748 586 059


Kwanafasi ya kipekee.. nikupe Hongera TAI DUME kwa kushusha huu uzi wenye mafunzo,elimu na ujuzi wa kutosha kwenye maisha ya ajira na yasiyo ya ajira.. Bro kama unakitu kingine cha kushare na sisi kwenye uzi huu usisite kutupa knowledge... Mungu akujalie upate ajira mkuu.. Nawasilisha.
 
EPISODE 15: Sometimes, in the workplace, it's better to be lucky than talented

Hii experience sikupanga kushea hapa lakini niliwiwa baada kuona coment ya mkuu mzabzab akimjibu Leak “Ndio una ambiwa better to be born lucky than gifted”. Nikapromise nitashea hii experience kwenye situation ambayo naweza kusema ilifasadifu hii phrase.

I totally agree that in certain situations or work environments, having luck (good fortune or favorable circumstances) can be more advantageous than possessing talent or skill. It highlights the idea that unpredictable events or chance occurrences can sometimes play a significant role in one's success at work. It doesn't diminish the value of talent, but it emphasizes the role of luck in certain contexts.

Ipo hivi nakumbuka baada ya kama miezi miwili pale kwenye shirika la wazungu wakati nikiwa ndio najitahidi kuwaimpress pale ili nimalize probation period yangu salama, ikataokea tunatakiwa watu watu wanne including dereva, tusafiri kwenda Dodoma kulikuwa na meeting na watu wa wizara ya afya. Ile meeting ilikuwa ni kwaajili ya kuutambulisha ule mradi wetu kwa viongozi wa wizara, lakini mimi nilitakiwa nitoe presentation ya namna gani stakeholders wa mradi watakuwa engaged kwenye mradi. Ilikuwa ni very crucial presentation na ofisi ilinitegemea mimi nikasimamie show. Na mimi namshukuru Mungu nilijiandaa vya kutosha.

Uzuri ni kwamba katika kuorganize ile meeting ya kule Dodoma mimi ndio nilipewa hilo jukumu nadhani kwa sababu ya historia yangu ya kuwahi kufanya kazi na wizara mbalimbali lakini pia nakumbuka I was just volunteered for this to increase my visibility pale ofisini. A piece of advice, be very smart unapokuwa kimbelembele. Focus on those professional issues that will make people see your importance in the office, not engaging in inappropriate matters kama unoko unoko kwa staff wenzio etc. You won't succeed at all, and your end won't be good. Kiufupi imi niliamua kuwa kimbelembele kwenye kusimamia show kuanzia kuinitiate communication na watu wa wizara, kuplan the meeting agenda na kufacilitate the meeting tukiwa kule Idodomya pamoja na kuandaa bajeti na kilakitu. Nikawa ndio contact person kwa pale ofisini kwa ajili ya hiyo meeting.

Basi nikafanya maandalizi yote yanayohusiana na safarai na kuorganize that particular meeting. Nakumbuka tuliondoka siku ya Jumapili asubuhi ili Jumatatu tufanye hiyo meeting then Jumanne tugeuze zetu Dar. Mkuu wa msafara kutoka pale ofisini aliku ni Country Representative (CD) mwenyewe, mimi, mdada mwingine na dereva. That was my first work trip with that organization. Safari ilikuwa nzuri tuu na wote tulifikia hotel moja kwa ajili ya malazi an makazi kwa hizo siku mbili. Nakumbuka tuliingia Dodoma kama saa kumi na moja hivi jioni. Baada ya kila mmoja kupata chumba watu wakawa wamejipumzisha vyumbani kwao. Mimi kwa kuwa nilikuwa sijala mchana kutwa nikaamua kwenye kutafuta msosi ile saa kumi na moja. Nikapata msosi wangu pale pale hotelini then nikaingi room kupumzika. Wakati nasubiri msosi pale nikacheki na contact person wa wizara kumwambia kwamba tumeshawasiri akasema sawa atanicheki ili walau tuonane jioni ile ile tuangalie final touches ili tuwe na letu moja na kwa vile tulikuwa tunaongea tu kwenye simu akasema ni bora sisi wawili tukafahamiana jioni ile. Mimi nikaona ni point haina ubaya. Nikamwelekeza hotel tuliyofikia, akaniambia atanishtua mida mida.

