Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh watu mna siri!Hivi nilikataa??? Tatizo ulinitongoza tarehe za mishahara hizo tarehe huwa nakuwa na nyodo sana. Ngoja ifike tarehe za katikati, huwa sikatai.
😂😂😂Duh watu mna siri!
Muda mchache mambo mengi, ni vizuri kujiopolea huko na kumaliza shida zako then Una concentrate na mambo ya msingi, mambo ya gesi imeisha, luku imekata mara baba anaumwa unawaachia wapenda dramaUtakae muopoa huko kwenye apps wenzako pia walishaopoa wakala wakaacha mkuu. Muelewe mtu unaemtaka physically alaf Piga sound mzee
what if umeopoa huko kisha ukakutana na chombo kimeukonga moyo.Muda mchache mambo mengi, ni vizuri kujiopolea huko na kumaliza shida zako then Una concentrate na mambo ya msingi, mambo ya gesi imeisha, luku imekata mara baba anaumwa unawaachia wapenda drama
Ukiskia gwiji ndo huyoNiliingia sikumbuki ni badoo au ipi maana miaka ya nyuma nilikuwa nacheza nazo sana nilipata kamwalimu kamoja ka kichaga mtoni shule ya msingi wakati huo anahishi kinondoni mkwajuni nikala sana ila alikuwa anakaa na jamaa na wamezaa watoto wawili sasa nikagundua hivyo nikamtema ila nikamkuta tena kwingine kumbe ndiyo michezo yake na alikuwa anajenga kibamba alivyoniambia kwa kazi ya kujiuza humo
NI uamuzi wako tu mkuu, Sisi wengine mioyo yetu kuikonga ni sawa na kusubiri meli ubungowhat if umeopoa huko kisha ukakutana na chombo kimeukonga moyo.
Sasa huku hadharani kama Baltar?☺️Haya nipe hizo nondo sasa 🔥
Niliingia sikumbuki ni badoo au ipi maana miaka ya nyuma nilikuwa nacheza nazo sana nilipata kamwalimu kamoja ka kichaga mtoni shule ya msingi wakati huo anahishi kinondoni mkwajuni nikala sana ila alikuwa anakaa na jamaa na wamezaa watoto wawili sasa nikagundua hivyo nikamtema ila nikamkuta tena kwingine kumbe ndiyo michezo yake na alikuwa anajenga kibamba alivyoniambia kwa kazi ya kujiuza humo
Mpira upo kwako sasa, ushinde au ugongeshe mwamba
Ngoja niende pmMpira upo kwako sasa, ushinde au ugongeshe mwamba
Hongera kwa kuajiriwaNgoja leo niweke ushuhuda wangu:
Mwaka 2019, kuna dating app moja inaitwa Tan tan, ilikua ndo ina trend sana, kipindi hiko nna mwaka mmoja mtaani tangu nimalize chuo, sikua nimeajiriwa so muda mwingi nlikua idle tuu, nkajiunga na ile app lengo ilikua ni sehemu ya kupotezea muda tuu, katika pita pita zangu, nkabahatisha mtoto mmoja anaishi sinza kipindi hiko alikua anasoma IFM mwaka wa pili, tuliendelea na chatting mpaka tukaja kuwa wapenzi, kitu kilichonishangaza ni kuwa yule demu alikua bikra, na mimi ndo nliyeitoa, tuliendelea kuwa kwenye mahusiano, akaja akapata mimba ila aliitoa coz alikua anaogopa nyumbani kwao wangemzingua, basi kutokana na hiyo issue hata mahusiano yetu hayakuchukua muda mrefu, tukaachana, ila mpaka leo tunawasiliana:
Note: Alikua bikra na nimempata kwenye dating app nyie hamuogopi 😂🤔,