Labella
JF-Expert Member
- Jun 26, 2024
- 1,949
- 4,759
We kuweza? š¹Hatari sii mchezo.....kha sasa sii jamaa angemwambia tuu mke wake achukue strapon dildo awe anamlelekea motozš¤£š¤£š¤£š¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We kuweza? š¹Hatari sii mchezo.....kha sasa sii jamaa angemwambia tuu mke wake achukue strapon dildo awe anamlelekea motozš¤£š¤£š¤£š¤£
Dunia kizungumkutiDUH Dunia ina mengi mwanamke yupo kaolewa (yupo kwenye ndoa) mume wake nae anatumikia ndoa (kaolewa) ***** nyokooo
Chinekee Madhanaa Youhave Finished You have finished how did your husband like to sleep with other men when you're not around that is Curse according to Igbo, Yoruba, Shayo and Hausa Tribe ChineeeeeeeeeekkeeeeeUnajua nini nilikua nahis mume wangu ni shoga (tumeachana Sasa) kwasabu nilikua nikisafiri huku nyuma analeta rafiki yake wa kiume wanalala pamoja yaan nikimpigia simu pengine usiku nimefika safar yangu anakwambia nipo hapa na fulan analala hapa khaa halafu mi nikiwepo hao marafiki wa kulala siwaoni mpaka nikaanza kuhis vibaya, baadae miaka mingine akaanza kupenda nimnyonye mku*u na namuingiza kidole Cha mwisho lakini sikushtuka Sana kwasabu wanawake tunaambizanaga wanaume wanapenda kuchezewa mikund* lakini siyo mashoga, naomba uelewa wako kwwnye hili
shida wanaume sijui hua wanashida gani, unawezaje kumtamani kimapenzi mwanaume mwenzako? kipi kinakuvutia kwake kimapenzi yani?[emoji34]Katika muktadha wa Kitanzania, mjadala wa ushoga umekuwa ni jambo lenye changamoto kubwa. Ingawa utamaduni wa taifa letu una misingi ya kidini na kijamii inayokemea tabia za ushoga, kuna umuhimu mkubwa wa kuzungumzia suala hili kwa uwazi, tukizingatia athari zake kwa jamii. Kama jamii, tunahitaji kukemea matendo yasiyokubaliana na maadili yetu, huku tukihakikisha tunahimiza huruma na kuondoa unyanyapaa. Kauli ya Papa Francis iliyoibua tafsiri tofauti inatufundisha jambo hili: āMashoga ni watu kama watu wengine, na si sahihi kuwatenga na mafundisho ya kanisa.ā Hata hivyo, msimamo wa kanisa unabaki wazi kwamba ndoa ni kati ya mwanaume na mwanamke.
Uchunguzi Binafsi na Ukweli wa Maisha ya Mashoga
Wakati wa uchunguzi wa awali, nilibaini ukweli unaofanya mjadala huu kuwa mgumu zaidi. Niliona jinsi mashoga walivyopo kwa idadi kubwa, wakiwemo mabasha ā wanaume wanaochukua nafasi ya wanaume wenzao katika mahusiano ya jinsia moja. Hili liliibua maswali makubwa: Je, ni wangapi kati yao tunakaa nao vijiweni, tukiwachukulia kama marafiki wa kawaida bila kufahamu mwelekeo wao wa kimapenzi? Na tunaweza kuendelea kupuuza hali hii bila kuchukua hatua za kijamii?
Kwa bahati mbaya, juhudi za kutafuta takwimu sahihi juu ya ushoga Tanzania zimekuwa changamoto. Hata hivyo, uzoefu kutoka kwa nchi nyingine umeonyesha kwamba mazingira mabovu ya kifamilia, kama vile umaskini au malezi ya mzazi mmoja, mara nyingi hupelekea vijana kuingia katika mtindo huu wa maisha. Matukio ya kikatili utotoni, kama vile kulawitiwa, pia yameonekana kuchangia.
Athari za Unyanyapaa kwa Jamii ya Mashoga
1. Matatizo ya Kisaikolojia na Uraibu
Mashoga wengi wanakumbana na matatizo makubwa ya kisaikolojia kutokana na kunyanyapaliwa na kutengwa na jamii. Utafiti kutoka nchi mbalimbali unaonyesha kwamba unyanyapaa huu mara nyingi hupelekea uraibu wa pombe na dawa za kulevya, pamoja na utegemezi wa ngono kama chanzo cha kipato. Hali hii inazidisha umaskini na kuwatenga zaidi watu hawa kutoka katika mfumo wa kijamii.
2. Kuhatarisha Afya kwa Wanawake Wanaohusiana na Mabasha
Hatari kubwa ya kiafya ipo pale mabasha wanapokuwa na uhusiano wa kingono na mashoga na wakati huohuo kuwa na wake au wapenzi wa kike. Magonjwa ya zinaa, kama vile VVU, huenea kwa kasi kutokana na tabia hii ya ndumilakuwili, ikihatarisha afya ya wanawake wasio na hatia.
3. Changamoto za Ajira na Umasikini
Unyanyapaa dhidi ya mashoga pia huathiri uwezo wao wa kujikimu kimaisha. Mara nyingi hufukuzwa na familia zao mapema na wanakutana na changamoto za ajira. Hali hii inapelekea wengi wao kuishia katika biashara za ngono ili kujiingizia kipato, hali ambayo huendeleza umaskini na utegemezi.
Unyanyapaa: Suluhisho au Chanzo cha Tatizo?