Sasa kama timu tulikubalina kwamba watu wapumzike then sambili kamili tukutane restaurant pale pale ofsini kwa ajili ya dinner. Kama nilivyowadokeza kwenye hii stori kwa pale ofisini swala kujali muda lilikuwa ni kipaumbele kikubwa sana, hii iliwaingia wafanyakazi wote hata kama ishu haitahusisha maboss, swala la time management and punctuality lilipewa msisitizo mkubwa sana, otherwise unadharura toa taarifa mapema. Basi kweli sambili ilipofika wote tukawa tupo mezani ila mimi sikugonga msosi maana nilikuwa nishakula na nilikuwa pale tu kuwapa kampani. Wakati tunakula pale jamaa wa wizara akanipigia kuniambia ameshafika pale hotel basi nikamwelekeza tulipo nay eye akajumuika nasi pale. Tukawa tunapiga naye story mbili tatu then nay eye akaagiziwa msosi plae. Badae tukaplan meeting ya kesho lakini akasema atatujulisha kupitia mimi ni mda gani exactly kesho tutaonana mana katibu wa wizara naye alikuwa interested kushiriki lakini hakujua ratiba yake exactly sangapi atakuwa na nafasi.

Basi tukaachana pale kila mmoja akaenda kupumzika au kuendelea na ratiba zake. Nikiwa nipo tuu room jamaa yule wa wizara akanicheki kwa simu kunitaarifu kwamba katibu mkuu amesema kikao kianze saa tano asubuhi siku inayofata badala ya saa tatu tuliypnga sisi. Kufanya kazi na watu wa serikali ni kawaida sana kubadilishwa badilishwa ratiba kwa maana kusogeza muda au siku nyuma au kupelekwa mbele, so inabidi muwe flexible kwa yote. Kwakuwa haikuwa usiku sana nikawatext niliokuja nao kwamba kikao ni saa tano so nikashauri badala ya kuanza kuondoka pale hotelini saa mbili asubuhi basi tuondoke saa nne maana ilikuwa ni mwendo wa kama dk 20 tu toka pale Rafiki Hotel mpaka kule UDOM ambako majengo ya wizara yalikuwepo kwa kipindi kile, kule mtumba walikuwa bado hawajahamia. Basi tukakubaliana hivyo.

Sasa mimi nikawa sina usingizi kabisa. Kwenye saa tano hivi usiku nikasema ngoja nitoke niende maeneo ya makole pale kuna kajigrossary flani nilikuwa nimekazoea nikazuge zuge mpaka saa sita then nirudi kulala. Pale grossary ilikuwa ni kama uwanja wa nyumbani nikiwaga Dodoma, mpaka leo hii nikienda mara nyingi huwa nabuy time pale kwa sababu wadau wengu wa pale nawafahamu na hivyo inaniondolea sana ugeni. Huwa sipendi kubuy time kwenye pub kubwa sijui bambalaga au pestana, hayo yanakuwa sio maeneo yangu kabisa labda kampani niliyonayo iwe ina interest sana na sehemu kama hizo. Naamini naepukwa na vitu vingi usiniulize kanini.

Basi n ikatoka pale nikakamata boda huyoo mpaka grossary. Sasa muda huo kulikuwa na kitu tunafatilia kwenye tv ilikuwa ni live sikumbuki vizuri kama ni hizi ndondi za kibongo au ni mambo haya mamiss, sikumbuki vizuri. Lakini ilikuwa wadau wachache tunafatilia huku tunapiga stori mdogo mdogo. Nikajisemea mwenyewe wacha niangalia mpaka mwisho then nikalale maana nilikuwa sina ulazima wa kuamka mapema hiyo kesho kwani meeting ni saa tano.

Basi wakati tunaendelea pale kupiga piga stori na huku tunafatilia kile kipindi mara paap wazee wa kazi haoo, polisi wakatuweka chini ya ulinzi. Wakadai kwamba tumezidisha muda wa kukaa pale grosary maana inatakiwa pafungwe saa sita kamili. Nakumbuka ilikuwa ni kama saa sita kama na dk 10 hivi nakumbuka. Bahati nzuri mmiliki wa ile grosari nae alikuwepo kwahiyo akatuambia wateja wake tusiwe na wasiwasi yeye atadili nao. Basi akawa anawaplease pale waende nje wakamalizane wale njagu wakawa wanakataa. Wakaweka msimamo wote tulikuwepo pale inatakiwa tubebwe. Sisi wengine tukajiongeza tukajua labda mmiliki ametoa dau dogo. Basi tukajichanga changa pale tukapata ela kuongezea, tukawaambia wale polisi tunaongeza pesa kidogo ili watuachie wakagoma.

