Mambo nayopenda kwa Waislamu japo ni Mkristo

Mambo nayopenda kwa Waislamu japo ni Mkristo

hebu tajeni na vinavyowachukiza katika uislam... najua majibu yatakuwa ushetani na majini wanaswali nayo huku wakiwalaani..
 
Mtu anakuambia Sadaka za Waislam hazifirisi wakati Dar hapo kuna Kesi inaunguruma Mzee MAREHEMU alitoa sadaka nyumba Watoto wanagombana.. Wanampa taabu Waziri wa Ardhi kusuruhisha Mnunuzi kabaki kuduwaa.. na mwendo huu muuzaji lazima arudishe pesa za watu...

Uislam ni baba la uongo na uchafu hausafishiki kamwe..
 
Uislam ni mwema sana.
Kupigwa na mumeo makonde na Mume kuacha kukudinya ndio Wema katika uislam? Quran 4:34
1710971807778.png

Mume kumdanganya Mkewe nayo ni wema katika Uislam! so ''Iblis anapumzika akiwaambia Good job good job keep goin you do my job''

Amkimbia mumewe wa Kiislam kwa vipigo aomba msaada kwa waislam
 
What Does Islam Teach About...
wife-beating-290.jpg

Wife-Beating​

Does Islam allow a man to hit his wife?

Yes, but only if she doesn't do as he tells her. The beating must stop if the woman complies with her husband's demands. Behind verbal abuse and abandonment, beating is intended as last resort solution to coerce submission.
According her testimony in the Hadith, Muhammad physically struck his favorite wife for leaving the house without his permission. It is not known how he treated his less-favored wives.

Kwenye red hapo kama mkeo ndio Faiza F bishi unaua and Sharia Law Mume hana kosa

Evelyn Salt Subiria uso wako huu after Ramadan kwa Wakuperuzi uliyemuahidi... akikuambia usitoke ndani yaani ni hakuna kutoka... ndio mtajua Uislam ni nini Quran 4:34

Quran (38:44) - "And take in your hand a green branch and beat her with it, and do not break your oath..." Allah telling Job to beat his wife (Tafsir).

Unajua zile fimbo za matawi ya Mti uitwao Muswaki kudadeki
1710974845168.png
 
Sijaona hoja yako, mimi siyo tajiri ila kwny msiba wangu nauwezo wa kuchinja ng'ombe sita watu wakae wiki nzima wale wafurahi.

Kwa nini wewe unipangie nizikwe haraka?

Kwa nini unataka na mimi nimuige huyo tajiri aliyezikwa kimasikini?

Pesa nimetafuta mimi kwa shida, kwa nini nikifa mali nilizonazo zisitumike watu wale waenjoi?

Ninabana matumizi kwny msiba wangu ili mali zibaki wachukue akina nani? Nao si watafute zao?
Sawa pesa umetafuta ww lakini umeangalia warithi wako umewaachia nini ? Mfano labda ww ndo ulikua tegemezi kwao inakuaje? Ufanye msiba wa kifahari ili umfaidishe nani? Baada ya siku kadhaa watoto,mke, wazazi wako wanataabika na wale uliowalisha vizuri msibani hakuna hata mmoja atakae saidi familia yoko sasa kwanini ufanye israfu wakati kuna wengine maisha lazima yaendeleee??
 
What Does Islam Teach About...
wife-beating-290.jpg

Wife-Beating​

Does Islam allow a man to hit his wife?

Yes, but only if she doesn't do as he tells her. The beating must stop if the woman complies with her husband's demands. Behind verbal abuse and abandonment, beating is intended as last resort solution to coerce submission.
According her testimony in the Hadith, Muhammad physically struck his favorite wife for leaving the house without his permission. It is not known how he treated his less-favored wives.

Kwenye red hapo kama mkeo ndio Faiza F bishi unaua and Sharia Law Mume hana kosa

Evelyn Salt Subiria uso wako huu after Ramadan kwa Wakuperuzi uliyemuahidi... akikuambia usitoke ndani yaani ni hakuna kutoka... ndio mtajua Uislam ni nini Quran 4:34
Heshimu Imani yako Mkuu
 
Wewe nawe ni moja ya watu wa hovyo kabisa 😅
Sishangai kama Allah tu anatuchukia wewe ni nani... Kama mimi kuweka aya ya Quran maneno ya Allah yanayosema Waislam wawapige wanawake nimekuwa mtu wa Hovyo inamana Allah ni hovyo zaidi maana ndie aliyesema au huamini Quran? au hujui uislam yaani wewe ni fake muslim
 
Heshimu Imani yako Mkuu
Allah na Mohammad hawaeshimu Imani Zetu Soma Quran. [5:52]
O ye who believe! take not the Jews and the Christians for friends. They are friends one to another. And whoso among you takes them for friends is indeed one of them. Verily, Allah guides not the unjust people.

[66:10] O Prophet! strive hard against the disbelievers and the hypocrites; and be strict against them. Their home is Hell, and an evil destination it is!

[3:119] O ye who believe! take not others than your own people as intimate friends; they will not fail to corrupt you. They love to see you in trouble. Hatred has already shown itself through the utterances of their mouths, and what their breasts conceal is greater still. We have made clear to you Our commandments, if you will understand.

