Mambo sita ambayo mwanaume yeyote anapaswa kuyasoma

Mambo sita ambayo mwanaume yeyote anapaswa kuyasoma

Etugrul Bey

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
6,514
Reaction score
15,247
Jambo la kwanza, wavulana huingia kwenye uanaume pale wanapoanza kuelewa kwamba,hakuna anayewajali kama hawana mchango wowote katika maisha,kama unataka kuwa mwanaume basi onyesha thamani yako katika maisha.

Jambo la pili, jifanye hauna uwezo wa kupata mkate wako wa kila siku mpaka pale watakapo kuja kugundua unamiliki bakery ya mikate. Naam kuwa humble hata kama uko fresh kimaisha ishi katika low profile,waache wenyewe siku wagundue kumbe wewe ni mtamu kama asali.

Jambo la tatu,kama utakutana na mtu ana akili mingi kushinda wewe basi usishindane nae ila shirikiana. nae,achana na ule upuuzi wacha nimuonyeshe mimi ni nani, hautafika popote just be the legend

Jambo la nne,ukitaka kuwa wewe kama wewe basi kuwa tayar kukimbiwa na watu wengi sana,kwakawaida ukiwa na misimamo yako na kutaka kuishi maisha yako kuna ambao wenyewe watajiondoa katika maisha yako

Jambo la tano,namna bora ya kufanikiwa ni kuanza kufanya mambo yako sasa na mambo mengine utakutana nayo huko mbeleni,kumbuka huwezi kujifunza gari likiwa limepaki bali likianza kutembea

Jambo la sita,kwakuwa mtu fulani ni ndugu yako au sehemu ya familia yako haimaanishi,eti uvumilie uongo,drama,kuvunjiana heshima na kadhalika,maisha hayako hivyo kila kitu lazima kichukue nafasi yake

Ni hayo tu!
 
jambo la pili, jifanye hauna uwezo wa kupata mkate wako wa kila siku mpaka pale watakapo kuja kugundua unamiliki bakery ya mikate. Naam kuwa humble hata kama uko fresh kimaisha ishi katika low profile,waache wenyewe siku wagundue kumbe wewe ni mtamu kama asali.
Mkuu maisha sio vita wala hujaja kushindana na mtu na hakuna anayeshindana na wewe.
 
Jambo la kwanza, wavulana huingia kwenye uanaume pale wanapoanza kuelewa kwamba,hakuna anayewajali kama hawana mchango wowote katika maisha,kama unataka kuwa mwanaume basi onyesha thamani yako katika maisha.

Jambo la pili, jifanye hauna uwezo wa kupata mkate wako wa kila siku mpaka pale watakapo kuja kugundua unamiliki bakery ya mikate. Naam kuwa humble hata kama uko fresh kimaisha ishi katika low profile,waache wenyewe siku wagundue kumbe wewe ni mtamu kama asali.

Jambo la tatu,kama utakutana na mtu ana akili mingi kushinda wewe basi usishindane nae ila shirikiana. nae,achana na ule upuuzi wacha nimuonyeshe mimi ni nani, hautafika popote just be the legend

Jambo la nne,ukitaka kuwa wewe kama wewe basi kuwa tayar kukimbiwa na watu wengi sana,kwakawaida ukiwa na misimamo yako na kutaka kuishi maisha kuna ambao wenyewe watajiondoa katika maisha yako

Jambo la tano,namna bora ya kufanikiwa ni kuanza kufanya mambo yako sasa na mambo mengine utakutana nayo huko mbeleni,kumbuka huwezi kujifunza gari likiwa limepaki bali likianza kutembea

Jambo la sita,kwakuwa mtu fulani ni ndugu yako au sehemu ya familia yako haimaanishi,eti uvumilie uongo,drama,kuvunjiana heshima na kadhalika,maisha hayako hivyo kila kitu lazima kichukue nafasi yake

Ni hayo tu!
Hili pili limeniponza sana mara nyingi nawaleta wadada na kuwaonyesha mazingira ya dhiki kitu ninachoambulia ni kukimbiwa
 
Hizi ndio nyuzi za watu wenye maturity tunazotaka kuziona hapa JF
Nimependa sana no 2

jambo la pili, jifanye hauna uwezo wa kupata mkate wako wa kila siku mpaka pale watakapo kuja kugundua unamiliki bakery ya mikate. Naam kuwa humble hata kama uko fresh kimaisha ishi katika low profile,waache wenyewe siku wagundue kumbe wewe ni mtamu kama asali.

Sasa Kuna watu naishi nao hivyo wananiona falafala tu km hiyo no 2 inavyosomeka Jah Bless Inshallah ipo siku watajua mimi ni nani😄
 
Jambo la kwanza, wavulana huingia kwenye uanaume pale wanapoanza kuelewa kwamba,hakuna anayewajali kama hawana mchango wowote katika maisha,kama unataka kuwa mwanaume basi onyesha thamani yako katika maisha.