Nakumbuka yule mmiliki alisema mbona mnatukomalia sisi tuu mbona wengine mnawaacha? Kwenye ule mtaa kuna vigosary vingine kama vitatu vipo karibu karibu. Wale polisi wakamwambia angalia kama wenzio wanauza muda huu. Jamaa kuangalia akashangaa kweli inakuwaje leo wamefunga mapema na sio kawaida yao na mara nyingi kuna mmoja nasikia ndio huwa anakesha karibia kila siku ila siku hiyo nayeye alifunga mapema. Basi kuna jamaa mmoja kati ya wale wateja akasema hii ni michezo itakuwa na lengo maalum cha muhimu akawaambia wale polisi kama wanaajenda na mwenye grosari basi waturuhusu wengine tuondoke. Hoja kubwa ilikuwa kesho ni siku ya kazi hivyo waturuhusu kwa gharama yoyote. Wale polisi wakakaza.

Kama masihara vile hao tukaingizwa kwenye karandinga waliokua nayo. Hahakukuwa na watuhumiwa wengine kwenye gari lao ni sisi tuu. Yaani pale tulisombwa wote kuanzia wahudumu walikuwa wawili, mwnye grosary, wateja, jamaa mchoma chips na dogo mmoja alikuwa mwanafunzi wa sekondari tena yeye alikupita tu njia kununua maji akajumlishwa. Tukajua mchezo tutaucheza kwenye gari lakini wakagoma. Kuna jamaa akaongeza dau awape laki mbili ili wamwachie yeye pekeyake, lakini jamaa wakagoma. Tukaambiazana mule kwenye gari kwamba jamaa wanataka labda mpaka tufike kituoni ndio watakapochukua mzigo maana wataamini kwamba kitioni lazima tutatoa kila tulichonacho.

Basi tukafika mpaka kituoni. Mimi nikiwa sielewi elewi maana ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kukutana na msala wa namna hiyo. Basi kufika kituoni tukawekwa chini pale kaunta. Then tukaambiwa tuvue sijui mikanda, viatu,saa, cheni kama unayo n.k. binafsi nikaona hii ishu sasa inaenda kuwa serious. Basi tukaanza kuoanda madau pale ili watuachie kama tulivoamini. Jamaa wakagoma kata kata. Hapo tukaamini kwamba kweli ile ishu ilikuwa ni mpango maalum. Kama utani vile tukakabidhi vitu vyetu kaunta baada ya kuandikisha. Sasa mimi nilikuwa na waleti, simu kubwa na kitochi. Kwenye ile waleti nikatoa pesa niliyokuwa nayo nikabakiza eflu tano, then kile kisimu cha tochi nilikificha pamoja ela ili niingie nazo ndani. Nilifanya hivyo incase nikifanikiwa kupita navyo kile kitochi kinisaidie kufanya mawasiliano na wadau wa Dodoma kunirescue na ile pesa niliificha kusudi maana nilisiwahi kusikia kwamba mara nyingi zile pesa huzipati zote pindi uiachiwa kama sio wanazikomba zote basi watakuachia nauli tuu.

Basi nikafanikiwa kupita pale na kuingizwa mahabusu nikiwa na simu na pesa zangu. Haikuwa ela nyingi ni kama elfu 40 hivi ambazo waligoma kuzichukua ili waniachie. Mule sro kwa kweli kulikuwa na hali mbaya. Experience niliyoipata mle ndani sitakuja kuisahau nikazikumbuka stori za vijiweni kuhusu mahabusu kwa kweli pale ni kama ilikuwa worse zaidi. Hali ya mule ndani kwangu haikuwa ishi sana, ishu ilikuwa itakuwaje endapo ntaka mule ndani mpaka kesho na vipi wasiponiachia itakuwa kuhusu maswala yangu ya kazi.

Kumbuka ile ilikuwa ni trip yangu ya kikazi tena kwenye ofisi mpya mbay zaidi watu nilikuwa sijawazoea na sijui vizuri Tabia, mbaya zaidi CD mwenyewe alikuwepo. Nitaeleweka vipi mimi? Itawajengea picha gani kuhusu mimi? Nahapo kumbuka wakati wa kuajiriwa walikuwa wanafatilia mpaka criminal recors ya mtu halafu leo hii hata probation sijamaliza nakutwa na misala ya police case. Asee nilivurugwa sana. Akili ikawa inapanga na kupangua. Walau ningekuwa nikasema sijui niwajulishe niliokuja nao kwamba kwamba nipo police au lah. Kila nikipanga kuwajulisha staff na boss wangu akili inakataa. nikasema hii itaniletea matatizo na hivyo wanaweza wakaconlude mambo ambayo hata sikuwa nayo ila ndio hivyo nimeshikwa na ngozi.

