Mambo niliodharau kwenye uchumba yananitesa ndoani

Mambo niliodharau kwenye uchumba yananitesa ndoani

Pole sanaa mkuu... kiukweli yaliyo kukuta wewe ndo yananikuta mimi yan natamani hata nimuache lkn tusha fika kwao na Mpunga tulitoa yan natamani nimuache sijui nianzie wap yan mwanamke hataki kula ugali dagaa, hataki kula mboga za majani mda mwingine hataki kupika anasimgizia anaumwa ... naombeni msaada na mimi jamani
Hahah, si unamuacha tu unaendelea na mambo mengine Mkuu au unaona uchungu mahari uliyotoa?.

Kuwa mwanaume fanya maamuzi, usikubali kuishi bila furaha na amani kisa mwanamke.

Hapo hujaoa je ukioa itakuwajee?, usiogope watu Mkuu wewe fanya maamuzi maana hakuna wakukusaidia zaidi watakuja kukucheka wakati unapambana na hiyo ndoa.
 
Nipe namba zake mkuu nipo hapa mtaalamu wa kurekebisha ndoa zinazoyumba, niPM hio namba yake faster niokoe hilo jahazi lisije likazama mkuu

Ukute na yeye anajuta kuwa na wewe kama ambavyo na wewe unajuta so hapo ni ngoma draw..mbwa kala mbwa hiyo[emoji23]
 
hali kama hyo inawapata wengi, ila wamejikausha tu. Kama ana tabia mbovu (kuna mbovu, mbovu kiasi, mbovu sana) vumilia tu na jitahidi kumkanya, kama hatokuelewa basi nasikitika kukwambia "achana naye"
 
Ukute na yeye anajuta kuwa na wewe kama ambavyo na wewe unajuta so hapo ni ngoma draw..mbwa kala mbwa hiyo[emoji23]
Mimba ya kwanza akiwa namna gan tia nyingine unamsikilizia namna gani tia nyingine unaangalia upepo namna gani tia mimba nyingine unaangalia hali ya hewa bado hajajifunza tia mimba nyingine
 
Pole mkuu,ila bado nafasi ya kuachana nae unayo
 
Huyu mwanamke nilikua najiona kama najilazimisha kua nae ila sijui ni nini kilichokua kama kinaniforce kuwa nae, kwanza alikua anapenda kudanganya vitu vodogo vidogo, nikimuangalia naona kabisa hafai kuwa na mimi ila sasa sijui shida nini mpaka tukafika mbali, nilipaswa hufikia mwisho kipindi ile kile
Isiwe anakuwekea mizizi fulani kwenye chakula!
 
Pole sanaa mkuu... kiukweli yaliyo kukuta wewe ndo yananikuta mimi yan natamani hata nimuache lkn tusha fika kwao na Mpunga tulitoa yan natamani nimuache sijui nianzie wap yan mwanamke hataki kula ugali dagaa, hataki kula mboga za majani mda mwingine hataki kupika anasimgizia anaumwa ... naombeni msaada na mimi jamani
Pole mkuu.. umeandika kwa uchungu sana.
 
sijui kwa nin watu mpata msukumo wa kuoa, huo mnaupata wap?
 
Kusikia Kwa Kenge Mpaka Atoke Damu Puani Na Masikioni
 
Shida ni moja mkuu... tumesha enda kwao na mahali tushatoa sina kwakutokea yani
Maisha yako yanathamani kuliko hiyo mali. Kwa maelezo yako inaonyesha hiyo ndoa itakusumbua Sana mkuu umeoa mtu asiye wa level yako, piga chini huyo Kama Ni mali zinatafutwa!!
 
Pole sanaa mkuu... kiukweli yaliyo kukuta wewe ndo yananikuta mimi yan natamani hata nimuache lkn tusha fika kwao na Mpunga tulitoa yan natamani nimuache sijui nianzie wap yan mwanamke hataki kula ugali dagaa, hataki kula mboga za majani mda mwingine hataki kupika anasimgizia anaumwa ... naombeni msaada na mimi jamani
Sio mtu wa kagera wilaya flani huyo!!!?
 
Huyo mwanamke alikuazid ujanja kabla hujamuoa ili uingie kwenye kumi na nane zake, daah pole sana
 
Back
Top Bottom