Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Kama ume observe watu hapa leo wamefunguka sana yaan Wameshindwa kuficha na kuna wengine wanatak kwenda direct ila wanazinguka kuuliza maswali [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtu anatamani kuliza ukifanya usikii maumivu lakini au Nikijalibu kitatokea nini lakin swali lake anavyo uliza ukifanya una jisikiaje? Mara yako ya kwaza ilikuwaje wakat Mtoto wa watu kaelezea vzr ulizeni maswali ya muhimu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] mie nawatazama hapa nachekaaa, watakutana na migobole au chemba zilizo zibuka vibaya watajua hawajui. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ulikuwepo lakini kwa mazingira yetu ya kiafrika ushoga haukuwepo. Maendeleo ya sayansi na teknolojia imekuwa chachu ya kuenea ushoga kwa kasi zaidi.
Unaamini katika mafundisho ya Sodoma na Gomora?
Je chachu ya kutifuana kiasi kile mpaka wakateketezwa ni nini?
Una uthibitisho gani ya kwamba ushoga haukuwepo? Na kama haukuwepo nani aliuleta?
 
Unaamini katika mafundisho ya sodoma na gomora?
Je chachu ya kutifuana kiasi kile mpaka wakateketezwa ni nini?
Una uthibitisho gani ya kwamba ushoga haukuwepo? Na kama haukuwepo nani aliuleta?
Sodoma sio Afrika mkuu.
Naona hatutaelewana kila mmoja abakie na kile anachokiamini.
 
sijahatibikiwa nikiwa 14 yrs, ila nilipofikisha 14 yrs ndio nilifanya physical sex kwa mala ya kwanza,

Hapa naomba nishauri wazazi, tafadhari sana , watoto wakifika umli wa kubarehe muwe makini sana , usipochukua tahadhari basi unaweza kuta watoto wamefanya mwmbo ya ajabu ambayo yatawa affect kiasi, sababu hapa mtoto anakua anaendeshwa na balehe zaidi kuliko uhalisia. Mala ya kwanza kusex ni sababu nililala room moja na rafiki angu wa utotoni, sijui ilikuaje ila tukajikuta tu imetokea, nakumbuka ilikua ndio mala yetu ya kwanza kupata mshindo (kama sio sahihi kiswahili jirekebishe)
Nyoosha maelezo Mkuu, mlijikuta tu mmepata mshindo? How? Huyo rafiki yako wa utotoni alikua ni Me au Ke? Fafanua mzee
 
Hakuna mkubwa, alikua rafiki angu, nilimzidi miezi kadhaa ila nae alikua 14yrs. Ila hajawahi kua gay hata baada ya hapo, ni straight, hakuchukulia serious sana alichukulia kama jokes na aliogopa sana imekuaje, ila nilichukulia serious.
Kwa haya maelezo yako ni wazi wewe ndie ulichagua mwenyewe kuwa GAY. Kwasababu wewe na rafiki yako mlifanya wote hilo tendo,ila wewe ndie ukaona uendeleze tu hako kamchezo. Hapo jilaumu wewe na nafsi yako,hukuzaliwa hivyo ila umechagua mwenyewe.

Labda utanielewa kwa huu mfano;
Mimi katika kukua kwangu nimekua mtaani na wahuni wa kila namna, so vitu kama SIGARA & BANGI nimewahi kuvitumia labda ni kwa kuonja tu ila sikuchagua iwe sehemu ya maisha yangu. Ila waliochagua kufuata njia hiyo basi wamekua waraibu wa hizo Sigara na Bangi.

So, point yangu ni kwamba njia za kupita/namna ya kuishi hutengenezwa na misingi ambayo tulijiwekea mara tu tulipoanza kufanya jambo fulani. Hivyo wewe ulichagua mwenyewe kuwa Gay na wala si kwamba ulizaliwa hivyo, na hiyo hali ya kugenerate hisia kwa wanaume wenzio sio biological problem ila ni mindset yako mara tu ulipoonja utamu wa kuliwa.
 
Nilikuwa na rafiki yangu alikuwa na tabia kama zako, yeye alishindwa kuniambia kuwa ana tabia hizo, ila kuna siku tulikuwa tumelala wote, nikashituka kutoka usingizini nikakukuta ananishikashika kwa Babu, kwa kuwa nilikuwa sijui chochote nilishituka sana nikalalia tumbo ili kumzuia, nikawa najiuliza maswali mengi sana kuhusu hilo bila kupata majibu na wala sikumuuliza chochote.

Ikatokea siku nyingine tena tukiwa tumelala akaanza tena kunishikashika, siku hiyo nikaamua nimuache ili nione nini dhamira yake, baada ya Babu kusimamia nikaona ananipaka kirainishi na kujichomeka, nilishikwa na butwaa sana, lakini kutokana na matamanio niliyopata nikampa ushirikiano.

Kwa uzoefu mdogo nilioupata si vizuri kumgeuza mwanaume kama mke, kuna hatari mtu mwenye tabia hii na yeye kuwa shoga kutokana na hisia anazoonesha mtu shoga katika tendo hilo, Mimi nimenisurika kwa bahati tu, yaani kuna wakati nilikuwa natamani kujaribu nione wanavyofeel, ni hatari sana.
Aisee so ulikula tope 😝😝
 
Mimi binafsi sijawahi kuwachukia mashoga.
Sasa unamchukia shoga na kujenga chuki juu yake ili iweje?

Kwamba ukijena chuki dhidi ya mashoga ndipo wataisha au utawafanya waongezeke zaidi kwa siri?
Utakua mmoja wao
 
Ukishaliwa Mara nyingi hata sura yako huwa inabadilika na viungo pia.
Ww hujaliwa vzr
Ndo mnavodanganyana huko vijiweni kwenu? Yaan bottoms wajichubue wenyewe, wajiweke fame wenyewe afu eti kisa kuliwa?

Ndo nyie mnawafanya bottoms wawe na mind-set ya kujikoboa, kufanya mambo ya kike, kisa kaliwa eti anatakiwa kubadilika? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah hivi vituko sasa lol.

Kwahiyo wee uliowala vizuri hao wamebadilika? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndo mnavodanganyana huko vijiweni kwenu? Yaan bottoms wajichubue wenyewe, wajiweke fame wenyewe afu eti kisa kuliwa?

Ndo nyie mnawafanya bottoms wawe na mind-set ya kujikoboa, kufanya mambo ya kike, kisa kaliwa eti anatakiwa kubadilika? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah hivi vituko sasa lol.

Kwahiyo wee uliowala vizuri hao wamebadilika? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi wewe ni Ke au Me?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
dah nimesikitika sana, sasa mkuu ukiwa unafanya hivyo unakojoa vipi kuna sehemu nimeona unasema umefika mshindo sijaelewa unafikaje mshindo kupitia yaani unapizi au huko nyuma??
 
Back
Top Bottom