Mambo niliodharau kwenye uchumba yananitesa ndoani

Mambo niliodharau kwenye uchumba yananitesa ndoani

chomoa batter mkuu kabla haujafika mbali, ndoa ni furaha sio karaha
 
Huyu mwanamke nilikua najiona kama najilazimisha kua nae ila sijui ni nini kilichokua kama kinaniforce kuwa nae, kwanza alikua anapenda kudanganya vitu vodogo vidogo, nikimuangalia naona kabisa hafai kuwa na mimi ila sasa sijui shida nini mpaka tukafika mbali, nilipaswa hufikia mwisho kipindi ile kile
Pole sana ,vishaumana
 
Pole sanaa mkuu... kiukweli yaliyo kukuta wewe ndo yananikuta mimi yan natamani hata nimuache lkn tusha fika kwao na Mpunga tulitoa yan natamani nimuache sijui nianzie wap yan mwanamke hataki kula ugali dagaa, hataki kula mboga za majani mda mwingine hataki kupika anasimgizia anaumwa ... naombeni msaada na mimi jamani

Mle kichwa mkuu muda bado Unao kama umeshamwambia alafu na bado habdiliki
 
Pole sanaa mkuu... kiukweli yaliyo kukuta wewe ndo yananikuta mimi yan natamani hata nimuache lkn tusha fika kwao na Mpunga tulitoa yan natamani nimuache sijui nianzie wap yan mwanamke hataki kula ugali dagaa, hataki kula mboga za majani mda mwingine hataki kupika anasimgizia anaumwa ... naombeni msaada na mimi jamani
Hahahaha atakuwa mjamzito
 
Pole sanaa mkuu... kiukweli yaliyo kukuta wewe ndo yananikuta mimi yan natamani hata nimuache lkn tusha fika kwao na Mpunga tulitoa yan natamani nimuache sijui nianzie wap yan mwanamke hataki kula ugali dagaa, hataki kula mboga za majani mda mwingine hataki kupika anasimgizia anaumwa ... naombeni msaada na mimi jamani
Mutawacha wangapi na kila mmoja wenu amelelewa kivyake? Huyo wa kwako labda umeoa ambae hali ya maisha nyumbani kwao iko juu kidogo na alikuwa na wafanyakazi nyumbani kwao kwa hivyo hakuwa anapika. Itahitaji muda mpaka azoee kazi za nyumbani.

Labda muanze na pre-nuptial agreements (makubaliano kabla ya ndoa).

Wazazi munaowadekeza watoto wenu na kuwacha kazi zote afanye dada wa nyumbani huu ndio muda wa kujirekebisha.
 
Pole sanaa mkuu... kiukweli yaliyo kukuta wewe ndo yananikuta mimi yan natamani hata nimuache lkn tusha fika kwao na Mpunga tulitoa yan natamani nimuache sijui nianzie wap yan mwanamke hataki kula ugali dagaa, hataki kula mboga za majani mda mwingine hataki kupika anasimgizia anaumwa ... naombeni msaada na mimi jamani
Hahahaaa hahahaaaaaa 🤣🤣🤣
Halafu bado unakomaa nae?
Ana chanzo chochote cha kipato?
Kama hana mpe nafasi akatafute kwanza........ Ila siku ukiyumba kidogo imekula kwako..... Jifunzeni kutafuta wenza mnao endana nao jamani.....
 
…..jikubali mkuu,

We shape our lives with our own thoughts….chukua hyo point

Ukikiona kitu fulani ni tatizo ndo tatizo huongezeka….iruhusu akili yako ifanye kazi kama mwanaume punguza hisia wewe ni mwanaume.

Mwanamke ndo anebeba hisia za kukosea kwenye ndoa na sio mwanaume.
 
Hahahaaa hahahaaaaaa 🤣🤣🤣
Halafu bado unakomaa nae?
Ana chanzo chochote cha kipato?
Kama hana mpe nafasi akatafute kwanza........ Ila siku ukiyumba kidogo imekula kwako..... Jifunzeni kutafuta wenza mnao endana nao jamani.....
Shida ni moja mkuu... tumesha enda kwao na mahali tushatoa sina kwakutokea yani
 
Huyu mwanamke nilikua najiona kama najilazimisha kua nae ila sijui ni nini kilichokua kama kinaniforce kuwa nae, kwanza alikua anapenda kudanganya vitu vodogo vidogo, nikimuangalia naona kabisa hafai kuwa na mimi ila sasa sijui shida nini mpaka tukafika mbali, nilipaswa hufikia mwisho kipindi ile kile
Hiii story ilitakiwa kuwa ISIDINGO the need ila imekuwa SHUMILETA sanaa
 
Kuna vitu sio vya kupuuza kikweli wakati wa uchumba ukiviona kwa mchumba wako
(1)Tabia ya kusema uongo
(2)Matumizi mabaya ya pesa
(3)Wivu uliopitiliza
(4)Cheating
(5)Anayeonyesha kutowapenda ndugu zako
(6)Single maza
(7)Tabia ya kutukana matusi au kupiga akiwa amekasirika
(8)Mpenda starehe
(9)Mvivu asiyetaka kujishughulisha
(10)Asiye na hofu ya Mungu
mwenye tabia 1,3,7,8,9 ninae lakini stomuoa kamwe! Hizo sifa ni chache hatari sana[emoji848]
 
Back
Top Bottom