Mambo ya Dating Apps: Kupata Mapenzi Huko ni Rahisi au Unapoteza Muda?

Mambo ya Dating Apps: Kupata Mapenzi Huko ni Rahisi au Unapoteza Muda?

Utakae muopoa huko kwenye apps wenzako pia walishaopoa wakala wakaacha mkuu. Muelewe mtu unaemtaka physically alaf Piga sound mzee
Muda mchache mambo mengi, ni vizuri kujiopolea huko na kumaliza shida zako then Una concentrate na mambo ya msingi, mambo ya gesi imeisha, luku imekata mara baba anaumwa unawaachia wapenda drama
 
Muda mchache mambo mengi, ni vizuri kujiopolea huko na kumaliza shida zako then Una concentrate na mambo ya msingi, mambo ya gesi imeisha, luku imekata mara baba anaumwa unawaachia wapenda drama
what if umeopoa huko kisha ukakutana na chombo kimeukonga moyo.
 
Niliingia sikumbuki ni badoo au ipi maana miaka ya nyuma nilikuwa nacheza nazo sana nilipata kamwalimu kamoja ka kichaga mtoni shule ya msingi wakati huo anahishi kinondoni mkwajuni nikala sana ila alikuwa anakaa na jamaa na wamezaa watoto wawili sasa nikagundua hivyo nikamtema ila nikamkuta tena kwingine kumbe ndiyo michezo yake na alikuwa anajenga kibamba alivyoniambia kwa kazi ya kujiuza humo
Ukiskia gwiji ndo huyo
 
Niliingia sikumbuki ni badoo au ipi maana miaka ya nyuma nilikuwa nacheza nazo sana nilipata kamwalimu kamoja ka kichaga mtoni shule ya msingi wakati huo anahishi kinondoni mkwajuni nikala sana ila alikuwa anakaa na jamaa na wamezaa watoto wawili sasa nikagundua hivyo nikamtema ila nikamkuta tena kwingine kumbe ndiyo michezo yake na alikuwa anajenga kibamba alivyoniambia kwa kazi ya kujiuza humo

Sasa kwa hiyo ulikula bila kuliwa?

Kama ndiyo kazi yake iliyomuzewesha kujenga, wewe ulimlipa kiasi gani?
 
Hizo app shenz tupu nkapgiwa na demu wa venezuela mara napokea mtu kauanika uchi nje nje
 
Mtu serious? Hivi unafahamu maana ya "dating"? Maana ni kukutana na kumalizana. That's the reason haziitwi "engagement apps."
 
Ngoja leo niweke ushuhuda wangu:

Mwaka 2019, kuna dating app moja inaitwa Tan tan, ilikua ndo ina trend sana, kipindi hiko nna mwaka mmoja mtaani tangu nimalize chuo, sikua nimeajiriwa so muda mwingi nlikua idle tuu, nkajiunga na ile app lengo ilikua ni sehemu ya kupotezea muda tuu, katika pita pita zangu, nkabahatisha mtoto mmoja anaishi sinza kipindi hiko alikua anasoma IFM mwaka wa pili, tuliendelea na chatting mpaka tukaja kuwa wapenzi, kitu kilichonishangaza ni kuwa yule demu alikua bikra, na mimi ndo nliyeitoa, tuliendelea kuwa kwenye mahusiano, akaja akapata mimba ila aliitoa coz alikua anaogopa nyumbani kwao wangemzingua, basi kutokana na hiyo issue hata mahusiano yetu hayakuchukua muda mrefu, tukaachana, ila mpaka leo tunawasiliana:

Note: Alikua bikra na nimempata kwenye dating app nyie hamuogopi 😂🤔,
Hongera kwa kuajiriwa
 
Back
Top Bottom