Mambo muhimu ya mahusiano ya kufahamu kabla ya ndoa

Mambo muhimu ya mahusiano ya kufahamu kabla ya ndoa

karv

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2019
Posts
1,802
Reaction score
3,253
Habari za wakati huu nimepata kitu ningependa kushiriki nanyi wapendwa..

1)Mahusiano ni magumu na kila uhusiano ni tofauti kikubwa fuata hisia zako tu.

2)Subiri umri sahihi ufike usichekewe sana wala usiwahi sana. Umri sahihi ni ule ambao unaona wewe unaweza kuhimili majukumu na changamoto za ndoa (23 kwa mwanamke na 25 kwa mwanaume inafaa sana).

3)Msikae kwenye uchumba zaidi ya mwaka mmoja mnaweza kuchokana au ukakutana na kizuri zaidi halafu ukabadilisha maamuzi. Mkaishia kulaumiana tu.

4)Hutopata unachokitaka kutoka kwa mpenzi wako kwa asilimia zote maana kasoro kwa mwanadamu ni kawaida tu.
5)Ndoa zenye furaha ni zile zenye urafiki ndani yake. Mfanye mpenzi wako kama rafiki yako wa karibu sio mda wote hasira gubu na kisirani tu.

6)Usioe/Kuolewa na mtu ambaye mmeachana umri sana jitahidi usizidi miaka 5.

7)Furahia habari njema/nyakati njema za mpenzi wako mkiwa pamoja.

8)Fanyeni kazi nyingi hasa za nyumbani mkiwa pamoja. Jifunze kuosha vyombo na kupiga deki mzee [emoji1787][emoji1487]

9) Usiwe tegemezi wa kipato cha mwenza wako.

10)Usisikie maneno ya nje.

11)Thaminianeni mtadumu.

12)Jitahidi ufahamu vipaumbele vya mpenzi wako.

13)Jitahidi kuwa bora kitandani.

14)Oa sababu ya upendo na si vinginevyo.

15)Kuwa tayari kubadilika/kuacha baadhi ya mambo hasa yasiyofaa.

16)Kadri mnavyopunguza kupenda mali basi upendo na furaha kati yenu utazidi.

18).......
19)..........

Kama kuna mengine unaweza kuongeza

KAMA KUNA CHANGAMOTO ZA KIUANDISHI TUSAMEHENAE

Maendeleo hayana chama[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


JamiiForums591248584_427x472.jpg

 
"16)Kadri mnavyopunguza kupenda mali basi upendo na furaha kati yenu utazidi."

Kuongezeka ni sifa ya Mungu na baraka zake kwetu wanadamu. Yeye muumba mwenyewe ametaka tuongezeke kwa mali na na baraka na kuvitawala sasa tunaanzaje kuanza kuacha kupenda mali?
Kupenda mali sio kosa kosa ni kupenda mali zaidi ya tunavyompenda Mungu na zaidi tunavyopendana

Mwanzo 1:28
"Mungu akawabariki na akawaambia, “Zaeni na mkaongezeke, mkaijaze tena dunia na kuitiisha. Mkatawale samaki wa baharini, ndege wa angani, na kila kiumbe hai kiendacho juu ya ardhi.”


Kumbukumbu la torati 8:8
"Bali utamkumbuka Bwana, Mungu wako, maana ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri; ili alifanye imara agano lake alilowapa baba zako, kama hivi leo."
 
We endelea kunukuu vibaya tu kama huamini waulize wanawake wa kichaga

Wamefanyaje wachaga? Au marathon ya kutafuta mali imekukimbiza kwao?

