Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Mkuu kwanza pole sana kwa tatizo nina imani unatamani kuwa kama wanaume wengine wakifurahia uanaume wao.

Lakini pia kuna kitu cha msingi sana umeongea kwamba mashoga wapo wengi hilo ni kweli.

Na kuna wengine mpaka wanakufa hatutawahi kuja kuwajua kama wwlikuwa mashoga.

Kuna point ya msingi umeizungumza kwwmba tuwajenge watoto kisaikolojia kwamba wao ni wanaume.

It is very very very very important point hii katika kuepusha mtoto.

Kinachotufanya sisi wengine tusiwe mashoga ni ile aibu kwwmba weee mimi nilawitiwe na mwanaume mwenzangu ? Aaah hapaana.

Sasq hii aibu ndio inatuepusha mpaka leo kutokufanyiwa hayo matendo.

Kwa sababu sisi hatuna hofu ya mungu ambayo tunajengewa kwenye familia ya kutufanya tuache jambo baya kwa kumuhofia Mungu,bado familia hazituweki allert kuhsu Mungu.

Ila ikiwa familia inamtambua Mungu ni vizuri pia kumueleza mtoto kwwmba mungu kakatwza na kumkuza mtoto katika hali hiyo huku ukimjengea mindset kwamba yeye ni mwanaume.

Kama ni movie awekewe zile movie za makomando,movie za kivita za zamani zile za wanaume wakipigana ambazo hazina contents za ushoga.

Movie hizo za kivita,za mapigano na ngumi na mieleka zinaweza kumfunza ukorofi lakini pia zinamjengea dhana kwamba yeye ni mwanaume.

Tuhakikishe 2atoto hawaangalii maudhui yoyote ya wanaume mashoga mtandaoni.

Mtoto hatakiwi kumuwngalia joti akiwa amevaa nguo za kike huku akijua kwamba joti ni mwanaume,hiyo inampeleka taratibu katika ushoga.

Mtoto asiangalie maudhui yoyote ya ushoga wala ya mapenzi akiwa katika umri mdogo kuanzia miezi ameanza kukaa(6-8)

Maadamu mtoto anaona hata kama ana miezi mitatu toka azaliwe ogopa sana macho ya mtoto.

Ogopa sana macho ya mtoto,ogopa sana macho ya mtoto.

Mtoto kila anachokiona hata kama haelewi lugha basi kile anachokiona anakiweka katika subconscious mind yake na baadae hizo image ataanza kuzipractice akishaanza kufanya activities za kucheza.

Ndio maana kuna watoto wana mwaka mmoja tu lakini mtoto huyo anamuweka mtoto mwenzie mbuzi kagoma na kuanza kumpush unajiuliza kaona wapi ? Kakna kwa wazee na wala hajui kwamba hilo ni jambo la matusi,lakini hajui yeye kila anachokiona anaona kwamba anastahili kukifanya..

Nimalizie kwa kusema kwamba watoto wadogo ambao hawajui kuongea wale hawaelewi lugha.

Kumuwmbia acha,usifanye,hii mbaya haelewi,so kitu cha muhimu ni wewe kumuepusha asione kitu chochote ambacho hutaki baadae aje kukifanya au aje kuwa kama kitu hiko anachokiona.
Hizi ndo comment zilitakiwa kwenye huu uzi nadhani ndo lengo la Barkh ila kama kawaida ujinga umekuwa mwingi
 
Inaumiza sana. Nilimpeleka mother hosp moja hivi karibuni. Bahati mbaya mother akalazwa hapo hosp. Kwa hiyo muda mwingi nilikuwa nashinda maeneo hayo ya hosp. Ile nipo nipo pale nikamuona kijana wa kiume karibia miaka16,17 hivi. Hapo nilipomuona ilikuwa kwa mbali kidogo.

Baadae kidogo nikakaribia yale maeneo walipokuwa. Nikamuona yule kijana kanyanyua ndoo akaenda kuchota maji bomba la mbali kidogo wakati lilikuwepo lingine lilikuwa karibu. Yaani ile jitwisha yake maji kichwani ilinishangaza,kama mwanamke kabisa. Nikaendelea kumuangalia tembea yake kabisa anabetua na mikono. Ikabidi nimsogelee nimsikie. Nikamuuliza kwa nini umeenda kuchota mbali ili-hali maji yapo karibu. Ile ongea yake kama mwanamke kabisa,sauti nyororo mno. Nikamuangalia usoni ni soft kabisa ile kikike kabisa. Ikabidi niwauluze walikuwa jirani nae wakaniambia amezaliwa hivyo ni wa kiume ila ana mambo yote ya kike. Wakaniambia hata shule aliachishwa ksbb hiyo.

