[emoji849]Povuuuuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
18Umeiona ukiwa na umri gani?
Hata mimi nimemuuliza hivyo, anus inahusika vipi na amesema hawashwi sehemu yoyote ila anakua tu na hisia za kimapenzi na mwanaume mwenzie.Yan mtu uwe na hisia za ngono? Hata kwa mwanamke au mwanamme rectum ndo ipelekewe moto[emoji848]... hio ndo inashangaza wengi kuhusu ushoga.....
Kama we ni mwanaume na unahisia na wanaume basi ukimpenda mwanaume muwa wako usimame kimahaba kama unavyosimama kwa mwanamke hapo kidogo tutakuelewa...
Anus anahusikaje hapa utake upelekewe moto huko....
Mimi nadhani nyinyi ni wagonjwa tena wakubwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji23][emoji23][emoji3] kupata vichekesho hivi tubonyeze ngapi?Kiukwel mie ni muhanga wa kusumbuliwa sana na hawa mashoga, ni wengi mnoo....
Ila kuna mmoja ana kampuni ya Tours (anapeleka wabongo nchi za nje) kwa kumuangalia ni mwanaume kabisa na tulianza mazoea kidogo kidogo mwishowe yakazidi.
Kuna wakati alisafiri kwenda USA na tulikuwa tunawasiliana mara kwa mara na wakat anarudi alininunulia simu Samsung S10+ wakati ndio zinatamba. Sasa wakati wa kuchati ikawa makopa kopa kwa sana ikabidi nimuulize babu vipi mbona sikuelewi pigo zako mwanangu. Ndio akaniambia ukweli kuwa ananipenda sana na yupo tayar kunifanyia chochote.....
Kiukwel nilichoka sana, sasa ndio akawa analazimisha nionane nae ila nikawa namgomea, kuna siku akawa anaandaa tour ya Dubai akaanza kunishawishi kuwa nimkubalie atanilipia kila kitu ili nikamgongee huko Dubai ila nikamkatalia, na ushahidi wa screenshot ninao ila nahofia kuweka humu maana nahisi jamaa na yeye atakuwepo JF.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3] daaaah kuna watu wanapitia magumu woiiiiiih.Pole saana kwa unayoyapitia.
Binafsi hii changamoto nilianza kuifajamu wakati nafanya project moja ambayo inawahusiha saana jamii hii ya watu.
Kiukweli ilinichanganya saana maana lacha ya wale waliojiweka wazi kumbe kuna usiowategemea nao ni walewale.
Imenifanya niwafuatilie zaidi ilinijue kipi kiliwasukuma lakini wengi wao walisema ni power within that they couldn't control it... Ni watu ukiongea nao unaona majuto walio nayo na wengi walishajaribu kuacha Mara kadhaa wakashindwa, walifanya maombi na maombezi wakashindwa.
Nilifanya maombi nikamsihi Mungu kwanza aniepushe binafsi maana wengine wanaushawishi wa ajabu (ushetani) pili nilimuomba Mungu aipeshe familia yangu na hii fedhea.
Baada ya miaka kadhaa nikaja gundua mdogo angu (ndugu) ni shoga chakusikitisha ni very handsome mwenye kila uwezo wa kushawishi mademu...kumbe hisia na ke hana maana yeye ni bottom (m.s.e.nge).
Nilimtrick as if am top (basha) ili nidhibitishe na alikubali na mwisho akafunguka kua alianza primary school hio Tabia. Nilimshauri kwa mashauri yoote ya dini na kimila nashukuru alinielewa.
Akajaribu kuanzisha mahusiano na dem hata siku ya kwenda kumgonga aliogopa ilibidi nimtie moyo kwakumuambia ulizaliwa mwanaume na utakufa mwanaume tuu.... go and do your responsibility, nashkuru alifanikiwa mpaka akaoa na sasa mkewe ni mjamzito.
After three year ya kuwasiliana kwa simu maana tulitengana mikoa juz kati akanitafuta very urgent akisissitiza Mimi ndo wa kumsaidia nilipokutana nae Amalia kwamba ile hali inamtesa mno maana anapata hamu ya kuingiliwa na yeye hayupo tayari kurudia ushoga ila anashindwa kuzuia akili yake na mwili wake...ameenda hospital ameambiwa hamna dawa zaidi ya kufanya (ushoga) kwa makini kulinda afya yake.
Sasa na yeye ameona bora ivo na isingekua anaogopa na kuheshimu wazazi wake ni bora angeolewa na me mwenzake kuliko mateso anayopitia.
Kusema ukweli jamii ya mashoga Tanzania inapitia wakati mgumu mno, na ushoga haujawahi kumpa MTU amani duniani most of gays wanaishi na hatia pamoja na majuto.
Siwezi tukana gays maana now ninawatoto me na ke sijui kesho yao. Nilichojifunza hakuna gay atakae kutana na Mungu kisha Mungu akamuuliza if I give you a second chance would you be a gay again I believe hakuna tena with big NO hakuna.