Jambo la pili, jifanye hauna uwezo wa kupata mkate wako wa kila siku mpaka pale watakapo kuja kugundua unamiliki bakery ya mikate. Naam kuwa humble hata kama uko fresh kimaisha ishi katika low profile,waache wenyewe siku wagundue kumbe wewe ni mtamu kama asali.

Jambo la tatu,kama utakutana na mtu ana akili mingi kushinda wewe basi usishindane nae ila shirikiana. nae,achana na ule upuuzi wacha nimuonyeshe mimi ni nani, hautafika popote just be the legend

Jambo la nne,ukitaka kuwa wewe kama wewe basi kuwa tayar kukimbiwa na watu wengi sana,kwakawaida ukiwa na misimamo yako na kutaka kuishi maisha kuna ambao wenyewe watajiondoa katika maisha yako

Jambo la tano,namna bora ya kufanikiwa ni kuanza kufanya mambo yako sasa na mambo mengine utakutana nayo huko mbeleni,kumbuka huwezi kujifunza gari likiwa limepaki bali likianza kutembea

Jambo la sita,kwakuwa mtu fulani ni ndugu yako au sehemu ya familia yako haimaanishi,eti uvumilie uongo,drama,kuvunjiana heshima na kadhalika,maisha hayako hivyo kila kitu lazima kichukue nafasi yake

Ni hayo tu!
KAMA SIO BIKRA USIOE
 
Jambo la kwanza, wavulana huingia kwenye uanaume pale wanapoanza kuelewa kwamba,hakuna anayewajali kama hawana mchango wowote katika maisha,kama unataka kuwa mwanaume basi onyesha thamani yako katika maisha.

Jambo la pili, jifanye hauna uwezo wa kupata mkate wako wa kila siku mpaka pale watakapo kuja kugundua unamiliki bakery ya mikate. Naam kuwa humble hata kama uko fresh kimaisha ishi katika low profile,waache wenyewe siku wagundue kumbe wewe ni mtamu kama asali.

Jambo la tatu,kama utakutana na mtu ana akili mingi kushinda wewe basi usishindane nae ila shirikiana. nae,achana na ule upuuzi wacha nimuonyeshe mimi ni nani, hautafika popote just be the legend

Jambo la nne,ukitaka kuwa wewe kama wewe basi kuwa tayar kukimbiwa na watu wengi sana,kwakawaida ukiwa na misimamo yako na kutaka kuishi maisha kuna ambao wenyewe watajiondoa katika maisha yako

Jambo la tano,namna bora ya kufanikiwa ni kuanza kufanya mambo yako sasa na mambo mengine utakutana nayo huko mbeleni,kumbuka huwezi kujifunza gari likiwa limepaki bali likianza kutembea

Jambo la sita,kwakuwa mtu fulani ni ndugu yako au sehemu ya familia yako haimaanishi,eti uvumilie uongo,drama,kuvunjiana heshima na kadhalika,maisha hayako hivyo kila kitu lazima kichukue nafasi yake

Ni hayo tu!
Hilo la mwisho lina changamoto kidogo, kama ndugu inabidi mchukuliane na kuvumiliana, kama kila mtu katika familia angeamua kugomba kwa lolote linalomkera, hapo ndani kila siku itakuwa ugomvi tuu.
 
Hilo la mwisho lina changamoto kidogo, kama ndugu inabidi mchukuliane na kuvumiliana, kama kila mtu katika familia angeamua kugomba kwa lolote linalomkera, hapo ndani kila siku itakuwa ugomvi tuu.
Upo sahihi lakini kuna namna ya kurekebishana kwa hekima na busara,kibaya ni kukaa kimya na kutoonyesha kuwa haupendezewi na tabia fulani fulani
 
Hili pili limeniponza sana mara nyingi nawaleta wadada na kuwaonyesha mazingira ya dhiki kitu ninachoambulia ni kukimbiwa
Ila nikwambie kitu boss,kama kweli unataka kumpata mtu sahihi hiyo njia ni nzur sana coz utajua huyu anakupenda kwa jinsi ulivyo na si kwa ulivyo navyo
 
Hizi ndio nyuzi za watu wenye maturity tunazotaka kuziona hapa JF
Nimependa sana no 2

jambo la pili, jifanye hauna uwezo wa kupata mkate wako wa kila siku mpaka pale watakapo kuja kugundua unamiliki bakery ya mikate. Naam kuwa humble hata kama uko fresh kimaisha ishi katika low profile,waache wenyewe siku wagundue kumbe wewe ni mtamu kama asali.

Sasa Kuna watu naishi nao hivyo wananiona falafala tu km hiyo no 2 inavyosomeka Jah Bless Inshallah ipo siku watajua mimi ni nani😄
Yep wanasema one day yes inshallah,tuendelee kupambana boss
 
Back
Top Bottom