Siku hiyo nilishinda vibaya sana. Nilijisikia vibaya mno. Roho iliniuma mno. Nilimuonea huruma sana yule kijana
Halafu watu wanakuja na hadithi,tuombe Mungu atuepushe na kikombe hiki
 
Nimepata point za msingi sana.
Jambo moja tu hujaeleza hapa ambalo sina jibu lake.
Unaweza kusex na demu kawaida?
Maana huwa tunasikia hamuwezi kufanya hivyo
 
Nawaambiaje mnawakuta gays wenyewe washambaa na malimbukeni wa wanaume, ndo mnawatumia kwa shida zenu lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna mwenzenu kaweja uzi jana humu, muhindi anamdai amkaze, hela kachukua afu mboo hataki kutoa. Lol
Huyu ni suala la muda tu si ana tamaa
 
Hujaongelea utandawazi kama source kubwa kabisa ya tatizo hili kwenye jamii.
 
14 ni umri mdogo sana kujua kuhusu hisia hasa kwa mtoto wa kiume na watoto wengi wa kiume wanachelewa kubalehe. Wewe uliharibiwa hukuzaliwa hivyo huo ndio ukweli halis ndio maana hiyo hali huipendi. Hakuna mtu anayezaliwa gay THE DEVIL IS AT WORK. ILA NIKUPONGEZE UMEONGEA VITU VYA MUHIMU SANA
 
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mie mbna maubuyu ya upande huu yapo km yote, nilishaacha, niliambiwa nikiendelea kuweka mada za hivi ntapigwa ban ya maisha.

Mbna mada km hii niliwahi weka ktk jukwaa la hoja mchanganyiko, tena nilidadavua wazi wazi. Na vingi mnoo, aaah ukafutwa uzi.

Hata hii mada mfano ndo ningeleta mie ingefutwa mda tyuuuh.
Tatizo wabongo tumejawa unafiki sana huwa hatupendi ukweli. Na tukiambizana ukweli tunachukia tunajidai hivyo vitu havipo wakat vipo na tunaviona kila siku
 
Nimesoma nikarudia tena, tena nikasoma na nikarudia tena, alafu nikasoma tena alafu nikapiga magoti na kusema Mungu mwenye nguvu ambae una sifa zote na hufananishwi na chochote simama nami usiku na mchana asubuhi hata jioni.

Simama na ukoo wangu, simama na ndugu zangu, simama na watoto wa ndugu zangu, simama pia na watoto wangu watakaokuja.

Simama na taifa langu Tanzania, simama na Viongozi wote watendao kwa haki bali waovu walipe sawa na matendo yao, Mimi ni mwanadamu sijakamilika na bado nina dhambi nyingi ila nisamehe katika hizo, nasimama mbele zako nikihitaji msaada wako maana u rafiki mwema kwangu daima.

Nikurudishie nini Bwana kwa wema na fadhili zako ulizonitendea tangu kuzaliwa kwangu hata sasa bado wanilinda na dunia hii. Ahsante kwa upendo wako Mungu Ahsante kwa ulinzi wako.

Nakosa lugha nzuri ya kukueleza Muumba mbingu na nchi bali moyo wangu naumimina kwako kwa shukrani daima😥😥😥😥😭😭😭
 
Bharka
Pole na masahibu yanayokusibu.
Ninesikitika umeamini uongo wa shetani kuwa ulizaliwa hivyo. Hii sio kweli.

Pili tumaini pekee kwa mashoga ni Yesu Mnazareti. Keshabadilisha mashoga wengi sana. Nakuhakikishia kama utaamua kumtafuta kwa bidii, atakutoa huko na hutaamini.

Nje ya hapo hakuna tumaini.
Mungu alikuumba rijali wa kiume, akitegemea siku uongoze familia. Na bado hilo linawezekana ukimtafuta Yeye kwa msaada.

Nakuombea macho yako yafunguliwe!
 
sijahatibikiwa nikiwa 14 yrs, ila nilipofikisha 14 yrs ndio nilifanya physical sex kwa mala ya kwanza,

Hapa naomba nishauri wazazi, tafadhari sana , watoto wakifika umli wa kubarehe muwe makini sana , usipochukua tahadhari basi unaweza kuta watoto wamefanya mwmbo ya ajabu ambayo yatawa affect kiasi, sababu hapa mtoto anakua anaendeshwa na balehe zaidi kuliko uhalisia. Mala ya kwanza kusex ni sababu nililala room moja na rafiki angu wa utotoni, sijui ilikuaje ila tukajikuta tu imetokea, nakumbuka ilikua ndio mala yetu ya kwanza kupata mshindo (kama sio sahihi kiswahili jirekebishe)
Duh!! Unapataje mshindo sasa?

Possibly sijui mambo mengi. [emoji3064][emoji3064]

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Yes, kwa sababu nimekua hivyo tangu najijua, hisia zangu ziko hivo, hata nikijaribu kuziswitch haiwezekani,
Tafuta msaada ndugu yangu. Unahitaji msaada.
labda nipretend (kitu ambacho ndio nafanya), ni kama wewe nikwambie saa hii uswitch feelings zako badala ya kupenda madem upende sqme gender, hutaweza , vivo hivyo kwangu na kwa mwingine pia,
Nakusihi tena tafuta msaada
sababu hii sio tabia ila ni biological situation au fault kwa wale wanaoamini ni matatizo ya kibaiolojia.
Kisayansi hakuna gene inayosababisha ushoga au usagaji. Ni tabia. Na tabia inaweza kuanzwa na kuachwa
 
Back
Top Bottom