Acha kupalilia umaskini wewe. Yaani unatakiwa kula vizuri, kulala pazuri, kusomesha watoto vizuri, kumtumikia Mungu vizuri kwa mali zako halafu ulete uzembe wa kusema ati hampendi mali😅😅

Mungu alituumba tutawale buana! Wewe unafikiria kumtawala mke tuu.... sasa bila mali unatawaaje na unatawala nini

Kuongezeka ni sifa ya Mungu na baraka zake kwetu wanadamu. Yeye muumba mwenyewe ametaka tuongezeke kwa mali na na baraka na kuvitawala sasa tunaanzaje kuanza kuacha kupenda mali?
Kupenda mali sio kosa kosa ni kupenda mali zaidi ya tunavyompenda Mungu na zaidi tunavyopendana

Mhubiri 5:19
"Kama Mungu anampa mtu utajiri na mali na kumjalia fursa ya kufurahia hayo, basi binadamu ashukuru na avifaidi hivyo alivyojipatia kwa jasho lake. Hiyo ni zawadi kutoka kwa Mungu."


Mwenyewe aliyetuumba anataka tuwe na mali ili tuweze kumtumikia yeye na kutatua changamoto zetu kwa sifa na utukufu wake. Sasa wewe chukia mali wakati aliyekuumba anakudai mali zake😅😅


Methali 3:9-10
"Mheshimu Mwenyezi-Mungu kwa mali yako, na kwa malimbuko ya mazao yako yote. Hapo ghala zako zitajaa nafaka, na mapipa yako yatafurika divai mpya."

Mwanzo 1:28
"Mungu akawabariki na akawaambia, “Zaeni na mkaongezeke, mkaijaze tena dunia na kuitiisha. Mkatawale samaki wa baharini, ndege wa angani, na kila kiumbe hai kiendacho juu ya ardhi.”


Kumbukumbu la torati 8:8
"Bali utamkumbuka Bwana, Mungu wako, maana ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri; ili alifanye imara agano lake alilowapa baba zako, kama hivi leo."


Hakuna aliyeitwa na Mungu akawa maskini ila utajiri wao huakuja bila bidii na haukuwakosanisha na Mungu
Ibrahimu alikua na mali nyingi, Daudi alikua na mali, Yakobo alikua alikua na mali,......
 
Wamefanyaje wachaga? Au marathon ya kutafuta mali imekukimbiza kwao?

Acha kupalilia umaskini wewe. Yaani unatakiwa kula vizuri, kulala pazuri, kusomesha watoto vizuri, kumtumikia Mungu vizuri kwa mali zako halafu ulete uzembe wa kusema ati hampendi mali[emoji28][emoji28]

Mungu alituumba tutawale buana! Wewe unafikiria kumtawala mke tuu.... sasa bila mali unatawaaje na unatawala nini

Kuongezeka ni sifa ya Mungu na baraka zake kwetu wanadamu. Yeye muumba mwenyewe ametaka tuongezeke kwa mali na na baraka na kuvitawala sasa tunaanzaje kuanza kuacha kupenda mali?
Kupenda mali sio kosa kosa ni kupenda mali zaidi ya tunavyompenda Mungu na zaidi tunavyopendana

Mhubiri 5:19
"Kama Mungu anampa mtu utajiri na mali na kumjalia fursa ya kufurahia hayo, basi binadamu ashukuru na avifaidi hivyo alivyojipatia kwa jasho lake. Hiyo ni zawadi kutoka kwa Mungu."


Mwenyewe aliyetuumba anataka tuwe na mali ili tuweze kumtumikia yeye na kutatua changamoto zetu kwa sifa na utukufu wake. Sasa wewe chukia mali wakati aliyekuumba anakudai mali zake[emoji28][emoji28]


Methali 3:9-10
"Mheshimu Mwenyezi-Mungu kwa mali yako, na kwa malimbuko ya mazao yako yote. Hapo ghala zako zitajaa nafaka, na mapipa yako yatafurika divai mpya."

Mwanzo 1:28
"Mungu akawabariki na akawaambia, “Zaeni na mkaongezeke, mkaijaze tena dunia na kuitiisha. Mkatawale samaki wa baharini, ndege wa angani, na kila kiumbe hai kiendacho juu ya ardhi.”


Kumbukumbu la torati 8:8
"Bali utamkumbuka Bwana, Mungu wako, maana ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri; ili alifanye imara agano lake alilowapa baba zako, kama hivi leo."


