Mambo usiyoyafahamu kuhusu Ngamia

Kwa kuwa anacheua ila hana kwato mbili, nyama yake msile wala mzoga wake msiguse maana ni haramu kwenu.
 
Mshana si watu wangeweza kucheza za gizwa na kuwa na aliyonayo ngamia.. Si wangeyafanya? Eeeeh

Wana sayansi hawajaja wa jaribu kweli kuona kama yao anapewa binadamu?
 
Niliwahi kumpanda kwenye zoo flan hivi, sikujua kama ni mrefu vile, nina phobia ya height teh teh, kasheshe kwenye kushuka Ngamia akagoma kunishusha hatariiii🙌 ilikua ni bad and good experience ever
 
Niliwahi kumpanda kwenye zoo flan hivi, sikujua kama ni mrefu vile, nina phobia ya height teh teh, kasheshe kwenye kushuka Ngamia akagoma kunishusha hatariiii🙌 ilikua ni bad and good experience ever
Sasa wewe si ungeruka TU 🤣 🤣 🤣
 
Mkojo na maziwa ya ngamia hutumia kutibu kisukari. Pia ngamia ni mnyama asiyekubali kumuingilia ngamia walozaliwa tumbo moja, hadi umletee ngamia wa mbali .mkimfunga kitambaa na kumlazimisha ndugu yake waingiliane anaweza ua nyumba nzima

Wametajwa kwenye quran:
{ أَفَلَا يَنظُرُونَ إِلَى ٱلۡإِبِلِ كَيۡفَ خُلِقَتۡ }
[Surah Al-Ghāshiyah: 17]

Ali Muhsin Al-Barwani:
Je! Hawamtazami ngamia jinsi alivyo umbwa?
 
Peponi kuna ngamia? Je nao wameoa mabikira wangapi?
 
Nasikia kumchinja ni mpaka dua ifanyike
Mambo mengine ni kuongeza chumvi tu na hayana uhalisia.Hata kusema ukipiga dua anakubali achinjwe jaribu uone kama itatokea.Ni wapole ndio ila sio kwamba hawawezi kujitetea inapomuhitaji kufanya hivyo,teke lake moja tu linakuulia mbali,pia anaweza kung'ata akakuvunja vunja au kukuua kabisa kwa domo lake alilojaaliwa.Ni kama Twiga tu kama unazijua sifa za Twiga.
 
Hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…