- Thread starter
- #141
Ndugu hili nitakwa la kisheria Section 186 of company act lazima wawepo angalau wawili . Sasa tafuta mke/mume, rafiki au hata ndugu mpe asilimia kidogo kuanzia 1-5% ya share utakuwa na nguvu kama unamiliki pekee yako.
Nimekuwa nikiskia kampuni haimilikiwi na mtu mmoja, je nitafanyaje kama nina mtaji wa kutosha kufunga kampuni ninyohitaji lakini ama sitaki kuwa na wanahisa wengine kwenye kampuni yangu au sina watu wengine wa kuwa wanahisa wa kampuni yangu?
Ahsante.