Mambo muhimu ya kuzingatia katika uendeshaji wa kampuni

Mambo muhimu ya kuzingatia katika uendeshaji wa kampuni

Je ukiwa permanently auditor wa kampuni zangu maana nina moja tayari nataka kufungua ya pili ina cost tshs ngapi kwa monthly or yearly ila sikuajiri mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Kuanzisha kampuni kwa mtaji mdogo
Kwa mujibu wa sheria za usajili wa kampuni 2002, mtaji unaanzia sh 20,000 tu. Hivyo hiyo mil 2 ni kubwa kwani hata kiusajili ipo daraja la pili kati ya mil 1 hadi mil 4.99. Hivyo huo sio mtaji mdogo

2. Je ufanye nini kwa biashara hiyo?
Nakushauri biashara hy uliyonayo iboreshe na kuiendesha kwa muundo wa kisasa inaweza kuwa kama mini supermarket kwa food shop, au duka la jumla lakini likiwa kampuni. Mfano kuna maduka yalikuwepo mengi ya Metl (juu yaliandikwa nonstopshop) hivyo biashara hyhy unaweza kuiboresha zaidi na huna haja ya kuanza biashara mpya. Muhimu uibadilishe namna ya uendeshaji na isiwe wewe mpaka uwepo bali uwe na 'management' ambayo itasimama imara

3. Suala la kodi
Ni kweli faida mojawapo ya kampuni ninkuwa huru katika kodi za kukadiriwa na TRA kwn utakuwa wajikadiria mwenyewe na mwisho wa siku utawasilisha hesabu za mizania kuonyesha hasara au faida uliyopata na kodi stahiki unayotakiwa kuilipia. Gharama za kuandaliwa mahesabu unaingia mkataba na kampuni za ukaguzi na huku ndani ya kampuni yako kuwa na mhasibu au unaweza kumwajiri hata wa part time
Natamani sana kuwa na kumpuni japo mtaji wangu ni mdogo kama 2mill, naumizwa sana na jinsi TRA wanavyonikadilia kodi lakini pia nahitaji kuwa huru, ndo maana natamani kuwa na kampuni ili wanikadilie kwenye faida, sasa mkuu kwa mtaji kama huo wa 2mill naweza kuanzisha kampuni ya nini tofauti na hii ya maduka? Biashara ambayo inaweza kunifanya kuwa free, ili niachaane na hii ambayo nikisafiri kwa mwezi tu nakuta biashara iko hoi, yaani kuendelea kwake vizuri mpaka mimi niwepo. Asante sana.

Reach New Heights
 
Inategemea na makubaliano baina ya kampuni yako na mkaguzi husika. Na huu ndiyo mfumo zuri zaidi wa kufanya kazi kama part time. Muda pia ni mambo yanayojadilika kutokana na nature ya biashara
Je ukiwa permanently auditor wa kampuni zangu maana nina moja tayari nataka kufungua ya pili ina cost tshs ngapi kwa monthly or yearly ila sikuajiri mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Reach New Heights
 
1. Kuanzisha kampuni kwa mtaji mdogo
Kwa mujibu wa sheria za usajili wa kampuni 2002, mtaji unaanzia sh 20,000 tu. Hivyo hiyo mil 2 ni kubwa kwani hata kiusajili ipo daraja la pili kati ya mil 1 hadi mil 4.99. Hivyo huo sio mtaji mdogo

2. Je ufanye nini kwa biashara hiyo?
Nakushauri biashara hy uliyonayo iboreshe na kuiendesha kwa muundo wa kisasa inaweza kuwa kama mini supermarket kwa food shop, au duka la jumla lakini likiwa kampuni. Mfano kuna maduka yalikuwepo mengi ya Metl (juu yaliandikwa nonstopshop) hivyo biashara hyhy unaweza kuiboresha zaidi na huna haja ya kuanza biashara mpya. Muhimu uibadilishe namna ya uendeshaji na isiwe wewe mpaka uwepo bali uwe na 'management' ambayo itasimama imara

3. Suala la kodi
Ni kweli faida mojawapo ya kampuni ninkuwa huru katika kodi za kukadiriwa na TRA kwn utakuwa wajikadiria mwenyewe na mwisho wa siku utawasilisha hesabu za mizania kuonyesha hasara au faida uliyopata na kodi stahiki unayotakiwa kuilipia. Gharama za kuandaliwa mahesabu unaingia mkataba na kampuni za ukaguzi na huku ndani ya kampuni yako kuwa na mhasibu au unaweza kumwajiri hata wa part time

Reach New Heights
Asante sana mkuu, nitafanyia kazi ushauri wako japo bado kimbembe ni kupata manager mwaminifu na imara.
 
