Mambo muhimu ya mahusiano ya kufahamu kabla ya ndoa

Mambo muhimu ya mahusiano ya kufahamu kabla ya ndoa

Hahahah mmeshindwa kuelewana tu, the appropriate statement ilikuwa “epukeni tamaa”

Kama alichagua mwenye tamaa atafute mali nyingi zaidi ampe kumaliza tamaa yake
Sio aseme tusipende mali..... maana fikra za hivyo ni za kizembe, kivivu na kimaskini mnoo

Mali tunazipenda na kama huna mali ya kutosha tafuta ili akupende zaidi, na akiwa na tamaa mpe, mpe mali hadi akinai na tamaa iishe🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kama alichagua mwenye tamaa atafute mali nyingi zaidi ampe kumaliza tamaa yake
Sio aseme tusipende mali..... maana fikra za hivyo ni za kizembe, kivivu na kimaskini mnoo

Mali tunazipenda na kama huna mali ya kutosha tafuta ili akupende zaidi, na akiwa na tamaa mpe, mpe mali hadi akinai na tamaa iishe🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hakunaga kukinai kwa mtu ambaye ana tamaa ya pesa au mali😅...

Mie ndio maana napendaga wanawake type ile inayoonekanaga washamba flani hivi. Hio aina huwa sio wasumbufu kabisa ila hawa wabandika kucha na kope nimewaachia vijana wapambane nao..maana wasione kitu ni kufosi na kung’ang’ania tu mwisho wantoe roho. Napenda kuishi kwa amani wether ninacho au sina😅
 
Hakunaga kukinai kwa mtu ambaye ana tamaa ya pesa au mali😅...

Mie ndio maana napendaga wanawake type ile inayoonekanaga washamba flani hivi. Hio aina huwa sio wasumbufu kabisa ila hawa wabandika kucha na kope nimewaachia vijana wapambane nao..maana wasione kitu ni kufosi na kung’ang’ania tu mwisho wantoe roho. Napenda kuishi kwa amani wether ninacho au sina😅



Tafuteni mali tafuteni pesa na mzipende na kuzitunza ila nanyi ziwatunze na kuwabariki, acheni kutafuta excuses ya kutotafuta mali kwa bidii maana hili ndio anguko mojawapo la wanaume

Kama mwanamke au mwanaume unayeamua kujenga nae maisha hapendi mali hamuwezi saidiana kutafuta mali. Matokeo yake kila siku mtakua watu mliojawa na matatizo na stress ya mahitaji mnayoshindwa kuyatatua na mahusiano yatakufa.




Cc karv aveki
 
Tafuteni mali tafuteni pesa na mzipende na kuzitunza ila nanyi ziwatunze na kuwabariki, acheni kutafuta excuses ya kutotafuta mali kwa bidii maana hili ndio anguko mojawapo la wanaume

Kama mwanamke au mwanaume unayeamua kujenga nae maisha hapendi mali hamuwezi saidiana kutafuta mali. Matokeo yake kila siku mtakua watu mliojawa na matatizo na stress ya mahitaji mnayoshindwa kuyatatua na mahusiano yatakufa.



Mwanamke wangu anapenda mali na anajuhudi ya kuitafuta binafsi. She acts responsibly hajanigeuza punda like most women do to their men.

Hanishurutishi kufanya yalio nje ya uwezo wangu sababu ya tamaa zake. Hilo kwangu sio tatizo she is a go getta yani. Nashukuru Mungu we get all our basic needs bila kwere mengine ni majaliwa tu na mipango thabiti.
 
Mwanamke wangu anapenda mali na anajuhudi ya kuitafuta binafsi. She acts responsibly hajanigeuza punda like most women do to their men.

Hanishurutishi kufanya yalio nje ya uwezo wangu sababu ya tamaa zake. Hilo kwangu sio tatizo she is a go getta yani.

Huyo anayekushurtisha bila kukisaidia si ulimchagua mwenyewe lakini😅😅😅😅 au alikushurtisha pia kuwa nae?

Halafu cha ajabu mke anasisitiza kutafuta mali sababu anaona mlichonacho ni kidogo hakitoshi leo na kesho anaonekana kero.... mkitoka hapo mnapeleka kile kidogo kwa mchepuko!

Tafuteni mali mke azizoee atulie na nyie muwe huru😅😅

Hongera kwa kupata mke mwenye kupenda mali
 
Huyo anayekushurtisha bila kukisaidia si ulimchagua mwenyewe lakini😅😅😅😅 au alikushurtisha pia kuwa nae?

Halafu cha ajabu mke anasisitiza kutafuta mali sababu anaona mlichonacho ni kidogo hakitoshi leo na kesho anaonekana kero.... mkitoka hapo mnapeleka kile kidogo kwa mchepuko!