Hakuna aliyeitwa na Mungu akawa maskini ila utajiri wao huakuja bila bidii na haukuwakosanisha na Mungu
Ibrahimu alikua na mali nyingi, Daudi alikua na mali, Yakobo alikua alikua na mali,......
Hebu kwanza fafanua iyo kupenda mali wewe umeielewaje Maana naona unaleta mambo ya Torati halafu hueleweki
 
Wamefanyaje wachaga? Au marathon ya kutafuta mali imekukimbiza kwao?

Acha kupalilia umaskini wewe. Yaani unatakiwa kula vizuri, kulala pazuri, kusomesha watoto vizuri, kumtumikia Mungu vizuri kwa mali zako halafu ulete uzembe wa kusema ati hampendi mali[emoji28][emoji28]

Mungu alituumba tutawale buana! Wewe unafikiria kumtawala mke tuu.... sasa bila mali unatawaaje na unatawala nini

Kuongezeka ni sifa ya Mungu na baraka zake kwetu wanadamu. Yeye muumba mwenyewe ametaka tuongezeke kwa mali na na baraka na kuvitawala sasa tunaanzaje kuanza kuacha kupenda mali?
Kupenda mali sio kosa kosa ni kupenda mali zaidi ya tunavyompenda Mungu na zaidi tunavyopendana

Mhubiri 5:19
"Kama Mungu anampa mtu utajiri na mali na kumjalia fursa ya kufurahia hayo, basi binadamu ashukuru na avifaidi hivyo alivyojipatia kwa jasho lake. Hiyo ni zawadi kutoka kwa Mungu."


Mwenyewe aliyetuumba anataka tuwe na mali ili tuweze kumtumikia yeye na kutatua changamoto zetu kwa sifa na utukufu wake. Sasa wewe chukia mali wakati aliyekuumba anakudai mali zake[emoji28][emoji28]


Methali 3:9-10
"Mheshimu Mwenyezi-Mungu kwa mali yako, na kwa malimbuko ya mazao yako yote. Hapo ghala zako zitajaa nafaka, na mapipa yako yatafurika divai mpya."

Mwanzo 1:28
"Mungu akawabariki na akawaambia, “Zaeni na mkaongezeke, mkaijaze tena dunia na kuitiisha. Mkatawale samaki wa baharini, ndege wa angani, na kila kiumbe hai kiendacho juu ya ardhi.”


Kumbukumbu la torati 8:8
"Bali utamkumbuka Bwana, Mungu wako, maana ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri; ili alifanye imara agano lake alilowapa baba zako, kama hivi leo."


Hakuna aliyeitwa na Mungu akawa maskini ila utajiri wao huakuja bila bidii na haukuwakosanisha na Mungu
Ibrahimu alikua na mali nyingi, Daudi alikua na mali, Yakobo alikua alikua na mali,......
Tatizo lako ww unachukua mambo ya early stone age unayaleta sasa
hivi inabidi ujue kuna utofauti wa kupenda mali na kufanya kazi kwa bidii uweze kuhudumia familia yako

Nimesema mali sijasema mtu asifanye kazi
 
Hebu kwanza fafanua iyo kupenda mali wewe umeielewaje Maana naona unaleta mambo ya Torati halafu hueleweki

"16)Kadri mnavyopunguza kupenda mali basi upendo na furaha kati yenu utazidi."


Kuongezeka ni sifa ya Mungu na baraka zake kwetu wanadamu. Yeye muumba mwenyewe ametaka tuongezeke kwa mali na na baraka na kuvitawala sasa tunaanzaje kuanza kuacha kupenda mali?


Kupenda mali sio kosa kosa ni kupenda mali zaidi ya tunavyompenda Mungu na zaidi tunavyopendana

Mwanzo 1:28
"Mungu akawabariki na akawaambia, “Zaeni na mkaongezeke, mkaijaze tena dunia na kuitiisha. Mkatawale samaki wa baharini, ndege wa angani, na kila kiumbe hai kiendacho juu ya ardhi.”


Kumbukumbu la torati 8:8
"Bali utamkumbuka Bwana, Mungu wako, maana ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri; ili alifanye imara agano lake alilowapa baba zako, kama hivi leo."

