Mambo tofauti tunayokutana nayo Madereva wa malori toka enzi

Mambo tofauti tunayokutana nayo Madereva wa malori toka enzi

Hiii ulikua ni miaka hiyo2012,,, boss humjui hela inatumwa kwa Kota ananunua anakusanya dhahabu ikiwa tayari ni simu unaipeleka kwa boss bila kujua boss ni nani??? Sijui Kama huo utaratibu Bado upo.... Muhimu kijana jichanganye hii Tanzania Ina harakati nyingi sana. Siku nikipata muda nitashare humu baadhi ya visanga vyangu!
Ntakuwa nakukumbusha mkuu....utupe madini
 
Hebu tupe hadithi ya huyo wa tukuyu
huyo pakijinja wa tky alikuwa mbish sana hakuwah kukubal kushndwa na ktu, mfan kwny sherehe misos ikiletwa anaweza kula plate10 af bd wat wngn wakgafua yeye analiendleza. akawa maalufu san
 
Mtoa mada nimemkumbuka dereva wa zamani kidogo anaitwa babaa kasongo.... Nilisikia amefariki sasa sina uhakika mwenyezi Mungu amrehemu!!! Alikua sukari ya warembo enzi hizo za high way.... Jamaa alijua kutumia viungo vyake vya uzazi!!!!!!
Sasa babaa kasongo alikua na matashtiti siku hiyo Kajq demu wake alikua mpangaji wetu harafu sebule tulikua tunampangisha,,, ile sebule tukimpangisha anakaa na kasongo harafu Bibi tunampiga Stella atwas mbili analewa.... Sasa siku hiyo hawara yake kaandaa satoo mkubwa katenga tunamsubiri kasongo demu wake anauza grocery yake hana habari si tukamla yule samaki harafu alikua kafunikwa na vile vikapu vyenye maneno ya mahaba!!!! Tumemaliza kula tukafunika.... kilichotupata sitasahau mpka naenda kaburini.
Hebu malizia dada yangu mzuri, nipo hapa na glass wanzuki siinywi mpaka umalizie 😀
 
Back
Top Bottom