Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Nina wasi wasi sasa jamii forums nayo ni ya mashoga, kwanini users na thread kama hizi hawazifuti??
 
Unavutiwa kivp je unatamani kuliwa Tako au ww ndo utamani kula makalio ya wenzio tuanzie hapo ili tujue jinsi kukusaidia
 
Ungekua unatokea mkoani ndo ningeshangaa..[emoji3]…we ni gey
 
Mpaka ninafikia hapa nimeshapambana sana kivyangu vyangu
Kama tatizo ulilokua nalo ni la ki-hormone kazi unayo huwez shindana na mwili ni suala la when utaanza kuzibua mitaro, atakayekusaidia ni Mungu pekee kupitia maombi hakuna sehemu utakayopata msaada tofauti na kwa Mungu
 
Mbona hasemi kama kafanya jitihada za kufanya maombi mbele za mungu wake amnusuru na huyo pepo mbaya ??? Ko kiundan kanataka kuwa shoga . Huwez taka msaada kwa binadam wakat muumba huja mweleza shida yako ...vijana tulinde tunu zetu kwa hali yoyote ile . Dah ...mpaka hasira yani
 
Habarini za humu wadau,

....Tafadhali mnsaidie nisije nikaingia kwenye ushoga au tabia mbaya ambazo sio nzuri, sina wa kumueleza hii kitu hata rafiki zangu wakaribu naona kama nazingua.
Mkuu rudi kwenye imani yako. Fanya toba uache huo ushetani
 
Asee ushoga uo
 
Brother K tamu pambana uwezavyo usiende upande wa pili . Check kitu kama hio [emoji116] inataka [emoji533] Mungu akupe nini Mac muga
 
Umesoma vizuri nilichokiandika na umekielewa? Tafadhali rudia tena kusoma uelewe ndo ukoment
Ulitaka chukua namba ya mwanaume Uko kwenye starehe Ili iweje ndio hoja ya jamaa apo juu. Umfanye au akufanye ?? Maana umeanza kwa kusema unapenda sura nzur za watanashat sasa swali Ili iweje?? Unapata hisia gani kati za izo mbili tajwa apo juu?
 
Vyakula havina uhusiano wa mtu kuwa shoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…