Kwa kuwa hili swali liko kwa ajili yako mambo mengi ni mapatano kutokana na ukubwa wa kazi. Noamba kwa undani zaidi nikujibu pm. Ila napenda kuwaelimisha wana jamvi mambo mengi kwenye uendeshaji wa makampuni yanaendana na makubaliano na kwa kuwa hizi kazi ni kazi za kitaaluma basi kuna jinsi yake na taratibu zake za kufuata ili kupata huduma stahiki.

Je ukiwa permanently auditor wa kampuni zangu maana nina moja tayari nataka kufungua ya pili ina cost tshs ngapi kwa monthly or yearly ila sikuajiri mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karibu, Ila biashara siku hizi kaka ni mifumo kwahiyo jitahidi kuweka mifumo ya check and balance ambayo haipi mtu mmoja mamlaka ya kufanya yale anayotaka ila yale yanayotakiwa. Na unaongeza na CCTV jicho la tatu unaweza kufanikiwa sana.

Asante sana mkuu, nitafanyia kazi ushauri wako japo bado kimbembe ni kupata manager mwaminifu na imara.
 
Mida hii ya mwanzo wa mwaka ndio muhimu kukaa na wataalamu wako wa fedha kwanza kufanya jambo linaloitwa Tax Planning kujua kwa ujumla mwaka huu unakusudia kufanya nini na nini hasa adhari zake katika kodi. Nimeongea na wafanyabiashara wengi napenda kusema hata wale wa kati swala hili bado halijapewa msukumo wa kutosha na lazima uelewe biashara za karne hii zinaenda kwa mipango sasa ukitaka wewe mshutuko ndio ukufanyie mpango utakuwa siku zote nyuma ya ratiba.
Pili ni muda mzuri sana wa kufanyiwa audit kabla mauditor hawajawa busy inapoelekea mwishoni na hivyo law of demand and supply inaweza kutumika kwa hiyo ukapata bei nzuri sasa. Watafute sasa usiahirishe kwasababu una muda.
Alamsiki
 
Wadau ni tarehe 19/February tayari ni mwezi tu umebaki kuwasilisha makadirio yako ya mapato TRA. Ni vyema ukafanya haya mapema na kuanza kutafuta tax clearance kwa ajili ya kurenew leseni yako ya Biashara kwa Halmashauri husika unayofanya biashara
 
Nipo kwenye hatua za mwisho kabisa kabla ya kukutafuta Mkuu
 
First quater na mambo yake ndio yanakaribia kuisha kama kampuni au bishara ambayo inatambulika TRA sasa ni muda wa kufanya makadirio tuna siku sizizozidi 20 ni muhimu kufanya jambo hilo sasa ili kuondokana na bughudha huko baadaye. Inakusaidia nini inakuondolea penaty na fine ambazo unaweza kuziepuka, Pili unalipa kodi stahiki kwa sasa na hivyo kuweza kupewa Tax Clearance kwa uharaka na kwa kweli saa hizi huduma wameboresha. Tatu tax clearance inakusaidia katika kupata leseni hii ni moja na hitaji la lazima wakati unaomba leseni, pata tax clearance hata kama leseni yako inaexpire mwezi wa tisa au wa kumi ikifika wakati huo unachukua tax clearance yako unaenda halmashauri au Wizara ya Viwanda, Biashara na uwekezaji (Class A) kupata leseni yako.
Nawasilisha
 
Sasa Robo mwaka umepita kuna mambo makuu makubwa kwa hii robo ya pili kuhakikisha kuwa Audit ya financial statement za mwaka jana zinaisha na kulipa tofauti ya kodi uliyokadiria na ile iliyoonekana kwenye vitabu vyako. Na kwa sasa ni vyema vilevile uhakikishe kampuni yako au jina la biashara limeupdatiwa kwenye system ya Brela muhimu sana hilo.
 