Kichwa iliwaka moto sana. Wale jamaa wengine nilikouwa nao nao mmoja alikuwa amepagawa nae kama mimi tuu inaonekana nay eye alikuwa na ishu muhimu sana hiyo jumatatu maana mpaka wakati huo ilishakuwa ni saa saba inaenda saa nane. Basi mimi nikamkumbuka jamaa yangu mmoja ambae ni mkazi wa pale Dodoma nikawaza nimpigie au nimtumie meseji. Yule jamaa aliyepagawa kama mimi akawa anawaita polisi wa zamu pale kaunta anaomba simu yake aongee walau dk 1 kuna ishu muhimu sana inatakiwa atoe maagizo. Wale polisi wakawa wanamjibu apambane na hali yake na kama akiendelea kuwapigia kelele watamwamisha pale wakaweke sehemu mbaya zaidi. Basi mimi kusikia vile kwa kuwa nilbahatika kuiingia na simu nikamwambia mimi nina simu hapo kama ni ishu muhimu nitampa wacha nimcheki jamaa yangu kwanza. Akaniambia poa yeye kuna jamaa yake ni mkubwa mkubwa wizara ya mambo ya ndani pale hivyo akimpata tu jambo letu linakuwa limeisha. Kusikia vile nikampa yeye simu kwanza aongee na jamaa yake.

Basi jamaa akaichukua ile simu akaniambia tusogee upande wa kule kwenye madebe ya kinyesi na mikojo ambako kunakuwa hakuna watu kabisa labda wanaoenda kujisaidia, humu humo kwenye vyemba vya mahabusu lakini na hakuna kitu kinachotenganisha ni ku auwazi tuu, wee acha tuu. Basi ile jamaa anaajiandaa tu kupiga simu mara tunasikia jamaa anapiga kelele “nyaparaa, wameingia na simuu”. Nyapara kusikia vile alikuja pale tulipo kama mbogo akawa anafoka vibaya mno kwa nini tumeingia na simu mule ndani. Nayeye akasogea mlangoni pale akawaita maafande wa zamu kuwaeleza kwamba kunawatu wameingia na simu mle ndani. Jamaa alikuwa mnokjo kweli kweli.

Sasa pale nikanote kitu kimoja, hawa manyapara wanasikilizwa sana na maafande kwani ndio wasemaji wakuu wa mahabusu mnapokuwa mle ndani. Na vigezo vya kupewa unyapara kwanza uwe umeishi mule mahabusu mda mrefu yaani unakuwa kama mtoto wa nyumbani vile na pili uwe na tabia za unoko. Zamani nilikuwa nafikiri ili uwe nyapara unatakiwa uwe mbabe ila pale nikaja kujua kale kanyanpara hakakuwa na ubabe wowote ispokuwa kalikuwa ndio kainfoma ka polisi na pale selo yeye ilikuwa ni kama nyumbani kwao yaani akikaa uraiani wiki hamalizi anapiga tukio ilimradi arudishwe pale. Alinishangaza sana. Nakumbuka wakati sisi tunampiga biti hata mahabusu wengine waliokuwemo mle ndani ambao waliishi naye kama siku mbili au wikinao walitaka hadi kumdunda ila wakawa wanaogopa maana yule nyapara alikuwa akikuchoma kwa wale polisi utakachokipata hutakisahahu.

Basi wal polisi wakaitana kama wanne hivi watatu wakiwa na bunduki wakafyungua selo ili kutuchukua sisi tuliokuwa tunajaribu kupiga simu. Nakumbuka kabusa maneno yao mmoja akasema ni kidume gani hicho chenye kib** (tusi) kinachompa kiburi cha kuingia na simu humu ndani? yule nyapara akatuonesha sisi huku akitamba mtaona mtakachoenda kukutana nacho nyie mak** (tusi), si mnajifanya wajanja? Nikajua leo kazi. Simu yangu alikuwa bado anayo yule jamaa. Wakataka watoke nae peke yake. Ila mimi nkasema wanichukue na mimi maana ile simu ni yangu. Sijui nini kilinifanya niseme ukweli maana yule jamaa alikuwa radhi ule msala aubebe yey kama yeye. Wale polisi wakasema sawa twende na wewe. Basi tukatoka pale huku wale polisi wakisema sikumbuki wanatupeleka sijui chemba gani, inaoneka huko ni kubaya zaidi, yaani huko ni mpaka useme.