Nilishakufafanulia hapo juu

Fanya kazi tafuta mali na uzipende na kuzitunza ili uwenze kumtolea Mungu wako sadaka malimbuko na zaka. Uweze pia kuitunza familia yako.

Penda sana kutafuta mali na uzipende na kuzitunza😅😅😅
 
Wamefanyaje wachaga? Au marathon ya kutafuta mali imekukimbiza kwao?

Acha kupalilia umaskini wewe. Yaani unatakiwa kula vizuri, kulala pazuri, kusomesha watoto vizuri, kumtumikia Mungu vizuri kwa mali zako halafu ulete uzembe wa kusema ati hampendi mali[emoji28][emoji28]

Mungu alituumba tutawale buana! Wewe unafikiria kumtawala mke tuu.... sasa bila mali unatawaaje na unatawala nini

Kuongezeka ni sifa ya Mungu na baraka zake kwetu wanadamu. Yeye muumba mwenyewe ametaka tuongezeke kwa mali na na baraka na kuvitawala sasa tunaanzaje kuanza kuacha kupenda mali?
Kupenda mali sio kosa kosa ni kupenda mali zaidi ya tunavyompenda Mungu na zaidi tunavyopendana

Mhubiri 5:19
"Kama Mungu anampa mtu utajiri na mali na kumjalia fursa ya kufurahia hayo, basi binadamu ashukuru na avifaidi hivyo alivyojipatia kwa jasho lake. Hiyo ni zawadi kutoka kwa Mungu."


Mwenyewe aliyetuumba anataka tuwe na mali ili tuweze kumtumikia yeye na kutatua changamoto zetu kwa sifa na utukufu wake. Sasa wewe chukia mali wakati aliyekuumba anakudai mali zake[emoji28][emoji28]


Methali 3:9-10
"Mheshimu Mwenyezi-Mungu kwa mali yako, na kwa malimbuko ya mazao yako yote. Hapo ghala zako zitajaa nafaka, na mapipa yako yatafurika divai mpya."

Mwanzo 1:28
"Mungu akawabariki na akawaambia, “Zaeni na mkaongezeke, mkaijaze tena dunia na kuitiisha. Mkatawale samaki wa baharini, ndege wa angani, na kila kiumbe hai kiendacho juu ya ardhi.”


Kumbukumbu la torati 8:8
"Bali utamkumbuka Bwana, Mungu wako, maana ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri; ili alifanye imara agano lake alilowapa baba zako, kama hivi leo."


Hakuna aliyeitwa na Mungu akawa maskini ila utajiri wao huakuja bila bidii na haukuwakosanisha na Mungu
Ibrahimu alikua na mali nyingi, Daudi alikua na mali, Yakobo alikua alikua na mali,......
Halafu mbona iyo mifano yako ya kina Daudi haiendani kabisa
 
Nilishakufafanulia hapo juu

Fanya kazi tafuta mali na uzipende na kuzitunza ili uwenze kumtolea Mungu wako sadaka malimbuko na zaka. Uweze pia kuitunza familia yako.

Penda sana kutafuta mali na uzipende na kuzitunza[emoji28][emoji28][emoji28]
Zile za Yuda kumsaliti Yesu ni mali au sio mali?
 
"16)Kadri mnavyopunguza kupenda mali basi upendo na furaha kati yenu utazidi."


Kuongezeka ni sifa ya Mungu na baraka zake kwetu wanadamu. Yeye muumba mwenyewe ametaka tuongezeke kwa mali na na baraka na kuvitawala sasa tunaanzaje kuanza kuacha kupenda mali?
Kupenda mali sio kosa kosa ni kupenda mali zaidi ya tunavyompenda Mungu na zaidi tunavyopendana

Mwanzo 1:28
"Mungu akawabariki na akawaambia, “Zaeni na mkaongezeke, mkaijaze tena dunia na kuitiisha. Mkatawale samaki wa baharini, ndege wa angani, na kila kiumbe hai kiendacho juu ya ardhi.”


Kumbukumbu la torati 8:8
"Bali utamkumbuka Bwana, Mungu wako, maana ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri; ili alifanye imara agano lake alilowapa baba zako, kama hivi leo."

