Mambo nayopenda kwa Waislamu japo ni Mkristo

Mambo nayopenda kwa Waislamu japo ni Mkristo

yah iko hivyo na sababu nyingine ya kukaa eda ni kutizamia mwanamke asije kuwa anaondoka akiwa na ujauzito wako akenda kumpa mtu mwingine kimakosa
Kutoboa eda ni kazi hasa ukikuta mwanamke anakupa mitego, watoto wenyewe ndio hawa wamefundwa, wallah hutoboi lazima utupe taulo kukubali pambano limekushinda.
 
Hoja ya kuokoa gharama haina mashiko, kuna watu wanapenda mazishi yao yawe ya kifahari na yatumie gharama.
Hao ni wangapi kati ya milioni sitini (60), vipi wewe utakuwa mmoja wao??

Naomba unipe faida ya kuzikwa kifahari??

Huyu ni tajiri na haya ni mazishi yake!


Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum’s financial stature is nothing short of remarkable. According to Celebrity Net Worth and South China Morning Post, his net worth ranges between $14 billion to $18 billion (approximately between Rs 1.1 lakh crore to Rs 1.4 lakh crore).

gettyimages-1805887468-612x612.jpg


Hili ni kaburi lake!


gettyimages-1719480497-612x612.jpg


Lete utajiri wako tuone!
 
Na haiatakiwi, tumefaradhishiwa swala 5 kila siku, kufunga Ramadhan, kutoa zakka na sadaka na kuhiji kwa mwenye uwezo...tumekatazwa ulevi, kamari, kusema uongo, kufitini, kuambiana maneno mabaya, kuzini n.k kwa hio kwa anaefanya haya Ramadhan na baada ya Ramadhan akayawacha basi anaidanganya nafsi yake.
Wala sivyo alivyoamrishwa na Mola wake

Ila kumshinda SHETANI na visa vyake ukiwa Dar ni mtihani kwa kweli 😉
Wengi hawayaishi hayo mnayofundishwa.

Mnaisingizia dar bure tu mbona wengine wanaweza vizuri tu kushinda vishawishi?
 
6. Kuvaa nguo na kujilinganisha na waarabu (ukifanana na muarabu zaidi ndio Mungu anakupenda zaidi)

7. Kubadilisha lugha ya kiswahili ili uonekane mwarabu (mnyaazi mungu)

8. Kudhani Mungu hajui lugha nyingine (nadhani atakuwa anajua kiarabu pekee)

9. Kwenda kutalii uarabuni maana Mungu ndiko aliko

10. Kuabudu kwa kuelekea uarabuni, maana ndipo Mungu alipo.
naomba nitetee hizo hoja.
inakua hivyo kuweka universality.
mengine ya kuji-arabized ni inferiority complex ya mtu mweusi. Watu weusi tulijengewa hisia za kujiona wafaransa, wareno, waingereza, na waarabu kutegemea na colonial masters wa eneo husika.
 
Pamoja na ukristo wangu yapo mambo kadhaa nayoyapenda kwa waislamu.

1. Kutoruhusu mtume wao adhalilishwe au kudhihakiwa. Huwezi kumkashfu mtume au kitabu chao cha Quran mbele yao halafu wakutazame tu. Lazima wakuletee noma

2. Mavazi ya staha kwa wanawake
Napenda sana dress code kwa wanawake. Wanavaa mavazi ya staha. Sehemu za ibada huwezi kuvaa kihuni-huni ukaingia

3. Kutengana wanawake na wanaume kwenye ibada zao

4. Kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja kwa mtu mwenye uwezo wa kuwatunza.

5. Utoaji wa sadaka usiotia umasikini

6: Kuharakisha mazishi.

7. Kutomtenga muumini (Hapa uswali ama usiswali ilimradi wewe ni muislamu ukifa hamna longolongo utazikwa mahali popote! Njoo kwetu!

