Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
😂😂Wamama wanapitia maswahibu nafikir nae alikuwa anatak kuachika🤣🤣🤣Ushauri konki sana huo..kwenye chupi hawezi kuchomoa.. 🤣 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂Wamama wanapitia maswahibu nafikir nae alikuwa anatak kuachika🤣🤣🤣Ushauri konki sana huo..kwenye chupi hawezi kuchomoa.. 🤣 🤣
Samahani, sijui ngazi yako ya elimu, ila hata kama una vyeti kadhaa ila bado wewe ni:Kwa nini unataka na mimi nimuige huyo tajiri aliyezikwa kimasikini?
Ila usipokuwq muislamu ruksa kuonewa,ujinga mzigo.13. Uislam umekataza usionewe, kudhulumu wala kudhulumiwa
Weka ushahidi.Namba nne huwa ni ngumu Maana Quran yenyewe imekubali na ikakataa pia
Hii kihasibu imekaaje?Pamoja na ukristo wangu yapo mambo kadhaa nayoyapenda kwa waislamu.
1. Kutoruhusu mtume wao adhalilishwe au kudhihakiwa. Huwezi kumkashfu mtume au kitabu chao cha Quran mbele yao halafu wakutazame tu. Lazima wakuletee noma
2. Mavazi ya staha kwa wanawake
Napenda sana dress code kwa wanawake. Wanavaa mavazi ya staha. Sehemu za ibada huwezi kuvaa kihuni-huni ukaingia
3. Kutengana wanawake na wanaume kwenye ibada zao
4. Kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja kwa mtu mwenye uwezo wa kuwatunza.
5. Utoaji wa sadaka usiotia umasikini
6: Kuharakisha mazishi.
7. Kutomtenga muumini (Hapa uswali ama usiswali ilimradi wewe ni muislamu ukifa hamna longolongo utazikwa mahali popote! Njoo kwetu!
8: Kuharakisha ndoa! Hamna longolongo!
Nakunga mkono Kwenye 4 na 6.Pamoja na ukristo wangu yapo mambo kadhaa nayoyapenda kwa waislamu.
1. Kutoruhusu mtume wao adhalilishwe au kudhihakiwa. Huwezi kumkashfu mtume au kitabu chao cha Quran mbele yao halafu wakutazame tu. Lazima wakuletee noma
2. Mavazi ya staha kwa wanawake
Napenda sana dress code kwa wanawake. Wanavaa mavazi ya staha. Sehemu za ibada huwezi kuvaa kihuni-huni ukaingia
3. Kutengana wanawake na wanaume kwenye ibada zao
4. Kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja kwa mtu mwenye uwezo wa kuwatunza.
5. Utoaji wa sadaka usiotia umasikini
6: Kuharakisha mazishi.
7. Kutomtenga muumini (Hapa uswali ama usiswali ilimradi wewe ni muislamu ukifa hamna longolongo utazikwa mahali popote! Njoo kwetu!
8: Kuharakisha ndoa! Hamna longolongo!
Kubadilisha jina ni uhuru wako mwenyewe kwenye dini ila ipo ruhusa kubadili jina kama utapenda mwenyewe. Kama una jina la ukoo au hili la Matinde unataka kubaki nalo ni sawa tu kwenye kusilimu inatakiwa anae ingia kwenye uislam. Atowe shahada kama ana shuhudia Mwenyezi Mungu mmoja na Mtume Mohammed ni mjumbe(Mtume/Nabii) wa Mwenyezi Mungu tu inatosha. Kama kuna sheikh atakubishia lazima ubadili jina mwambie akutajie sahaba alie badili jina lake.Je inawezekana mtu akasilimu na akabaki na jina lake la kiafrika kama vile Matinde, au lazima apewe list ya majina ya kiarabu achague analolipenda?
Huyo ni walidMfano mzuri ni Clement mzize si anatumia yote!
Mkuu una uhakika?Hii mbona ipo hata kwa wakristo au wewe ni msabato hadi usijue hilo?
Sio utani But its trueUtani wa ngumi huu
Dada yangu Faiza nimeweka Soma Comment #69Weka ushahidi.
7. Nilishawahi kukaa na Rais Mwingi kipindi hicho ni Waziri wa Ulinzi pale Msikiti wa Al Maamur Upanga, hakuna madaraja kama pale Azania Front Church marehemu Lowassa alikuwa na seat yake SpecialPamoja na ukristo wangu yapo mambo kadhaa nayoyapenda kwa waislamu.
1. Kutoruhusu mtume wao adhalilishwe au kudhihakiwa. Huwezi kumkashfu mtume au kitabu chao cha Quran mbele yao halafu wakutazame tu. Lazima wakuletee noma
2. Mavazi ya staha kwa wanawake
Napenda sana dress code kwa wanawake. Wanavaa mavazi ya staha. Sehemu za ibada huwezi kuvaa kihuni-huni ukaingia
3. Kutengana wanawake na wanaume kwenye ibada zao
4. Kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja kwa mtu mwenye uwezo wa kuwatunza.
5. Utoaji wa sadaka usiotia umasikini
6: Kuharakisha mazishi.
7. Kutomtenga muumini (Hapa uswali ama usiswali ilimradi wewe ni muislamu ukifa hamna longolongo utazikwa mahali popote! Njoo kwetu!
8: Kuharakisha ndoa! Hamna longolongo!
Na wanakupa ma hela ya kutosha hii itategemea umeenda kusilimu Msikiti Gani.Hata ukitaka kusilimu wala hawana kelele wanakupokea na kanzu na kofia wanakupatia!
Muhimu ni kuoga janaba baada ya kuliwaMfano, kanipa ya kwanza nikakaa eda hapo siku mbili kanila, ya pili eda tena kanila, ya tatu huko huko kwa eda kanikula.....naondoka???
Huu msiba na mazishi silipendi kwanini wanazika haraka?Vitu vizuri walivyo navyo waislam licha ya kwamba mimi sio mtu wa dini ila vitu vizuri navyoona kwao ni
1. Suala la msiba na mazishi
2. Suala la kuoa
Hawana mambo mengi kabisa katika hivyo vipengele viwili