Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Wacha mie nijifunze hapa, HIV karibuni nimepata boyfreand ambaye kabla yangu alishakua na madem wengi Sana, ila Kwa nilivyomuuliza na kumjua yaan hadumu Sana na wasichana na amezaa watoto wawili Kila mtu na mamaake,na katika story zake ni kuwa wanamcheat,Sasa tangu awe na Mimi jaman sex kwake siyo kipaumbele yaan mnalala mwezi hafanyi kitu hata kunikumbatia Hadi nilazimishe, siku akiamua kukufanya dakika chache Kako*a kitu kinachofanya tunagombana mara Kwa mara japo tukigombana haipiti wiki anaomba msamaha Sana lakini kunifanya Wala je na yeye anaweza kuwa gay? Ni mtu na Kaz yake ya heshima kijana handsome ,
 
Hahaha nilikutana nae sehemu ambayo hatungeez kufanya ilimaradi tu, akanielekeza kuna mahali ubungo external ipo bar ina guest hata tukienda hawatuulizi mana ipo kwa ajili ya mambo hayo hasa usiku hadi watu wenye heshima zao
Bar gan tena
 
Kama we ni shoga usilazmishe muwe wengi
 
Utajuaje kama kitu ni natural au sio natural???
Hakuna mtoto ambae ni shoga hayo ni maneno yenu tu kujitia faraja
Maana ya natural ni kuwa vitu vikiishi with complete isolation hivyo vity vitajirudi tu, ambavyo sio natura havitajionesha,
Je!, Ungekuwa mtoto kabisa mchanga ukaishi kisiwan mbal kabisa na watu tangu utoton ungekuwa shoga??, Jibu ni hapana
Ko msijitetee
 
Dah
 
Analiwa huyo
 

Hata mm mkuu nimeshindwa kumuelrwa hapo, eti watu hawamjui wakt kaliwa mara nyng, hajui hakuna siri duniani.
 
Hiii ngoma imekopiwa kama ilivyo humu kwenda mjini facebook dah
 
Dahhhhhhh!! Asante sana kwa ushauri mkuu mungu akusaidie uepukane nahio hali...
 
Tabia yeyeto mtu yeyeto anaweza akaiacha kama atapata ushauri. Nilikuwa na tabia ya kucheck porno, kujichua. Nilipojifunza kuhusu roho na kujua nini kinakuwepo wakati wa kujichua niliacha. So KILA kitu kinawezekana panapo uamuzi
Oya hapo kwenye kucheck porno hapo hebu nipe ushauri maana nishajaribu kutumia kiswaswadu ili nisicheck lakini wapi nikagundua hata kiswaswadu ni smartphone iliyochangamka
 
HV mkuu unakafanikiwa lbda kutembea na mwanasiasa mfno mwigulu au bashe au heche au zito labda sas mfno na wew ukawaomba uwachakate je watakubali
Umeshawai muomba yule anaekuchakata nae umchakate au Ni wee tu unachakatwa muda wote
Sio vema mkuu kutaja majina ya watu tena ukiwahusisha na matendo kama hayo.
 
Hii Mada inafuatiliwa na wadau wengi kwakuwa ni very sensitive ktk mustakabari wa ustawi wa jamii yetu ya sasa.
Liko pengo ambalo wanaopigia upatu maswala ya Ushoga hawalisemi.

Kuhusu Madhara ya Ushoga.
Mwanaume Shoga
Anakutana na hatari kama.
Magonjwa ya Kansa, Bawasiri, Kulegea kwa njia ya kutoa uchafu na mengine mengi.

Mwanaume Shoga hana habari ya kuoa na kuzaa watoto wa kujenga Taifa la kesho.

Mwanaume Shoga anakimbia majukumu ya Wanaume katika kujenga nchi na kujifanya ni Mwanamke.

Hebu sasa mjaribu kujadili athari za Ushoga katika Taifa lenye nia ya kujenga jamii salama.

Kudai kuhalarishwa kutambuliwa kwa lengo tu la kukidhi matamanio ya mtu mmoja mmoja ya hisia haitoshi kupitisha haki za Mashoga.

Wekeni hapa Faida na Hasara za Ushoga katika Jamii ya sasa ili zipimwe.

@Curturegirl, cocastic,
Leteni majibu hapa.
 
Primary nilisomaga na washkaji fulani, Yan mabest wao( marafiki wa karibu) 99% walikuwa girls, hata swaga zao zimekaa kikikekike. Bora hao kuna jamaa mmoja nilikuwa namuona church na nikiwa stendi naenda shule, alikuwa akitembea lazima ugeuke, mwendo na swaga za kimiss kabisa. Nakumbuka pia o level shule fulan kongwe dsm, Kuna wajamaa walitolewa mbele wamenyoa hovyo, basi Kati ya waliotoka Kuna jamaa jinsi alivyokuwa amesimama pale mbele, ilikuwa inatuachia maswali mbona kama sio mwenzetu huyu?, Baadaye tukaja kujua shoga, baada ya kuwa tushamjua siku za mabash shuleni utakuta anawapiga madenda, anawakumbatia, anawashikashika mademu wa shule jirani mbele yetu Yani kama Kuna kitu anataka afosi atuoneshe, si tukawa tunaelewa anataka kujisafisha. Point yangu na malalamiko yangu yaende Kwa wazazi au walezi, inakuaje unakua haumjui mtoto wako kama ana tabia za kitofauti, yani mtaani na mashuleni watu wanaona kabisa Hana basics za mtoto wa kiume alafu mzazi hauhisi chochote, seriously??
 
Well said
 
Mabaro baro wengi mashoga tu, Jux, Hemed PhD, Gerry wa Rhymes, Nedy Music e.t.c
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…