Mambo muhimu ya kuzingatia katika uendeshaji wa kampuni

Mambo muhimu ya kuzingatia katika uendeshaji wa kampuni

Mwisho wa kupeleka malipo ya quater ya tatu TRA ni kesho Tarehe 30/ September hii ni moja ya quater ambayo watu wanasahau sana kupeleka au kulipa hayo makadirio tafadhali jipange
 
Mkuu naomba ku-volunteer ofisini kwako. Nimesoma Kodi bachelor pale chuo cha kodi. Nahitaji kujifunza vitu vingi zaidi
Mwisho wa kupeleka malipo ya quater ya tatu TRA ni kesho Tarehe 30/ September hii ni moja ya quater ambayo watu wanasahau sana kupeleka au kulipa hayo makadirio tafadhali jipange
 
Kwasasa ofisi imejaa nami najua mazingira yetu ku volunteer bila kulipwa kabisa sio jambo zuri sana ila naweza kukushauri jaribu kutafuta list ya baadhi ya tax consultant na wahasibu uwaeleze hiyo adhima yako. Ila hii peleka cv yako mguu kwa mguu usitume barua. Nenda kwenye ofisi omba kuwa na appointment na Partner unaweza kufanikiwa hasa kuanzia wiki ijayo ambayo watu wengu waliokuwa field wanaanza kurudi vyuo.


Mkuu naomba ku-volunteer ofisini kwako. Nimesoma Kodi bachelor pale chuo cha kodi. Nahitaji kujifunza vitu vingi zaidi
 
Kwa kweli nimefurahi sana kwa hatua hii katika kukuza biashara sasa leseni Class A inawezwa kuombwa online kwenye website ya www.business.go.tz hii itasaidia sana kwa walio mikoani kwa kweli natoa kongole na sisi washauri wa biashara itapunguza garama. Nashauri sasa na hizi za Halmashauri wafuate mwendo huu siku sio nyingi. Hongereni sana Wizara ya Biashara
 
Naomba kujua wale waliotumia mfumo mpya wa kuomba leseni ya Class A wanaonaje kuhusu kutumia mtandao kufanya hivyo.
 
Naomba kujua wale waliotumia mfumo mpya wa kuomba leseni ya Class A wanaonaje kuhusu kutumia mtandao kufanya hivyo.
Hivi ukianzisha uwakala wa sim na bank leseni yake unatakiwa kuchukua wizara ya biashara au manispaa?
 
Uwakala wa simu ni manispaa Class B
Ahsante
Oook sawa mkuu na iwapo mtu amefungua kampuni mwezi wa 7 mwaka huu na kuanza kuoparate biashara yake wakati huo huo anatakiwa kuwasilisha repot ya mapato yake na matumizi kabla ya mwezi June wa mwaka ujao wa kodi lkn swali langu lipo je inawezekana ukaandika barua kwenda tra ili kuomba kufunga mahesabu yako mwaka ujao wa mapato mwezi wa 12 kwani kwa kufunga mwaka huu huu inakua na gharama kidog sasa ombi langu la kutaka kufaham ni je kuandika barua kwenda kwa kamishina inawezekana ili uombe mda wa mwaka ujao wa mapato ndo ufunge hesabu? Na vipi kuhusu brela nao utawandikia barua au utatakiwa kujaza annual return zao Sikh na mwezi uliosajiliwa?
 
Wenye nyumba watakubali kweli uwaletee habar za kuwakata kodi yao
 
Unaweza kuandika hiyo barua kwenda TRA ila muda mzuri wa kufanya hivyo nikuanzia January 2020. Unaruhusia kutengeneza hesabu za miezi kumi na nane ila ni lazima upate ruhusa hiyo ya Kamishina kwa hiyo waandikie na uhakikishe unapata majibu. Na Brela wakati unafanya annual returns utawaeleza kuwa ukuweza kutengeneza hesabu za mara nyingi wanakubali hawana shida.



Oook sawa mkuu na iwapo mtu amefungua kampuni mwezi wa 7 mwaka huu na kuanza kuoparate biashara yake wakati huo huo anatakiwa kuwasilisha repot ya mapato yake na matumizi kabla ya mwezi June wa mwaka ujao wa kodi lkn swali langu lipo je inawezekana ukaandika barua kwenda tra ili kuomba kufunga mahesabu yako mwaka ujao wa mapato mwezi wa 12 kwani kwa kufunga mwaka huu huu inakua na gharama kidog sasa ombi langu la kutaka kufaham ni je kuandika barua kwenda kwa kamishina inawezekana ili uombe mda wa mwaka ujao wa mapato ndo ufunge hesabu? Na vipi kuhusu brela nao utawandikia barua au utatakiwa kujaza annual return zao Sikh na mwezi uliosajiliwa?
 
