Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] acha basi
Dawa ya moto ni moto mkuu,
Anakiri hilo swala hawezi kuliacha..

Na kila nikitafakari sion linatuathiri vipi sisi wasoma nyuzi..
Sina budi kumpa go ahead, a-enjoy tu mana maisha ni hayahaya
 
Duh mkuu swali lako ni tricky na sikutaka kujibu sababu naona kama halina maana yoyote ile kwa maana ya halielimishi kitu katika mada hii, ila wacha nijibu tu, yes kileleni tunafika kama ambavyo.kila.mwanaume anafika, usisahau gays pia ni wanaume kimaumbile hivyo.kuna vitu viko same tu kama wewe.
 
Kwa hiyo kwenye umeme wanaruhusu kuandika vitu visivyonyoka? Ndiyo maana wanakugida nyu..maa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa hiyo kwenye umeme wanaruhusu kuandika vitu visivyonyoka? Ndiyo maana wanakugida nyu..maa!
Duh, uandishi ni taaruma na watu wanasomea miaka mingi chuo, kazi yangu inadili na numbers zaidi na maelezo mafupi kuliko insha na waraka, hata hapo nimejitahidi sana mkuu kuandika.
 
Kwanza pole chief

Nimesoma yote uoiyoandika mkuu lakn hili.andiko naliona limekaa KIMKAKATI SANA namaanisha hizi NGO'S zinazosapoti haya mambo zmekutumia Kama njia ya kufikisha ujumbe ili ziendelee kupiga propaganda za kuwepo nchini na kutumia fursa hyo kuwarubuni vijana

Upande wa pili nikusifu kwakueleza mbinu kwa SS wazaz nn chakufanya kwa watoto wetu wa kiume ili wasije tumbukia katka UCHURO HUU

LAKINI BADO NAFSI INANIAMBIA HUU N MKAKATI

kadiri tunavyoupa muda na nafasi kuuelezea USHOGA ndvyo tunavyozid kuzalisha MASHOGA ZAIDI
 
Dawa ya moto ni moto mkuu,
Anakiri hilo swala hawezi kuliacha..

Na kila nikitafakari sion linatuathiri vipi sisi wasoma nyuzi..
Sina budi kumpa go ahead, a-enjoy tu mana maisha ni hayahaya

Sema niny sio wana ushauri gani uho [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sasa maana yake wewe hujawa hivyo automatically. Haya ulitakiwa uyaeleze huko mwanzo. Kila jambo lina sababu na hii ndiyo sababu. Kutokea hapo kilichofata ni kujiendekeza, maana yake uliupenda huo mchezo.

Kilichokupelekea wewe ni malezi, kwa maana tunarudi kule kule, watoto wanatakiwa kulelewa katika misingi mizuri, na misingi mizuri ni ya DINI.
 
Sasa sii umualike huyo mchepuko wa gelofrend mpige threesome matata
 
Hakuna mkubwa, alikua rafiki angu, nilimzidi miezi kadhaa ila nae alikua 14yrs. Ila hajawahi kua gay hata baada ya hapo, ni straight, hakuchukulia serious sana alichukulia kama jokes na aliogopa sana imekuaje, ila nilichukulia serious.
Sasa hapa ndiyo ujiulize, kwanini wewe uliendelea na yeye hakuendelea ?

Hukumuuliza mwenzako kwanini yeye aliogopa ?
 
Wacha nikufundishe jambo ndugu, hayo maoni niliotoa juu ya kuepusha mtoto wala sikumaanisha kua ukifanya hivyo basi ndio mtoto hatokua gay, hapana, nimeandika kwa sababu hayo mambo angalau yatamfanya mtoto akue akijua hiki ni.kibaya hiki ni.kizuri, wewe sio gay kwa sababu kitu cha kwanza hata kama utataka kuingiliwa mind itakukumbusha kua ni vibaya na ni fedheha kuingiliwa na mwanaume mwenzako , basi utaacha wala hutaweza kujaribu, lakini yule ambae amekua akiachwa afanye anavotaka, ataona ni sawa kujaribu kila kitu,hata bible imesema, fundisheni watoto njia ilio bora, nao hawataiacha hata wakiwa wakubwa. Anaweza mtoto akawa gay, ila akajizuia sana asifanye sababu ameaminishwa hilo suala ni baya, hivyo ataogopa kufanya. Ndio maana yangu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] raha yaan nanga itoke na tope, wee vipi?
Akati mende wengine wanalamba na kunyonya samadi.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…