Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mfano eda ni miezi 3 nikiondoka wiki ya pili inakuaje? (Sijatimiza hiyo miezi)Hapo unapimwa ujasiri kama kweli mmeshindwa kuendelea na ndoa au mmepata hasira tu..
Watu wanamaliza Eda na wanaschana kabisa..
Mtu anakuona kama Kaka yale hata ukivaa nini, Au anakuona kama mwanaume mwenzie tu..unavaa bikini yako anapita anakusalimia anakuachia hela ya matumizi ya siku, Anasepa na maisha yanaendelea...
Hata ukikaa uchi anapita anakusalimia Na anasepa 😅😅😅
Kuna muda mapenz yanakuwa kama karaha 🤣🤣
karibuMie sina tabu habiby hata nikiwa mke uji.....ngoja nije pm nichague rangi ya gauni kesho nkuite mme
Haya mavitabu ya dini yamejaa contradiction kibao halafu hayaeleki.Ukisoma Quran Kigezo cha kuoa wake wengi ni Uadilifu..
Quran 4:3 (Sura An-nisai aya ya 3)
.....basi oeni mnao wapenda katika wanawake, wawili au watatu au wane. na mkiogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi oeni mmoja tu.....
Lakini ukienda Kusoma Mbele zaidi ya Sura hiyo hiyo aya ya 129 Quran inasema..
....Wala hamtaweza kufanya uadilifu baina ya wake, hata mkikakamia (Mkiamua kufanya hivyo). Kwa hivyo msimili (Msilalie upande mmoja)..moja kwa moja mkamwacha (mmojapo) kama aliye tundikwa. Na mkisikizana na mkamchamngu basi Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa maghfira na Mwenye kurehemu.....
Kama utaangalia Aya hiyo inatoa maelezo ya Aya hiyo ya 3 kuwa binadamu wa kufanya Uadilifu ni wachache sana na hata ukijifanya wewe utafanya uadilifu ila huwezi
Kurahishisha mazishi kwa ajili ya kumpumzisha Muumini wao sehemu salama..Kuharakisha mazishi kuna tija gani?
Hoja ya kuokoa gharama haina mashiko, kuna watu wanapenda mazishi yao yawe ya kifahari na yatumie gharama.
Kuna wengine wanatumia loopehole hiyo kufanya uhuni unaoa kila siku kama manara au kitenge sidhani kama dini ndio ilifundisha vileKipi bora kumuacha ambaye unaona kabisa hamuwezani au kuendelea kuishi naye na baadae kuja kumuua kutokana na stress na kero zake na kuishia gerezani.........???
Mkuu DR mfafanulie hiyo eda nini na kwanini akae eda!Huwezi kuondoka mpaka umalize Eda miezi minne kama sio mitano kama sijasahau..
Kwahyo utapika nyumbani Na atakuhudumia ila kulala kitanda kimoja no
No contradiction mkuu hapo just maelezo zaidi ya hiyo aya ya kuoa ndo maana huwa nawashangaa wanaosema wanapenda kuoa wake wengi..Haya mavitabu ya dini yamejaa contradiction kibao halafu hayaeleki.
Ninayo Quran, ngoja nikasome hizo aya nitarudi.
Unaondoka unaenda wapi??Sasa mfano eda ni miezi 3 nikiondoka wiki ya pili inakuaje? (Sijatimiza hiyo miezi)
Aiseeh ! 😂Naona unaifukuzia mialiko ya Ftari kitaalamu.
NAKUPIGIA SALUTE.
PambanaZaidi/CottonandMore
Mkeka unachanika kizembe sana.Amevhana mkeka hapo anakuwa amekurudia 😂😂😂
Wakati huo hyo taiti yako anaiona kama pensi nyanya....Namwambia eda nakaa hapohapo ndani alafu nadeki na tait tu🤣🤣🤣atajua yeye km anirudie au achane talak
Ni kweli matendo mema yanatakiwa siku zote ila ndio mapungufu ya binaadamu tunatakiwa tukumbushaneNaunga mkono hoja tajwa ila nawaasa waache tabia ya kufanya matendo mema kwa mwezi mmoja wa ramadhan. Iwe ndio utaratibu wa kila siku wa maisha vinginevyo ni kujidanganya na ni unafiki wa viwango.
kwa talaka moja ndio inaruhusiwa mke kubaki kwako ni kumtenga tu km kutokulala nae chumb kimoja ila ukimuibukia aliko ukapiga miti talaka imefutika ila ukimuacha kwa talaka 3 imeisha hyo eda anaenda kumalizia kwao km umefariki eda anamalizia kwa mumeweHivi akipiga mashine eda inafutika au inakuaje?
Umeniacha haunitaki.....miezi mitatu niondoke, ila hizi wiki mbili naenda enda sokoni nakutana na mtu kanielewa nammie naona namuelewa, nakuaga sasa hairuhusiwi???Unaondoka unaenda wapi??
Na kwanini?
Yaani sababu ya kuondoka?
Eda Ni miezi minne kama sikosei
Ukitizama eda ipo makusudi kumfanya mwanamke na mwanaume wasiachane.Unaondoka unaenda wapi??
Na kwanini?
Yaani sababu ya kuondoka?
Eda Ni miezi minne kama sikosei
Kuna huyu mtangazaji maarufu southfrica nayeye leo kapost kuvutiwa na uislamu naona ameona watu wanavyotia bidii kwenye ibada kipindi hichi cha ramadhaniPamoja na ukristo wangu yapo mambo kadhaa nayoyapenda kwa waislamu.
1. Kutoruhusu mtume wao adhalilishwe au kudhihakiwa. Huwezi kumkashfu mtume au kitabu chao cha Quran mbele yao halafu wakutazame tu. Lazima wakuletee noma
2. Mavazi ya staha kwa wanawake
Napenda sana dress code kwa wanawake. Wanavaa mavazi ya staha. Sehemu za ibada huwezi kuvaa kihuni-huni ukaingia
3. Kutengana wanawake na wanaume kwenye ibada zao
4. Kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja kwa mtu mwenye uwezo wa kuwatunza.
5. Utoaji wa sadaka usiotia umasikini
Hata huyu mtangazaji maarufu southafrica amevutiwa na uislamu , naona ameona watu wanavyotia bidii kwenye ibada kipindi hichi cha ramadhani aise watu wapo serious sana na ibadaPamoja na ukristo wangu yapo mambo kadhaa nayoyapenda kwa waislamu.
1. Kutoruhusu mtume wao adhalilishwe au kudhihakiwa. Huwezi kumkashfu mtume au kitabu chao cha Quran mbele yao halafu wakutazame tu. Lazima wakuletee noma
2. Mavazi ya staha kwa wanawake
Napenda sana dress code kwa wanawake. Wanavaa mavazi ya staha. Sehemu za ibada huwezi kuvaa kihuni-huni ukaingia
3. Kutengana wanawake na wanaume kwenye ibada zao
4. Kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja kwa mtu mwenye uwezo wa kuwatunza.
5. Utoaji wa sadaka usiotia umasikini
Wao wanaona ni mwezi mtukufu tu, kuna watu nawaona ulevi, matusi wamestop ila mwezi ukiisha wanarudi kule kule, huku ndio kujidanganya kwenyewe.Ni kweli matendo mema yanatakiwa siku zote ila ndio mapungufu ya binaadamu tunatakiwa tukumbushane