Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Na kwenye show huwa unasimamia haswaa au kawaida tu? Na uje una uwezo wa kupiga bao ngapi? Na wakati unapizi hausikii raha yoyote?
 
Umeiona ukiwa na umri gani?
 
Kiukwel mie ni muhanga wa kusumbuliwa sana na hawa mashoga, ni wengi mnoo....
Ila kuna mmoja ana kampuni ya Tours (anapeleka wabongo nchi za nje) kwa kumuangalia ni mwanaume kabisa na tulianza mazoea kidogo kidogo mwishowe yakazidi.

Kuna wakati alisafiri kwenda USA na tulikuwa tunawasiliana mara kwa mara na wakat anarudi alininunulia simu Samsung S10+ wakati ndio zinatamba. Sasa wakati wa kuchati ikawa makopa kopa kwa sana ikabidi nimuulize babu vipi mbona sikuelewi pigo zako mwanangu. Ndio akaniambia ukweli kuwa ananipenda sana na yupo tayar kunifanyia chochote.....

Kiukwel nilichoka sana, sasa ndio akawa analazimisha nionane nae ila nikawa namgomea, kuna siku akawa anaandaa tour ya Dubai akaanza kunishawishi kuwa nimkubalie atanilipia kila kitu ili nikamgongee huko Dubai ila nikamkatalia, na ushahidi wa screenshot ninao ila nahofia kuweka humu maana nahisi jamaa na yeye atakuwepo JF.
 
Pole saana kwa unayoyapitia.

Binafsi hii changamoto nilianza kuifajamu wakati nafanya project moja ambayo inawahusiha saana jamii hii ya watu.

Kiukweli ilinichanganya saana maana lacha ya wale waliojiweka wazi kumbe kuna usiowategemea nao ni walewale.

Imenifanya niwafuatilie zaidi ilinijue kipi kiliwasukuma lakini wengi wao walisema ni power within that they couldn't control it... Ni watu ukiongea nao unaona majuto walio nayo na wengi walishajaribu kuacha Mara kadhaa wakashindwa, walifanya maombi na maombezi wakashindwa.

Nilifanya maombi nikamsihi Mungu kwanza aniepushe binafsi maana wengine wanaushawishi wa ajabu (ushetani) pili nilimuomba Mungu aipeshe familia yangu na hii fedhea.

Baada ya miaka kadhaa nikaja gundua mdogo angu (ndugu) ni shoga chakusikitisha ni very handsome mwenye kila uwezo wa kushawishi mademu...kumbe hisia na ke hana maana yeye ni bottom (m.s.e.nge).

Nilimtrick as if am top (basha) ili nidhibitishe na alikubali na mwisho akafunguka kua alianza primary school hio Tabia. Nilimshauri kwa mashauri yoote ya dini na kimila nashukuru alinielewa.

Akajaribu kuanzisha mahusiano na dem hata siku ya kwenda kumgonga aliogopa ilibidi nimtie moyo kwakumuambia ulizaliwa mwanaume na utakufa mwanaume tuu.... go and do your responsibility, nashkuru alifanikiwa mpaka akaoa na sasa mkewe ni mjamzito.

After three year ya kuwasiliana kwa simu maana tulitengana mikoa juz kati akanitafuta very urgent akisissitiza Mimi ndo wa kumsaidia nilipokutana nae Amalia kwamba ile hali inamtesa mno maana anapata hamu ya kuingiliwa na yeye hayupo tayari kurudia ushoga ila anashindwa kuzuia akili yake na mwili wake...ameenda hospital ameambiwa hamna dawa zaidi ya kufanya (ushoga) kwa makini kulinda afya yake.
Sasa na yeye ameona bora ivo na isingekua anaogopa na kuheshimu wazazi wake ni bora angeolewa na me mwenzake kuliko mateso anayopitia.

Kusema ukweli jamii ya mashoga Tanzania inapitia wakati mgumu mno, na ushoga haujawahi kumpa MTU amani duniani most of gays wanaishi na hatia pamoja na majuto.

Siwezi tukana gays maana now ninawatoto me na ke sijui kesho yao. Nilichojifunza hakuna gay atakae kutana na Mungu kisha Mungu akamuuliza if I give you a second chance would you be a gay again I believe hakuna tena with big NO hakuna.

Bro pole saana mi nnaimani unanafasi ya kuepukana na hii changamoto believe me si maamuzi ya Mara moja but ukidhamiria kuutesa mwili wako yuo can!
 