Waefeso 5:22-33​

Wake wawatii waume zao kama kumtii Bwana. Maana mume anayo mamlaka juu ya mkewe, kama vile Kristo alivyo na mamlaka juu ya kanisa; naye Kristo mwenyewe hulikomboa kanisa, mwili wake. Kama vile kanisa linavyomtii Kristo, vivyo hivyo, wake wawatii waume zao katika mambo yote.
 
Zile za Yuda kumsaliti Yesu ni mali au sio mali?

Baada ya kumsaliti nazo Yesu alienda kuzitumia wapi🤣🤣🤣 kama unajua kilichofuata tafuta sana mali ili usiishie kama Yuda na usisahau.... Methali 3:9-10 "Mheshimu Mwenyezi-Mungu kwa mali yako, na kwa malimbuko ya mazao yako yote. Hapo ghala zako zitajaa nafaka, na mapipa yako yatafurika divai mpya."
 
Baada ya kumsaliti nazo Yesu alienda kuzitumia wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama unajua kilichofuata tafuta sana mali ili usiishie kama Yuda na usisahau.... Methali 3:9-10 "Mheshimu Mwenyezi-Mungu kwa mali yako, na kwa malimbuko ya mazao yako yote. Hapo ghala zako zitajaa nafaka, na mapipa yako yatafurika divai mpya."
Yesu alimwambije Zakayo
 

Waefeso 5:22-33​

Wake wawatii waume zao kama kumtii Bwana. Maana mume anayo mamlaka juu ya mkewe, kama vile Kristo alivyo na mamlaka juu ya kanisa; naye Kristo mwenyewe hulikomboa kanisa, mwili wake. Kama vile kanisa linavyomtii Kristo, vivyo hivyo, wake wawatii waume zao katika mambo yote.

Ndivyo ili Matola bila UTII wa mke kwa mume; na bila UPENDO wa mume kwa mke hakuna mahusiano
Sasa sijui mwanaume kama anaogopa kutafuta mali atamlishaje na kumvika mke wake

Waefeso 5:22-33
Wake wawatii waume zao kama kumtii Bwana. Maana mume anayo mamlaka juu ya mkewe, kama vile Kristo alivyo na mamlaka juu ya kanisa; naye Kristo mwenyewe hulikomboa kanisa, mwili wake. Kama vile kanisa linavyomtii Kristo, vivyo hivyo, wake wawatii waume zao katika mambo yote.

Nanyi waume, wapendeni wake zenu kama Kristo alivyolipenda kanisa, akajitoa mwenyewe sadaka kwa ajili yake. Alifanya hivyo ili kwa neno lake, aliweke wakfu kwa Mungu, baada ya kulifanya safi kwa kuliosha katika maji, kusudi ajipatie kanisa lililo takatifu na safi kabisa, kanisa lisilo na doa, kasoro au chochote cha namna hiyo. Basi, waume wanapaswa kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. ( Hakuna mtu yeyote auchukiaye mwili wake; badala ya kuuchukia, huulisha na kuuvika. Ndivyo naye Kristo anavyolitunza kanisa, maana sisi ni viungo vya mwili wake).

“Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili mmoja.” Kuna ukweli uliofichika katika maneno haya, nami naona kwamba yamhusu Kristo na kanisa lake. Lakini yanawahusu nyinyi pia: Kila mume lazima ampende mkewe kama nafsi yake mwenyewe, naye mke anapaswa kumstahi mumewe.
 
Baada ya kumsaliti nazo Yesu alienda kuzitumia wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama unajua kilichofuata tafuta sana mali ili usiishie kama Yuda na usisahau.... Methali 3:9-10 "Mheshimu Mwenyezi-Mungu kwa mali yako, na kwa malimbuko ya mazao yako yote. Hapo ghala zako zitajaa nafaka, na mapipa yako yatafurika divai mpya."
Wakati sisi tunazungumzia jinsi mali inavyozorotesha mahusiano ww unatuambia habari za mali na kumwabudu Mungu Dah ndio maana division zero haziishii
 
Back
Top Bottom