Mambo ya Dating Apps: Kupata Mapenzi Huko ni Rahisi au Unapoteza Muda?

Utakae muopoa huko kwenye apps wenzako pia walishaopoa wakala wakaacha mkuu. Muelewe mtu unaemtaka physically alaf Piga sound mzee
Muda mchache mambo mengi, ni vizuri kujiopolea huko na kumaliza shida zako then Una concentrate na mambo ya msingi, mambo ya gesi imeisha, luku imekata mara baba anaumwa unawaachia wapenda drama
 
Muda mchache mambo mengi, ni vizuri kujiopolea huko na kumaliza shida zako then Una concentrate na mambo ya msingi, mambo ya gesi imeisha, luku imekata mara baba anaumwa unawaachia wapenda drama
what if umeopoa huko kisha ukakutana na chombo kimeukonga moyo.
 
Ukiskia gwiji ndo huyo
 

Sasa kwa hiyo ulikula bila kuliwa?

Kama ndiyo kazi yake iliyomuzewesha kujenga, wewe ulimlipa kiasi gani?
 
Hizo app shenz tupu nkapgiwa na demu wa venezuela mara napokea mtu kauanika uchi nje nje
 
Mtu serious? Hivi unafahamu maana ya "dating"? Maana ni kukutana na kumalizana. That's the reason haziitwi "engagement apps."
 
Hongera kwa kuajiriwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…