Seth saint
JF-Expert Member
- Oct 27, 2020
- 1,115
- 2,464
Man kuna vitu anasema ni sahihi kuna pointi namba sita hii ni common kwa Wahaya na Wasukuma.Mimi ni Mhaya ntakupa mfano hai.Tulikuwa tunasali kanisa la Rumuli kuna siku kaletwa padri sijui alikuwa sio mhaya kafanya mafundisho wakati wa misa kwa kiswahili(Mbona kesho yake ilikuwa kelele kwa askofu ungekuwa mhaya ningekueleza walivyokuwa wanasema ila kifupi walisema ata sadaka wataacha kutoa maana misa haikunoga)Mbona mi mwenyewe nipo lakezone hayo mambo hamna kabisa,mleta mada apuuzwe
Kuna watusi kibao pale lakini wenyeji wanawaita wasukuma mpaka nlishangaa wasukuma wa namna gani hawaMkuu umenikumbusha Mwatulole hapo nilikuwa na demu wangu nilikuwa naenda kujipigia
Mkoa wa geita na shinyanga kumejaa watusi,kuanzia,kahama,masumbwe,runzewe,bwanga,kabindi,ushirombo,wanajiita wasukuma,mara wazinza tafrani tupuKuna watusi kibao pale lakini wenyeji wanawaita wasukuma mpaka nlishangaa wasukuma wa namna gani hawa
Mimi yalinishinda nikaona huku hakunifaiHiyo ya kulima barabara niliwahi kukutana nayo jamaa ananiletea habari eti tunatakiwa tukatengeneze barabara nilimletea noma kichizi yani nikamwambia hilo ni jukumu langu au la serekali?
Yani mi nilipe kodi na bado nikalime barabara? Nikamuuliza we mwenyekiti kazi yako ni nini? Mi niache majukumu yangu ya kukuza uchumi wangu binafsi ambayo ndani yake nalipa kodi niende nikachimbe barabara gharama zangu za maisha za siku hiyo utazilipia wewe? Au kuna posho mnalipa ili nije?
Nilimzingua kinoma yan kwanza sehem yenyewe nilikua naishi kibachela tu sina mke wala nini sikua na hofu kwamba nikizingua inaweza kumuathiri mtu mwingine
Umesahau na kula ugali asubuhi chapati wala mandazi havipatikaniKatika harakati za kutafuta maisha niliamua kwenda kusaka maisha kanda ya ziwa,sitataja mkoa.
1. Mtu akifa katika eneo lenu kuna mtu anapita na spika kuwatangazia,kuna daftari la wananzengo kuchangia msiba ni lazima,usipochanga utadhalilishwa kwenye mkutano wa kijiji au kitongojina kulipishwa faini tofauti na mjini unaweza usijue kama mtaani kuna msiba.
2 Nilishuhudia baba akicharazwa bakora kama mwanafunzi na wazee wa kijiji kosa la kumtelekeza mke wake Hii tabia ya kucharaza bakora watu waxima ipo pia uchagani na umasaini,na kanda ya ziwa.
3 kila nyumba ina mganga wake,nilikuwa kwenye mahusiano na binti mrembo akapigiwa simu na mama yake kuwa weekend aende akampeleke kwa mganga konki amepatikana maeneo fulani.
4.Biashara ndogo hata kuuza matunda watu wanaroga.kwenye mazao ndio usiseme,bila kutumia dawa hekari nzima ya mahindi utatoa debe mbili,wanaiba mazao kimazingaombwe.
5.usiku akitokea mwizi au ntu akihisi kuibiwa itapigwa kelele watu wote muamke kuifuata hiyo kelele inaitwa mwano,usipoitikua wito faini inakuhusu..
6.kila mtu anadhani wewe ni wa kabila lao,ukifungua duka anakuja kukuongelesha kilugha chao,habari ja nero,habbbbbbbbb,ppoopp tttkjhytt,ukijibu kiswahili wanajua wewe sio mwenzao kesho hawaji kununua kwako.
7 sababu ya kijinga kabisa ni ime unatongoza nsichana hasemi kama ni mke wa mtu,mkiingia gheto au lodge anamtext mumewe unashikwa ugoni na kyoigwa faini ya maana isiyopungua laki tano,mgoni wako na mumewe wanagawana hela ,wanaendelea na maisha tao
8 Msimu wa kiangazi ndio ujinga mwingi,kila week ni mikutano ya kijiji kujadili ujinga,mara kujitolea kupalilia njia au varabara za kijijini,usipotokea faini.
Ni ujinga ujinga tu
Huku Magugu Babati nilipo kwa sasa hukuna huo ujinga
Kwanini mkuu?Huyu ni muongo,mpuuzeni
Ni kweli kabisa,cha ajabu askofu wa jaragweni muhayaila wanyambo hawampendi kabisa,Rweyongeza nae anajua hapendwi ameamua kuwoeleka kijeshi,pata picha hapo ni mhaya na mnyambo tu je angekuwa mnyamahangaMan kuna vitu anasema ni sahihi kuna pointi namba sita hii ni common kwa Wahaya na Wasukuma.Mimi ni Mhaya ntakupa mfano hai.Tulikuwa tunasali kanisa la Rumuli kuna siku kaletwa padri sijui alikuwa sio mhaya kafanya mafundisho wakati wa misa kwa kiswahili(Mbona kesho yake ilikuwa kelele kwa askofu ungekuwa mhaya ningekueleza walivyokuwa wanasema ila kifupi walisema ata sadaka wataacha kutoa maana misa haikunoga)
Rweyongeza ni tapeli kipindi kapelekwa jimbo la Kayanga mara ya kwanza.Nlikuwa bado nasoma kule.Kafanya ibada kaona wanyambo kama hawaelewi somo ikabidi awachanganye na habari za nlikuwa Vatican mara papa amewatumia salamu zenu anawapenda nikasema hapa homeboy hutoboi hukuNi kweli kabisa,cha ajabu askofu wa jaragweni muhayaila wanyambo hawampendi kabisa,Rweyongeza nae anajua hapendwi ameamua kuwoeleka kijeshi,pata picha hapo ni mhaya na mnyambo tu je angekuwa mnyamahanga
Amewafrustrate mapadri wa Kayanga mpaka wamekoma ahaaaRweyongeza ni tapeli kipindi kapelekwa jimbo la Kayanga mara ya kwanza.Nlikuwa bado nasoma kule.Kafanya ibada kaona wanyambo kama hawaelewi somo ikabidi awachanganye na habari za nlikuwa Vatican mara papa amewatumia salamu zenu anawapenda nikasema hapa homeboy hutoboi huku
Wanyambo si huwa wanaleta upinzani wa jadi kwa Wahaya ndio maana, sema kawakomesha.Mbona kipindi bado wapo chini ya jimbo la Rulenge walikuwa wanampa heshima askofu Severine lakini Rweyongeza wanataka kumkaziaAmewafrustrate mapadri wa Kayanga mpaka wamekoma ahaaa
Kuna wanyambo walijiandaa kuwa maaaskofu,na umri umeenda wameshakata tamaaWanyambo si huwa wanaleta upinzani wa jadi kwa Wahaya ndio maana, sema kawakomesha.Mbona kipindi bado wapo chini ya jimbo la Rulenge walikuwa wanampa heshima askofu Severine lakini Rweyongeza wanataka kumkazia
Nadhani ndio sababu sema ni kama huwa kuna battle ya chini kati ya wanyambo na wahayaKuna wanyambo walijiandaa kuwa maaaskofu,na umri umeenda wameshakata tamaa