Basi tukatolewa pale sasa tukawa tunazungushwa kwa uwani ili tuelekee huko tunakopelekwa. Sasa kabla hamjapelekwa huko utaratibu inaonekana pale kunaruhusa au maelezo inabidi wayatolee maelezo kwa mkubwa wao au sijui ni mtu wa kitengo gani, maana mimi sijua sana kuhusu ranks na mambo kama hayo ya idara ya polisi. Sasa wakati tumekalishwa chini kwenye ile ofisi ya kule uwani jamaa wanatolea maelezo kwa nini tuhamishwe akaingia mdada mmama-mdada mmoja inaonekana ndio alikuwa anaondoka au ndio anaingia zamu. Inaonekana kuna kitu alikuja kukifata mara moja kwenye ile ofisi.

Sasa wakati yule mdada anatoka tukagongana macho. Akshituka sana ile kama ananifananisha akawa ananiangalia sana. Mimi nipomuona nikamgundua mara moja. Nikamwambia ni mimi usinifananishe ni rafiki yake na D, nikamtaja mdogo wake. Yule dada akaniuliza wewe sio Taidume wewe? Unafanya nini hapa? Siku hizi uumekuwa jambazi? Akaniouliza maswali mfululizo pale. Nikamwambia ni ndie mimi na wala sio jambazi. Basi ikabidi awaulize wale polis waliotuleta pale nina kosa gani. Wale polisi walikuwa hawajui hata nimeletwa pale kwa kosa gani isipokuwa wametulea pale ofsini kwa sababu mimi nilikuwa nimeingia na simu. Basi akawaambia wale polisi wasinipekele kwanza huko wanakotana kunipeleka wamwachie yeye anihoji kwanza.

Kikweli nilipata ahueni ya nguvu sana. Yule mdada alikuwa ni kama sista angu kwa sababu mdogo wake D ni mmoja wa best frend zangu. Hivyo kupitia huyo mdogo nilikuwa nafahamika na ndugu zake wengine. Nakumbuka hata kwenye harusi yake huyo mdada wakati mimi na mdogo wake tupo advance nilikuwa ni mmoja niliovaa sare ya kuwasindikiza maharusi ukumbini. Kwahiyo alikuwa ni sista anga kiufupi. Mpaka mda ule nikajua walau sasa naweza kuchomoka kwenye ule msala lakini nikasema niwe na subira.

Basi yule dada akanichukua maelezo pale mbele ya wale polisi wengine. Ndio tukamweleza ilivokuwa tangu tulipokuwa kule grosari. Ndio kuna polisi mmoja akasema ile ishu ilikuwa ni maelekezo ya wakubwani maswala ya ushindani wa kibishara. Nilivoelewa mimi inaonekana mwenye ile grosari tuliokuwepo alikuwa anauza sana kuliko wengine mpka ikawalazimu wengine kukesha ili walau waokoteze wateja jamaa akiwa amefunga. Maana jamaa yetu mida yake ya kufunga ilikuwa haizidi saa saba hata kama ni wikend. Mpaka yeye afunge wengine ndio wauze, sasa sijajua alikuwa anatumia maneuver gani ila mimi nilipapenda sababu mazingira yake, wahudumu wenye heshima na jamaa alikuwa mcheshi sana. Kwahiyo mpango uliokuwepo ni kukamata wateja wake kila inapofika saa sita mpaka wateja wamkimbie jamaa, kwa kigezo kwamba muda wa kufunga biashara umefika. Ndio mana siku ile ilipofika saa sita na dk 5 wazee hao wakatimba kutukamata na mimi nikiwa ni victim.

Basi yule dada akaniambia kwa ishu ile ilivyo kuachiwa inaweza ikachukua hata siku mbili maana mpango ulikuwa tufunguliwe kesi ya uzururaji. Nilipomweleza lengo lililonileta Dodoma na situation ambayo niko nayo pale akawa very concerned. Chakushangaza na yule jamaa niliyekuwa naye nayeye alikuwa ni mfanyakazi wa wizara ya afya na ndio alikuwa anategemewa kutuhost kwenye kile kikao.maana wakati mimi namuelezeza yule sistaang akaniulize wewe unatoka shrike flani? Nikamwambia ndio na kumuuliza mbona kuniuliza? Ndio akaniambia nay eye anahitajika sana kwenye hicho kikao cha saa tano na sisi na yeye ndio anatakiwa kuendesha kile kikao. What a coincidence? Basi yule sista akashughulikia lile swala kwa mbinu anazozjiua yeye mwenyewe tukaachiwa pale kama kwenye saa tisa na nusu alfajiri.

