JimmyKB
JF-Expert Member
- Feb 27, 2014
- 413
- 564
Kwani Ibrahimu anamiaka mingapi tangu kuwepo duniani?Sio kweli toka enzi za ibrahim nabii ngamia alikwepo jagwani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Ibrahimu anamiaka mingapi tangu kuwepo duniani?Sio kweli toka enzi za ibrahim nabii ngamia alikwepo jagwani
Haya.Ngamia si halali mkuu ni ULAFI unawasumbua waarabu.
Mkuu labda umeamua tu kuwa UKAWA wa kujitegemea usiku huu, ila kweli huoni upekee wa ngamia kulinganisha na wenzie? kweli kabisa kabisa mkuu?.Point yangu ni kuwa kila Mnyama au ndege yuko unique.. kutokana na mazingira yake anayoishi.. hakuna mnyama mwenye upekee kwenye uumbaji..
Wewe shika mimi, na kutupwa wakatupwa.Hahahahaahhaahahahahahaha dah huu uzi mmenivunja mbavu leo, sasa huyo jamaa kwanini anamuamsha ngamia kabla wenzie hawajakaa vizuri.
Kabisa mkuu wangu.Uongo mtupu hii habari ya evolution
Hahah yaishe da mtu, achana nae asituharibie siku.Waende zao huko na kujifanya wao miungu watu....
Wanakera mno
Hawa ndio uharibu post za wenzao
Hahahahahaha yaani hii scenario itaniua maana nikiona walivyopinduka mmoja mbele mwingine nyuma dah.Wewe shika mimi, na kutupwa wakatupwa.
Wamasai haoo 🤣🤣🤣🤣, na Ngamia wapi na wapi
Kabisa.Hahah yaishe da mtu, achana nae asituharibie siku.
Hahahahahahaha ila wewe umenikusudia leo na hawa ngamia wako.Titanic 🤣🤣🤣
Kazakh destroyer
Nashukuru mama.Kabisa.
Ndo mana nimenyamaza mwaya😔
🙏🙏🙏🙏🙏🤝🤝🤝🤝🤝Nashukuru mama.
🩵🙏🙏🙏🙏🙏🤝🤝🤝🤝🤝
Hahaha, duu.🤣🤣🤣 sili chochote chenye uhai zaidi ya Mimea yaani majani, mizizi na matunda....I'm Vegetarian
Ndio maana nikasema sili vyenye uhai isipokuwa mimea, yaani majani yake kama mboga, matunda na mizizi kama dawa au chakula (viazi, mihogo etc)Hahaha, duu.
Lakini mimea ina uhai pia, otherwise isingekuwa na virutubisho.
Ok bossNdio maana nikasema sili vyenye uhai isipokuwa mimea, yaani majani yake kama mboga, matunda na mizizi kama dawa au chakula (viazi, mihogo etc)
Ajuza faiza fox anawafuga na ndio wanamsafirisha usiku kwenda kuwanga FaizaFoxyHivi bongo hapa Ngamia wapo??
CheersOk boss