8: Kuharakisha ndoa! Hamna longolongo!
Umesahau na kutimiza ile amri ya kuswali kila saa maana hatujui siku atakayo kuja mwana kondoo kama tunavyo fundishwa kwenye ukiristo halafu hatutimizi,tume kalili j,pili j,mamos pekee.
 
Pamoja na ukristo wangu yapo mambo kadhaa nayoyapenda kwa waislamu.

1. Kutoruhusu mtume wao adhalilishwe au kudhihakiwa. Huwezi kumkashfu mtume au kitabu chao cha Quran mbele yao halafu wakutazame tu. Lazima wakuletee noma

2. Mavazi ya staha kwa wanawake
Napenda sana dress code kwa wanawake. Wanavaa mavazi ya staha. Sehemu za ibada huwezi kuvaa kihuni-huni ukaingia

3. Kutengana wanawake na wanaume kwenye ibada zao

4. Kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja kwa mtu mwenye uwezo wa kuwatunza.

5. Utoaji wa sadaka usiotia umasikini

6: Kuharakisha mazishi.

7. Kutomtenga muumini (Hapa uswali ama usiswali ilimradi wewe ni muislamu ukifa hamna longolongo utazikwa mahali popote! Njoo kwetu!

8: Kuharakisha ndoa! Hamna longolongo!
Kuharakisha maziko.
 
Hao ni wangapi kati ya milioni sitini (60), vipi wewe utakuwa mmoja wao??

Naomba unipe faida ya kuzikwa kifahari??

Huyu ni tajiri na haya ni mazishi yake!


Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum’s financial stature is nothing short of remarkable. According to Celebrity Net Worth and South China Morning Post, his net worth ranges between $14 billion to $18 billion (approximately between Rs 1.1 lakh crore to Rs 1.4 lakh crore).

View attachment 2940340

Hili ni kaburi lake!


View attachment 2940341

Lete utajiri wako tuone!
Sijaona hoja yako, mimi siyo tajiri ila kwny msiba wangu nauwezo wa kuchinja ng'ombe sita watu wakae wiki nzima wale wafurahi.

Kwa nini wewe unipangie nizikwe haraka?

Kwa nini unataka na mimi nimuige huyo tajiri aliyezikwa kimasikini?

Pesa nimetafuta mimi kwa shida, kwa nini nikifa mali nilizonazo zisitumike watu wale waenjoi?

Ninabana matumizi kwny msiba wangu ili mali zibaki wachukue akina nani? Nao si watafute zao?
 
6. Kuvaa nguo na kujilinganisha na waarabu (ukifanana na muarabu zaidi ndio Mungu anakupenda zaidi)

7. Kubadilisha lugha ya kiswahili ili uonekane mwarabu (mnyaazi mungu)

8. Kudhani Mungu hajui lugha nyingine (nadhani atakuwa anajua kiarabu pekee)

9. Kwenda kutalii uarabuni maana Mungu ndiko aliko

10. Kuabudu kwa kuelekea uarabuni, maana ndipo Mungu alipo.
10-kuzikwa,kuchinja kuelekea kibra(arabuni)
11-kuamini vyakula vya kiarabu nì bora kuliko vyetu sisi wabantu na vingine kuviteka mfano wali( cha mtume)
12-Usafi kuzingatiwa wakati wa ngono na swala tu
****mambo ni mengi na ajabu wanaosilimu kufuata huu upuuzi ni wengi mno!
 
10-kuzikwa,kuchinja kuelekea kibra(arabuni)
11-kuamini vyakula vya kiarabu nì bora kuliko vyetu sisi wabantu na vingine kuviteka mfano wali( cha mtume)
12-Usafi kuzingatiwa wakati wa ngono na swala tu
****mambo ni mengi na ajabu wanaosilimu kufuata huu upuuzi ni wengi mno!
13. Uislam umekataza usionewe, kudhulumu wala kudhulumiwa
 
Back
Top Bottom