[5:58] O ye who believe! take not those for friends who make a jest and sport of your religion from among those who were given the Book before you, and the disbelievers. And fear Allah if you are believers;

[58:23] Thou wilt not find any people who believe in Allah and the Last Day loving those who oppose Allah and His Messenger, even though they be their fathers, or their sons or their brethren, or their kindred. These are they in whose hearts Allah has inscribed true faith and whom He has strengthened with inspiration from Himself. And He will make them enter Gardens through which streams flow. Therein will they abide. Allah is well pleased with them, and they are well pleased with Him. They are Allah’s party. Hearken ye O people! it is Allah’s party who will be successful.

Aya kibao haziheshimu non Muslim unataka kusema nini wewe
 
Pamoja na ukristo wangu yapo mambo kadhaa nayoyapenda kwa waislamu.

1. Kutoruhusu mtume wao adhalilishwe au kudhihakiwa. Huwezi kumkashfu mtume au kitabu chao cha Quran mbele yao halafu wakutazame tu. Lazima wakuletee noma

2. Mavazi ya staha kwa wanawake
Napenda sana dress code kwa wanawake. Wanavaa mavazi ya staha. Sehemu za ibada huwezi kuvaa kihuni-huni ukaingia

3. Kutengana wanawake na wanaume kwenye ibada zao

4. Kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja kwa mtu mwenye uwezo wa kuwatunza.

5. Utoaji wa sadaka usiotia umasikini

6: Kuharakisha mazishi.

7. Kutomtenga muumini (Hapa uswali ama usiswali ilimradi wewe ni muislamu ukifa hamna longolongo utazikwa mahali popote! Njoo kwetu!

8: Kuharakisha ndoa! Hamna longolongo!
Dini ni kama duka la biashara.Upande mmoja unausoma udhaifu wa upande mwingine na kuvutia wateja/waamini waende upande wake.Simple tu.
 
Allah akufanyie wepesi katika shughuli zako zote. Uislamu ni dini ya kweli iliyobakia.
Dini zote ni usanii mtupu , ni mambo ya binadamu tuu aliyojianzishia , control ndio nia ya dini zote, mungu ni hadithi za kufikirika tuu ,na moto au pepo ndio namna ya kuwadhibiti wapuuzi wote wasiotumia akili zao kufikiria na hakuna kitu kama hicho, hao mitume wote na hadithi zao wamekuja kama miaka 2000 tuu iliyopita wakati Dunia ipo billions of years, civilizations kama China zipo zaidi ya miaka 5000 wakati hawa mitume wenu ni miaka chini ya 1500, ndio maana hawaamini hizo dini zenu
 
Pamoja na ukristo wangu yapo mambo kadhaa nayoyapenda kwa waislamu.

1. Kutoruhusu mtume wao adhalilishwe au kudhihakiwa. Huwezi kumkashfu mtume au kitabu chao cha Quran mbele yao halafu wakutazame tu. Lazima wakuletee noma

2. Mavazi ya staha kwa wanawake
Napenda sana dress code kwa wanawake. Wanavaa mavazi ya staha. Sehemu za ibada huwezi kuvaa kihuni-huni ukaingia

3. Kutengana wanawake na wanaume kwenye ibada zao

4. Kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja kwa mtu mwenye uwezo wa kuwatunza.

5. Utoaji wa sadaka usiotia umasikini

6: Kuharakisha mazishi.

7. Kutomtenga muumini (Hapa uswali ama usiswali ilimradi wewe ni muislamu ukifa hamna longolongo utazikwa mahali popote! Njoo kwetu!

8: Kuharakisha ndoa! Hamna longolongo!
Asante
Lakini mimi hakuna kitu chochote kinachonivutia kwenye ugalatia, kwa kweli hakuna
Zaidi nachukia ufisi na uoga uliopandikizwa kwenye hiyo imani.
Hata ukiangalia hawa panya road huwa wanawatesa wa huko kimara sijui kawe na mbezi, hutasikia panya road wilaya ya Temeke au Mtoni
 
Pamoja na ukristo wangu yapo mambo kadhaa nayoyapenda kwa waislamu.

1. Kutoruhusu mtume wao adhalilishwe au kudhihakiwa. Huwezi kumkashfu mtume au kitabu chao cha Quran mbele yao halafu wakutazame tu. Lazima wakuletee noma

2. Mavazi ya staha kwa wanawake
Napenda sana dress code kwa wanawake. Wanavaa mavazi ya staha. Sehemu za ibada huwezi kuvaa kihuni-huni ukaingia

3. Kutengana wanawake na wanaume kwenye ibada zao

4. Kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja kwa mtu mwenye uwezo wa kuwatunza.

5. Utoaji wa sadaka usiotia umasikini

6: Kuharakisha mazishi.

7. Kutomtenga muumini (Hapa uswali ama usiswali ilimradi wewe ni muislamu ukifa hamna longolongo utazikwa mahali popote! Njoo kwetu!

8: Kuharakisha ndoa! Hamna longolongo!
No. 4 tu, hayo mengine ni mbwembwe tu
 
Back
Top Bottom