Hawa ndugu zetu wako vizuri kwny masuala ya ndoa tu, hayo mengine ni upuuzi.
Kuoa wake wengi kwenye Uislamu kigezo kikuu ni uwezo je uwezo upi huo nafafanua
Kigezo Cha kwanza ni uwezo wa mwanaume kumridhisha kingono mke.Mfano ameoa mke wa kwanza anamplekesha kingono moto hasa Hadi yule mke anaona hapana huyu mume simuwezi nampa ruksa aoe mke mwingine tusaidianr hii kazi.Ndio maana kuoa mke wa pili kwenye Uislamu mke aliyepo lazima atoe ruksa mume aoe mke wa pili.
Sasa haya kaoa wake wawili anawatandika kingono barabara vitandani wote wawili moto haushuki uwezo wake wa kuwashighulikia kingono na kuwaridhisha wanaridhika Hadi wanafika mahali wanaona tutakufa huyu mume sio kawaida wanakaa Hao wake wawili wanatoka kibali kuwa mume wewe ruksa kaoe mke wa Tatu tunakuruhusu.Haya anaoa mke wa Tatu wanakuwa watatu anawapelrkesha kingono wote watatu Hadi wanajuta kuolewa maana anawafikisha na kuridhika Hadi anapitilizs na kuona ndoa chungu hawamuwezi uwezo wake kitandani wote watatu Kila mmoja akienda kwake ndio wake watatu Hao wanakaa wanasema uwezo wa mume mkubwa kutuzidi kitandani atatuua tumruhusu aoe mke wa Nne wanamruhusu
Sasa kwenye Kurani inaamini kuwa maximum mwanaume wake wanne Kwa yule mwenye minyege na moto uliopitiliza uwezo wake hauwezi zidi zaidi ya hapo.Wanne maximum
Kwa hiyo kipengele Cha kwanza ni uwezo wa kitandani ndio humsukuma mke aidhinishe mumewe aoe mke mwingine
Kigezo tu Cha uwezo wa nguvu za kingono Cha waislamu wengi kuwaweza wanne wengi hawana ndio maana mitaani wanachapiwa wake zao Hadi na bodaboda
Kifupi Kurani inamtaka mume kuwa na uwezo kwanza wa kingono kuridhisha Mkewe au wakeze
Kigezo Cha pili ni uwezo wa kiuchumi
na pili uwezo Uwezo wa kiuchumi wa mwanaume ukiyumba wanawake wa kiislamu rahisi sana kuondoka zake na kudai talaka.Na kurani inaruhusu kuwa mwanaume kama uwezo huna wa kutunza mle mke anaruhusiwa kuomba talaka tofauti na wakristo ambao Mume uwezo akiwa hana mke ni wajibu wake kupambana maisha kumsaidia mumewe.Kwenye uislamu mke hawajibiki kutunxa mumewe hata kama mwanamke huyo ana uwezo mkubwa..Wajibu wa kutunza mke ni wa mwanaume.Mitaani utakuta wanawake wengi sana wa kiislamu wameachika na sababu kubwa ni wao wenyewe kuomba talaka baada ya kuona mumewe hana uwezo wa kiuchumi wa kumtunza na wanasema wazi mume mwenyewe hana uwezo wa kunilisha wala kunivisha wa nini nimeachana naye