Yaani dah, unaishi duniani Kwa ajili ya nn. Kama huwezi acha si Bora ufe tu,mwanaume mwezangu anikojolee? Ningekufa siku hiyo hiyo.
Yani mkuu na mie nawaza sana, eti unainama kabisa unaingiziwa paipu polepole then unaanza kupigwa miti, yan inaingia then inatoka kwny mk*ndu afu unafurahia kabsa.[emoji23][emoji23][emoji23]
Astaghafirullah.
 
Mungu hapendi ushoga, sasa kwako aumbe watu wa namna hiyo?
Kwani shetani aliumbwa na nani??
Hawa watu wanateseka kinoma...alafu wapo wengi balaa nakupa five years to come kama hautakugundua within your family kuna shoga achilia mbali wewe binafsi kushiriki vitendo hivyo.

Nakuhakikishia mpango wa dunia wabongo wamekataa kuujua ila mashoga ndo ajenda ya kuendesha dunia sasa na hautozuilika kwa maandamano zaidi ya imani tena imani sio dini ndugu yangu
 
Vitu vingine bora tu usijue jmn nimesoma lkn naogopa. Maana aliyeandika anaonekana ni mtu wa kawaida tu mpk mwenyewe ajielezee.Pia napenda kuuliza kuwa ulilelewa na baba na mama au ni mama pekee?
 
Naamini hakuna msanii wa bongo anaependa machoko kama Ali Kiba.
 
Hebu huko na weweeee,
Kwa msimamo gani ulonao upewe ofa ya kwenda Dubai ukatae, [emoji57]

Sema unatamani atokee wa hivyo ila wanaokufata ndio hao vichenchede wakina James Utamu,

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Bro, hiyo 5 years jipe wewe mwenyewe kwenye familia yako.

Allah aninusuru mimi na kizazi changu juu ya hii laana.
 
Dume zima unarutubishwa na mwanaume mwenzio!

Mbona vijijini huko hakuna mashoga,nyie huku mjini ushoga mnaupatia wapi?

Malezi ya kinyanyanyanya ndiyo sababu
 
Hebu huko na weweeee,
Kwa msimamo gani ulonao upewe ofa ya kwenda Dubai ukatae, [emoji57]

Sema unatamani atokee wa hivyo ila wanaokufata ndio hao vichenchede wakina James Utamu,

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Labda nikuambie tu kiufupi Dubai wewe ndio utapaona pa ajabu ila mie nmeenda mara tatu na nina ndugu wa damu kabisa huko, na sio kufikia hotelini.

Nimeishi mwaka mmoja Abu Dhabi.
 
Watu wanamjua sana, wameamua kumsitiri na kumstahi, couz yeye ana maintain na kulinda heshima na status yake. Ila wanajua vizuri uhalisia wake.
Kabisa yani,jamaa anachokifanya anahisi watu hawamjui,anasahau sometimes watu wanaweza kuwa wanajua uchafu wake ila wanashindwa tu kumchana kwasababu hawajui hawa waanzie wapi,hiyo michezo anaifanya jamaa ila aibu wanaona wao kutokana na uzito wa suala lake na jinsi jamii inavyomchukulia,ni vigumu hata kumweleza.
Akitaka ajue kwamba watu wanajua uchafu wake ajaribu kumdodosa mtu yeyote wa karibu yake,utasikia "Tulikua tunajiuliza tuanzie wapi kukuambia boss", "Hivi ni kweli boss unaliwa?",n.k

Kwa kifupi anachokifanya jamaa ni sawa na kujificha katika shamba la karanga,anahisi haonekani.
 
Mleta mada hii amejiunga jamii forum juzi tu j nne tarehe 11 April na kapandisha Uzi na sasa kaingia mitini

Nyinyi hamshtuki kbsa kuwa Kuna mtu humu ndani kaja na I'd mpya kutu enjoi tu alfu Ni mtu ambaye Ana uzoefu na jamii forum had kujibu comment zake anatumia maneno ambayo hutumiwa Happ Mara kwa Mara

Shtukeni huyu mtu Ni mzoefu na pengine Yuko app app Tena Kama kurudisha comment na kuuliza maswali ya kufikirisha
 
Labda nikuambie tu kiufupi Dubai wewe ndio utapaona pa ajabu ila mie nmeenda mara tatu na nina ndugu wa damu kabisa huko, na sio kufikia hotelini.

Nimeishi mwaka mmoja Abu Dhabi.
Povuuuuu

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Maskini!
Kwa hiyo wewe ndio unatushtua sie,
Wakati mwenyewe amesema wazi kabisa kwenye aya ya kwanza kua ametumia Id nyingine sababu ya siku zote kuna watu wanamfahamu personaly,

[emoji848][emoji849]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…