Kwa waliona makampuni na majina ya biashara ni muda wa kuhakikisha ume update taarifa zako brela. Maana usichelewe kufanya hivyo ukawa siku unatakiwa kutafuta mkopo Benki wakawa wanashidwa kupata taarifa zako na hivyo kukunyima mkopo.
Mkuu kuupdate taarifa la jina la biashara inatakiwa ifanyike kila baada ya mda gani
 
Kuupdate kwa sasa ni mara moja ili uwe kwenye ORS system ila kama unafungua sasa tayari utakuwa uko kwenye ORS. So utatakiwa kiwa mwaka ufanye returns ambayo unalipa maintanance fee ya Tshs 5,000/. Ahsante

Mkuu kuupdate taarifa la jina la biashara inatakiwa ifanyike kila baada ya mda gani
 
Kuupdate kwa sasa ni mara moja ili uwe kwenye ORS system ila kama unafungua sasa tayari utakuwa uko kwenye ORS. So utatakiwa kiwa mwaka ufanye returns ambayo unalipa maintanance fee ya Tshs 5,000/. Ahsante
Asante mkuu huu uzi wako japo nimechelewa kuuona ila naamini sijachelewa maana ni mwaka jana tu nilikua kwenye dilema mpaka nikaamua kusajili tu jina la biashara then kampuni nategemea come next year 2020 nifungue. Asante sana
 
Karibu naamini kuna mambo muhimu sana kwa kuendesha kampuni na hakunaga kuchelewa kufanya sawasawa utakapokuwa umeelewa anza hapo hapo kufanya sawasawa nawe utaona mambo mazuri

Asante mkuu huu uzi wako japo nimechelewa kuuona ila naamini sijachelewa maana ni mwaka jana tu nilikua kwenye dilema mpaka nikaamua kusajili tu jina la biashara then kampuni nategemea come next year 2020 nifungue. Asante sana
 
Karibu naamini kuna mambo muhimu sana kwa kuendesha kampuni na hakunaga kuchelewa kufanya sawasawa utakapokuwa umeelewa anza hapo hapo kufanya sawasawa nawe utaona mambo mazuri
Mkuu unaweza kuwa na ujuzi wa utaratibu wa kusajili international company pamoja na mambo ya kodi yapoje? Kuna ishu nilikua najadili na potential partner ambaye tayari anakampuni ya mambo ya digital solutions nje ya bongo sasa tunataka kuileta na bongo ..
 
Ndio Mkuu hizo nimefanya sana tu. sasa inategemea wanataka wapewe certificate of compliance au wanataka with the same name wasili local company. Kwenye maswala ya kodi faida inayopatikana hapa itapigwa 30% kama kawa kwenye corporate na kodi nyingine kama withholding ya rent na hapo naona kama service, SDL na WCF zitahusika tu kama kampuni nyingine.
Mkuu unaweza kuwa na ujuzi wa utaratibu wa kusajili international company pamoja na mambo ya kodi yapoje? Kuna ishu nilikua najadili na potential partner ambaye tayari anakampuni ya mambo ya digital solutions nje ya bongo sasa tunataka kuileta na bongo ..
 
Ndio Mkuu hizo nimefanya sana tu. sasa inategemea wanataka wapewe certificate of compliance au wanataka with the same name wasili local company. Kwenye maswala ya kodi faida inayopatikana hapa itapigwa 30% kama kawa kwenye corporate na kodi nyingine kama withholding ya rent na hapo naona kama service, SDL na WCF zitahusika tu kama kampuni nyingine.
Basi ntarudi tena kwako ngoja nione seriousness yake...na kama mimi nikianzisha kampuni na mtu wa nje ya bongo hapo inakuaje kama umiliki ni mimi na yeye foreigner
 
Inawezwa kuanzishwa tu na hiyo inaitwa local company

Basi ntarudi tena kwako ngoja nione seriousness yake...na kama mimi nikianzisha kampuni na mtu wa nje ya bongo hapo inakuaje kama umiliki ni mimi na yeye foreigner
 
Back
Top Bottom