Mimi mpaka nafika hotelini ilikuwa ni kama saa kumi alfajiri. Basi nikaoga pale na nikaweka alam iniamshe saa mbili kamili asubuhi. Nikapiga mbonji mpaka alam iliniponiamsha nikajiandaa fasta saa nne kamili nikaungana na timu tukaenda tukaenda kwenye meeting. Kufika kule meeting ikawa inaendelea kama kawaida huku mimi na jamaa yangu mara nyingi tukiangaliana na kuishia kuchekea tumboni hahahaa. Tkamaliza meeting pale kama saa nane hivi. Wakati naondoka yule jamaa yangu akanipa contact akaniambia nijitahidi badae tuonane. Jioni nikamtafuta tukaonana mahali ikawa ndio mwanzo wa kuwa marafiki mpaka hivi leo nina namba yake na tunawasiliana mara moja moja. Kama yupo humu atajijua na atanipigia hahahaa.

That day I was lucky indeed kukutana na yule dada angu. maana nilikuwa naharibu hiyo kazi. See you next time for more personal experiences on my career path.​
Noma sana …hii ….
 
Ndio una ambiwa better to be born lucky than gifted
Hakika mkuu yani unakuwa ofisini unakuta mtu mambo anayoyafanya hadi unajiulize alitumia mbinu gani kupat kazi? Yani hadi unahisi aliroga serikali yani yuko hovyo hovyo…..alafu ni boss sasa haahahhaha
Halafu unakuja mtaani una kutana na wakina Tai Dume aiseee yani Acheni Mungu aitwe Mungu….,,,,
 
Ni kweli imeshawahi kunicost hii. Kwakuwa ilikuwa ni negative sikutaka kuiweka hapa.
Mkuu kwa kuwa ni work and life experience unaweza ukatupa hata negative kwani tutajifunza sana tuu wengine hawajui hilo….Mkuu Tililika
 
Hakika mkuu yani unakuwa ofisini unakuta mtu mambo anayoyafanya hadi unajiulize alitumia mbinu gani kupat kazi? Yani hadi unahisi aliroga serikali yani yuko hovyo hovyo…..alafu ni boss sasa haahahhaha
Halafu unakuja mtaani una kutana na wakina Tai Dume aiseee yani Acheni Mungu aitwe Mungu….,,,,
Lilia bahati sio kipaji 🤣🤣🤣🤣
 
Usipende kumuweka MTU kwenye CV yako kisa alikuwa ni boss wako, utalia na kwambia
hapa nakuunga mkono 100% nilifanya intervw sehem nikapita mchujo wa kwanz,ikafata mchujo wa pili nikapita bwana eeh kumbe maboss zangu wa zaman walivyojua aseh kumbe boss wa hiyo kampun wanajuana niliharibiwa mchana kweupe na kilichoniponza hasa ni CV yangu nilijuta
 
hapa nakuunga mkono 100% nilifanya intervw sehem nikapita mchujo wa kwanz,ikafata mchujo wa pili nikapita bwana eeh kumbe maboss zangu wa zaman walivyojua aseh kumbe boss wa hiyo kampun wanajuana niliharibiwa mchana kweupe na kilichoniponza hasa ni CV yangu nilijuta
Aaah kumbe.. Ngoja nikafanye marekebisho aiseee...!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ni kweli imeshawahi kunicost hii. Kwakuwa ilikuwa ni negative sikutaka kuiweka hapa.

hapa nakuunga mkono 100% nilifanya intervw sehem nikapita mchujo wa kwanz,ikafata mchujo wa pili nikapita bwana eeh kumbe maboss zangu wa zaman walivyojua aseh kumbe boss wa hiyo kampun wanajuana niliharibiwa mchana kweupe na kilichoniponza hasa ni CV yangu nilijuta
Wa Afrika hatupendani sisi Kwa sisi. Majungu fitina,roho mbaya ndio tumeendekeza,

Ndio maana ilikuwa rahisi kutawaliwa na wakoloni coz ya ubinafsi
 
Back
Top Bottom