Sasa Robo mwaka umepita kuna mambo makuu makubwa kwa hii robo ya pili kuhakikisha kuwa Audit ya financial statement za mwaka jana zinaisha na kulipa tofauti ya kodi uliyokadiria na ile iliyoonekana kwenye vitabu vyako. Na kwa sasa ni vyema vilevile uhakikishe kampuni yako au jina la biashara limeupdatiwa kwenye system ya Brela muhimu sana hilo.
Nyumbalo ubarikiwe sana mkuu....japokua nimechelewa kukutana na hii ila kwa hakika nimefunguka kiasi kikubwa sana na mtazamo wangu umebadikika sana juu ya ulipaji kodi na matumizi ya EFD Matchines...shukrani sana bro n God bless you abundantly man...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amen Sifa zote na heshima arudishiwe Mungu


Nyumbalo ubarikiwe sana mkuu....japokua nimechelewa kukutana na hii ila kwa hakika nimefunguka kiasi kikubwa sana na mtazamo wangu umebadikika sana juu ya ulipaji kodi na matumizi ya EFD Matchines...shukrani sana bro n God bless you abundantly man...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini za leo wanajamii,
Leo nimeona kidogo nitumie fani yangu ya ushauri wa maswala ya biashara na uchumi niweke mambo muhimu katika uendeshaji wa biashara kwa nchi yetu pendwa ya Tanzania.

Hapo miaka ya nyuma kulitokea na watu wengi waliosajili makampuni (LTD Companies) na wengine walienda mbali kidogo wakapata na Tax Indentification Number (TIN) kutoka mamlaka ya mapato (TRA). Sasa wanapotaka kuanza kufanya kazi wanakutana na penaty kubwa na fine.

Ni Moja ya kushukuru Mungu sijui waheshimiwa walipita hapa katika budget ya mwaka 2018/2019 wametoa TAX AMNESTY kwenye fine na penalty kwa kipindi cha miezi sita toka July 1 to Nov 30, Sasa Maelekezo yametoka na form ziko online na kwenye ofisi za TRA hii ni nia nzuri mno ya serikali na mimi natoa kongole kwa jambo hilo. Hii uliyo na rangi hii ni maongezo toka kwenye original post

Ni kutokana na kadhia hiyo nataka kutoa ushauri kidogo kwa yeyote mwenye kampuni vitu hivi vitatu ni vya muhimu sana hata kama kampuni yako haiyafanya biashara.

Mosi hakikisha kila mwaka unapeleka majeresho yako (Annual returns) brela kwenye tarehe ile ambayo ulisajiliwa na hizi ni vyema ziambatane na hesabu zilizokaguliwa ( Audited financial). Kuanzia February 01, 2018 swala hili linafanyika kwenye mtandao wa Brela kama utahitaji msaada wa kufanya unaweza kuwasiliana nami PM .

Mbili hakikisha unapelewa returns zako TRA zile za provisional returns ambazo zinatakiwa kupelekwa kuanzia tarehe 01 January mwisho wake ni tarehe 31 March. Haya ni makisio unayotegemea kuwa nayo kwa kipindi cha mwaka huo. Na hapa ndio kumekuwa na mtihani kwa wale waliokuwa na kampuni lala kuwa mimi sijafanya biashara kabisa, Kama hutegemei kufanya bishara weka au fill Nil returns ( RETANI ZERO) inakubalika ila unajulikana na kutofanya hivyo inakarabisha fine.

Na haya makadirio unaweza kuyabadilisha kwa wakati wowote hali yako ya biashara itakapobadilika. Hivyo hivyo kwenye VAT unatakiwa kupeleka returns zako za VAT kila mwezi hata kama ujafanya biashara kama umesajiliwa kwa VAT. Na Vile vile hakikisha kuwa mahesabu yako ( Audited Financial) zinawakilishwa kila mwaka kabla ya tarehe 30 June.

Tatu kodi zote nyinginezo kama withholding tax, PAYE na SDL zinapelekwa ila hapa utata umekuwa mkubwa kwenye withholding tax kwenye pango (rent) kwa mujibu wa sheria ni yule anayelipa ndio anatakiwa kukata na kupeleka TRA kwahiyo kama pango lako kwenue mkataba ni laki tano kwa mwezi na wewe umelipa miezi mitatu. Unatakiwa umpe mwenye nyumba 1,350,000/ halafu hiyo 150,000/ Unapeleka TRA, hivyo ndio sheria inavyotaka.


Naomba kuwakilisha
Asante mkuu, umetusaidia wengi. We are appreciate you Sir.
Kuhusu kampuni umelizungumzia kwa mapana SANA lakin bado cjaelewa "kusajili jina Biashara" ndo nin, Ina tofauti gani na kampuni, Ina kodi kulipia kila mwaka? Etc
 
Habarini za leo wanajamii,
Leo nimeona kidogo nitumie fani yangu ya ushauri wa maswala ya biashara na uchumi niweke mambo muhimu katika uendeshaji wa biashara kwa nchi yetu pendwa ya Tanzania.

