Craig Natson
Member
- Jul 3, 2013
- 80
- 49
Mtoa MADA pole sana, na Mungu akubariki .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi vyakula + vinywaji vya kileo vina mchango mkubwa kwenye kulegeza homoni.Eti nilizaliwa hivyo.
Word.
Anaibua mjadala usiyo na msimamo au mwelekeo.
Kwahiyo huyu mwamba sio shoga??Bisexual sio shoga, ila anaweza cheza nafas ya ushoga.
Means wanaume wanapoteaUzi wa siku moja tu ila michango inakaribia elfu 10.
Means?!!!???????
So Sad!! Milango ya TOBA Bado ipo Wazi Mungu ni Mwingi msamaha Kama bado unapumua na unavuta hewa hii wanayovuta Binaadam wengine...Swali zuri sana, mimi ni mkristo, nasali KKKT, ila pia napenda kuhudhulia ibada hata makanisa mengine sometimes kama Pentekoste na TAG, pia hua nahudhulia mikutano yote ya mwakasege, sababu napenda kusikikiza neno la Mungu, na pia sababu nimezaliwa kwenye familia ya watu wanaosali.
Nafahamu maandiko yes, na sitaki kusema nachukuliaje ila nachomuomba Mungu siku zote ni kama hii ni dhambi kuu, basi naomba anibadilishe kwa wakati wake, sababu mimi siwezi, kutokana na maandiko yes najiona mwenye dhambi, lakini siwezi acha kumuomba Mungu kwa sababu ya weakness ambayo kama binadamu siwezi kuichange, humuuliza Mungu, mbona nisipende women kama wengine, mbona hisia zangu ziwe tofauti, shida ni nini, naamini yeye anajua zaidi. Hivyo ndivyo navyoweza kusema. Gays wanasali pia, yes , hata huyo rafiki angu mmoja ambae pia ni gay, ni muslim na anasali, anafunga na anaishi kama muslim wengine japo yupo hivyo.
Hahahahahaa mkuu Fuego sipingani na wewe hawa wenzetu ni watamu balaa, alietuumba hakukosea ndo maana akatofautisha me na ke. Sasa unashindwa kuelewa mtu anapataje hisia kumkunja dume mwenzake.Blaza tigo ya mwanamke itabaki kuwa tigo bora zaidi duniani, usicheze na kile kitu. Hayo mambo ya ku experiment na mwanaume mwenzako lina midevu mpaka kutia kinyaa yanaanza wapi? Yaani unaacha mtu mwenye matobo matatu laini unaenda kwa mwanaume mwenzio?
Dunia ina mitihani hii mshukuru Mungu kwa yoteHuyu mlete Uzi.. Ana zaidi ya alichotaka tujue..
Kwanza anasema hisia zake ndio zinamtuma hivyo..lakini Kuna mtu kasema Kuna dawa inarekebisha hiyo hisia na unapona Hilo laana..lakini kwa alichojibu ni.muelekeo wa kupingana na hiyo tiba!
Na inaonyesha Ni anapenda na kufurahia hiyo Tabia na hachukii Hilo.. .. kinachomsumbua mpaka kusikitika Ni kitendo Cha yeye kulazimika kuishi kwa kupretend ili kuficha kitu ambacho angependa kiwe wazi..yaani awe huru .. . Ndio maana anajichukia.. ..
Mtoa mada ukitaka unaweza Sana kubadilika.. ..
Hukuzaliwa hivyo .. ..usingesimamisha kabisa.. na wale wa sodoma wasingechomwa ..maana MMungu ndio angekuwa kawaumba hivyo!
mwanamme mwenzio .. anakung'wanyua na wewe unarembua...jionee huruma .. ..ukishindwa kabisa jiue tu upumzike.. .. .
Unakwenda kunawa mbegu za mwenzio.. .unaitia nuksi familia.. ...
Ila we jamaa akili zako haijai kwenye kisoda 😂😂😂