To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
krb uslim mkuu....niko hapa mskiti mweupePamoja na ukristo wangu yapo mambo kadhaa nayoyapenda kwa waislamu.
1. Kutoruhusu mtume wao adhalilishwe au kudhihakiwa. Huwezi kumkashfu mtume au kitabu chao cha quran mbele yao halafu wakutazame tu. Lazima wakuletee noma
2. Mavazi ya staha kwa wanawake
Napenda sana dress code kwa wanawake. Wanavaa mavazi ya staha. Sehemu za ibada huwezi kuvaa kihuni-huni ukaingia
3. Kutengana wanawake na wanaume kwenye ibada zao
4. Kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja kwa mtu mwenye uwezo wa kuwatunza.
5. Utoaji wa sadaka usiotia umasikini
Mpo wangapi Shem wanguLengo kuu ni namba 4, hayo mengine ni porojo.
Niliuliza hivi; Kwanini mtu akitaka kusilimu lazima apewe jina la kiarabu..Hata ukitaka kusilimu wala hawana kelele wanakupokea na kanzu na kofia wanakupatia!
Hukuwaona wajane wa mzee Mwinyi? Hivi mke wangu aende lodge huko akapigwe show ya kibabe hadi dubri halafu bado unataka niendelee kuwa naye tu?Kuoa-kuacha (usiku umeolewa asubuhi unakuta talaka whatsapp)
Napentraaa
Sio LAZIMA. Narudia, sio LAZIMA ni mazoea tuNiliuliza hivi; Kwanini mtu akitaka kusilimu lazima apewe jina la kiarabu..
Mfano, Bahati anataka kusilimu, kwanini sasa aitwe Abdul badala ya kubaki na Bahati lake.. Je kuna shida na Majina yasiyo ya kiarabu?
Naomba jibu kama unajua.
Madhehebu ya kiroho ni unyonyaji wakisomiPamoja na ukristo wangu yapo mambo kadhaa nayoyapenda kwa waislamu.
1. Kutoruhusu mtume wao adhalilishwe au kudhihakiwa. Huwezi kumkashfu mtume au kitabu chao cha quran mbele yao halafu wakutazame tu. Lazima wakuletee noma
2. Mavazi ya staha kwa wanawake
Napenda sana dress code kwa wanawake. Wanavaa mavazi ya staha. Sehemu za ibada huwezi kuvaa kihuni-huni ukaingia
3. Kutengana wanawake na wanaume kwenye ibada zao
4. Kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja kwa mtu mwenye uwezo wa kuwatunza.
5. Utoaji wa sadaka usiotia umasikini
Hivi akipiga mashine eda inafutika au inakuaje?Namwambia eda nakaa hapohapo ndani alafu nadeki na tait tu🤣🤣🤣atajua yeye km anirudie au achane talak
Nipo dada yangu... majukumu tu na harakati za hapa na pale.....natumaini uko poa dada yangu......Bora kumtumia talaka inbox.....
Btw i miss u sijakuona muda kaka
Amechana mkeka hapo anakuwa amekurudia 😂😂😂Hivi akipiga mashine eda inafutika au inakuaje?
Niko salama kakaNipo dada yangu... majukumu tu na harakati za hapa na pale.....natumaini uko poa dada yangu......
Ooh.. okay.. Kuna sheikh aliniambia haiwezekani uwe muislamu asiye na jina la kiislamu.. sikuridhishwa na hilo jibu.Sio LAZIMA. Narudia, sio LAZIMA ni mazoea tu
Umesahau tu kuliweka namba 14. Kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja kwa mtu mwenye uwezo wa kuwatunza.
Kumbeeeee heeee basi kuachika mtu amependa, sa si mwendo wa eda rudi eda rudi eda rudi hadi tuzeekeAmevhana mkeka hapo anakuwa amekurudia 😂😂😂
Nafurahi kusikia hivyo dada yangu.......nikutakie wakati mwema wewe pamoja na wapendwa wako wote.....Niko salama kaka
😂 Fala kweli wewe,umeniacha hoiKuoa-kuacha (usiku umeolewa asubuhi unakuta talaka whatsapp)
Napentraaa