Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,348
- 5,841
miezi 4Huwezi kuondoka mpaka umalize Eda miezi minne kama sio mitano kama sijasahau..
Kwahyo utapika nyumbani Na atakuhudumia ila kulala kitanda kimoja no
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
miezi 4Huwezi kuondoka mpaka umalize Eda miezi minne kama sio mitano kama sijasahau..
Kwahyo utapika nyumbani Na atakuhudumia ila kulala kitanda kimoja no
Lkn avae ndani tu akuwa na mumewe-Mavazi mshawishi/mnunulie mkeo avae hivyo...
-Namba 4 huwezi labda uhamie huko
Mimi ni Christian mkuuIla mwasibu wetu mbona kama ni mwisilamu....
Na vipeps tu😂😂😂Wakati huo hyo taiti yako anaona kama pensi nyanya....
🤣
Salamaleko mwasibu 🤣🤣Mimi ni Christian mkuu
Haaa haaa 😄Naona unaifukuzia mialiko ya Ftari kitaalamu.
NAKUPIGIA SALUTE.
PambanaZaidi/CottonandMore
Haaa haaa 😄Naona unaifukuzia mialiko ya Ftari kitaalamu.
NAKUPIGIA SALUTE.
PambanaZaidi/CottonandMore
Amekuruhusu kuoa wake wengi, kisha akasema huwezi, huoni kuwa amekuruhusu halafu akakuzuia?No contradiction mkuu hapo just maelezo zaidi ya hiyo aya ya kuoa ndo maana huwa nawashangaa wanaosema wanapenda kuoa wake wengi..
Mimi Kwenye dini sasa hivi nilishajitoa huko..
Unakuwa umejifungia kwenye Kibox
Ukiwa kwenye Eda bafo unakuwa chini ya Amri ya Mumeo unaachika pale tu ukiwa Umekamilisha Eda ya miezi minne (Hedhi 3)Umeniacha haunitaki.....miezi mitatu niondoke, ila hizi wiki mbili naenda enda sokoni nakutana na mtu kanielewa nammie naona namuelewa, nakuaga sasa hairuhusiwi???
Its not contradiction amekupa angalizo..Amekuruhusu kuoa wake wengi, kisha akasema huwezi, huoni kuwa amekuruhusu halafu akakuzuia?
Is that not a contradiction?
Sasa hizo siku mi nikiwa na nyege nafanyajeUkiwa kwenye Eda bafo unakuwa chini ya Amri ya Mumeo unaachika pale tu ukiwa Umekamilisha Eda ya miezi minne (Hedhi 3)
View attachment 2940327
View attachment 2940326
Ni maoni yako tu si uhalisia blood foolAllah akufanyie wepesi katika shughuli zako zote. Uislamu ni dini ya kweli iliyobakia.
Anaona umevaa kanzu.Wakati huo hyo taiti yako anaona kama pensi nyanya....
🤣
Si unamvaa huoni na wewe umeambiwa una hali zako..Sasa hizo siku mi nikiwa na nyege nafanyaje
Sina maana hiyo, ila yapo baadhi ya makanisa yanateketeza waumini wao. Sadaka na michango kibao. Hiyo najua unajuaIna maana unapo Sali wew jinsi unavotoa sadaka ndo jinsi unavo kua maskini?
Na haiatakiwi, tumefaradhishiwa swala 5 kila siku, kufunga Ramadhan, kutoa zakka na sadaka na kuhiji kwa mwenye uwezo...tumekatazwa ulevi, kamari, kusema uongo, kufitini, kuambiana maneno mabaya, kuzini n.k kwa hio kwa anaefanya haya Ramadhan na baada ya Ramadhan akayawacha basi anaidanganya nafsi yake.Wao wanaona ni mwezi mtukufu tu, kuna watu nawaona ulevi, matusi wamestop ila mwezi ukiisha wanarudi kule kule, huku ndio kujidanganya kwenyewe.
Ushauri konki sana huo..kwenye chupi hawezi kuchomoa.. 🤣 🤣Nilimkuta mke wa ankowangu anamshauri rafikiyake Nilicheka sana anamwambia jifanye unapanga vitu vyako unatoa uvunguni vaa chupi tu🤣🤣🤣🤣🤣nikajifanya napita naenda chumbani
yah iko hivyo na sababu nyingine ya kukaa eda ni kutizamia mwanamke asije kuwa anaondoka akiwa na ujauzito wako akenda kumpa mtu mwingine kimakosaUkitizama eda ipo makusudi kumfanya mwanamke na mwanaume wasiachane.
Kwenye uislamu mume na mke kutengana according to their beliefs huwa mbingu na ardhi zinatetemeka... Sijui ni kweli kwa maana hizi hadithi mi nazisikia kwenye vijiwe vya alkasusu mujarab.