Hapo miaka ya nyuma kulitokea na watu wengi waliosajili makampuni (LTD Companies) na wengine walienda mbali kidogo wakapata na Tax Indentification Number (TIN) kutoka mamlaka ya mapato (TRA). Sasa wanapotaka kuanza kufanya kazi wanakutana na penaty kubwa na fine.

Ni Moja ya kushukuru Mungu sijui waheshimiwa walipita hapa katika budget ya mwaka 2018/2019 wametoa TAX AMNESTY kwenye fine na penalty kwa kipindi cha miezi sita toka July 1 to Nov 30, Sasa Maelekezo yametoka na form ziko online na kwenye ofisi za TRA hii ni nia nzuri mno ya serikali na mimi natoa kongole kwa jambo hilo. Hii uliyo na rangi hii ni maongezo toka kwenye original post

Ni kutokana na kadhia hiyo nataka kutoa ushauri kidogo kwa yeyote mwenye kampuni vitu hivi vitatu ni vya muhimu sana hata kama kampuni yako haiyafanya biashara.

Mosi hakikisha kila mwaka unapeleka majeresho yako (Annual returns) brela kwenye tarehe ile ambayo ulisajiliwa na hizi ni vyema ziambatane na hesabu zilizokaguliwa ( Audited financial). Kuanzia February 01, 2018 swala hili linafanyika kwenye mtandao wa Brela kama utahitaji msaada wa kufanya unaweza kuwasiliana nami PM .

Mbili hakikisha unapelewa returns zako TRA zile za provisional returns ambazo zinatakiwa kupelekwa kuanzia tarehe 01 January mwisho wake ni tarehe 31 March. Haya ni makisio unayotegemea kuwa nayo kwa kipindi cha mwaka huo. Na hapa ndio kumekuwa na mtihani kwa wale waliokuwa na kampuni lala kuwa mimi sijafanya biashara kabisa, Kama hutegemei kufanya bishara weka au fill Nil returns ( RETANI ZERO) inakubalika ila unajulikana na kutofanya hivyo inakarabisha fine.

Na haya makadirio unaweza kuyabadilisha kwa wakati wowote hali yako ya biashara itakapobadilika. Hivyo hivyo kwenye VAT unatakiwa kupeleka returns zako za VAT kila mwezi hata kama ujafanya biashara kama umesajiliwa kwa VAT. Na Vile vile hakikisha kuwa mahesabu yako ( Audited Financial) zinawakilishwa kila mwaka kabla ya tarehe 30 June.

Tatu kodi zote nyinginezo kama withholding tax, PAYE na SDL zinapelekwa ila hapa utata umekuwa mkubwa kwenye withholding tax kwenye pango (rent) kwa mujibu wa sheria ni yule anayelipa ndio anatakiwa kukata na kupeleka TRA kwahiyo kama pango lako kwenue mkataba ni laki tano kwa mwezi na wewe umelipa miezi mitatu. Unatakiwa umpe mwenye nyumba 1,350,000/ halafu hiyo 150,000/ Unapeleka TRA, hivyo ndio sheria inavyotaka.


Naomba kuwakilisha
Asante mkuu, umetusaidia wengi. We are appreciate you Sir.
Kuhusu kampuni umelizungumzia kwa mapana SANA lakin bado cjaelewa "kusajili jina Biashara" ndo nin, Ina tofauti gani na kampuni, Ina kodi kulipia kila mwaka? Etc
 
Karibu nimepokea hizo Ahsante naomba nimrudishie Mungu utukufu wote maana yeye ndio anastahili huo.Tofauti kubwa ya jina la biashara na ltd kampani ni nani anadaiwa baada ya jambo lolote paya kutokea kwa kampuni ukomo wa deni ni mali za kampuni lakini jina la biashara ambalo mara nyingi ni mtu binafsi mmoja halina ukomo kwenye biashara ile tu inaweza kuinga mpaka kwenye mali zote za mhusika. Pili unaweza kufungua jina la biashara mtu mmoja (Sole propriater) ingawa unaruhusiwa mpaka watu 20 wakati kwenye kampuni lazima wawe watu wawili nakuendelea. Hizo ni sababu chache ila hata kwenye maswala ya kodi kuna matakwa yake ambayo yako tofauti kidogo

Asante mkuu, umetusaidia wengi. We are appreciate you Sir.
Kuhusu kampuni umelizungumzia kwa mapana SANA lakin bado cjaelewa "kusajili jina Biashara" ndo nin, Ina tofauti gani na kampuni, Ina kodi kulipia kila mwaka? Etc
 
Back
Top Bottom