Ngoja leo niweke ushuhuda wangu:
Mwaka 2019, kuna dating app moja inaitwa Tan tan, ilikua ndo ina trend sana, kipindi hiko nna mwaka mmoja mtaani tangu nimalize chuo, sikua nimeajiriwa so muda mwingi nlikua idle tuu, nkajiunga na ile app lengo ilikua ni sehemu ya kupotezea muda tuu, katika pita pita zangu, nkabahatisha mtoto mmoja anaishi sinza kipindi hiko alikua anasoma IFM mwaka wa pili, tuliendelea na chatting mpaka tukaja kuwa wapenzi, kitu kilichonishangaza ni kuwa yule demu alikua bikra, na mimi ndo nliyeitoa, tuliendelea kuwa kwenye mahusiano, akaja akapata mimba ila aliitoa coz alikua anaogopa nyumbani kwao wangemzingua, basi kutokana na hiyo issue hata mahusiano yetu hayakuchukua muda mrefu, tukaachana, ila mpaka leo tunawasiliana:
Note: Alikua bikra na nimempata kwenye dating app nyie hamuogopi 😂🤔,