Mambo usiyoyafahamu kuhusu Ngamia

Rayns ulikuwa unayajuaa hayaaaaa ,😅😅😅
 
Kuna msemo kuwa ukila nyama ya mnyama fulani kwa muda mrefu una adopt tabia za huyo mnyama. Inawezekana watu wa jangwani wanadopt uvumilivu wa ngamia kwa kuweza kusavaivu jangwani kusiko na maji wala mimea kwa kuls nyama yake

Sasa wale wenzangu wala kitimoto sijui wataadopt na tabia za aina gani? 🤭
 
There are some Muslims who think camels are not halal. Some also say horses are not halal. But, apparently, you can clean up after eating camel.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…