kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Jina upo huru kuchagua mwenyewe ila sio la kimisheni kama unalo ulilolipenda au unatajiwa majina kadhaa utakalopenda unapewa rasmi majina mazuri na maana zake,Jina Abdul halipaswi kuitwa kifupi hivyo ni lazima liwe Abdul manaf,!Abdul latif au Abdul razzak watu hulikatisha tuu!Niliuliza hivi; Kwanini mtu akitaka kusilimu lazima apewe jina la kiarabu..
Mfano, Bahati anataka kusilimu, kwanini sasa aitwe Abdul badala ya kubaki na Bahati lake.. Je kuna shida na Majina yasiyo ya kiarabu?
Naomba jibu kama unajua.