Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Mkuu naunga mkono hoja.uswahilini hasa maboda boda wengi hawana marinda wanakulana wao kwa wao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mnatoa tyuuh ubuyu, sie tumung'unye.
 
Dah nimecheka sana uliposema mkakati NGOs zinanitumia, hahaha, hapana mkuu, ila uhalisia hizo NGOs waziruhusu tu kuokoa hata straight people amini kwamba mkuu. Mzunguko unaweza kukurudia hadi wewe ndugu yangu. Ni vyema hizo NGOs zikawepo waweze kucontrol hawa gays kiasi kwa kuwapa vifaa vya kuwakinga na maambukizi kama PEP, anal condoms nk. sababu hata hizi condom za.kawaida wanazotumia zimetengenezwa kwa ajili ya ku favour uke sio anal, hivyo ndio dababu wanapata ma warts na kansa huko nyuma ila za anal zipo specific for anal, hata girfriend wako usimuingilie nyuma na hizi normal condoms tafadhari.

Mkuu kweli kabisa….Tena watu wanajificha huku wanakulana na wanaona aibu kwenda kupata pep au prep wataulizwa kuhusu wenza wao
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeanza kupanick, relaaaax bhana.
Wala sijawa huko, mbna mie niko peace sana, leo tunamsoma jamaa anayejikataa huku hawezi kujinasua.

[emoji482][emoji482]
unanikosea bana yani nipanic kisa nini 😂
Acha hizo me siko huko kwa hao wanaonyoonyeshea watu vidole na siko serious
 
Ngoja nishere kitu mimi nimebahatika kusoma na gay yeye alikua advanve mm o level tulipoteza tukaja kuonana mitamdaoni japo kipindi cha shule sikuwa na mazoea nae basi tutakutana facebook bhna ww akaaza mdogo wamgu upo wapi nataka kuja kukutembelea nikawa na mchenga nika mblock baada yaa muda akapata sasa nba yangu ya kawaida bhna ww akaaza kunisifia ww hb hakuna demu anaekukataa sawa nikawa na msikilza tu

Siku moja akaza kusema nataman nipate
Danga ww uko chuoni kwenu hakuna walimu unipe namba au bas nitaenda jangwani nikae tu pale watakuka wenyewe yaani ww ukiwa na rafik yako ana pes niambie nimchune mdogo wangu wakati huo yeye alikuwa anasoma morogoro ualimu na alikuwa na mtu wake

Nini nataka kusema kuna magay ambao wanapenda na hambao hawapendi bali wanaemdeshwa
Na hisia

Sisi tunaonekana ma HB tunasumbuliwa sana mpka now mm nimeaza kuvaa vibaya sivai smart tena [emoji24][emoji24]
 
Mtoa mada unayosema hapo juu ni ukweli mtupu…Kuna mtandao mmoja unaitwa P____ko huo mtandao ni zaidi ya vijana 10000 wamejiunga huko ni mambo ya usodoma tu ndo discussio….Na wengine ni ingia toka idadi inaweza kuwa juu zaidi..
 
yes napenda kua na watoto, lazima nije kua nao hata kama ni kwa kutumia surrogate mother.
hilo suala achana nalo kbs la kuwa na watoto ...kama wakija kugundua ulikuwa hivyo ulivyo utawatesa sana kisaikolojia na pengine wanaweza kujiua kuepusha mateso ya kifikra ...binafsi sipendi kbs jinsia yenu na hiyo bendera yenu
 
Mtoa mada unayosema hapo juu ni ukweli mtupu…Kuna mtandao mmoja unaitwa P____ko huo mtandao ni zaidi ya vijana 10000 wamejiunga huko ni mambo ya usodoma tu ndo discussio….Na wengine ni ingia toka idadi inaweza kuwa juu zaidi..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Mambo ya sign guest book? Hahahah hatareeeeeh sana.
 
Mtoa mada unayosema hapo juu ni ukweli mtupu…Kuna mtandao mmoja unaitwa P____ko huo mtandao ni zaidi ya vijana 10000 wamejiunga huko ni mambo ya usodoma tu ndo discussio….Na wengine ni ingia toka idadi inaweza kuwa juu zaidi..
Kwahiyo mkuu na wewe umejiunga na huo mtandao?
 
hilo suala achana nalo kbs la kuwa na watoto ...kama wakija kugundua ulikuwa hivyo ulivyo utawatesa sana kisaikolojia na pengine wanaweza kujiua kuepusha mateso ya kifikra ...binafsi sipendi kbs jinsia yenu na hiyo bendera yenu

Na hao wtt wataambiwa na ndugu
 
Hapo lazima Bangi na Mirungi na Pombe aina pa pingu vichanganywe uvute hadi ulewe ndio unapata hizo stimu.
Unafurahiaje Kufika Kileleni kwa kuharisha Mavi.
Na huyo Mwanamume basha anafurahiaje kukoga Mavi.

Hiyo ni Abnomality.

Hahahah….mbona kwa mparange watu wanaenda na wake zao
 
Ngoja nishere kitu mimi nimebahatika kusoma na gay yeye alikua advanve mm o level tulipoteza tukaja kuonana mitamdaoni japo kipindi cha shule sikuwa na mazoea nae basi tutakutana facebook bhna ww akaaza mdogo wamgu upo wapi nataka kuja kukutembelea nikawa na mchenga nika mblock baada yaa muda akapata sasa nba yangu ya kawaida bhna ww akaaza kunisifia ww hb hakuna demu anaekukataa sawa nikawa na msikilza tu

Siku moja akaza kusema nataman nipate
Danga ww uko chuoni kwenu hakuna walimu unipe namba au bas nitaenda jangwani nikae tu pale watakuka wenyewe yaani ww ukiwa na rafik yako ana pes niambie nimchune mdogo wangu wakati huo yeye alikuwa anasoma morogoro ualimu na alikuwa na mtu wake

Nini nataka kusema kuna magay ambao wanapenda na hambao hawapendi bali wanaemdeshwa
Na hisia

Sisi tunaonekana ma HB tunasumbuliwa sana mpka now mm nimeaza kuvaa vibaya sivai smart tena [emoji24][emoji24]
Huu ni uongo naoukataa mie hapa, eti kisa handsome ndo Gay akupende? Labda gays wa mchongo lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
hilo suala achana nalo kbs la kuwa na watoto ...kama wakija kugundua ulikuwa hivyo ulivyo utawatesa sana kisaikolojia na pengine wanaweza kujiua kuepusha mateso ya kifikra ...binafsi sipendi kbs jinsia yenu na hiyo bendera yenu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] khaaaaah
 
Back
Top Bottom