Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,901
- 3,941
chomoa batter mkuu kabla haujafika mbali, ndoa ni furaha sio karaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana ,vishaumanaHuyu mwanamke nilikua najiona kama najilazimisha kua nae ila sijui ni nini kilichokua kama kinaniforce kuwa nae, kwanza alikua anapenda kudanganya vitu vodogo vidogo, nikimuangalia naona kabisa hafai kuwa na mimi ila sasa sijui shida nini mpaka tukafika mbali, nilipaswa hufikia mwisho kipindi ile kile
Pole sanaa mkuu... kiukweli yaliyo kukuta wewe ndo yananikuta mimi yan natamani hata nimuache lkn tusha fika kwao na Mpunga tulitoa yan natamani nimuache sijui nianzie wap yan mwanamke hataki kula ugali dagaa, hataki kula mboga za majani mda mwingine hataki kupika anasimgizia anaumwa ... naombeni msaada na mimi jamani
Hahahaha atakuwa mjamzitoPole sanaa mkuu... kiukweli yaliyo kukuta wewe ndo yananikuta mimi yan natamani hata nimuache lkn tusha fika kwao na Mpunga tulitoa yan natamani nimuache sijui nianzie wap yan mwanamke hataki kula ugali dagaa, hataki kula mboga za majani mda mwingine hataki kupika anasimgizia anaumwa ... naombeni msaada na mimi jamani
Mutawacha wangapi na kila mmoja wenu amelelewa kivyake? Huyo wa kwako labda umeoa ambae hali ya maisha nyumbani kwao iko juu kidogo na alikuwa na wafanyakazi nyumbani kwao kwa hivyo hakuwa anapika. Itahitaji muda mpaka azoee kazi za nyumbani.Pole sanaa mkuu... kiukweli yaliyo kukuta wewe ndo yananikuta mimi yan natamani hata nimuache lkn tusha fika kwao na Mpunga tulitoa yan natamani nimuache sijui nianzie wap yan mwanamke hataki kula ugali dagaa, hataki kula mboga za majani mda mwingine hataki kupika anasimgizia anaumwa ... naombeni msaada na mimi jamani
Halafu ndo ukute kitandani ana mautundu kama yoteUkifanya nae ngono tu huwezi ona hizi tabia mbaya ugeuka madoido ya mapenzi
💯🤝 wasumbufu sana hao(11) Feminist - mwanamke anaeamini na kupambania haki sawa ndani ya nyumba.
Bado mkuuMkuu pole sana. Mna mtoto tayari?
Hahahaaa hahahaaaaaa 🤣🤣🤣Pole sanaa mkuu... kiukweli yaliyo kukuta wewe ndo yananikuta mimi yan natamani hata nimuache lkn tusha fika kwao na Mpunga tulitoa yan natamani nimuache sijui nianzie wap yan mwanamke hataki kula ugali dagaa, hataki kula mboga za majani mda mwingine hataki kupika anasimgizia anaumwa ... naombeni msaada na mimi jamani
Hauja kutana na hayo maji wewe...maji mengine unaishia kunawa uso,kwapa na sehemu muhimu lkn sio kujimwagia.... Atoke angali mapemaMaji ukishayavulia nguo sharti uyaoge sasa aina budi kuyaoga ayo maji
Shida ni moja mkuu... tumesha enda kwao na mahali tushatoa sina kwakutokea yaniHahahaaa hahahaaaaaa 🤣🤣🤣
Halafu bado unakomaa nae?
Ana chanzo chochote cha kipato?
Kama hana mpe nafasi akatafute kwanza........ Ila siku ukiyumba kidogo imekula kwako..... Jifunzeni kutafuta wenza mnao endana nao jamani.....
Mahari tu....mpe uhalisia halafu kula kona mpaka ajirekebishe....ila kama uwezo unao pambanaShida ni moja mkuu... tumesha enda kwao na mahali tushatoa sina kwakutokea yani
Yaani ndoa bado haijafungwa, halafu unasema huna kwa kutokea?Shida ni moja mkuu... tumesha enda kwao na mahali tushatoa sina kwakutokea yani
Hiii story ilitakiwa kuwa ISIDINGO the need ila imekuwa SHUMILETA sanaaHuyu mwanamke nilikua najiona kama najilazimisha kua nae ila sijui ni nini kilichokua kama kinaniforce kuwa nae, kwanza alikua anapenda kudanganya vitu vodogo vidogo, nikimuangalia naona kabisa hafai kuwa na mimi ila sasa sijui shida nini mpaka tukafika mbali, nilipaswa hufikia mwisho kipindi ile kile
mwenye tabia 1,3,7,8,9 ninae lakini stomuoa kamwe! Hizo sifa ni chache hatari sana[emoji848]Kuna vitu sio vya kupuuza kikweli wakati wa uchumba ukiviona kwa mchumba wako
(1)Tabia ya kusema uongo
(2)Matumizi mabaya ya pesa
(3)Wivu uliopitiliza
(4)Cheating
(5)Anayeonyesha kutowapenda ndugu zako
(6)Single maza
(7)Tabia ya kutukana matusi au kupiga akiwa amekasirika
(8)Mpenda starehe
(9)Mvivu asiyetaka kujishughulisha
(10)Asiye na hofu ya Mungu
acha kurahsisha mambo aseeYaani ndoa bado haijafungwa, halafu unasema huna kwa kutokea?