Tafuteni mali mke azizoee atulie na nyie muwe huru😅😅

Hongera kwa kupata mke mwenye kupenda mali
Mie nimesema nashukuru wangu hanishurutishi, na huwa sipendi kuwa na mwanamke mwenye tamaa ya mali halafu hana akili ya kutafuta hizo mali zaidi ya kuni pressurize kuwa anataka hiki na kile ilihali strategy na uwezo wa kutafuta hana. Completely useless partner nehii!

Mali natafuta kwa uwezo wangu tu siwezi kujiua kisa kumfurahisha mwanamke hata siku moja. I do the needful tu!
 
Suala la imani kwa Muumba nalo ni muhimu, kuna watu waliopishana imani wamekuwa wakilazimisha kuoana halafu baadaye mambo yaja kuwa mazito...
 
Tatizo ukishapiga deki siku moja mtu anahisi anakaa na room mate wake, kesho kutwa anasubiri zamu yako tena…

Ingekuwa hawajisahau na kumaintain heshima, yaani hata sufuria tungesugua kiroho safi siku moja moja..
 
Suala la imani kwa Muumba nalo ni muhimu, kuna watu waliopishana imani wamekuwa wakilazimisha kuoana halafu baadaye mambo yakuja kuwa mazito...

Unakuta mwanaume analipa mahari kabisa lakini anakuambia kila mtu ataenda kusali kwake, au mwanamke ndani ya ndoa anaenda kusali ambako mume hapajui na mume nae ananyamaza ati kila mtu na imani yake.

Imani yake which!? Imani yake how?
Nini maana ya familia? Ipi maana ya mume/baba kuwa kichwa cha familia? Mkijaliwa watoto mnawaleaje? Huko anakochepukia kila mmoja kwa imani yake kuna mafundisho ya aina gani?

Halafu mambo yakiharibika kwenye nyumba zenu mnaanza kuwasema wenye nyumba za ibada
 
Hahahah mmeshindwa kuelewana tu, the appropriate statement ilikuwa “epukeni tamaa”
Wewe ndio umenielewa mkuu naona huyo anaongea vitu hata havieleweki
 
Tafuteni mali tafuteni pesa na mzipende na kuzitunza ila nanyi ziwatunze na kuwabariki, acheni kutafuta excuses ya kutotafuta mali kwa bidii maana hili ndio anguko mojawapo la wanaume

Kama mwanamke au mwanaume unayeamua kujenga nae maisha hapendi mali hamuwezi saidiana kutafuta mali. Matokeo yake kila siku mtakua watu mliojawa na matatizo na stress ya mahitaji mnayoshindwa kuyatatua na mahusiano yatakufa.




Cc karv aveki
Ww mbona hoja zangu hujibu unaruka ruka tu

Halafu ww mwanamke unaonekana una kichwa kigumu sana kuelewa hebu naomba unipe tofauti ya

1)kupenda mali na tamaa ya mali

Halafu uniambie mwenye kupenda mali ataitafuga kwa njia gani na mwenye tamaa ya mali ataitafuta kwa njia gani halafu baada ya hapo ndio twende sawa sasa
 
Unakuta mwanaume analipa mahari kabisa lakini anakuambia kila mtu ataenda kusali kwake, au mwanamke ndani ya ndoa anaenda kusali ambako mume hapajui na mume nae ananyamaza ati kila mtu na imani yake.

Imani yake which!? Imani yake how?
Nini maana ya familia? Ipi maana ya mume/baba kuwa kichwa cha familia? Mkijaliwa watoto mnawaleaje? Huko anakochepukia kila mmoja kwa imani yake kuna mafundisho ya aina gani?

Halafu mambo yakiharibika kwenye nyumba zenu mnaanza kuwasema wenye nyumba za ibada
Imani sio kipaumbele kwa wapendanao isipokuwa ni nakubaliano yao wenyewe watalea watoto wao kwa kufuata misingi ipi ya kiimani ya baba au mama

Nakupa mifano hai
~jimbo kuu la Karagwe Askofu Bagonza na Askofu wa kanisa katoriki walikubali kuwa na ndoa mseto kati ya madhehebu yao mawili ila malezi ya watoto watazungumza wenyewe
~Ndoa ngapi zimedumu huku wazazi ni watu wa imani mbili tofauti tena wanaishi kwa furaha kuliko hao wa imani moja
~Hapo upendo ulimfanya nini Suleiman hadi kuwa na yule mke muabudu vimiungu vya kuchonga

Kama yesu mwenyewe kasema tupendane imani ni nini hapo
 
Ww mbona hoja zangu hujibu unaruka ruka tu

Halafu ww mwanamke unaonekana una kichwa kigumu sana kuelewa hebu naomba unipe tofauti ya

1)kupenda mali na tamaa ya mali

Halafu uniambie mwenye kupenda mali ataitafuga kwa njia gani na mwenye tamaa ya mali ataitafuta kwa njia gani halafu baada ya hapo ndio twende sawa sasa

Nimeshakujibu kila kitu rudi kwenye posts zangu ukutane na majibu

Na wewe mwenyewe Hapo ulipo umeshajivuruga Wala huelewi Tena ulileta mjadala gani na unatea hoja gani.

