welding1682
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 2,151
- 4,681
WapoHivi bongo hapa Ngamia wapo??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WapoHivi bongo hapa Ngamia wapo??
Wapo wengi tu.Hivi bongo hapa Ngamia wapo??
Rayns ulikuwa unayajuaa hayaaaaa ,😅😅😅Ngamia hunywa maji safi na ya chumvi. Anaweza hata kunywa maji kutoka Bahari ya Chumvi na hakuna kitakachoipata. Hii ni kwa sababu figo za ngamia huchuja maji: hutenganisha na chumvi na kugeuza kuwa maji safi yanayofaa kwa kunywa.
Ngamia pia hula miiba na haidhuru tumbo lake au utumbo wake kwa sababu mate yake huyeyusha miiba kama asidi.
Ngamia ana kope mbili: moja ni nyembamba na ya uwazi, nyingine nene na yenye nyama. Dhoruba ya mchanga inapoanza katika jangwa, hufunga kope lake la uwazi ili kuzuia mchanga usiingie machoni pake.
Ngamia pia anaweza kubadilisha joto la mwili wake: ikiwa ni baridi joto lake huongezeka, ikiwa ni moto katika jangwa la joto joto la mwili wake hupungua. Sifa alizo nazo mnyama huyu mzuri na wa kipekee ni za kuvutia.
Credit: Jr™ Creators!
View attachment 3167366
Wapi wapi au maeneo ganWapo wengi tu.
Kigamboni kiwanda cha Afya kule karibu na Dar Zoo.Wapi wapi au maeneo gan
Kwa mbali inafanana na ya Bundi japo ya Ngamia tamu zaidi.Vp ladha yake, inafanania na mnyama gani?
Kumchinja huwa anapiga magoti mwenyew,aiseee tuna roho ngumuMnyama mzuri, mpole asiye na shida na kiumbe chochote
Najiuliza sana watu wanapata wapi ujasiri wa kumchinja
Yaani Mtu anayechinja Ngamia au Punda ana roho ngumu sana
Hiyo ndio inatia huruma zaidi, Mnyama mpole anakubeba na kukubebea mizigo miaka yake yote then Unamchinja bila huruma na unamla nyama yakeKumchinja huwa anapiga magoti mwenyew,aiseee tuna roho ngumu
Mara ya kwanza nawaona nilkuwa shinyanga meatuHivi bongo hapa Ngamia wapo??
VIDEO?Kumchinja huwa anapiga magoti mwenyew,aiseee tuna roho ngumu
HUWA HUWEZI KUMCHINJA HUYU MNYAMNA NA ANANGUVU SANA.Nasikia kumchinja ni mpaka dua ifanyike
Na ana uwezo wa kutyoomb@ X3 kwa siku na mbegu zake ni lita 3-5 kwa siku anayodinya.