Mojawapo ya athari mbaya za unyanyapaa ni kuwafungia mashoga nje ya nyumba za ibada, kama makanisa na misikiti, ambako wangeweza kupata mafundisho na msaada wa kimaadili. Tunapowatenga kijamii, tunawasukuma zaidi katika maisha ya ufukara na uchangudoa. Hali hii inawanyima nafasi ya kujirekebisha na kupata nafasi mpya ya maisha. Kama alivyosema Papa Francis, āKanisa linapaswa kupokea na kusaidia kila mtu.ā Tukikumbatia huruma, tunaweza kuwasaidia mashoga kubadilika badala ya kuwaacha wanyongāonyee kando ya jamii.
Hitimisho: Kuponya Jamii kwa Upendo na Haki
Ni wazi kuwa ushoga ni jambo linalokinzana na maadili ya Kitanzania. Hata hivyo, kuendelea kufumbia macho suala hili hakutaleta suluhisho. Tunahitaji kulikabili kwa mtazamo wa uwazi, tukiwa tayari kutoa msaada wa kisaikolojia na kiafya kwa wale walioko kwenye mazingira haya.
Jukumu letu kama jamii ni kuhakikisha tunakemea vitendo visivyofaa kwa uwazi, lakini pia tunatoa nafasi kwa watu wote kubadilika. Kuwanyanyapaa mashoga si suluhisho, bali kunachangia kuzidisha matatizo wanayokumbana nayo, hali inayoweka afya na ustawi wa kijamii kwenye hatari. Upendo wa kweli hauhalalishi makosa, bali husaidia kila mtu kuwa bora zaidi.
Ndio maana zinaitwa story za vijiweni, chai , tatepa you name it.Katika pita pita zangu asubuhi hii, nikasema nikae kidogo kwenye kijiwe cha kahawa, nichangamshe kinywa na kufurahia upepo mwanana wa alfajiri. Watu walikuwa kwenye gumzo, kila mmoja akitoa maoni yake juu ya hali ya maisha, siasa, na bila shaka, mpira wa miguu. Lakini ghafla, mada moja iliyoibuka ilinifanya nishtuke ā eti rushwa ya ngono inatawala soka la Tanzania, hasa katika timu kubwa!
Nikatulia kidogo nikitafakari. Kwa haraka haraka, akili yangu ilikataa wazo hili. Hivi kweli kuna wanawake wenye mamlaka ya juu kiasi cha kuwalazimisha wachezaji wa Simba au Yanga kulala nao ili wapewe nafasi ya kucheza? Wazee wengine waliokuwa kwenye kijiwe nao wakaonekana kushangaa kwa mtazamo kama wangu. Lakini mtoa mada hakukata tamaa:
"Naona hatuelewani," akasema kwa msisitizo. "Wachezaji wanaliwa mchicha ndio wanapata mkataba."
Kijiwe kizima kikasema kwa mshangao mkubwa: "Astaghafillulah!"
Mzee akaendelea kueleza kwamba si jambo la ajabu kwa watu wenye mamlaka katika soka ā iwe ni makocha, mawakala, au viongozi wa timu ā kutumia nafasi zao vibaya na kuwatumia wachezaji vijana kwa tamaa zao binafsi. Akaongeza kuwa, kama ilivyo katika sekta nyingine, kuna watu wenye tabia za ajabu ambao huona vijana kama vyombo vya kufanikisha matamanio yao badala ya vipaji vya kuendelezwa; Hapa nikakumbuka Kuna mchezaji fulani alitoka Yanga kwenda Azam kwa ugomvi na sahizi anarudi, nikakumbuka interview yake alivyokuwa anajing'atang'ata kwamba alikuwa "anateseka" nikasema kimoyo moyo "labda ndio mambo hayo"
Kwa haraka nikaanza kuwaza jinsi sekta ya muziki nchini ilivyojaa uvumi wa wasanii ā wa kiume na wa kike ā wanaolazimika "kulipa fadhila" kwa njia ambazo si za kawaida ili wapate nafasi ya kung'ara. Na hapo ndipo nikajiuliza, je, kuna uwezekano kwamba hata katika soka mambo haya yanatokea? Je, kuna wachezaji ambao wameathirika na mfumo huu lakini hawana pa kusemea?
Nikakumbuka hadithi za kimataifa za wachezaji kama Andy Woodward, aliyefichua unyanyasaji wa kingono alioupitia akiwa kinda huko Uingereza, au yale madai yaliyowahi kumkumba Sepp Blatter, aliyekuwa Rais wa FIFA, kuhusu tabia zake zisizofaa. Kwa Afrika, hizi habari hazisikiki sana ā lakini hilo linamaanisha hazipo?
Labda kuna ukweli fulani ndani ya gumzo la kijiwe hiki. Labda bado tunaishi katika jamii inayodhani kuwa rushwa ya ngono ni tatizo la wanawake pekee, huku vijana wa kiume wakilazimika kunyamaza kwa hofu ya kudharauliwa au kupoteza ndoto zao. Lakini je, tunapaswa kupuuza madai haya kwa sababu yanaonekana kutovutia macho yetu kwa haraka?
Swali linabaki: Je, kuna watu wanaoliwa viboga kwa tamaa za mafanikio? Na kama jibu ni ndio, tunafanya nini kama jamii kuhakikisha kuwa soka, muziki, na sekta zingine zinabaki safi kwa vipaji vyote vinavyoinuka?
Acha ubishi, King Kibaden kawatafuna sanaNi uzushi tu Kwa sababu soka la bongo hasa Simba na yanga hakuna papa au aliyejimilikisha club
Cha pili wachezaji wenyewe wenye vipaji vya ukweli huwa ni wakugombania mfano ni lameck lawi na wengine mpaka mfikie huko si atachukuliwa na timu pinzani na huko ataenda kutoa Siri?