Mambo niliodharau kwenye uchumba yananitesa ndoani

Mambo niliodharau kwenye uchumba yananitesa ndoani

SIKU ZOTE...ILE SAUTI YA KWANZA UNAYOISIKIA IKIKUSHAURI NDIO SAUTI YA KUZINGATIA...WEWE UKAIPUUZA...

KAMA HAMJAZAA BADO...MUACHE MAPEMA....UKIZAA TU UNAIVUTA MIZIZI ZAIDI ARDHINI...

Paragraphy 2 ushauri wa maana sana, sasa shida ni kwamba huwa hawasikilizi.
 
Kuna vitu sio vya kupuuza kikweli wakati wa uchumba ukiviona kwa mchumba wako
(1)Tabia ya kusema uongo
(2)Matumizi mabaya ya pesa
(3)Wivu uliopitiliza
(4)Cheating
(5)Anayeonyesha kutowapenda ndugu zako
(6)Single maza
(7)Tabia ya kutukana matusi au kupiga akiwa amekasirika
(8)Mpenda starehe
(9)Mvivu asiyetaka kujishughulisha
(10)Asiye na hofu ya Mungu
No 6 umekuwa mbinafs mno na wivu extra!
Rudia utafit wako kati ya single mother na wasichana ni kundi gani wanajitambua zaid! Alaf urud.
Usisahau katika kuoa hakikisha unaoa rafik yako, ukiamini ana skili timam na si vinginevyo wako.
Yan Angalia sifa zinazobaki ukimwondolea elimu, uchumi, umbo na ngono.
Ukiona unamuhitaji bado oa. Ukiona ameisha na ukaendelea jua we ndo dhaifu na mkurupukaji, umemwaribia kesho yake mana wanayeendana yupo tu!
 
Pole sanaa mkuu... kiukweli yaliyo kukuta wewe ndo yananikuta mimi yan natamani hata nimuache lkn tusha fika kwao na Mpunga tulitoa yan natamani nimuache sijui nianzie wap yan mwanamke hataki kula ugali dagaa, hataki kula mboga za majani mda mwingine hataki kupika anasimgizia anaumwa ... naombeni msaada na mimi jamani
Pole sana
 
Mutawacha wangapi na kila mmoja wenu amelelewa kivyake? Huyo wa kwako labda umeoa ambae hali ya maisha nyumbani kwao iko juu kidogo na alikuwa na wafanyakazi nyumbani kwao kwa hivyo hakuwa anapika. Itahitaji muda mpaka azoee kazi za nyumbani.

Labda muanze na pre-nuptial agreements (makubaliano kabla ya ndoa).

Wazazi munaowadekeza watoto wenu na kuwacha kazi zote afanye dada wa nyumbani huu ndio muda wa kujirekebisha.
Kwa hiyo wazazi wenye pesa ndio watoto wao hawali ugali na mboga za majani??

Huyo si wakutetea ni hajakua na ni slay queen.
Ni msichana wa ovyo na sio wife material.
 
Huyu mwanamke nilikua najiona kama najilazimisha kua nae ila sijui ni nini kilichokua kama kinaniforce kuwa nae, kwanza alikua anapenda kudanganya vitu vodogo vidogo, nikimuangalia naona kabisa hafai kuwa na mimi ila sasa sijui shida nini mpaka tukafika mbali, nilipaswa hufikia mwisho kipindi ile kile
Hukuwa na backup, that is why.
 
Huyu mwanamke nilikua najiona kama najilazimisha kua nae ila sijui ni nini kilichokua kama kinaniforce kuwa nae, kwanza alikua anapenda kudanganya vitu vodogo vidogo, nikimuangalia naona kabisa hafai kuwa na mimi ila sasa sijui shida nini mpaka tukafika mbali, nilipaswa hufikia mwisho kipindi ile kile
Ulipaswa imuite umuombe mtoke out mbali kabisa na makazi yenu....menu matata iandaliwe....maandalizi ya tunda yafanyike...mdinyaneeeeee weee kama vile ndo mwisho...halafu mkiwa mnapiga story mbili tatu umwambie "baby as it seem I don't see any future prospects between us...I think we should cut this off... however I love u so much and I appreciate your time and resources.... you deserve a good husband not me" halafu umalizie na bonge la kiss then mtawanyike.
Wala leo usingejutaa
 
Pole sanaa mkuu... kiukweli yaliyo kukuta wewe ndo yananikuta mimi yan natamani hata nimuache lkn tusha fika kwao na Mpunga tulitoa yan natamani nimuache sijui nianzie wap yan mwanamke hataki kula ugali dagaa, hataki kula mboga za majani mda mwingine hataki kupika anasimgizia anaumwa ... naombeni msaada na mimi jamani
Hahaha asee kwani umelazimishwa si uvunje uchumba🙉
 
Sawa... lkn bado nahitaji muda wa kufikiria hili kabla ya k7chukua maamuzi
Watu wanaachana kwenye vikao vya harusi sembuse kulipa mahari.....
Hivi kweli mtu ushamuona kimeo why uendelee nae?
 
Pole sanaa mkuu... kiukweli yaliyo kukuta wewe ndo yananikuta mimi yan natamani hata nimuache lkn tusha fika kwao na Mpunga tulitoa yan natamani nimuache sijui nianzie wap yan mwanamke hataki kula ugali dagaa, hataki kula mboga za majani mda mwingine hataki kupika anasimgizia anaumwa ... naombeni msaada na mimi jamani
Anataka kula kuku tu? Kwani anafanya kazi hotelini mkuu?
 
Huyu mwanamke nilikua najiona kama najilazimisha kua nae ila sijui ni nini kilichokua kama kinaniforce kuwa nae, kwanza alikua anapenda kudanganya vitu vodogo vidogo, nikimuangalia naona kabisa hafai kuwa na mimi ila sasa sijui shida nini mpaka tukafika mbali, nilipaswa hufikia mwisho kipindi ile kile
Another Man Down
We need Backup Over
 
Back
Top Bottom