Ukweli sijaelewaHuyu mwanamke nilikua najiona kama najilazimisha kua nae ila sijui ni nini kilichokua kama kinaniforce kuwa nae, kwanza alikua anapenda kudanganya vitu vodogo vidogo, nikimuangalia naona kabisa hafai kuwa na mimi ila sasa sijui shida nini mpaka tukafika mbali, nilipaswa hufikia mwisho kipindi ile kile
Katika hivi vigezo vyako kuna mwanamke anakosa hata kimoja hapa labda malaikaKuna vitu sio vya kupuuza kikweli wakati wa uchumba ukiviona kwa mchumba wako
(1)Tabia ya kusema uongo
(2)Matumizi mabaya ya pesa
(3)Wivu uliopitiliza
(4)Cheating
(5)Anayeonyesha kutowapenda ndugu zako
(6)Single maza
(7)Tabia ya kutukana matusi au kupiga akiwa amekasirika
(8)Mpenda starehe
(9)Mvivu asiyetaka kujishughulisha
(10)Asiye na hofu ya Mungu
Namba nne inanihusu,ila hizo nyingine sipooKatika hivi vigezo vyako kuna mwanamke anakosa hata kimoja hapa labda malaika
Ni kweli wote tuna madhaifu na mapungufu ila sipuuze madhaifu kama ni makubwa.Katika hivi vigezo vyako kuna mwanamke anakosa hata kimoja hapa labda malaika
Pole, huyo wako mlikaa muda gan kwenye uchumba?Shida ni moja mkuu... tumesha enda kwao na mahali tushatoa sina kwakutokea yani
Ni Mwaka sasa
Kama unaona huelewi elewi bora tu ujitoe ikiwa bado mapema. Lkn pia sikiliza moyo wako.Ni Mwaka sasa