Bro pole saana mi nnaimani unanafasi ya kuepukana na hii changamoto believe me si maamuzi ya Mara moja but ukidhamiria kuutesa mwili wako yuo can!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kadate san na Noel, alipojua domokaya why asimpige beat, but Noel kafa kaoza kwa kiba. Hata kiwizi wizi wanachachuka. UwiiiiiihNaamini hakuna msanii wa bongo anaependa machoko kama Ali Kiba.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]Unikomeeee,
Mimi nimenyooka kama rula sio wewe umepindishwa pindishwa,
Wewe jitangaze tu, ukweli hukuweka huru.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] shost nimecheka had kupaliwa uwiiiiiih.Hebu huko na weweeee,
Kwa msimamo gani ulonao upewe ofa ya kwenda Dubai ukatae, [emoji57]
Sema unatamani atokee wa hivyo ila wanaokufata ndio hao vichenchede wakina James Utamu,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vijijini wapo sana, wengi wako wanajificha tyuuh.Dume zima unarutubishwa na mwanaume mwenzio!
Mbona vijijini huko hakuna mashoga,nyie huku mjini ushoga mnaupatia wapi?
Malezi ya kinyanyanyanya ndiyo sababu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3] kadate na wanaume zaidi ya wawili, eti ndo hajulikan? Khaaaaah.Kabisa yani,jamaa anachokifanya anahisi watu hawamjui,anasahau sometimes watu wanaweza kuwa wanajua uchafu wake ila wanashindwa tu kumchana kwasababu hawajui hawa waanzie wapi,hiyo michezo anaifanya jamaa ila aibu wanaona wao kutokana na uzito wa suala lake na jinsi jamii inavyomchukulia,ni vigumu hata kumweleza.
Akitaka ajue kwamba watu wanajua uchafu wake ajaribu kumdodosa mtu yeyote wa karibu yake,utasikia "Tulikua tunajiuliza tuanzie wapi kukuambia boss", "Hivi ni kweli boss unaliwa?",n.k
Kwa kifupi anachokifanya jamaa ni sawa na kujificha katika shamba la karanga,anahisi haonekani.
Nimekutumia screenshots inbox, kwa hyo utajua mwenyewe ubonyeze ngapi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji23][emoji23][emoji3] kupata vichekesho hivi tubonyeze ngapi?
Hata yale machoko ya Kariakoo anayapiga sana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kadate san na Noel, alipojua domokaya why asimpige beat, but Noel kafa kaoza kwa kiba. Hata kiwizi wizi wanachachuka. Uwiiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah we.Nimekutumia screenshots inbox, kwa hyo utajua mwenyewe ubonyeze ngapi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] aaaaah wee wale wa kiarabu na kihindi,hahahahHata yale machoko ya Kariakoo anayapiga sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kadate san na Noel, alipojua domokaya why asimpige beat, but Noel kafa kaoza kwa kiba. Hata kiwizi wizi wanachachuka. Uwiiiiiih
Kwan ushoga na kujiheshimu vinahusiana nn? Au wew uliambiwa mashoga hawajiheshimu? Aaaah maswali mengine mnakera mnoo.Acha bas alikiba mbn anajiheshimu hii imekaaje[emoji849][emoji849][emoji849]
Au pia inaweza kuwa mfumo wa ubongo unabadirika kulingana na maisha ya mtu, kama jitu limejifunza kutamani mwanaume linakuwa kama janamke na ubongo unabadrika, coz ubongo ni dynamic, ata we unaweza ishi maisha yako yote unaishabikia Arsenal ila baadae ukabadirisha ushabiki ukaanza ishabikia Man cityNi hivi kuna kitu kinaitwa sexual dimorphism
Defn: Sexual dimorphism is the systematic difference in form between individuals of different sex in the same species. For example, in some species, including many mammals, the male is larger than the female. In others, such as some spiders, the female is larger than the male.
Mfano:
Kwenye species yetu ya humans...kuna tofauti nyingi kati ya male na female.
Nyingi ni za nje zinaonekana kama maumbo, mwonekano, viungo etc. Lakini vingine vya ndani ikiwemo mifumo ya uzazi, Hormones, hata mpangilio wa ubongo..
Hasa hapo Kwenye mpangilio wa ubongo unaathiri vitu kama tabia, mawazo hata hisia...ndiyo maana wanaume wote duniani (kabila zote, dini zote, rangi zote) wana tabia fulani za 'kiume' ambazo zinatofautiana na wanawake and vice versa
Hii definition ya sexual dimorphism ni ya zamani kwasababu recently research zinaonesha kuwa gender sio black and white rather gender ni kama spectrum...
Na hii inaweza kuthibitishwa kwa mfano kwenye chromosomes zinazoidentify gender (Hizi chromosome sio tu X na Y (Male & female) kama tulivyosoma, lakini pia zipo nyingi mpaka Z chromosomes)kwahiyo kuna gender zaidi ya mbili in humans.
Mfano mwingine:
Wanasayansi wa ubongo hivi karibuni wamegundua pia kuna tofauti (Dimorphism) nyingi kati ya ubongo wa gay na wa straight.
Yani Mfumo/mpangilio wa ubongo wa gay unafanana zaidi na wa mwanamke kuliko wa mwanaume mwenzake.
Hiyo nimesema kama general statement in a short summary/nutshell...akitokea mtu mwenye uelewa na neuroscience/genetics tunaweza kudiscuss ni sehemu gani kwenye ubongo ambazo ni dimorphic kati ya gay na straight,,, na je zinaathiri vipi tabia,hisia na hata fikraya hawa watu wawili.
Au tunaweza kuongelea concept ya sex kama spectrum kwa kuangalia hizi chromosomes zinazocode sex ya mtu.