Ninachokushauri tuu ni kwamba kupenda Mali NI kitu chema na kuzitafuta kwa bidii NI kitu kizuri zaidi.

Unaposema tusipende mali sababu inasababisha watu kugombana na kuuana unakua umetumia kiasi kidogo sana Cha ubongo wako kuwaza.
Ni sawa na kusema tusinunue Wala kuendesha magari sababu ajali zinaua watu wengi

Acha kurukaruka tafuta mali tafuta pesa na umtumikie Mungu kwa Mali na pesa ulizopata na make wako atakutii na kukuheshimu zaidi kwasababu Mali zako NI Mali ZAKE na NI Mali zenu
 
Nimeshakujibu kila kitu rudi kwenye posts zangu ukutane na majibu

Na wewe mwenyewe Hapo ulipo umeshajivuruga Wala huelewi Tena ulileta mjadala gani na unatea hoja gani.

Ninachokushauri tuu ni kwamba kupenda Mali NI kitu chema na kuzitafuta kwa bidii NI kitu kizuri zaidi.

Unaposema tusipende mali sababu inasababisha watu kugombana na kuuana unakua umetumia kiasi kidogo sana Cha ubongo wako kuwaza.
Ni sawa na kusema tusinunue Wala kuendesha magari sababu ajali zinaua watu wengi

Acha kurukaruka tafuta mali tafuta pesa na umtumikie Mungu kwa Mali na pesa ulizopata na make wako atakutii na kukuheshimu zaidi kwasababu Mali zako NI Mali ZAKE na NI Mali zenu
Hakuna majibu huko naona maelezo mengi halafu hakuna facts ongea vitu open na vyenye kueleweka wengine hatuna muda wa kusoma maelezo meeengi

Unapojibu nenda direct kwenye hoja yako

Nyie ndio mnauaga waume zenu sababu ya mali nishaanza kuona dalili
 
Imani sio kipaumbele kwa wapendanao isipokuwa ni nakubaliano yao wenyewe watalea watoto wao kwa kufuata misingi ipi ya kiimani ya baba au mama

Nakupa mifano hai
~jimbo kuu la Karagwe Askofu Bagonza na Askofu wa kanisa katoriki walikubali kuwa na ndoa mseto kati ya madhehebu yao mawili ila malezi ya watoto watazungumza wenyewe
~Ndoa ngapi zimedumu huku wazazi ni watu wa imani mbili tofauti tena wanaishi kwa furaha kuliko hao wa imani moja
~Hapo upendo ulimfanya nini Suleiman hadi kuwa na yule mke muabudu vimiungu vya kuchonga

Kama yesu mwenyewe kasema tupendane imani ni nini hapo

Mseto NI kwa wanye Imani Moja. Kama hao wote wanamuamini Yesu. Yeye mwenyewe alisema asiye kinyume chetu yupo nasi

Wapo watu wanaabudu vitu vya ajabu lakini wako kwenye ndoa Moja. Huyu ibada yake anaenda kufanya msikitini mke anaenda kufanya ibada yake makaburini.... Au mume anaenda kufanya ibada kanisani mke hakanyagi kanisani Ila anaenda kufanya ibada yake baharini halafu wanaona sawa tuu
 
Hakuna majibu huko naona maelezo mengi halafu hakuna facts ongea vitu open na vyenye kueleweka wengine hatuna muda wa kusoma maelezo meeengi

Unapojibu nenda direct kwenye hoja yako

Nyie ndio mnauaga waume zenu sababu ya mali nishaanza kuona dalili

Sasa namuuaje mtu ambaye ananitafutia mimi Mali.
Wewe nawe Kama ni mwanaume basi NI mwanaume wa ajabuajabu 😃😃

Yaani una wasiwasi Kama mwizi.

Wanaume kwelikweli huwa wanatafuta Mali wanaleta nyumbani.. mke anamtunza mume mtafutaji anatunza na mali zilizotafutwa
 
Sasa namuuaje mtu ambaye ananitafutia mimi Mali.
Wewe nawe Kama ni mwanaume basi NI mwanaume wa ajabuajabu [emoji2][emoji2]

Yaani una wasiwasi Kama mwizi.

Wanaume kwelikweli huwa wanatafuta Mali wanaleta nyumbani.. mke anamtunza mume mtafutaji anatunza na mali zilizotafutwa
Na wale wanaoa waua imekaaje iyo
 
Pumzika kiongozi. Point zako zimeeleweka kwa aliyetaka kuelewa wala halikuwa somo gumu. Mama D huyo she just had time.
[emoji36][emoji36][emoji36][emoji36]
 
Hahahah mmeshindwa kuelewana tu, the appropriate statement ilikuwa “epukeni tamaa”
he should be specific then, kwani tamaa kiuhalisia ni mbaya na si kwenye pesa tu hata kwa vitu vinavyoshikika

mpe somo bhana tunapenda wanaume wanaopenda hela
 
Back
Top Bottom