Mbwa dume
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 5,934
- 10,206
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aisee huu msalaba ni wako pambana nao mpaka golgotha mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aisee huu msalaba ni wako pambana nao mpaka golgotha mkuu.
SIKU ZOTE...ILE SAUTI YA KWANZA UNAYOISIKIA IKIKUSHAURI NDIO SAUTI YA KUZINGATIA...WEWE UKAIPUUZA...
KAMA HAMJAZAA BADO...MUACHE MAPEMA....UKIZAA TU UNAIVUTA MIZIZI ZAIDI ARDHINI...
No 6 umekuwa mbinafs mno na wivu extra!Kuna vitu sio vya kupuuza kikweli wakati wa uchumba ukiviona kwa mchumba wako
(1)Tabia ya kusema uongo
(2)Matumizi mabaya ya pesa
(3)Wivu uliopitiliza
(4)Cheating
(5)Anayeonyesha kutowapenda ndugu zako
(6)Single maza
(7)Tabia ya kutukana matusi au kupiga akiwa amekasirika
(8)Mpenda starehe
(9)Mvivu asiyetaka kujishughulisha
(10)Asiye na hofu ya Mungu
Pole sanaPole sanaa mkuu... kiukweli yaliyo kukuta wewe ndo yananikuta mimi yan natamani hata nimuache lkn tusha fika kwao na Mpunga tulitoa yan natamani nimuache sijui nianzie wap yan mwanamke hataki kula ugali dagaa, hataki kula mboga za majani mda mwingine hataki kupika anasimgizia anaumwa ... naombeni msaada na mimi jamani
Kwa hiyo wazazi wenye pesa ndio watoto wao hawali ugali na mboga za majani??Mutawacha wangapi na kila mmoja wenu amelelewa kivyake? Huyo wa kwako labda umeoa ambae hali ya maisha nyumbani kwao iko juu kidogo na alikuwa na wafanyakazi nyumbani kwao kwa hivyo hakuwa anapika. Itahitaji muda mpaka azoee kazi za nyumbani.
Labda muanze na pre-nuptial agreements (makubaliano kabla ya ndoa).
Wazazi munaowadekeza watoto wenu na kuwacha kazi zote afanye dada wa nyumbani huu ndio muda wa kujirekebisha.
Hatari sana hii usiombe ukutane nayo hii.Au ulipewa k tamu tena bila kikomo tena ulipewa yote. Mguu mmoja mashariki na mguu mmoja magharibi. Yaani k tamu mpaka unamwaga ubongo. Unajikuta huwezi kumuacha. Hata haujielewielewi
wapo wengi wanaodeka deka ikiwa wazazi wana fedha za kutoshaKwa hiyo wazazi wenye pesa ndio watoto wao hawali ugali na mboga za majani??
🤣🤣🤣🤣Hatari sana hii usiombe ukutane nayo hii.
Hukuwa na backup, that is why.Huyu mwanamke nilikua najiona kama najilazimisha kua nae ila sijui ni nini kilichokua kama kinaniforce kuwa nae, kwanza alikua anapenda kudanganya vitu vodogo vidogo, nikimuangalia naona kabisa hafai kuwa na mimi ila sasa sijui shida nini mpaka tukafika mbali, nilipaswa hufikia mwisho kipindi ile kile
Ulipaswa imuite umuombe mtoke out mbali kabisa na makazi yenu....menu matata iandaliwe....maandalizi ya tunda yafanyike...mdinyaneeeeee weee kama vile ndo mwisho...halafu mkiwa mnapiga story mbili tatu umwambie "baby as it seem I don't see any future prospects between us...I think we should cut this off... however I love u so much and I appreciate your time and resources.... you deserve a good husband not me" halafu umalizie na bonge la kiss then mtawanyike.Huyu mwanamke nilikua najiona kama najilazimisha kua nae ila sijui ni nini kilichokua kama kinaniforce kuwa nae, kwanza alikua anapenda kudanganya vitu vodogo vidogo, nikimuangalia naona kabisa hafai kuwa na mimi ila sasa sijui shida nini mpaka tukafika mbali, nilipaswa hufikia mwisho kipindi ile kile
Hahaha asee kwani umelazimishwa si uvunje uchumba🙉Pole sanaa mkuu... kiukweli yaliyo kukuta wewe ndo yananikuta mimi yan natamani hata nimuache lkn tusha fika kwao na Mpunga tulitoa yan natamani nimuache sijui nianzie wap yan mwanamke hataki kula ugali dagaa, hataki kula mboga za majani mda mwingine hataki kupika anasimgizia anaumwa ... naombeni msaada na mimi jamani
Mauno feni na mahanjumati mengine yalimzuzuaKosa lako ni kuonja ukishaonja tu lazima uwe kipofu
Inawezekana lkn sio rahis kama unavofikir ndugu... ad vikao vya family sio mchezoHahaha asee kwani umelazimishwa si uvunje uchumba🙉
Watu wanaachana kwenye vikao vya harusi sembuse kulipa mahari.....Inawezekana lkn sio rahis kama unavofikir ndugu... ad vikao vya family sio mchezo
Watu wanaachana kwenye vikao vya harusi sembuse kulipa mahari.....
Hivi kweli mtu ushamuona kimeo why uendelee nae?
Anataka kula kuku tu? Kwani anafanya kazi hotelini mkuu?Pole sanaa mkuu... kiukweli yaliyo kukuta wewe ndo yananikuta mimi yan natamani hata nimuache lkn tusha fika kwao na Mpunga tulitoa yan natamani nimuache sijui nianzie wap yan mwanamke hataki kula ugali dagaa, hataki kula mboga za majani mda mwingine hataki kupika anasimgizia anaumwa ... naombeni msaada na mimi jamani
Another Man DownHuyu mwanamke nilikua najiona kama najilazimisha kua nae ila sijui ni nini kilichokua kama kinaniforce kuwa nae, kwanza alikua anapenda kudanganya vitu vodogo vidogo, nikimuangalia naona kabisa hafai kuwa na mimi ila sasa sijui shida nini mpaka tukafika mbali, nilipaswa hufikia mwisho kipindi ile kile